Poleni sana Mungu awape nguvu ya kuendelea na Mapambano CCM wataliaribu hili taifa pigeni kelele Kila kitu ktk hili taifa kipo hovyo hovyo Na Mungu awape CCM kinachostahili kwao Ee Mungu mwenyenzi Amin
Pole sana. Sitachoka kuwakumbusha ndugu zangu watanzania kuhusu utabiri wangu kwa maisha (survival) ya utawala (system) unaoishi katikati ya umma unaolalamika huku ukiogelea katika umasikini uliokithiri. Kwamba ili utawala wa aina hii (tanzania) uishi hapana budi uzue/ubuni matukio au/na taharuki. Taharuki ya mwisho ilikuwa ya kununuliwa na CCM na nchi nzima ikasimama. Na nikasema haya yanayotokea ni ili umma/wanaharakati wasahau kufuatilia/kuwajibisha wahusika kwa: CAG - ripoti za ufisadi, wizi matrilioni ya shs bwawa la mwl. Nyerere, upigaji tenda reli SGR TBR - Kigoma, Rushwa, Umasikini, Mpina vs Bashe sakata la sukari. Bandari DP World, Wamasai - Loliondo, Aibu ya CCM na serikali kupitia uenezi wa Makonda hadi zoezi likasitishwa - Makonda akaeungiliwa. Na mengine kama hayo. Nikasema ya Peter Msigwa ni ili kujenga sahau, likiisha litapikwa jingine, tujiandae. Na kweli utabiri wangu, na sasa limeibuliwa kamatakamata CHADEMA! Na hakika nchi nzima imeacha/imesahau balaa za nyuma macho yote kwa CHADEMA hivi sasa. Likiisha hili, tujiandae litakuja jingine, ni utabiri.
Pumbavu wewe mwenye masirahi na ccm, lakin siku ikitokea hata hiyo pumbavu hautapata muda wa kuiandika utasikia milioya ya mabomu na siraha tuuu, funguka machozi ni maneno yasiosikika
Ivi Kinana kajiuzuru kwa kutunza heshima yake aliyaona aya au mzee Kinana nakupigia salut kwa kujiuzuru tuachie hawa wenye uchu wa madaraka na kuwatesa wtz
Viongozi wa chairman nawashauri na kuomba gari ya mheshimiwa Lisu isifanyiwe matengenezo badalayake ipelekwe makao makuu ya chairman kwa ability yakumbukumbu
Hawa watu wanapaswa waburuzwe mahakamani individually ili wafundishwe kusimamia weledi kwenye kazi na si kusikiliza maagizo ya watu waovu walio kwenye mamlaka.
Mbona tunaweza kuwashughulikia chadema kirahisi hivi,lakini matatizo ya maji,umeme na huduma za afya ,elimu vimeshindikana?vipi bundi na ngedere tayari nao wamedhibitiwa au Bado wapi maofisini?
Hiv hawa viongozi wa nchi wanataka ku2peleka wapi mbona manyanyazo kila kukicha afahdali ya jana pole sanaa bwana lisu kwa changamoto unayoptia mungu akubariki sanaa
Hii nchi inahitaji ukombozi.Tunaongozwa na watu wasio na utu na wasio fuata sheria na katiba nchi.Jeshi la polisi lina watendaji wenye uwezo mdogo na akili ndogo sana na wanaotumia madaraka yao vibaya.
Mabadiliko ya kweli yanaletwa na watu walijitolea hata kufa kama kweli mnataka kuleta mabadiliko Hii ndio njia sahihi,Acheni kulalamika, mabadiliko hayawezi kuletwa na walalahoi
Jamani watanzania tunajisahau kwasababu mungu anaonesha madudu ya CCM na polisi wao kwasababu sisi tunatakiwa kufanya uchaguzi wa kuwa Fanya wakose kula hata kula Moja ili wakiiba kula iwe kama Kenya mana wamechoka kufanya vitu kwa haki
Viongozi na police wa Tanzania🇹🇿 hamuelewi kazi yenu mnajua ubabe tu na mwisho wa yote ni kifo 😢😢😢😢😢 Mtakufa vbaya sana badlikeni police wa Tz mna shida ya uelewa
Serikali ya Samia imepoteza mwelekeo na sera Sasa wanaona kutumia polisi kuteka watu hovyo hovyo ndio suluhisho lakini hatutavunjika moyo tutapambana mpaka kieleweke Samia must go.