Hajachafua hali ya hewa,anawaonesha jinsi gani hao mawaziri walivyo viporo. Mpina anamweleza Mwigulu atoe vielelezo,hana. Wanakuwa wakali tu. Wana wasiwasi na Mpina.Anawatoa jasho jembamba
Tuanzishe petition ya kumtoa Mwigulu kwenye uwaziri wa fedha. Hafai kwenye wizara nyeti Kama hiyo. Kama hawana mtu waende pale UDSM kuna wataalam wa kutosha
Huyu Dr gani haelewi hata maana ya mikataba.mimi sio Dr wala prof ila ktk hili Mwigulu ni achunguzwe halitendei haki Taifa hili ni huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
Mkataba ukishasainiwa kinachofuata ni mkandarasi kupiga kazi na kukamilisha kwa wkt uliokubalika. Mambo ya dola hayahusiani cc tunatumia Tsh. Mwizi mzoefu wewe
Tulia Akson...uwezo wako ni mkubwa sana,hongera sana,ukiamua kukataa jambo lisilo sahihi unasimama kwa watoa hoja,hubebi waziri kama hujaridhika na hoja zake....big up
Mama samia sipendi ccm Ila wakati unchukua inchi nilikupenda Sana sana Ila mwigulu hapana mpigaji tu nasijuwi kama utapita kama utabaki na hawa kina mwigulu na nape hupiti nakwambia naapa
Huku mnakopa huku mnapigwa na viongozi wezi wanaotajwa kwenye ripoti ya mkaguzi wa fedha za serikali amebainisha uwizi wa fedha za watanzania ukizijumlisha zinafika zaidi ya trillion tatu kwa mwaka
Mwigulu watanzania wanaelewa technicality zote, usiwafanye watanzania wote kuwa hawakusoma! This is so demeaning those who put you on that position! That is so sick! Mwigulu acha siasa, huwezi kuanza mradi bila ku-approve budget hata kama ni ya miaka mitano. Budget projections huwa zipo wakati mikataba inakuwa signed, hii inaonyesha negligence ama incompetence ya wizara husika!
Mwigulu kwani kwenye mkataba huo hamkuweza ku-lock interest rates? Ina maana basi mikataba yetu ni ya kipuuzi basi. That is not an excuse, umeshindwa kumjibu mbunge swali lake! Spika, asante sana kwa kumbana huyu waziri!
TULIA ndo Spika wa bunge anaejielewa wale Wenye viti wanapokuwepo hakuna kitu wa toleo abaki TULIA na Nabii Spika kwa sababu wanaelewa kuuliza maswali na changamoto kw Mawaziri
Kwanza kabisa huyu waziri wa fedha hatufai kabisa na hio tai yake ya bendela yetu aitoe tena hafai kuivaa huyu jamaa sio mzalendo kama waziri hufai kubishana na kiti yaani na maanisha Spika. Rais wangu kipenzi mama wa faida mkombozi wa Taifa hili mtoe huyu jamaa daa jamani hivi tuna urazima gani kubishana kisa kiingereza na hizo paragrafu zake Rabishi.
Speaker dada yangu Tulia position yako unaitendea kazi vizuri sana, ila kitu kimoja inapokuja hoja vey serious kama aliyo raise Halima Mdee please punguza mzaha. Wabane hao wahusika kama ulivyomyoosha Mwigulu ambaye anaona kama yeye pekee ndio anaelewa kila kitu. I commend your objectivity. Ndaga fijo kalumbu.
Huyu Mwigulu anataka kutafuta pesa. Hata baada ys mkaguzi kuwambia matatizo na bado anaendelea kuwachanganya kupata nafasi ya kuiba ndiyo mafisadi makubwa kabisa.
Mheshimiwa mdee nimekuelewa sana nimekukubali sana na Rudi chadema kaombe radhi au nenda hata wazalendo Kwa zito kabwa ila Mwigulu twende tukachenge singida pamoja na mimi
Nina wasiwasi na PhD ya Mwigulu… sifa kubwa ya kusoma sana ni kufanya mambo magumu yawe rahisi, ila ndg yetu na shule yake kubwa ndo kabisaa 🤔 He sounds contradictory every time he stands up. It’s ok kusema sina jibu sahihi naomba nipę muda