😂😂😂😂danganya wasomi wenzio.yn mti iliyokauka naukakatwa kuni.kwa miaka miwili .ukiwa mkavu.utapataje sapoti ya kunyanyuka.km ulikuwa na uhai mbona hauukutoa matawi kupitia mizizi kabla usimame 😊
Nyie chadema mnashida gani mtekwe wenyewe. Kama hilo ni kosa kuchoma serikali hawezi kusubiri kukuteka wakati inashikiria Dora ungerikamatwa tu na si kutekwa