@@mohamedmagongo9348 ndo hapo sasa wake wengine siwakuoa angetakikana mke amkeee kwahilo bt ndo mwanzo ampogeza kwa kua mzuri nababa bora serious,faida gani yakua namke nakisha hamukosoani
@@mohamedmagongo9348 halafu sasa siyeye peke yake wanaojiita wasanii wakimataifa 99%wametoboa pua na masikio,yanii usanii ni.promotion ya USHOGA halafu utasikia wasanii kioo jamiii
Sasa watu mnapata wapi nguvu ya kusema analelewa na nandi mtu anakupesha mi hela km hiyo watu mnaangalia mziki tu anao fanya kumbe kuna vitu anafanya nyuma ya mziki watu hawapendikuweka kila kitu kwenye mitandao ❤❤
Safi tu mkuu billnenga we mfalme tu maisha marefu brother huna baya natamani siku moja niwe msanii wako tu au hata kolabo tu nakukbali toka enzi za rafik ako godZila
Yani mimi hawa wasanii nashindwa kuwaelewa kipini hereni meno ya dhahabu alafu mtu anaambiwa ni bb uyo mume wangu mume mwafanana yani bora ata mwijaku na mijikelele yke kulio hawa wasanii wanaofanya mambo ya kike uu wala sio ujanja ni uboya tuu
@@ContentSmartphone-rq6po tena wanatete kwelikweli km lkn ndio ilivyo kumsema mtu km nimwizi bs mwizi mwenzio atakutusi ukimsema teja ujue mwenzio km yupo karibu ata bisibisi atakuchona nayo sishangai
Katika watu nilikuwa na wakubali ni wewe bilinenga kimziki ila izipigo zasaivi zakuvaa ereni zamrembo Nandi mwamziki aliye fanya makubwa kwenye mziki Nandi una mvunjiya eshima sana dada yetu kwaizo pigo 😢😢😢 iga kufunguwa bishara kama wenzako wewe Bado una angaika naviereni tuu mpaka Leo nenda navo Moshi au arusha uone kama ujaletewa sukari yamaari
wachaga wengi ndovyo tulivyo hatupendagi kuweka mali zetu wazi sana pia tambueni wachaga ndo wameiteka bongo kwa kumbi za staree na mahoteli na c bongo2 nenda moshi arusha mwanza mutawajua wachaga n watu wa kipekee sana wadada karibuni moshi
Yani Taifa la Tanzania aiseh natamani kuhama vyombo vya habari pamoja na wasanii ndio wanapotosha Taifa yani mama kakopa pesa ya kulipa miaka 40 vijana wapo kwenye midia wanalete mizaha
Hivi mimi mshamba hii ya kuweka pin puani inamaanisha nini ni urembo au kuna maana nyingine maana sielewi na je ipo kwenye biblia au kitabu gani cha dini? ?maana naona ina kasi kubwa alafu mimi ndiyo sijaelewa 😢