@@msakuzikondo536 kweli bora mtanganyika ndio mana nchi inadidimia chini kwa umaskini na ufukara tulipo taaliwa na muarabu kwanza kulikua hakuna ubaguzi pili zanzibar ilikua inatajika katika nchi zakitajiri duniani zanzibar ilikuemo, soma historia.
Sio waarbu ni wazaliwa zanzibari NA mababu wao walizaliwa zanzibari ni wananchi tu sultani mama yake ni mwafrika wazanzibari walishajitenga NA oman toka zamani ikawa omani peke yake NA zanzibari peke yake sio serekali moja tena Hapo ungereza imepata zanzibari uhuru kamili hapo 63 baada ya hapo ikapangwa uvamizi kutoka tanganika kwa ungozi ya okelo NA mjeshi kutamka tanga NA karume NA nyerere NA wangereza ikatekwa nchi nzima chini ya utawala wa nyerere NA nchi ikapotea wazanzibari wenye damu ya kiyarabu hawakuja watu wabaya ni waaslamu
Ipo siku zanzibari ltakuwa dola peke yake inatambuliwa katika umoja wa mataifa NA mtafaidi mapato wenu maana watu kidogo NA mapatp nyingi itakua kama vile dubai
Me naona uzanzibar ulikua mbele tu lakin kikubwa tatzo ilikua ni uislam sababu hta kafiri nyelele kwenye moja ya hutuba alisema uzanzibar na uislamu. Pia Kafiri William lukuvi moja ya clip aliwah kusema uislam Zanzibar ni tishio kwa hyo ni dhulma juu ya uislam
Yaani wazanzibar tumefanyiwa hasadi na waingereza wakishirikiana na ndugu zetu watanganyika, nawatu kutoka mataifa mengine ya Africa.. kwa kweli ina sikitisha sana ila Zanzibar itakuja kupata mamlaka yake lkn ni muda mrefu utakuwa ushapita huwenda mimi na wewe tukawa hatupo.tena duniani
Ni kweli lakini wasioupenda uislamu walifanya Kila mbinu mpaka Sasa hivi wanaendelea tena Kwa kutumia nguvu , Inshallah Mola mueza wa yote atainyoosha Zanzibar Na kuikomboa
@@jamesmbata8542 hata ukituita wapumbavu ukweli utabaki kuwa ukweli tu , kutukana au kutamka maneno machafu sio kama inaondosha ukweli , la pili ya Zanzibar hayakuhusu shughulikia ya kwenu Tanganyika
@@jamesmbata8542 unaumia nini ni Zanzibar ni ya Wazanzibari? Wenyewe hawaoni shida ya waarabu. Siye Watanganyika ndo tunakunywa panadol kwa maumivu ya jirani. Mi naona Zanzibar iko huru kutawaliwa au kushirikiana na wamtakaye. Na najua hawatutaki Watanganyika tuwatawale. Sijui kwanini tunawalazimisha. 🙄. Tuwaache huru ubaki ujirani mwema.
Ina kuwaje aseme karume ni mtwana ww na mm na ww ndio watwana kwaio tosha warabu wabaya wana ubaguz na watu weus istoshe km wana tupendi anagaliya tunapo kwenda uarabu kutafuta maisha watu dhalilisha kufiria dada zetu na wanaume kuwasi ume yote yanatendwa huko jee mwarabu sio mtu mwema mtu walitaka kumuwa hao
Sasa tuone wao waliokua siyo waarbu ambao makafiri waendelee kukutawala ikisha kamjibu mungu Ivo ivo mtume saw alikua muarabu up uislam umefikaje Zanzibar bila ya waarbu Basi saivi ndo tunatawaliwa na so muwatakao na muendelezo wa makanisa unaendelea uyo sefu sharifu si kashakufa Tena hemu muacheni tafuteni mwengine