Тёмный
No video :(

13. Mapinduzi Zanzibar 

MzeeBarwani
Подписаться 4,7 тыс.
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Description

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@suadbarwani4117
@suadbarwani4117 Год назад
Maskini Unguja yetu imekaliwà kwa Uwaduwi tangu hapo źamani mpaka leo, Hasbiya Llah,
@mohammedmbarouk7711
@mohammedmbarouk7711 3 года назад
Mmefukuza muarabu mtatawaliwa na watanganyika mpaka kiama
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 2 года назад
Afadhari mtanganyika.Alhamdulillah
@jimj8285
@jimj8285 2 года назад
@@msakuzikondo536 mkundu WEWEEE!!!!
@salumsalum7057
@salumsalum7057 Год назад
@@msakuzikondo536 kweli bora mtanganyika ndio mana nchi inadidimia chini kwa umaskini na ufukara tulipo taaliwa na muarabu kwanza kulikua hakuna ubaguzi pili zanzibar ilikua inatajika katika nchi zakitajiri duniani zanzibar ilikuemo, soma historia.
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Sio waarbu ni wazaliwa zanzibari NA mababu wao walizaliwa zanzibari ni wananchi tu sultani mama yake ni mwafrika wazanzibari walishajitenga NA oman toka zamani ikawa omani peke yake NA zanzibari peke yake sio serekali moja tena Hapo ungereza imepata zanzibari uhuru kamili hapo 63 baada ya hapo ikapangwa uvamizi kutoka tanganika kwa ungozi ya okelo NA mjeshi kutamka tanga NA karume NA nyerere NA wangereza ikatekwa nchi nzima chini ya utawala wa nyerere NA nchi ikapotea wazanzibari wenye damu ya kiyarabu hawakuja watu wabaya ni waaslamu
@hajimakame1062
@hajimakame1062 4 года назад
Muegereza na mmarekani wote maduwi wakubwa was visiwa hivj
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 4 года назад
Kabisa kabisa wallai
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 года назад
Ipo siku zanzibari ltakuwa dola peke yake inatambuliwa katika umoja wa mataifa NA mtafaidi mapato wenu maana watu kidogo NA mapatp nyingi itakua kama vile dubai
@mansabrawahy2701
@mansabrawahy2701 Год назад
@@alialamoudi9729 siku ya kiama
@user-nv7jg6xc8l
@user-nv7jg6xc8l 6 месяцев назад
Me naona uzanzibar ulikua mbele tu lakin kikubwa tatzo ilikua ni uislam sababu hta kafiri nyelele kwenye moja ya hutuba alisema uzanzibar na uislamu. Pia Kafiri William lukuvi moja ya clip aliwah kusema uislam Zanzibar ni tishio kwa hyo ni dhulma juu ya uislam
@user-sp5mq1vh5v
@user-sp5mq1vh5v 7 месяцев назад
Heee lazima tujue kwa nn wazanzibar watiwe jela ya dodoma
@khamissalum9285
@khamissalum9285 4 года назад
Ukoloni uko saivi zanzbar
@gamerabossb1777
@gamerabossb1777 Год назад
What happened to Muhammed Shamte Hamdi?
@hajiameir8688
@hajiameir8688 Год назад
Mungu mkubwa huyo karume nae yuko wapi msaliti mkubwa na uchu wa madaraka
@adamdango
@adamdango 3 года назад
Mbona hajaendelea baada ya mapinduzi
@binzubeirnasheed4088
@binzubeirnasheed4088 3 года назад
Yaani wazanzibar tumefanyiwa hasadi na waingereza wakishirikiana na ndugu zetu watanganyika, nawatu kutoka mataifa mengine ya Africa.. kwa kweli ina sikitisha sana ila Zanzibar itakuja kupata mamlaka yake lkn ni muda mrefu utakuwa ushapita huwenda mimi na wewe tukawa hatupo.tena duniani
@mussammsaji1110
@mussammsaji1110 3 месяца назад
Lakn mjilaumu wenyewe maana mlichokifanya ezizile mungu mwenyewe ndio ajuae
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 года назад
Hayo yote Mungu alisimamia na yakaenda vizuri Sasa tujenge taifa lenye umoja upendo na mshikamano tusibaguane. Sote ni waja wa Mwenyezi Mungu.
@AnnoyedDivingBoard-ep1wf
@AnnoyedDivingBoard-ep1wf 7 месяцев назад
Kaka unahekma Allah akuongoze Ila bado hicho unachokitaka hakijapangwa Kwa upande wa tanganyika
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 7 месяцев назад
Wewe mshenzi wacha kumzuilia Marehemu katika Mambo haya je kama ni baba yako ungalifurahia mpaka leo bado unao uchungu na maiti lol umezidi
@binzubeirnasheed4088
@binzubeirnasheed4088 3 года назад
Hivi visiwa ni vya waarabu na mvumbuzi ni muarabu
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 года назад
Umerogwa!
@rastafare878
@rastafare878 2 года назад
Ni kweli lakini wasioupenda uislamu walifanya Kila mbinu mpaka Sasa hivi wanaendelea tena Kwa kutumia nguvu , Inshallah Mola mueza wa yote atainyoosha Zanzibar Na kuikomboa
@jamesmbata8542
@jamesmbata8542 2 года назад
Mpumbavu mkubwa ww
@rastafare878
@rastafare878 2 года назад
@@jamesmbata8542 hata ukituita wapumbavu ukweli utabaki kuwa ukweli tu , kutukana au kutamka maneno machafu sio kama inaondosha ukweli , la pili ya Zanzibar hayakuhusu shughulikia ya kwenu Tanganyika
@malikajohnson8897
@malikajohnson8897 2 года назад
@@jamesmbata8542 unaumia nini ni Zanzibar ni ya Wazanzibari? Wenyewe hawaoni shida ya waarabu. Siye Watanganyika ndo tunakunywa panadol kwa maumivu ya jirani. Mi naona Zanzibar iko huru kutawaliwa au kushirikiana na wamtakaye. Na najua hawatutaki Watanganyika tuwatawale. Sijui kwanini tunawalazimisha. 🙄. Tuwaache huru ubaki ujirani mwema.
@godisgreat1845
@godisgreat1845 4 года назад
Hakuna yeyote katika hizbu a lijua kuwa kuna mapinduzi Leo
@salummzee9739
@salummzee9739 4 года назад
Leo kweli nimeamini seifu sheriff ana tumiwa warabu ili alete mapenduz zanzibr dhidi wana Afroshiraz ss watu weusi mapinduz daimaa mbele
@salummzee9739
@salummzee9739 3 года назад
Ina kuwaje aseme karume ni mtwana ww na mm na ww ndio watwana kwaio tosha warabu wabaya wana ubaguz na watu weus istoshe km wana tupendi anagaliya tunapo kwenda uarabu kutafuta maisha watu dhalilisha kufiria dada zetu na wanaume kuwasi ume yote yanatendwa huko jee mwarabu sio mtu mwema mtu walitaka kumuwa hao
@jumaalhamid5242
@jumaalhamid5242 3 года назад
Ungelikuw muunguj kweli ungejua ukweli kaa n ujing wako karume kaf kw kuchukuw make w mtu c kw sababu y siasa hakun ubarak
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 года назад
Ulikuwa hujui?
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 2 года назад
Acha ujinga you hujijui uendako Wala utendalo munatiwa sumu na kuamini tuh pole
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 2 года назад
Sasa tuone wao waliokua siyo waarbu ambao makafiri waendelee kukutawala ikisha kamjibu mungu Ivo ivo mtume saw alikua muarabu up uislam umefikaje Zanzibar bila ya waarbu Basi saivi ndo tunatawaliwa na so muwatakao na muendelezo wa makanisa unaendelea uyo sefu sharifu si kashakufa Tena hemu muacheni tafuteni mwengine
Далее
16 Kutoka Gerezani 1967
13:15
Просмотров 27 тыс.
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Просмотров 2,6 млн
8  Athabu kwa Mandera
14:56
Просмотров 21 тыс.
12  Twala Kanielezea Jela
12:10
Просмотров 21 тыс.
SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI NA SIASA ZA ZANZIBAR
2:26:36
PRINCESS IN ZANZIBAR
2:16
Просмотров 47 тыс.
22 Maovu ya Mapinduzi
12:26
Просмотров 46 тыс.
11.  Mauwaji ya June 1961, Zanzibar
9:43
Просмотров 51 тыс.
Princess In Zanzibar (1956)
1:28
Просмотров 40 тыс.
13  Twala Kakimbia Jela
9:20
Просмотров 30 тыс.