Тёмный

SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI NA SIASA ZA ZANZIBAR 

Bin Seif
Подписаться 179 тыс.
Просмотров 78 тыс.
50% 1

Sheikh Ali Bin Muhsin Al Barwan akielezea alichokifahamu kuanzishwa kwa vyama ya siasa Zanzibar hadi Mapinduzi

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 123   
@ALIKHAMIS-un4fv
@ALIKHAMIS-un4fv Год назад
Nimemuelewa sana huyu mzee Allah amuhifadhi kwa kweli nimeijua historia ya nchi yetu ya zanzibar Allah awasamehe masheikh wetu na wazee wetu na ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki kwa kweli nimekuelewa sana sheikh Ali muhsin kwa kweli tumedanganywa na ccm historia na mapinduzi ya zanzibar
@eddynaeem6708
@eddynaeem6708 3 месяца назад
kumbe huyu nyerere mulikuwa mukimlea sasa alikuwa akija kufanya nini na Tanganyika ilikuwa mbali kumbe kaanza fitina zamani sasa kaja kumtembeza mgeni wake kwani hapa kipindi hicho palikuwa kwake siengeenda akamtembeza Butiama kwa mama ake huyo mgeni wake
@bunamay1000
@bunamay1000 7 месяцев назад
Mola Allah amrehemu na ampandishe daraja peponi, Aameen
@ALIKHAMIS-un4fv
@ALIKHAMIS-un4fv Год назад
Kamwe katika maisha yangu kwa hii historia sitoshereherekea mapinduzi ya zanzibar
@abbiecox1
@abbiecox1 3 месяца назад
ukisusa wenzzako wala! ila nawaombea sana muipate znz yenu kisha mtajionea ushuzi utakavyonuka! mshirazi mgunya mpemba mtamwagana tu mna visasi ninyi
@AW-vt9pw
@AW-vt9pw 2 года назад
Mwenyezi Mungu analipa kwa Ubaya waliowatendea watu waliokua hawana hatia yoyote kwa kuwatesa, kuwauwa na kuwafanyia machafu ndio mana hadi sasa shida hazishi Zanzibar, Maisha magumu hio ni dhuluma ndio inawarudia. Ingawa hadi sasa bado Serikali ya Oman inafadhili ujenzi wa majumba ya zamani na mambo mengine lakini waliodhulumiwa wengi wao waliuliwa.
@abbiecox1
@abbiecox1 3 месяца назад
dunia nzima ina shida sio znz tu
@eddynaeem6708
@eddynaeem6708 3 месяца назад
wewe lakini unaakili nchi zote duniani zina shida ? llabda hii Zanzibar
@jumajorn8932
@jumajorn8932 4 года назад
nyerere na karume ndio madui wa zanzibar tusifichane bwana
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 Год назад
Nyerere na Karume ni mashujaaa
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 5 лет назад
Hebu na wana CCM waeleze na wao wanavyofahamu Dola ya Zanzibar kabla ya Mapinduzi ,sio kutudanganya eti mama zetu wakifagilishwa kwa maziwa(matiti).
@canoksancomprehensivelearn7182
Kila aliyewafunga waislam na kuwahujumu laana ya Allah imfikie huko aliko kama kafa basi zimuendee kaburini huko. Sisi waislam baba yetu wa taifa ni nabii Ibraahim na hatuna mwingine wala hatutamkubali adui wa mtume Muhammad S.a.w kuwa kipenzi chetu. Utawala wetu utarudi tu chini ya Quran na sunnah
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 4 года назад
Allahumma amiiiin yaarabbal aalamiyn
@alvinbenito9115
@alvinbenito9115 4 года назад
Baba yenu wa TAIFA kwani sio AMANIABEID KARUME
@mtambalaalinoti
@mtambalaalinoti Год назад
Kumamako sisi waafrika
@hajimakame1062
@hajimakame1062 4 года назад
Waengreza wabaya sana
@khadijaamrani6282
@khadijaamrani6282 Год назад
Tunge faidin sana haswa sisi tulizaliwa na vizazimvya oman.wallah twapiga vita kila mahamali tumekuwa duni.
@muhammadsalim2614
@muhammadsalim2614 3 года назад
Mashallah
@salimzahor5181
@salimzahor5181 6 лет назад
جيد
@stevescot5650
@stevescot5650 5 лет назад
asante Kwa elimu japo yapasa kufahamu walikua watawala wetu ,hapo mimi ndio hoja yangu ya msingi ipo ni kwamba walikua na ujamaa wa karibu sana na Oman wakiwa ni vizazi vya huko ,Kwa kuwa kipindi cha vuguvugu la uhuru na kujitawala miaka ya 1960's lilipokua lipo moto ,waafrica wote Kwa pamoja waliona haja ya kujitawala wao Kwa tabaka lao likishika hatamu baada ya miaka ya ukoloni barani Africa , maana ikumbukwe kuna baadhi ya makoloni walisema hawatoki (mifano Rodhesia/Zimbabwe , South Africa,Namibia,zanzibar etc ) kwakua baadhi ya maeneo hawatoki sababu hawakukuta Mwafrica yoyote akiishi mahala pale, pili hawana pa kwenda na niwao ndio wameleta ustaarabu Africa etc
@fatmahamad2156
@fatmahamad2156 5 лет назад
Ww. Ndo fala
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 года назад
@Tafari Kassai tena ni kisiwa cha Tanganyika ila tu miaka hiyooooo mingi ilopita alikua aishi mtu mpaka alikuja mwaarabu na meli zao ndio wakakiona kile kisiwa na kuanza kuishi, na wakaanza kuja bara na Africa ya karibu kuja kuchukua watu weusi na kuwaleta hapo kisiwani na kuwafanya watumwa wao na kuanza kuzaliana, na ilibidi wamuondoe mwaarabu kwani sio kwao kaja tu pale na mtu mweusi kupajua pale kisiwani ni kwa ajili ya mwaarabu kwani walikuja na meli zao na kuanzisha mji,ila Ardhi kweli ni ya Tanganyika ile kwani tuko karibu na wanzanzibari ni watanzania period ila wapemba ndio hawautaki utanzania wanataka uawarabu na kudai nchi yao ili tu mu Oman arudi pale ambapo haiwezekani pale ni East Africa.
@msabahaali758
@msabahaali758 Год назад
hujasoma history vizur
@hisqueen7419
@hisqueen7419 4 года назад
The legend
@osmannassir1515
@osmannassir1515 2 года назад
Slavery is Slavery. Tusijaribu kuhalilisha utumwa.Europeans,Arabs and Africans wote waliusika all is called slave owners.tusijaribu kuhalalisha mtu yeyote utumwa.explain who owned that land before all those foreigners arrived? When we talk about Africans,rembember Africa is a continent so is bigger than England and Oman.
@osmannassir1515
@osmannassir1515 2 года назад
Brother watuambia weather of Oman na Zanzimbar?Stop using the word Makhadimu.Hilo neno wewe mwenyewe asili ya hilo neno.
@osmannassir1515
@osmannassir1515 2 года назад
Neno moja tu kama Hizb maana yake ni kikundi,icho kikundi chaweza kikawa cha malengo tofauti tofauti.lazima tupate neno la kuongezeaili tuelewe nikikundi cha nini?
@osmannassir1515
@osmannassir1515 2 года назад
Love it or hate it,before those foreigners arrived to Zanzibar,zanzibar had Natives where are they in your political History telling.Maneno kama Mtwana my God shame on you guys
@osmannassir1515
@osmannassir1515 2 года назад
The only place in Oman palipo Ardh ya kilimo ni Sulala only remaining ni pure desert
@SaadaMwalm
@SaadaMwalm 6 месяцев назад
Hayo hayaelezwi ktk historian y znz heko sana
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 месяцев назад
👊👍✌️.
@chibaboy5803
@chibaboy5803 8 лет назад
gud history bin seif
@canoksancomprehensivelearn7182
Historia ya ukweli unaipata kwa wazee hawa na sio za wanasiyasa waliokumbatiwa na maadui wazungu ili kuuficha ukweli na ukoloni ulikuwa kwa ajili ya kuwauwa waislam na uislamu na mambo mengine kama mapinduzi, azimio la arusha, vijiji vya ujamaa n.k ilikuwa ni njama pamoja na kuiuwa jumuiya ya kiislam ya east Africa na walipanga makubwa mno ila mungu kaepusha matokeo yake na dola ya kiislam inarudi na itarudi na hakuna ataeweza kuizuia tena wala kukabiliana nayo hata wangeungana na majini na kumiliki dilaha gani. Nafurahia na naona fakhari kuwa muislam.
@stevescot5650
@stevescot5650 5 лет назад
JARIBU TENA UONE TAFADHALI ...
@stevescot5650
@stevescot5650 5 лет назад
asante Kwa elimu japo yapasa kufahamu walikua watawala wetu ,hapo mimi ndio hoja yangu ya msingi ipo ni kwamba walikua na ujamaa wa karibu sana na Oman wakiwa ni vizazi vya huko ,Kwa kuwa kipindi cha vuguvugu la uhuru na kujitawala miaka ya 1960's lilipokua lipo moto ,waafrica wote Kwa pamoja waliona haja ya kujitawala wao Kwa tabaka lao likishika hatamu baada ya miaka ya ukoloni barani Africa , maana ikumbukwe kuna baadhi ya makoloni walisema hawatoki (mifano Rodhesia/Zimbabwe , South Africa,Namibia,zanzibar etc ) kwakua baadhi ya maeneo hawatoki sababu hawakukuta Mwafrica yoyote akiishi mahala pale, pili hawana pa kwenda na niwao ndio wameleta ustaarabu Africa etc
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
@Maria_jikezee_sarungi sasa hivi mnakaliwa na mkoloni mweusi mwenzenu..fyooo...
@jimj8285
@jimj8285 2 года назад
@@stevescot5650 weeeh nyau tena nyau anaekunya hajui kuosha mkundu wake kefule wewe kafiri!!!
@jimj8285
@jimj8285 2 года назад
@Maria_jikezee_sarungi Maria mchepuko wangu uko wapiii?? Njoo nikufireee! Napenda unavojamba ukifirwa!!!
@khadijaamrani6282
@khadijaamrani6282 Год назад
Kweli kabisa mzee wangu
@imbamohamed358
@imbamohamed358 4 года назад
Wee Mzee Sultan alivyipinduliwa Oman walimkataa ....Zanzibar ni nchi ya waafrika
@drfarouk7691
@drfarouk7691 4 года назад
Imba Mohamed muafrika ni nan !?
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 4 года назад
Kabisa kwani kisiwa kiko mbali sana na Oman pale mwaarabu walikuja tu na meli zao miaka hiyoooo mingi iliopita ndio wakatia nanga pale na kukiona kisiwa kitupu, ndio kuanza kuishi na kuja kuchukua watumwa bara huko na Africa, na baadae wakaanza biashara za utumwa mzee haongei ukweli wote, ila visiwa hivyo viko ndani ya Tanganyika kabisa.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 года назад
Tulia bwana mdogo dawa iingie endelea Barwani ss hatuna shaka na maelezo yako huko sahihi mwenyeenzimungu akuweke mahali pema peponi
@husseinfarid2883
@husseinfarid2883 2 года назад
@@teddyoscar6876 Wacha ujinga Tanganyika na zanzibar wapi na wapi khulka tofauti, Mila tofauti
@mzeesaleh3136
@mzeesaleh3136 2 года назад
Karume kwa Malawi Malawi na zanzibar wapi na wapi visiwa vote duniani watu wamechanganyaaa huuu kama mtu hajachanganya anajiona yeye ndo muafrica hukuu kisiwani watu wamechanganya choyooo na chuki za nyerere na karume kumbe walikuwa wanapenda rangi rangi watu wa baraa maaana baraza la mapinduzi wote wa bara kwani mzanzibar ni mbara au mtu mwenye damu ya mchanyikoooo
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Год назад
Dunia hii mwenye nguvu ndio mwenye haki. Anafanya anavyotaka. Ndio maana waingereza wakaivunja dola ya Zanzibar. Kwa sababu ya nguvu zao. Hii dola itarudi pale itakapopata nguvu tena.
@abdullkilawi5504
@abdullkilawi5504 8 лет назад
Memori
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 6 лет назад
Naomba kuuliza waarab waliopo kuja Zanzibar walikuta visiwa havikai watu
@fatmahamad2156
@fatmahamad2156 5 лет назад
@Ali Ali 😂😂😂😂wacha weeee
@stevescot5650
@stevescot5650 5 лет назад
@Ali Ali kaka samahani ila hukujibu swali la Dada Kwa haki .. nadhani hujamuelewa .. swali lake nadhani au hoja yake ilikua na yeye anashangaa kuwa eti visiwa vya zenji vilikua vitupu bila wakazi mpaka mwarabu alipokuja .. Dada alikua upande wako lakini hujamuelewa
@kfastak
@kfastak 5 лет назад
Walikuta watu weng.. hao ni wahamuaji tu .. waomani ikiwa nchi ni Yao mbona walikimbia.. ....
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 года назад
@Ali Ali , Omba msamaha kwa Allah Jalal kwa ulichoandika. Lugha uliyotumia hata wazungu wa leo hawawezi kutumia. Sifa ya Muislaam ni vitendo na kauli nzuri. Maandishi yako yachemsha damu yangu kwa ghofu kubwa kwa Allah adhabu yake isikufikie kwa kukosea kwako. Allah akuhidi na kauli kama hizi.
@princethaly3648
@princethaly3648 4 года назад
Walikuta watu tena waliokua wakijitawala wenyewe kwa utawala wa jadi
@mosaidi2633
@mosaidi2633 3 года назад
Mwarabu akioa Mtu Mweusi ila Mtu mweusi hawezi Kuoa Mwarabu wala Muhindi, ilikuwa hakuna Haki,na yapo Mengi tu siwezi Yaandika hapa!!!!!
@asilclub
@asilclub 3 года назад
Andika unogopa nini Oman imejaa watu weusi hatuna ubaguzi wa rangi sote ni binaadamu
@mangofish9079
@mangofish9079 2 года назад
Kwani lipi la ajabu mbona mpaka hivi leo familia za kiarabu za kiminal ally na za kihindi wanaoana wenyewe kwa wenyewe itokee tu ndio Pandu na Jecha unaoa na hata hivyo huyo Pandu akidhi viwango na vigezo la sivyo muarabu na mhindi atamuowa ktk usingizi tu kiufupi tu kila sehemu chembeche za kiasili miongoni mwa jamii hazikosi kuwepo. Lakini tumchukue mwanamke wa kiafrika wala si muarabu anaejipata unadhani atakutaka wewe kwa sababu ni muafrika au mweusi? Yaguju watu huangalia vigezo babu weee. Familia nyingi japokuwa sio zote za waarabu walijishughulisha na mambo ya kilimo wahindi na biashara walikua wakijipata kwa uwezo wao tena akamtoe binti yake aende sehem hata mlo mara 1 kwa siku hakuna uhakika. Na acheni uongo hakuna muafrika aliekuwa akikatazwa kulima au kufanya biashara au kusoma ama chochote kile na kama upo ushahidi na sio porojo za midomo familia ya kiafrika kunyimwa haki au kuuliwa. kuteswa, kubakwa, kudhulumiwa mali na kama hayo kweli mbona basi inashindikana hata kuwahoji japo kidogo tu kwa waliopo hai bado na hasa ktk kipindi hichi cha kusheherekea mapinduzi yenyewe?
@husseinfarid2883
@husseinfarid2883 2 года назад
Not true one good example ni Ma Barwani we ywe wamechanganya sana tu. Wacha chuki dhidi ya waaarabu
@husseinfarid2883
@husseinfarid2883 2 года назад
hyo its not about utawala sasa mtu hakutaki utalazimisha ww mjing sana , kwani saivi haipo kama hutakiwi ndio hutakiwi u can not ofrce things kasome hem
@mangofish9079
@mangofish9079 2 года назад
@@husseinfarid2883 huyu mpe task moja tu kama ni hohe hahe sigara kali kama hivi mie mwambie akapose kwa familia inayojipata tena wala isiwe ya waarabu au wahindi iwe ya kiafrika hasa ya kibantu halafu tuone kama hatoangaliwa kama vigezo anavyo vya yeye kupewa huyo mke anaetaka kumuoa. Tatizo hawa wamerithishwa propaganda chafu nyingi ktk hii jamii.
@davidarabian5004
@davidarabian5004 5 лет назад
يجب ترجمة هذا التاريخ ..يا عمان العظمى مجرد أتخيل ارسال ١٢ الف جندي من عمان إلى زنجبار ليس بأمر هين .هل يعرفون الأجيال العمانيين تاريخهم. كم انتي عظيمة يا عمان
@user-qe9ot4kl9u
@user-qe9ot4kl9u 3 года назад
هل انت عربي؟ من أين لك اسم دافد؟ إن كنت عربي لماذا لا تترجم أنت، فالترجمة تعتمد اللغة وليست جنسية.
@osmannassir1515
@osmannassir1515 2 года назад
Great for what?
@osmannassir1515
@osmannassir1515 2 года назад
Oman was a colonial power just like British and France
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 Год назад
@@osmannassir1515 Oman na Zanzibar zilivamiwa sambamba na Makafiri wa Potugal na baadae Oman na Zanzibar zilitawaliwa na Makafiri wa Uingereza. Zote zilipata Uhuru kutoka Uingereza.
@abbiecox1
@abbiecox1 3 месяца назад
aliyesafiri na kuwakuta watu yeye ni mgeni tu huyo kama alivyo karume na wazazi wake na wengine wahadimu wako wapi hata leo hakuna mabaki yao! je waliuliwa au; hebu vipindi vijavyo utujuze mshirazi na mngazija wanajulikana walikotokea muhadimu yuko wapi!
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 Год назад
Hii stori inafirahisha na kufikirisha tatizo haina reference kama miaka au machifu wa kibantu ili kujua ukweli halisi Hivyo kama stori za kijiwe ipo safi
@abbiecox1
@abbiecox1 3 месяца назад
huyu ni Arabian pupet hawezi kutuambia wahadimu walipotelea wapi
@abbiecox1
@abbiecox1 3 месяца назад
Sheikh nikuulize swali moja tu! mbona baraza lile la mawaziri lililoundwa na waarabu wachache baada ya uchaguzi uliokuingiza kwenye uwaziri halikuwa na sura za kibantu je huini kama ingekuwa kweli hakuna uarabu ndani Hizbu wazawa weusi waliachwa wapi?
@masamainvestment9995
@masamainvestment9995 Год назад
Safi Mzee tupe shule
@HudayjumaTaalib
@HudayjumaTaalib 4 месяца назад
Ww ndomzungumza ukwel
@abbiecox1
@abbiecox1 3 месяца назад
ABEID KARUME THE BUTCHER OF ZANZIBAR ALIWAFUNDISHA ADABU WAARABU NA WATOTO WA MASURIA ADABU YA UKWELI!
@lenniefei6710
@lenniefei6710 Месяц назад
Adabu alijitia mwenyewe, tizama Zanzibar ilivyo sasa 😢😢😢😢
@ahmedghoth4945
@ahmedghoth4945 6 лет назад
Islamic state
@lenniefei6710
@lenniefei6710 8 лет назад
Maelezo muafaka Sheikh,ndio sie Waafrica tujielewe na tujue tulipotoka na tulipofika sasa.Uongozi wote upo mikononi mwa "Waafrica" lakini madhila ndio yamezidi kupita kiasi!!!
@amirithabit5802
@amirithabit5802 5 лет назад
@Ali Ali mbona huna adabu.kumbe ndo sababu mkapinduliwa
@salehally8007
@salehally8007 4 года назад
@Ali Ali hili ali sijui jana kharamu la wapi
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 года назад
Ile kuacha wizara ya usalama mikononi mwa waingereza ndio tatizo lilopelekea umwagaji damu mkubwa wa 1964..
@osmannassir1515
@osmannassir1515 2 года назад
Oman is not a rich country
@lgffumbuka183
@lgffumbuka183 3 года назад
Mzee Muhsin ni part and parcel of our history lakini bahati yake mbaya he was on the wrong side. Historia hii ni pamoja na Ujerumani ya Hitler na ya South Africa ya General Pretorius. Ni Tuwakumbuke lakini for sure siyo wenzetu. Wamefaidika na biashara ya utumwa na pembe za ndovu na nyara mbalimbali. Mapinduzi ya Karume 1964 yaliyokomeza utumwa, kuwashabikua kina Muhsin ni kushabik8a utumwa na kumtonesha Karume.
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 года назад
Sasa mupo chini ya mkoloni mweusi mwenzenu hilo kwenu excepted as long as ni "mambo ya kifamilia" kuwa mtumwa kwa mwafrika mwenzako..
@mtambalaalinoti
@mtambalaalinoti Год назад
Hiyo kweli wazee wetu walitokea Congo acheni ujinga mm siwapendi waarabu na wazungu
@abdulrahimazizshamte4622
@abdulrahimazizshamte4622 Год назад
Nichuki tu nasumu imewajaa
@abdulrahimazizshamte4622
@abdulrahimazizshamte4622 Год назад
Mbona aliuwawa baadae kidogo tu, hujui kwanini ? Na jee kwanini aboud jumbe alivuliwa urais na nyadhifa zote ?
@abdulrahimazizshamte4622
@abdulrahimazizshamte4622 Год назад
Ukiambiwa nawe jiambie, tumia akili yako mkuu
@msakuzikondo536
@msakuzikondo536 Год назад
Uwongo mtupuuuuu.Eti wabantu sio asili Africa mashariki 😂
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 2 года назад
Ulishirikiana wewe na mengereza kuwaulisha warabu 64 nani asiejua
@user-fn8on5lf8m
@user-fn8on5lf8m 8 месяцев назад
We mkundu
@chekajumasebunga8358
@chekajumasebunga8358 8 лет назад
Good story mzee wetu, but Zanzibar au East Africa sio Europe or Oman, Zanzibar party of Africa and should be under control by African people not Oman or European.
@lenniefei6710
@lenniefei6710 8 лет назад
+Cheka Juma Sebunga Hujasikiza vizuri maelezo ya mzee Barwan,amesema kutoka Oman,Zanzibar,Congo,Burundi hadi Mombasa ilikua himaya moja(dola) na wala sio ilikua under the control of Oman.Na lazima ufahamu kua waafrica wengi tuu walikua katika mamlaka kadha wa kadha ikiwemo Usultani.Kua makini upate maelezo vizuri usibabatie ufurahishe mawazo yako.
@inuyashasgirlsmao5084
@inuyashasgirlsmao5084 7 лет назад
Cheka Juma Sebunga ilikua. ya warabu.hati.ziko.mpka.leo.
@stevescot5650
@stevescot5650 5 лет назад
@@lenniefei6710 rudi shule acha ubishi
@lenniefei6710
@lenniefei6710 5 лет назад
@@stevescot5650 Bila kuhudhuria shule ni bayana kua "waOmani" waliishi na kutangamana na wabantu bila ya tatizo lolote kwa karne nyingi tu,wewe ndio unahitaji kujivua na taasubi za kimagharibi.Ugua pole kaka.
@stevescot5650
@stevescot5650 5 лет назад
@@lenniefei6710 asante Kwa elimu japo yapasa kufahamu walikua watawala wetu ,hapo mimi ndio hoja yangu ya msingi ipo ni kwamba walikua na ujamaa wa karibu sana na Oman wakiwa ni vizazi vya huko ,Kwa kuwa kipindi cha vuguvugu la uhuru na kujitawala miaka ya 1960's lilipokua lipo moto ,waafrica wote Kwa pamoja waliona haja ya kujitawala wao Kwa tabaka lao likishika hatamu baada ya miaka ya ukoloni barani Africa , maana ikumbukwe kuna baadhi ya makoloni walisema hawatoki (mifano Rodhesia/Zimbabwe , South Africa,Namibia,zanzibar etc ) kwakua baadhi ya maeneo hawatoki sababu hawakukuta Mwafrica yoyote akiishi mahala pale, pili hawana pa kwenda na niwao ndio wameleta ustaarabu Africa etc
@asilclub
@asilclub 3 года назад
Sema usiogope Oman kwetu wamjaa watu weusi wanaona na weupe hatuna kabisa ubaguzi wa rangi lakini kuchukia kwenu kwa islamu ndio mnatoa maneno ya kijinga kma hii
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 2 года назад
Kwani weusi weupe wameumbwa na nani? Nn kujinasibisha na Rangi?
@inuyashasgirlsmao5084
@inuyashasgirlsmao5084 7 лет назад
wafrika ni waharibifu siku zoooote.
@kfastak
@kfastak 5 лет назад
Sasa ! unataka kusema east Africa ni ya wa Oman..!? Waarabu na wazungu walikuja afrika masharik.. nandio maana walipo fukuzwa walirud kwao.. Ilavitendo vya wakati wa mapinduz ndio havikuwa vyema kutendewa wa Oman.. kiutu
@abbiecox1
@abbiecox1 2 года назад
si vyema angerudi huko kwao hapana shaka amekili kuwa waoman walikuja tu kutawalamaana wenyewe si hawajui kutawala sasa wamefika mahali wanataka kujitawala tatizo liko wapi au anaona kupelekwa watu utumwani ilikuwa haki kwa mtu mweusi
@asilclub
@asilclub 3 года назад
Sema usiogope Oman kwetu wamjaa watu weusi wanaona na weupe hatuna kabisa ubaguzi wa rangi lakini kuchukia kwenu kwa islamu ndio mnatoa maneno ya kijinga kma hii
@abbiecox1
@abbiecox1 2 года назад
masikini huoana na waarabu waliochoka na si waarabu mbona hawaoani na wafalme acheni ujinga wa kuwafanya weusi kuwa hawana thamani kumbuka wazanziba asilia wahadimu ambao ni weusi wengine mmetoka wapi
Далее
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Просмотров 48 млн
Ali Muhsin Barwan
1:02:35
Просмотров 18 тыс.
8. Kuundwa Afro Shirazi Party, Zanzibar
14:24
Просмотров 21 тыс.
13. Mapinduzi Zanzibar
13:04
Просмотров 39 тыс.
UHURU MAANA YAKE NI NINII? SHEIKH ABEID AMANI KARUME
5:51
16 Kutoka Gerezani 1967
13:15
Просмотров 27 тыс.
HOTUBA YA WAZIRI MKUU MOHAMMED SHAMTE UN
15:16
Просмотров 21 тыс.
NATIKISA PENDO - BURUDANI ZA MASHAKA (4)
16:02
Просмотров 34 тыс.
Ustadh Ilunga - Wazanzibari wamjitambua Part One 3/5
34:09