Hee nipenda jamani, na mm natafuta mchumba,Mchungaji Mbaga utatufungisha ndoa mbona imenivutia sana,ibada nyingi za ndoa nimehudhuria hakuna iliyowahi nivutia kama hii!Mungu Wa mbinguni aendelee kukutea kwa wema wake!Amina
Aki mchungaji tangu nisaliwe na kuudhiria harusi sijawai ona mafundisho kama haya..na kwa maisha yangu sijawai tamani harusi maishani mwangu. Lakini kwa fundisho lako kwa kweli nimetamani kabisa. Ubarikiwe mchungaji mungu azidi kkuinua na kusimamisha kwa neno lake. Ili kupitia kwako nasi tupate kusimama pia
Naam, naomba nikwambie jambo. Kuolewa si dhambi, ila ukiolewa bila kupiga hesabu na usipokaa na Mungu vizuri, utajuta, ulia sana na mwisho wa siku unaweza kutamani kufa. Hivyo kama umeelewa au unataka kuolewa basi isiwe kwa mkumbo. Lakini pili ni kwamba maisha yako ni zaidi ya kuoa au kuolewa, ukijua hilo utafanya mengi kwa akili kubwa, na kwa kuhitaji msaada wa Mungu sana hasa kwa maombi mengi na ibada nyingi na kwa maisha hayo hautajuta milele.
Waaaaw!! Maubiri yameendana na sherehe,, asante sana mtumishi wa mungu nimejifunza vitu mingi sanaa , nilivyokuwa sivijui, vitanisaidia sana kwenye ndoa yangu,. Let me share this wonderfull video with my fellow friends,
AMEN🙏mchungaji barikiwa sana.natamani sana uanze kutupatia mawaidha ya ndoa,kwa walio ndani ya ndoa,na kwa wanao jiandaa kuingia katika ndoa.ili tuweze kuidumisha ndoa🙏🙏na mungu akubariki sana🙏
Ubarikiwe Mtumishi wa Baba, kazi uliyotumwa na Baba umeifanya kwa Weledi mkubwa, natumai mibaraka hiyo wataitumia katika nyumba yao waliyoianza, nasi tuliomo humo Bwana aendelee kutuhekimisha, Amina
Hili somo nilisikiliza vizuri sana lakin pia jana nikakutana na mmasai , naye aliweza kuongea hivyo kwamba ndoa siyo kupendana bali no kuishi kwa hekima na busara
@@MahubiriPrMmbaga Mimi ombi langu kwenu enyi mahubir TV Mch,Mbaga atenge siku aje atufundishe somo la ndoa yenye mfululizo wa wiki pia atuhusu kipindi cha maswali akiwa live on youtube. Ni ombi ila ningependa lifanyiwe kazi, hakika naamini ndoa nyingi zitapona na hata zilizo vunjika zitarejea amen
Charles pole sana but hata Mimi nilikuwa na tatizo kama lako tena siyo hasira tu hata kumsamehe aliyenikosea kwangu ilikuwa ngumu sana, na ninawakasirikia hadi watoto wadogo, ila nilipo jigundua tatizo langu nimeanza kupona, pia clip za mchungaji Mbaga zimekuwa msaada mkubwa sana kwangu, lakini kubwa zaidi ni wewe kujua unatatizo hivyo ni rahisi kulitatua kuliko asiyejijua,hiyo ni roho 100% kwa jina LA yesu litaondoka