Тёмный

BAADHI YA SABABU KWANINI WACHAWI WAKUSHAMBULIE!!! 

MAHUBIRI TV
Подписаться 211 тыс.
Просмотров 191 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 354   
@ReachelNjuguna-zv1zk
@ReachelNjuguna-zv1zk Год назад
Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
@annegoldsmith8195
@annegoldsmith8195 2 года назад
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
@upendoramadhan9222
@upendoramadhan9222 2 года назад
Mungu amuongeze nguvu amuweke
@marcelineshanga9811
@marcelineshanga9811 8 месяцев назад
Mushungaji tupenaba zako litukuwe nakupatakirahisi mungu akubariki saaaaaaaana
@marcelineshanga9811
@marcelineshanga9811 8 месяцев назад
Tumekulanakunyanakula varohani.namwilini
@magrethsayi
@magrethsayi 7 месяцев назад
Nahitaji no za pastor nisaidien
@mahindiumakinisa4732
@mahindiumakinisa4732 6 месяцев назад
Ninabarikiwa sana na nelo la mungu unalotufundisha
@maureenkemei9254
@maureenkemei9254 2 года назад
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
@adeladaudi8780
@adeladaudi8780 3 года назад
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
@anastaziaemily4708
@anastaziaemily4708 3 года назад
Mungu akutie nguvu mpendwa!!!
@adelinakastory4337
@adelinakastory4337 2 года назад
Pole sana mungu akutie nguvu by adela
@zainabuathumani2571
@zainabuathumani2571 8 дней назад
Amen paster Mungu akunze
@pendomtemi9439
@pendomtemi9439 3 года назад
Atukuzwe Mungu ufumbuzi wa changamoto yangu umepatikana kupitia somo hili.Barikiwa Mchungaji.
@solomonmakori7798
@solomonmakori7798 3 года назад
Pr mbaga I love ur teaching from Nairobi Kenya really blessed as u continue praying for us
@givengaby6067
@givengaby6067 3 года назад
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 3 года назад
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika. Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
@selinasulle2606
@selinasulle2606 3 года назад
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
@elishangomele9937
@elishangomele9937 3 года назад
😍😍 pastor mungu azidi kukufungulia njia mda ote
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 года назад
Amen
@beatricemageka7972
@beatricemageka7972 3 года назад
Tuondoe woga tumpe Mungu nafasi nafsini mwetu milele ,Amina
@etoabwe3451
@etoabwe3451 3 месяца назад
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho imenijenga sana na kuniongezea Imani
@user-kf9pu3cl9g
@user-kf9pu3cl9g 6 дней назад
Bwana akubariki kwa mahubiri yanayotugysa karne hii. Mungu atusaidie saana.
@devothamichael9396
@devothamichael9396 2 года назад
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
@tabithayohana8573
@tabithayohana8573 3 года назад
Amina dah nimejifunza kitu hapa,nadhani wengi wamejifunza
@helenmagoti5031
@helenmagoti5031 3 года назад
Ukiwa ndani ya Yesu Ni raha;
@stigmanonsare3672
@stigmanonsare3672 3 года назад
Amen
@SimisiKambale
@SimisiKambale 7 месяцев назад
Mungu akubariki sana mchungaji,nitapita vitabu namna gani mimi niko hapa congo kwenye mpaka ya uganda na congo.
@equilinendikubwayo5645
@equilinendikubwayo5645 3 года назад
Amen Amen barikiwe mtumishi wa mungu na barikiwe Sana pasteur David
@nansyas264
@nansyas264 3 года назад
Waaa pst God bless you soo much umeguzia mambo mengi ambayo Leo hii tu naishi katika Hali hiyo tu kubali mungu ndio muweza kila kitu
@lilianjacobs248
@lilianjacobs248 3 года назад
Mungu akubariji
@heldaoigo7659
@heldaoigo7659 10 месяцев назад
Powerful sermons May the Almighty God continue blessing you for us
@ramadhanurasa6198
@ramadhanurasa6198 3 года назад
Mungu akubariki pastor kwa sms nzuri, naamini watu wengi haswa vijana watona umuhimu wa k7zikabidhi nafsi zao kwa Bwana Yesu Kriato. Be blessed pastor
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 2 года назад
Nakuelewa sana Usemacho maana nimekutana nayo; ni raha kuwa wa YESU!
@selinasulle2606
@selinasulle2606 3 года назад
Mungu tuongezee imani na utpe amani yako na ikae ndani yetu amen
@princembarato401
@princembarato401 3 года назад
This video has 7 months lakini Ndio marayangu ya kwanza kuzifuata,nimebarikiwa sana tena nimekomalia kanisani ila sijawahia kuhubiriwa maneno kama haya nitayafuata yamenijenga sana from USA
@kangwambassa6690
@kangwambassa6690 3 года назад
Mm pia KWA Yesu kuna raha
@uangazetv
@uangazetv 2 года назад
Ubarikiwe sana neema ya Bwana izidi kuwa nawe siku zote za maisha yako
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 3 года назад
POWERFUL MAN OF GOD YOU HAVE INSPIRED ME ALOT IN YOUR SERMONS.
@braysonsuleman3583
@braysonsuleman3583 3 года назад
Bwana aturehem
@asooraaasooraa4816
@asooraaasooraa4816 3 года назад
Ameen ushindi ni hakika tukiwa ndani ya yesu
@juliusmantago4511
@juliusmantago4511 3 года назад
Mtumishi wa Bwana Mungu akujalie maisha marefu
@stigmanonsare3672
@stigmanonsare3672 3 года назад
I'm Stigman Onsare from Kenya be blessed pastor kwa Mahubiri.
@belindakennedy2343
@belindakennedy2343 10 месяцев назад
Asante sana Pastor umenipa ujasiri wa ajabu katika maisha yangu..Hakika Shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu
@anthonysnsabi
@anthonysnsabi Год назад
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid. Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
@user-nt7jc1ns3k
@user-nt7jc1ns3k 6 месяцев назад
Amen nimebarikiwa na neno la mungu
@PaulineWanjiku-re2hy
@PaulineWanjiku-re2hy 8 месяцев назад
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
@everlynenyonga2130
@everlynenyonga2130 2 года назад
Everytime I listen to your sermons I get l uplifted,be blessed Pastor.
@samogoti
@samogoti 10 месяцев назад
Wonderful & encouraging sermons.. Pr Mmbaga God bless you
@faithmoraa4542
@faithmoraa4542 Год назад
Thank you pr. Nimebarikiwa,Mimi n faith kutoka kenya
@paschalmashili5195
@paschalmashili5195 3 года назад
Niombee pr mm Paschal Paul Mashili nilikuwa mkristo mpenda mungu leo hii nimetokomea mch
@anordamtv8984
@anordamtv8984 3 года назад
God bless you pastor for your great job
@mossesjoseph2202
@mossesjoseph2202 3 года назад
Kwa YESU kuna raha, hakuna masharti ya ajabu ajabu,Siku zote utaishi ukiwa huru, mwenye amani na furaha, jina la BWANA libarikiwe.
@hamisilumona7163
@hamisilumona7163 3 года назад
Napenda sana maubiri yako pastor. Mungu akubariki na anibariki na mimi pia kwa neema yake.
@jailomhengilolo2898
@jailomhengilolo2898 3 года назад
Amina barikiwa Mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu wa matumaini Ahsante.
@user-gi4cf2cl1p
@user-gi4cf2cl1p 7 месяцев назад
Mchungaji David mungu akumbariki sana kwa mafundisho ya bibilia Ni Petro kutoka kenya
@user-rx3rl9yb3o
@user-rx3rl9yb3o 7 месяцев назад
❤ pastor mbaga umnigusa sana na maubili yako MUNGU akuongese nguvu kwa kasi yako Josephine kenya kisii.
@johnrose5460
@johnrose5460 2 года назад
Asante pasta kwa mafundisho mazuri
@preciousprecious7040
@preciousprecious7040 Год назад
Amina pr! Mungu akubariki sana! Akupe afya na nguvu uzidi kutusogeza karibu na kristo🙏
@RovniHollota-jw6ir
@RovniHollota-jw6ir 3 месяца назад
Mungu awabariki!!!!! Ni wakati wa kupiga panda ulimwengu utambue kuwa yesu ANAKUJA hivi punde
@hbdina
@hbdina 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen 🔥🔥🔥🙏
@bensonmusau6036
@bensonmusau6036 2 года назад
Your sermons have been a blessing to many, I included. Asante sana
@rosepeter8996
@rosepeter8996 3 года назад
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
@alexboni2904
@alexboni2904 3 года назад
Barkiwa
@witnessmalangalila91
@witnessmalangalila91 3 года назад
Barikiwa Mtumishi wa Mungu unanibariki Sana na Mafundisho yako🙏
@juliusphinias3156
@juliusphinias3156 2 года назад
Mungu akuongezee maarifa ya kuuchambua ukweli.
@user-kf9pu3cl9g
@user-kf9pu3cl9g 6 дней назад
Bwana naomba Damu ya Yesu irudishe nafsi yangu niliyoiuza sababu ya hofu na hasira ya mateso niliyoletewa na wanadamu wenzangu. Nisamehe, nirehemu niokoe na unikomboe mwana wa Mungu.
@paulwambua4956
@paulwambua4956 3 года назад
Am blessed pr. Ningependa unisaidie kwa maombi ya kibisafsi. Paul from meru Kenya
@simonkuyyi3983
@simonkuyyi3983 3 года назад
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,akazidi kukufunulia upate kuwaangazia mataifa.
@nansyas264
@nansyas264 3 года назад
Nimebarikiwa nikiwa Saudia Arabia waaah pst sichoki na maubiri yako Ubarikiwe sana
@aliceagoodsongnicevoices4855
@aliceagoodsongnicevoices4855 3 года назад
Watched from Saudi Arabia God bless you for the wonderful gospel that is so touching may God help his children àll the time
@user-pl6tv4ul6m
@user-pl6tv4ul6m 6 месяцев назад
Be blessed
@jamesrobare522
@jamesrobare522 3 года назад
This is amazing grace from God for His people
@rehemakulwijira9662
@rehemakulwijira9662 2 года назад
Nimebarikiwa SANA na hili somo sababu napitia changamoto hizi kwenye maisha yangu had leo
@conniemukami127
@conniemukami127 3 года назад
Amen, Mungu akubariki pr na akupe maisha marefu uuendelee kueneza injili ya Kristo. Kweli Mungu ana nguvu kuliko vitu vyote,
@frankgabriely9294
@frankgabriely9294 3 года назад
Amina
@ushindidaycare234
@ushindidaycare234 3 года назад
Past Dav nikama ulijuwa haliniliyonayo maana nimetishwa sana nakuomba unipe kampani ya maombi maana nikojilani kushindwa
@robertbenswell504
@robertbenswell504 3 года назад
Iam blessed pastor 🙏 May almighty God 🙏 bless you abundantly, from Nairobi Kenya
@elizabethtondo5178
@elizabethtondo5178 3 года назад
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 года назад
Amen
@josephnyangau3272
@josephnyangau3272 3 года назад
Mungu atukuzwe kwa kutumia chombo chake.
@bonventureminja9697
@bonventureminja9697 3 года назад
Mchungaji mwanangu anavuta bangi na kutokufanikiwa naomba umwombee abadilike
@nicemtorela1498
@nicemtorela1498 3 года назад
Amen Pr.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 года назад
Mungu atatenda
@mahindiumakinisa4732
@mahindiumakinisa4732 6 месяцев назад
Barikiwa mtumishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii amen
@jeremiahoumaonditi8285
@jeremiahoumaonditi8285 3 года назад
Thanks for the somo barikiweni servants of God
@joykapaya1970
@joykapaya1970 3 года назад
Oh powerful. Remain blessed Pastor.
@jeremiahmayala2099
@jeremiahmayala2099 3 года назад
Ninamdogo wangu anasumbuliwa na mapepo baada ya kuchaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza BWIRU SEC. MWANZA baada ya kutoka KIGOMA shule ya Kata,ameripoti BWIRU sec. tu mapepo yakaanza kumshambulia kwa kumuonya kuwa katika elimu hatafanikiwa,pastor nimesikia ujumbe huu kuwa kila MTU anao moto wa yesu,yaani nguvu ya kukemea pepo,MUNGU AKUBARIKI katika maombi utusaidie maana kila kikanyaga tu getini wanaanza kumshambulia, nakirudi nyumbani mapepo wanamsifu kuwa amefanya vyema PASTOR TUSAIDIE KATIKA MAOMBI AFUNGULIWE.
@ezechielniyonkuru6783
@ezechielniyonkuru6783 3 года назад
Mungu anakuona tuombeane tu ,mwinjirist Ezechiel burjumbura Burundi tuko nanyi
@samledbunt2774
@samledbunt2774 3 года назад
Amina sana PR davd nabarikiwaga sana kwa mafundsho yako Sir God akuzidishie
@selfaakinyi512
@selfaakinyi512 3 года назад
Am always blessed listening to your sermon pastor Mbanga , from Qatar.
@sophiasophia6945
@sophiasophia6945 3 года назад
Selfa btogether ana fii Oman
@rosemaryotieno3243
@rosemaryotieno3243 3 года назад
Nashukuru sana mchungaji, umenipa ujasiri kweli kweli na mungu aendeleze kazi yako, Amina!!!
@belindakennedy2343
@belindakennedy2343 10 месяцев назад
Mm mwenyew ni muoga namba 1 ila kupitia hili somo sitoogopa Tena na Yesu amesimama kwangu na nina nguvu ya kukemea..Hili somo nimelipata kwa muda muafaka ambap nina hofu..sana
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 Год назад
Glory be to God for we learn everyday, God bless you Pastor.
@nicholasmomanyi959
@nicholasmomanyi959 3 года назад
Amen nalifuatilia xn kila mahuburi yako n nabarikiwa mno moyo watulia mungu akujalie n nguvu uendelee kuhubiri neno lake n kutuelimisha
@danielnzyoka5938
@danielnzyoka5938 3 года назад
Really blessed! God bless you pastor Mmbaga.
@RachaelWaringa-cd3mg
@RachaelWaringa-cd3mg Год назад
You a great inspiration to us but I have a neighbor mwenye asubuliwa na hizo nguvu sana wameangaika wameenda hospital uogonjwa hapatikani tafadhali tusaidie from kenya
@stephenmuimi6294
@stephenmuimi6294 Месяц назад
Ulisaidika
@uangazetv
@uangazetv 2 года назад
Mungu aibariki familia yako pr pamoja na team yote ya mahubiri Tv na somo hili Bwana azidi kulipenyeza zaidi kwa wokovu wa wengi wapate kufunguliwa
@gilbertmgabriel9158
@gilbertmgabriel9158 3 года назад
Thank you Pastor, God Bless you
@mathsnewdiscoveries
@mathsnewdiscoveries 2 года назад
Mungu wako unaemwabudu wa kweli na anisaidie sikumoja nionane nawewe Mchungaji wa kweli wa Mungu aliye hai, Yesu naomba unikutanishe na Mtumishi wako maana kupitia huyo unanibariki Mungu wangu.
@mashaeliazer7433
@mashaeliazer7433 3 года назад
Hallelujah Mimi na yesu ni mtu na mdogo ake,Asante yesu
@mercelinemapenzikazungu1784
@mercelinemapenzikazungu1784 3 года назад
Yesu ndiwe kimbilio langu nipe niregeshee mume wangu Daniel
@mlishohadija6923
@mlishohadija6923 5 месяцев назад
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
@joykapaya1970
@joykapaya1970 3 года назад
Oh powerful. Remain blessed pastor.
@user-uu3ie5mu3w
@user-uu3ie5mu3w 10 месяцев назад
Pasteur Mungu zaidi kukubariki
@stanleykamau3235
@stanleykamau3235 3 года назад
Praise God pastor am in Kenya and am blessed by your teachings
@equilinendikubwayo5645
@equilinendikubwayo5645 3 года назад
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
@EliaSimoni-ye6lv
@EliaSimoni-ye6lv 9 месяцев назад
God is power barikiwa sana mchungaji
@priscakisyeli7250
@priscakisyeli7250 2 года назад
Amina sana pastor 🙏. Mungu akubariki
@priscakisyeli7250
@priscakisyeli7250 2 года назад
🙏
@user-gu1yq8gm2u
@user-gu1yq8gm2u 6 месяцев назад
Mungu azidi kukuchunga ili uendelee kutufundisha nasii nabarikiwa sana na mahubili yako
@wishitwinzi8067
@wishitwinzi8067 3 года назад
Nmefurahia sana mafundisho yako haya, Mungu akubariki sana na uniombee mimi na mke wa rafiki yangu, we omba tu ujuavyo kwa kulingana na fundisho hili
@rovinapastori7746
@rovinapastori7746 3 года назад
Somo zuri,nimebarikiwa mno Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake
@faithmakena2381
@faithmakena2381 3 года назад
I love your Word of God.Thank you Pastor. From Kenya.
@everkivuyo8596
@everkivuyo8596 Год назад
Baba mbaga jmn Mungu akubarikie n akupe maisha marefu sifa n utukufu n kwako Yesu mwana wa Mungu
@IsackDaudi-tm3ub
@IsackDaudi-tm3ub Год назад
Mungu uliye mbinguni leo ni siku ya kuokolewa kwangu naomba unirehemu na unisamehe makosa yangu na unihurumie nimeumwa mda mrefu fizi za meno nihurumie mwana wa daudi
@silusjacob5414
@silusjacob5414 3 года назад
Nabarikiwa sana kupitia channel yako. Mungu akubariki sana Mchungaji
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 года назад
Amen
@user-hd5kc9lw6m
@user-hd5kc9lw6m 4 месяца назад
Mungu akubariki sana mtumishi
@felicianamutakyahwa1549
@felicianamutakyahwa1549 3 года назад
Asante kwa mafundisho mazuri, umenitia nguvu na shetani hanibabaishi tena nitamkanyaga vibaya.
@gloriadunstan7190
@gloriadunstan7190 3 года назад
Leo nimefurahi sana sana pastor , Barikiwa mno,,, kumbe Nina nguvu za ajabu sana ndani yangu,,
@eliudkingori2711
@eliudkingori2711 3 года назад
I'm Really blessed, to the words of God you preach,build my soul every time, i pray to be as you pastor. I really believe in Jesus christ son of God.
@damah8431
@damah8431 3 года назад
Amen
@joshuaandrea2546
@joshuaandrea2546 3 года назад
Pray to be like Jesus my friends don't be like mbaga
@havilamganga6172
@havilamganga6172 3 года назад
@@damah8431 8iiiiiiiiii
@damah8431
@damah8431 3 года назад
@@joshuaandrea2546 definitely
@damah8431
@damah8431 3 года назад
@@havilamganga6172 what's mean?
@josephojukwu2139
@josephojukwu2139 4 месяца назад
You are wonderful pastor
@chachakimito4676
@chachakimito4676 3 года назад
mchungaji nakufatiria sana mahubiri haya mungu anibariki na ubarikiwe nae pia
@feminakidiavai5849
@feminakidiavai5849 8 месяцев назад
Amen mafundisho yako yamenifungua kwa mambo mengi
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 24 дня назад
Ni kweli mchungaji kwenye biashara yangu kuna watu walikuwa wananinenea mabaya lakini mie niliwajibu nafanya biashara na yesu wanashangaa wanaona naendelea na biashara
@josephngara8909
@josephngara8909 2 года назад
Good job pastor, Mungu akubariki, uendelee kuuvunja ufalme wa adui
@mrembonaomi9077
@mrembonaomi9077 2 года назад
Barikiwa sana mutumishi wa mungu kwa mafundisho yako ninabarikiwa sana Amen kutoka kenya
@mathsnewdiscoveries
@mathsnewdiscoveries 2 года назад
Let Jesus our Lord truly bless you my pastor.
@NellySakwa
@NellySakwa 9 месяцев назад
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri 🙏🙏
@ireneorina3560
@ireneorina3560 3 года назад
Pastor nashukuru Sana, umenipa encouragement
@judithcherono2595
@judithcherono2595 3 года назад
Amen Mungu amekutuma ukweli barikiwa sana
Далее
KWANINI UNAPITIA VITA KIASI HIKI? ( OFFICIAL VIDEO)
58:25
кукинг с Даниилом 🥸
01:00
Просмотров 848 тыс.
Tajiri na Masikini Lazaro
1:36:14
Просмотров 108
BADILI FIKRA!! MAJIBU YA SHIDA ZAKO HAYA HAPA!!!!
39:28
VIZUIZI VIKUBWA VYA BARAKA MAISHANI MWAKO
47:46
Просмотров 195 тыс.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10