Karibu sana AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA. Tafadhali SUBSCRIBE na share video hii ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi.Tutaendelea kuweka videos nyingi zaidi kutoka mashambani.
Karibu na tafadhali SUBSCRIBE ili kuendelea kujifunza zaidi juu ya kilimo cha MIGOMBA. Pia unaweza kuagiza kitabu cha KILIMO CHA MIGOMBA kwa TZS 3,000 ambayo utatumiwa kwa WhatsApp na kuunganishwa kwenye group ya WhatsApp BURE.
Kuna uwezekano kuwa migomba yako imepata ugonjwa wa SIGATOKA. Inafaa kufika shambani kwako pengine kujionea uhalisia. Unaweza pia kututumia video au picha kwa WhatsApp:0757757968 . Hakikisha unaSUBSCRIBE kwanza ili kuendelea kujifunza zaidi.
Machipukizi yakikua yanavunwa kwa utaratibu maalum si kila chipukizi linafaa kupandwa ; kuna baadhi ni water suckers. Ni muhimu sana kuzingatia hatua za kudhibiti magonjwa ya miche inayozalishwa kwa machipukizi kwani huleta hasara kubwa kwa wakulima magonjwa yasipothibitiwa katika hatua za uzalishaji wa miche. Machipukizi sharti yazalishwe kwenye shamba mama (mother garden) yenye kufuata kanuni na taratibu zote za kukinga na kudhibiti magonjwa shambani. Tafadhali SUSBCRIBE hapa kuendelea kujifunza zaidi juu ya kilimo na ufugaji. Unaweza pia kuagiza kitabu cha KILIMO CHA MIGOMBA kwa WhatsApp:0757757968 AJE-FARMS MASHAMBA YANAYOTEMBEA