kaka hongera sana, nimepata ujuzi zaid ya niliokuwa nao, Mungu azidi kukubariki, na pia vijana tujifunze kutoka kwa kaka yetu aliyejiajiri yeye kama yeye kupitia kilimo bora. "Nyaya nyanyua, nyanya nyanyasa"
Congratulations/ hongera sana nakutakia kila la kheri, watu kama hawa waachwe wa thrive ili waajiri watanzania wengi zaidi. Lakini utakuta watu wa kodi za ndani wataanza kukupigia hesabu za kodi ya mapato. Please let us work hard, fursa kwenye Kilimo ni dhahiri tuwatie moyo wajasiriamali kama hawa.
Huyu jamaa sijamuelewa alipata hela akalima heka tisa akapata milion 70 halafu akaongeza heka moja.. why alitoka kwenye heka mbili akarukia tisa kutoka kwenye tisa kaongeza moja tu
Kuna vitu anaongea simwelew kwanza haelezei vizuri kuhusu mtaj wake its seems ana mtu behind the scene anaeisimamia shoo nzima ukute hata kusoma aliyempeleka ni huyo mtu
Hongera sana Bro. Mimi mwenyewe nalima nyanya, ila nimepata funzo fulani kwako. hasa hilo la kufeli mara ya kwanza ukaamua kuchukua kozi fupi kutoka SUA.