Тёмный

AICT Chang’ombe Choir - Saa ya Mwisho (Official Music Video) 

AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Подписаться 117 тыс.
Просмотров 272 тыс.
50% 1

Shalom Shalom Mpendwa Katika Bwana!
Imekuwa baraka sana kukuletea wimbo huu wa saa ya mwisho ikiwa kama zawadi yetu ya Pasaka kwako.
LUKA 23:32-43
Wimbo huu unaeleza namna gani tunatakiwa kuutumia muda tulionao vizuri, mfano wa wanyang’anyi wawili walipokuwa pamoja na YESU msalabani, mmoja aliamua kuitumia saa yake ya mwisho vizuri, akasema ‘’Ee YESU! unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako” ingawa alikuwa mtenda dhambi lakini YESU alimwambia Leo hii utakua pamoja nami peponi.
Haijalishi umefanya maovu kiasi gani, umepitia magumu mangapi bado nyumbani mwa BWANA una nafasi unachotakiwa ni kutubu, kuacha njia mbaya na kumgeukia BWANA ili ukaurithi ufalme wake wa milele.
#Saayamwisho #pasaka #choir
SONG LYRICS;
Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
Iyo..oooh x2
Beti 1: Wanyang’anyi wawili msalabani wakiwa naye YESU
Wanangojea kifo msalabani wakingojea kifo
Wenye dhambi wawili msalabani wakiwa naye YESU
Saa yao ya mwisho msalabani wakingojea kifo.
Wenye dhambi wawili msalabani wakiwa naye YESU
Saa yao ya mwisho msalabani wakingojea kifo.
Solo 1 : Iye iye iye iye iye Baba ooh
: Iye iye iye iye iye ooh
Wa kwanza alianza kumwambia Bwana YESU
Kwa kejeli alianza kumwambia Bwana YESU
Ulijifanya MUNGU..mbona unateseka
Kama wewe ni MUNGU ebu jiponye sasa
Ulijifanya MUNGU, mbona unateseka
Kama wewe ni MUNGU ebu jiponye sasa tuponye na sisi
Yesu hakujibu
(Yesu hakujibu) x2
Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
Iyo..oooh X2
Solo 2 : Wa pili alianza kumwambia Bwana YESU
Kwa adabu alianza kumwambia Bwana YESU
Mimi ni mwenye dhambi
Naomba msamaha
Unikumbuke Baba unakokwenda Baba
Nimetenda maovu naomba msamaha
Unikumbuke Baba unakokwenda Baba..(Aaaah)
Unikumbuke Baba unakokwenda Baba..(Aaaah)
Solo : Yesu alijibu
Wote: (Yesu alijibu) x2
Leo hii utakua nami peponi
Leo hii utakua nami mbinguni
Leo hii..
Kiitikio : Saa ya mwisho kumbuka inakuja
Kumbuka..saa ya mwisho karibu inakuja
Iyo..oooh x2
SONG CREDITS TO;
Song Writer - Papaa Clement Buhembo
Video Director - Elidadi
Videographer - Amigo Johnson
Lights - Sengati
Audio - CVC Media
Tufuatilie kupitia
Instagram / cvcchoirtz_official
Facebook / cvc-choir
©2023 AICT Chang'ombe Choir | All Rights Reserved.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital

Опубликовано:

 

20 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 293   
@smilemediatz
@smilemediatz Год назад
kama umerudi hapa zaid ya mara mia like hapa
@onexgozbert2554
@onexgozbert2554 Год назад
Kama unarudia rudia kipande cha solo wa pili bahati gonga like twende sawa😁
@doriskilele4025
@doriskilele4025 Год назад
Sana, Sauti yake ooh inabariki, imekomaa
@damsonmsalangi3900
@damsonmsalangi3900 Год назад
Hata yule wa kwanza ni hatarii🥳🥳
@MrErickfuraha
@MrErickfuraha Год назад
Bahati hajawahi kufeli
@beatricesamwel8161
@beatricesamwel8161 Год назад
Bahati hajawahi kufeli yupo vizuri Sanaa kwenye kusoro na kumiliki jukwaaa
@elizabethmabula6044
@elizabethmabula6044 Год назад
Waaaaaaoh!! CVC on. 🔥🔥🔥🔥,, Saa ya mwisho inakujaa🙌🙌🤗🤗
@edwinjohn1852
@edwinjohn1852 Год назад
Aiseee sauti ya huyu dada ni kinanda tokea mimi mdogo anagonga key zake zilezile Mungu akubariki sana dada🎉
@mussaphilemon8612
@mussaphilemon8612 Год назад
Mungu awabariki sana watumishi kwa uimbaji wenu, Endeleen hivyo hivyo na Tune ya Kanisa msije mkahama na kufuata tune za Mataifa Mengine. Nawapenda sana. @Rebeka Stephano, Mayala Budele + Wapiga tarumbeta wote, Diana, Bahati, Lydia Kashimba, Dickson Seni, Naomi Zebedayo na wengine wote Mungu awabariki sana
@sinzasoundbandtanzania6200
@sinzasoundbandtanzania6200 Год назад
2023 Hatimaye kwaya pendwa mmerudi baada ya kitambo kirefu.
@james008BOND7
@james008BOND7 Год назад
Neema iwabebe na ivunje Sheria watumishi wa MUNGU 🙏🙏🙏🙏 mbingu zitetee huduma yenu🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twawapenda sana 🙏
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Год назад
Amen
@james008BOND7
@james008BOND7 Год назад
​@@rachelsenni8919 nawaombea baraka tele🙏🙏🙏🙏
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Год назад
@@james008BOND7 asante sana na Mungu akubariki na kukupa haja ya moyo wako maana kutuombea ni upendo mkubwa sana
@james008BOND7
@james008BOND7 Год назад
Amen🙏🙏🙏C.V.C mnatutia moyo sana kwa nyimbo zenye maadili🙏
@nestoryntogwa805
@nestoryntogwa805 6 месяцев назад
Amina
@MasanjaTVgospel
@MasanjaTVgospel Год назад
NAWAKUBALIGIIII MIAKA BUKUUUUUUUU
@ngikangosso9323
@ngikangosso9323 Год назад
Wimbo mzuri masolo wote safi, nakupenda sana CVC, hasa hao masolo list akinamama wawili duh! Mmenitoa mbali tangu enzi zile za album ya GUSA bado ningali mtoto duh! mmenilea vyema ndugu zangu. Mungu anaijua thamani yenu, then keep it up.
@zakariamsumba-gr8vr
@zakariamsumba-gr8vr Год назад
Yana ata mm nlikuw katoto xana enzi za GUSA 2009's,,,, 👍👍
@henrybaraka5258
@henrybaraka5258 Год назад
Sololist wa kiume Yuko vizuri Mbarikiwa CVC
@lucymukhavi1405
@lucymukhavi1405 Год назад
Loving this. Napenda nyimbo zenu CVC kwanzia Vunja. God bless you. 🇺🇸🇺🇸
@raymondzachariah-xr4ys
@raymondzachariah-xr4ys Год назад
Salluti nyingi nyingi na misi Sana mwalimu wangu Crement papa Ameacha urithi kwa wengine kwa utunzi mzuri
@leahjonathan9726
@leahjonathan9726 Год назад
Sanaa nyimbo zinaishi miaka zaidi ya 20!
@janemusyoka6125
@janemusyoka6125 Год назад
Have been waiting for this new release 🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu awabariki sana kwa huduma mnayofanya kwa njia ya uimbaji🎤🎧
@boazkitela6960
@boazkitela6960 Год назад
Me too nithaa neteele vyu
@jenysullesulle7678
@jenysullesulle7678 Год назад
Hahaha huyo voice ya mkaka amazing
@jenysullesulle7678
@jenysullesulle7678 Год назад
Nawapenda Sana cvc nawaombea mzidi kuinuliwa
@fadhiligabriel-jz3xh
@fadhiligabriel-jz3xh Год назад
Aic wanajuwa tuwap heshma Yao maan hawjawah kuimba vibay
@gloriousnp
@gloriousnp Год назад
Hawabahatishi 🙌🏾📌🙏🏿
@samuellimbu2693
@samuellimbu2693 Год назад
blessing one.... Papaa was a great songwriter!! may he R.I.P
@charlesnzwalla3001
@charlesnzwalla3001 Год назад
Samuel Limbu Nakupenda bro
@ruthmagulu4896
@ruthmagulu4896 Год назад
Ameen Babu
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Год назад
Amen
@Architectzbn
@Architectzbn Год назад
Oh so he did tis one too? a nice song asee
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Год назад
@@Architectzbn Yes
@vedamusa8033
@vedamusa8033 Год назад
Hii ndo yenyewe uwiiiii
@bukombeshy3644
@bukombeshy3644 Год назад
Bahati Mungu akubariki sana, unaimba dada tena unaimba kweli, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi
@bahatimeshack
@bahatimeshack Год назад
Amen
@stanleyleonard4731
@stanleyleonard4731 Год назад
Kwa kweli anagusa mioyo
@lusekelodaison8159
@lusekelodaison8159 Год назад
Kila lililojema liwe juu yenu, m'barikiwe kwa kazi njema ya kumtangaza Kristo
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Год назад
Amen, glory be to God
@ruthmagulu4896
@ruthmagulu4896 Год назад
Ameen
@GodwinNgoye-en2lv
@GodwinNgoye-en2lv Год назад
nyimbo zenu nzuri sana wapendwa♡nabarikiwa sana hasa ninapowaona BenjaminMack na bi.Esther Mkandia nawapenda sana
@AlfredSamwel-sz2lb
@AlfredSamwel-sz2lb Год назад
Sina swalii kabisa ila nawakubalii sana kijana na bahatii sio wapole pole
@nimrodtitus9950
@nimrodtitus9950 Год назад
Lots of love from Kenya ❤ Bahati's voice is Soo young
@juliusjapheth1657
@juliusjapheth1657 Год назад
I wish one day I'll visit AICT chang'ombe..,kwaya imeetulia vizuri.watching from Kenya 🇰🇪
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 Год назад
Amen. Welcome Julius.
@jacklinemwandoloma285
@jacklinemwandoloma285 Год назад
Much love to you CVC ❤️💯 Mungu azidi kuwatunza sanaaa
@sebastianmagulu614
@sebastianmagulu614 Год назад
🎷🇹🇿🎶🎉 Asanteni ilabado tunasubiria zawadi nyingine wadau. Mungu aibariki huduma yenu Amen 🙏
@vedamusa8033
@vedamusa8033 Год назад
Hii kwaya wote mnaenda mbinguni sio kwa wimbo huu
@henrymhande4796
@henrymhande4796 Год назад
BAHATI 🔥🔥🙌🙌
@gracemhaya3707
@gracemhaya3707 Год назад
Powerful Powerful 🥰🥰🥰 Hongereni Sana CVC
@emmanueldavidondahani2009
@emmanueldavidondahani2009 Год назад
My family CVC nawapenda Sana ♥️♥️♥️♥️🎹🎹🎹🎸🎸🎤
@estherrnyangasa1389
@estherrnyangasa1389 Год назад
Asanteni kwa kubakisha ladha ya kwaya zetu.
@ynashimba
@ynashimba Год назад
You guys are blessed, I see new talents.....CVC❤❤
@angelakibwana3965
@angelakibwana3965 Год назад
Who is addicted with this beautiful song just like me ....
@happymerry8675
@happymerry8675 Год назад
Kazi nzuri, naomba Tu mubaki na identity yenu ya uimbaji Ile Radha yenu isipotee.
@patrickmagehema5316
@patrickmagehema5316 Год назад
CORRECT
@willisaida-fi6kb
@willisaida-fi6kb Год назад
Kazi nzuri nabalikiwa sana natamani kila mda nisikilize saa ya mwisho
@johnmutinda6220
@johnmutinda6220 Год назад
Wimbo mzuri sana...mbarikiwe sana
@danielworshiper6002
@danielworshiper6002 Год назад
Mungu amefanya kuwa chuo cha uimbaji Tz Mungu awabariki sana wapenzi ❤💗❤❤
@Kibaadvocate
@Kibaadvocate Год назад
Aiseeeee YESU Ana watu ❤❤❤❤❤❤❤mnaimba hadi mwili unasisimka
@davidpeter9589
@davidpeter9589 Год назад
This my favourite choir
@christophermusyoki7378
@christophermusyoki7378 Год назад
Wow what a nice song...saa ya mwisho msalabani ilikuwa ya maana sana
@daudnyenye2882
@daudnyenye2882 Год назад
Hogeren sana MUNGU aedereee kuwatumia ujembe mzuli sana barikiwa wote
@dismasalex5064
@dismasalex5064 Год назад
Wimbo mzuri sana. Mungu awabariki sana watumishi.
@doninciamichael6309
@doninciamichael6309 Год назад
Silvester you are gifted! Keep serving our almighty Mungu anaenda kukuinua sana❤
@francesmpangwa8801
@francesmpangwa8801 Год назад
Hamjawahi kukosea hata mala Moja Jamani sijamwona lidya
@nimrodtitus9950
@nimrodtitus9950 Год назад
Lydia nadhani yupo kwenye zawadi ya pili ya sadaka pamoja na Diana
@samsonbaptistdrummer607
@samsonbaptistdrummer607 Год назад
Mungu ibariki CVC CHOIR AMEN👏
@emmanuelkisumo7741
@emmanuelkisumo7741 Год назад
Amina Hallelujah Mungu awabariki mnoo watumishi ,Kwa wimbo mzuri wa #saa ya mwisho. Hakika saa ya mwisho inakuja , nimebarikiwa.
@unclesammykaniki1184
@unclesammykaniki1184 Год назад
Amen Mtumishi Hasante sifa na utukufu tumludishie Mwenyezi Mungu.
@damsonmsalangi3900
@damsonmsalangi3900 Год назад
The real choir ♥️
@shigomabasi6145
@shigomabasi6145 Год назад
Mungu aendeleee kuwatunza mtuhubilie zaid na zaid
@Protas_joseph1
@Protas_joseph1 Год назад
The reminding about the last hour is very clear, everyone should obey and repent.
@irenekasembe9864
@irenekasembe9864 Год назад
My favorite choir I love ❤️ it one and last forever.
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 Год назад
Amen nimepata Wimbo Wa Maombi
@zakariamsumba-gr8vr
@zakariamsumba-gr8vr Год назад
Nawapenda sana chang'ombe asee, mbarikiwe sana kwa huduma...
@davidpeter9589
@davidpeter9589 Год назад
Very blessed
@LazaroKajole-bt4nm
@LazaroKajole-bt4nm Год назад
Best song 🔥🔥🔥
@gladnessshola2718
@gladnessshola2718 Год назад
Waaoooooooooooow tunawapenda wana chang'ombe 🇹🇿
@japhetmgema3208
@japhetmgema3208 Год назад
Mungu azidi kuwainua CVC... Hii ni Taasisi, damu ya Yesu iwafunike...
@sheysarahnjeno5207
@sheysarahnjeno5207 Год назад
Nawapenda sana watumish wa MUNGU Hamjawai kukosea ety.Hkika MUNGU Nimwema..Aendlee kuwainua kila iitwapo Leo...DADA Bahati hakika MUNGU Ankutmia vyema,,,,kaka nawe umetisha,,
@WiselightOfficial
@WiselightOfficial Год назад
Unikumbuke baba alipo YESU 🙌😢🙏👏
@SiaJackison-nr3fl
@SiaJackison-nr3fl Год назад
Nimepona kwa uimbaji
@Kibaadvocate
@Kibaadvocate Год назад
Aiseeee mnaimba mnaimba mnaimba mnaimba tena YESU awatunze🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@FredSylivester-yu3zt
@FredSylivester-yu3zt Год назад
Mbarikiwe sana, Mwenyezi Mungu azidi kuwatia nguvu katika kuitenda kazi yake.
@paskalkihombo7158
@paskalkihombo7158 Год назад
Kazi nzuri mbarikiwe watumishi kwa huduma nzuri. Mungu awakumbuke
@simonmahega3085
@simonmahega3085 Год назад
Wa 2190 😊😊😊😊😊
@Regnard999
@Regnard999 10 месяцев назад
Masolo mmeutendea haki wimbo huu🎉🎉🎉,, solo wa kwanza wa kiume ni sura ngeni kwangu lakini anastahili pongezi nyingi maana yuko vizuri sana kwenye vocal na kuimba kwa hisia!!!❤❤
@martinecharles9716
@martinecharles9716 Год назад
Dah hyo solo mwananke nawenzake wapo wawili nyimbo zao znanibariki Sana 🤝😊
@neemanyerere817
@neemanyerere817 Год назад
Hongereni CVC, Bahati 🙌
@emmanuelbageni4388
@emmanuelbageni4388 Год назад
25/3/2023. God bless all of you. Keep serving God
@juliuskioko1839
@juliuskioko1839 Год назад
Kali sana..nawapenda kabisa...wimbo wa pasaka ndo huu...
@shadrackwilliam8218
@shadrackwilliam8218 Год назад
Mungu azidi kuwatumia, kwaajili ya utukufu wake
@dicksonsenni9109
@dicksonsenni9109 8 месяцев назад
Ukitoka saa ya mwisho unaingia ELOHIM Asante Yesu
@joshuaenock5431
@joshuaenock5431 Год назад
Barikiwa na saa ya mwisho
@brightonisaack-iq4up
@brightonisaack-iq4up Год назад
Mungu ni mwema tuliingojea kwa hamu sana hii zawadi ya PASAKA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😊
@estherdaudi2838
@estherdaudi2838 Год назад
Hakika saa ya mwisho inakuja 🙇,,Mungu awabariki kwa kazi nzuri 🔥🔥
@dicksonsenni9109
@dicksonsenni9109 Год назад
Yesu ni Mwema.Tuzidi kuombeana na kumshukuru Mungu
@gracemahushi9654
@gracemahushi9654 Год назад
Nawapenda mno wapenzi,,,, Mungu awatie nguvuu
@thomasnjebele6522
@thomasnjebele6522 Год назад
Hakika mnazidi kuifanya kazi kubwa kulitangaza neno la Mungu kupitia uimbaji. Ahsanteni sana CVC kwa wimbo mzuri🙏
@ellymichael672
@ellymichael672 Год назад
CVC mnajua sana abarikiwe zaidi mtungaji Wa huu wimbo
@deomajuva2432
@deomajuva2432 Год назад
Iko sawa sana Mungu awabariki lakn mbona sijamuona Mombeki hapo kwenye kusolo anaweza sana yule mtumishi 🎉🎉
@deboraphales5108
@deboraphales5108 Год назад
Jamani wadogo zangu Silvester na kamoga Mungu azidi kuwainua
@nasseralhabsi4121
@nasseralhabsi4121 Год назад
Ameen, mbarikiwe watumishi wa MUNGU 🙏
@marrynaftali7969
@marrynaftali7969 Год назад
Kwakweli wimbo mzuri mno,Kaka umeimba vizuri sanaaaa,dada bahati umeimba kwa utulivu mpaka Raha mbarikiweee
@joellumala3206
@joellumala3206 Год назад
We thank God for this song., #Saayamwisho
@julietpaul7988
@julietpaul7988 Год назад
2 nd soloist is always on top
@joshuajustustz
@joshuajustustz Год назад
Mungu ni mwema. Hakika saa ya mwisho yaja. Hongereni Kwa kazi nzuri CVC❤❤❤
@isayankindwa4480
@isayankindwa4480 Год назад
Mungu awabariki sana kazi yenu ni njema sana
@Kibaadvocate
@Kibaadvocate Год назад
Saaa ya mwisho inakukujaaaa wapendwa tujiandae
@aminastanslaus7446
@aminastanslaus7446 Год назад
Waooooo Nawakubal sanaaaaaaaa
@linamassawe
@linamassawe Год назад
Nawapenda mno. Barikiweni watumishi.
@josephmkina
@josephmkina Год назад
Steve, sikuoni!! Mmeimba vzr. Hongereni. CVC.
@karistachusi4874
@karistachusi4874 Год назад
Mbarikiwe
@janemoraa9997
@janemoraa9997 Год назад
Glory to God. A befitting song during Lent.Mungu azidi kuwainua kwa sifa na Utukufu wake. Hope this year you will give us a new Album.
@JeffMbugua-je1oh
@JeffMbugua-je1oh Год назад
Mie ni mwana AIC bibirioni nawapenda Sana❤❤❤❤
@damsonlukosi9659
@damsonlukosi9659 Год назад
Mungu awabariki, nabarikiwa sana nisikilizapo nyimbo zenu🙏🏼🙏🏼
@florencemakaranga4787
@florencemakaranga4787 Год назад
💥🔥 after long waiting. Zawadi ya Pasaka
@grolyqueen5833
@grolyqueen5833 Год назад
Mbarikiwee sanaaa CVC
@victorlespicus6884
@victorlespicus6884 Год назад
hii ni Choir❤
@yohanadaniel7030
@yohanadaniel7030 Год назад
Kazi nzuri sana !! Mungu awabariki sana
@boazkitela6960
@boazkitela6960 Год назад
Mungu awazidishie baraka nyingi
@jeremiah2763
@jeremiah2763 Год назад
nzuri sana barikiweni wapendwa
@emanuelakyoo893
@emanuelakyoo893 Год назад
Cvc mko vizur amjawai kuniangushaaa,wale solo watatu wamama nahitaji kuwafahamu vizur
@jamesnyamwaya1841
@jamesnyamwaya1841 Год назад
Mbarikiwe zaidi wanakwaya wetu
@tumainistafnet9040
@tumainistafnet9040 Год назад
MBARIKIWE WATUMWA WA YEHOVA 🙏
@marthankola3316
@marthankola3316 Год назад
All the glory to our Almighty God 🙏
@ruthmagulu4896
@ruthmagulu4896 Год назад
Ameeen Mom
Далее
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
12:44
GONE.Fludd, ЛСП - Ути-Пути (official video)
03:37
Chang'ombe Choir CVC-MANENO SABA YA YESU
9:32
Просмотров 604 тыс.
Jambo Jipya - Nyasha Ngoloma Feat. Essence of Worship
16:06
AICT Chang'ombe Choir -  Nafsi (Official Music Video)
10:05
Israel Mbonyi - Sikiliza
11:29
Просмотров 12 млн
CHANG'OMBE CHOIR CVC UFALME Original
6:42
Просмотров 440 тыс.