" BILA WEWE MUNGU TANZANIA HATUWEZI" NI KIPINDI KIGUMU SANA " EE MWENYEZI MUNGU SIMAMA NA VIONGOZI WETU, SIMAMA NA SISI PIA" Mbarikiwe sana kwa ya ya CVC.
A sublime masterpiece composition, by the AICT, in celebration of one of the greatest Statemen to ever grace any African nation state, the late His Excellency President John Pombe Dr. Joseph Magufuli. Itoshe kusema kuwa Kazi ya Mungu haina Makosa. Bwana alitubarikia yeye na bwana ametwaa jina lake libarikiwe.
Kwa kweli Maghufuli japo miaka 2 imepita bado naona kama jana ,watanzania tunalia Baba Maghufuli na tunakukosa lakini tufanye nini ni mapenzi yaMungu.Lala
Hongereni Chang'ombe, wimbo mzuri, umejaa maudhui ya maombolezo, kumbukumbu na Maombi. Mko sayari nyingine katika Kuinjilisha kwa uimbaji. Mmbarikiwe wote! Kila la heri!
Asanteni Sana CVC kwa wimbo mzuri wenye kugusa mioyo yetu juu ya msiba wa Taifa zima la ndugu yetu Raisi wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NDUGU JOHN P MAGUFULI MUNGU awabariki na kuwalinda nanyi nyote. Warumi 14:8 *Kwa maana Kama tukiishi, twaishi kwa BWANA, na hata kama tukifa, twafa kwa BWANA. Basi Kama tukiishi au Kama tukifa tu Mali ya BWANA*. AMEN
Mzee Makamba juzi kwenye mkutano wa uchaguzi wa ccm dodoma, alisema wazuri hawafi, ndio maana kikwete na kinana wanadunda! Cc wakristo hatulipizi kisasi. Kwani tungekuwa tunalipa, tungelipa hata baada ya miaka mingapi. Mungu ametukataza tusilipize kisasi Kwa wabaya wetu, badala yake tuzidi kuwapenda.
Nawaombea Faraja itokayo kwa Mungu...apate kuwatie nguvu ndugu zangu Watanzania, na Faraja iliyo ya kweli ikawaliwaze kweli. CVC Mungu wa amani aitawale mioyo yenu. Nawapenda na ninawafeel.
Mungu ndiye Mkuu, ayajua maisha ya kila mwanadamu. Faraja yake iwe na sisi wote tulioguswa na kifo cha Jemedari wa Taifa, Hayati Dkt. Magufuli. Flp 1:20-30
Tukio la kifo kwetu sisi wanadamu kwakweli huwa halizoeleki, huumiza sana hasa tunapoondokewa na mtu wa karibu na ambaye ndiyo kabisa tulikuwa tunahitaji uwepo wake Kama Rais Magufuli. Itoshe tu kusema Mungu anajua kwanini ameruhusu hili litupate watanzania. Inauma saaana
nimerudi hapa leo to dedicate this song to John ikechukwu okafor, popularly known as mr ibu, was a nigerian actor and comedian, mr ibu has appeared in over 200 nollywood films. born 17 october 1961 , died 2 march 2024, rest in peace legend
Oh lord this is soo big...yyes we need u to console our hearts...My hero our David of this time...rest in Blossom with the angels yes Mungu alikuona u need to be with him n ..he called u.nenda baba nenda baba nenda...daima ...tutakuezi...
Ombwe la uongozi litatuua angalia kinachoendelea leo hakuna kitu tusubiri mungu wetu atunusuru 2025 tupate rais chaguo lètu huyu aliyepo kafeli mapemaaaaaaaaaaaa