Тёмный

AICT CHANG'OMBE CHOIR (CVC)- KWAHERI MAGUFULI 

AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Подписаться 120 тыс.
Просмотров 312 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 161   
@samuelokoyaro1888
@samuelokoyaro1888 3 года назад
who else is watching this song ikiwa bado moto kama pasi?
@mariemerimuluka8096
@mariemerimuluka8096 10 месяцев назад
Poleni sana ndugu zetu Watanzania. Sending you love from Nairobi Kenya.
@consalvamsigwa7870
@consalvamsigwa7870 3 года назад
" BILA WEWE MUNGU TANZANIA HATUWEZI" NI KIPINDI KIGUMU SANA " EE MWENYEZI MUNGU SIMAMA NA VIONGOZI WETU, SIMAMA NA SISI PIA" Mbarikiwe sana kwa ya ya CVC.
@sheddy2417
@sheddy2417 3 года назад
Wana CVC Mungu awatulize pamoja na kuwafariji manake nahisi kilio chenu moyoni mwangu. Poleni kwa kuondokewa na mpendwa Rais magufuli. 🙏🙏
@cosmasmpwage2576
@cosmasmpwage2576 3 года назад
Leo arobaini yake 😭😭 sitaaacha kutazama nyimbo hii mpaka mwisho wangu hapa duniani 😭😭😭
@damsonmsalangi3900
@damsonmsalangi3900 Год назад
😭😭😭😭
@apollojosephat7130
@apollojosephat7130 3 года назад
Itoshe kusema Kazi ya Mungu haina makosa🙌🏽💯
@andymukima6292
@andymukima6292 3 года назад
A sublime masterpiece composition, by the AICT, in celebration of one of the greatest Statemen to ever grace any African nation state, the late His Excellency President John Pombe Dr. Joseph Magufuli. Itoshe kusema kuwa Kazi ya Mungu haina Makosa. Bwana alitubarikia yeye na bwana ametwaa jina lake libarikiwe.
@cosmasmpwage2576
@cosmasmpwage2576 3 года назад
Ee Yehova Mungu tupe faraja Tanzania 😭😭😭
@jefredyfrednandy5880
@jefredyfrednandy5880 3 года назад
CVC safiiiiiii sana nyimbo nxuriiii kwa wakatii huuu itosheee kusemaaa kaz ya mungu haina makosa
@jorampeace8897
@jorampeace8897 3 года назад
OMG this song has me in tears 😭😭 Be comforted by the Lord my people Inauma mno 😭😭 Pokeeni faraja katika jina la Yesu. Amina
@annemueni4521
@annemueni4521 3 года назад
Mimi nalia tu na nyinyi kutoka Kenya
@jacklinemutonyi4739
@jacklinemutonyi4739 3 года назад
Mungu twakuhitaji kwa wakati huu wa huzuni tukikumbuka kazi yako nzuri mpendwa wetu JPM tutakuenzi siku zote
@presseg.6362
@presseg.6362 3 года назад
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiii, mungu, tusaidie na ututie nguvu! Moyo wangu unapasuka! Magufuli umetuacha, shujaa wetu%%%%@
@peninahkerita7260
@peninahkerita7260 3 года назад
Mungu awape faraja,kifo kimechukua kiumbe muhimu Sana Afrika yetu.
@alexlitama4873
@alexlitama4873 3 года назад
Daaah Mungu atutie nguvu,hongereni sana watumishi wa Mungu wimbo mzuri sanaa wa Faraja
@rechomlay5420
@rechomlay5420 3 года назад
Mungu awabariki wimbo mzuri kwa kipindi hiki kweli bila wewe sisi hatuwezi .itoshe kusema kazi ya mungu haina makosa
@rosejelagat3649
@rosejelagat3649 3 года назад
woi.pole sana ndugu zetu.mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
@duncanmponda4645
@duncanmponda4645 9 месяцев назад
Kwa kweli Maghufuli japo miaka 2 imepita bado naona kama jana ,watanzania tunalia Baba Maghufuli na tunakukosa lakini tufanye nini ni mapenzi yaMungu.Lala
@davidmaige7377
@davidmaige7377 3 года назад
Hongereni Chang'ombe, wimbo mzuri, umejaa maudhui ya maombolezo, kumbukumbu na Maombi. Mko sayari nyingine katika Kuinjilisha kwa uimbaji. Mmbarikiwe wote! Kila la heri!
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 Год назад
Yaani hata Leo naumia bado jamani
@muhumuzaeernest4816
@muhumuzaeernest4816 3 года назад
Mbarikiwe aic nchang'ombe mwalimu kaz nzuri itoshe kusema kaz y mung haina makosa...
@masanjalameck2409
@masanjalameck2409 2 года назад
Hakika alijitoa kutete Tanzania yetu ,,MUNGU TUNAOMBA UTUPATIE MWINGINE
@holelajohn4968
@holelajohn4968 2 года назад
Pumzika kwa Amani Baba,,Tumekuja kwa udogo,, Na tutarudi kwa Udongo,, by Joel S Nehemiah- Lubumbushi Congo
@christinakaali8997
@christinakaali8997 2 года назад
Emungu simama juu ya taifa letu ,tunaamini hutatuacha AIc mungu awabariki kwa huduma zenu amina
@nehemiahelisha6947
@nehemiahelisha6947 3 года назад
Asanteni Sana CVC kwa wimbo mzuri wenye kugusa mioyo yetu juu ya msiba wa Taifa zima la ndugu yetu Raisi wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NDUGU JOHN P MAGUFULI MUNGU awabariki na kuwalinda nanyi nyote. Warumi 14:8 *Kwa maana Kama tukiishi, twaishi kwa BWANA, na hata kama tukifa, twafa kwa BWANA. Basi Kama tukiishi au Kama tukifa tu Mali ya BWANA*. AMEN
@rehemakitomari3777
@rehemakitomari3777 2 года назад
Snintosahau hiii siku jamani,,,niliumiga mmnooo,,,mungu ampumzishe kwa amani tuuu jamani 😭😭😭
@rauhiyasaid2038
@rauhiyasaid2038 3 года назад
Nitakukumbuka daima rais wangu kipenzi mungu alitoa na mungu alitwaa jina lake lihimidiwe
@eddyjosephmagenge9658
@eddyjosephmagenge9658 3 года назад
Shukrani sana CVC Chang'ombe kwa nyimbo nzuri za kutufariji . Mungu kwa huruma yako , twakuomba umpokee mpendwa wetu
@consalvamsigwa7870
@consalvamsigwa7870 Год назад
R.I.P Rais wetu. Pole sana Mama Janet, Mwenyezi Mungu akutie nguvu, atembee na wewe katika safari zako zote!
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Год назад
Mzee Makamba juzi kwenye mkutano wa uchaguzi wa ccm dodoma, alisema wazuri hawafi, ndio maana kikwete na kinana wanadunda! Cc wakristo hatulipizi kisasi. Kwani tungekuwa tunalipa, tungelipa hata baada ya miaka mingapi. Mungu ametukataza tusilipize kisasi Kwa wabaya wetu, badala yake tuzidi kuwapenda.
@lilianabiero3153
@lilianabiero3153 3 года назад
Poleni sana . Tupo nanyi AIC Manyatta kisumu kenya
@noriahmuthusi4659
@noriahmuthusi4659 3 года назад
May God be with you and Comfort you tanzania during this Challenging time.only God knows 😭😭😭Rest in Peace Mr President.... kweli nilikuwa nakupenda
@tumainimbungula3430
@tumainimbungula3430 2 года назад
Wimbo mzuri Sana huu, Mungu awabariki Sana, mi msiba wa Baba Magufuli hautoki moyoni. Mungu anisaidie nisije nikamkosea
@violetkirumbi2690
@violetkirumbi2690 3 года назад
Thank you AICT Chang'ombe Vijana Choir, (CVC)! Hamkoseagi. R.I.P Dr. Magufuli
@kenethchristopher6149
@kenethchristopher6149 3 года назад
A.I. C Chang'ombe ahsante sana kwa nyimbo mzuri, nabarikiwa sana na nyimbo zenu, hamjawahi kukosea..
@peterthadeus5550
@peterthadeus5550 3 года назад
Daah bonge la nyimbo yaani muda utapita ila huu wimbo hautaisha mvuto wake. Aisee mnajua sana hongereni kwa nyimbo nzuri. 🙏👏👏
@julietmoonka183
@julietmoonka183 3 года назад
😭😭😭😭Bila wewe Mungu hatuwezi
@marywamwene537
@marywamwene537 3 года назад
Kazi ya mungu haina makosa. Mungu awape faraja watanzania wote
@samuelokoyaro1888
@samuelokoyaro1888 3 года назад
you pple you are so cute upstsirs, asanti sana kwa kazi njema. pole sana kwa kifo cha Magufuli. am Sam from Kenya
@andrewjoseph9118
@andrewjoseph9118 3 года назад
Mungu awabariki sana wapendwa kwa ujumbe mzuri wa kumuaga shujaa wa africa J.P.M..
@sarashondeshonde8337
@sarashondeshonde8337 3 года назад
😭😭😭😭😭😭😭wewe ndiye ujuaye maisha ya mwanadamu😭😭😭😭
@lebekashitinde575
@lebekashitinde575 2 года назад
Mungu awabaliki Sana aedelee kuwainua ,
@boazlihanda6579
@boazlihanda6579 3 года назад
Poleni kwa kupoteza kiongozi shupavu watanzania kazi yake Mungu haina makosa
@princesskioko1549
@princesskioko1549 3 года назад
Nawaombea Faraja itokayo kwa Mungu...apate kuwatie nguvu ndugu zangu Watanzania, na Faraja iliyo ya kweli ikawaliwaze kweli. CVC Mungu wa amani aitawale mioyo yenu. Nawapenda na ninawafeel.
@naomin3800
@naomin3800 3 года назад
Indeed bila wewe Mungu hatuwezi. Beautiful song 🙏
@abednzau3111
@abednzau3111 3 года назад
Kazi ya Mungu haina makosa. Faraja ya Mungu iwatoshe
@fclubeti1
@fclubeti1 3 года назад
Mungu ndiye Mkuu, ayajua maisha ya kila mwanadamu. Faraja yake iwe na sisi wote tulioguswa na kifo cha Jemedari wa Taifa, Hayati Dkt. Magufuli. Flp 1:20‭-‬30
@nobertodeny7254
@nobertodeny7254 3 года назад
Poleni sana
@dottomakanyanga5214
@dottomakanyanga5214 3 года назад
Mungu tunakuachia ww huzuni hii baba maake wewe kiongoz wetu tunaomba jeraha hili ulitibu
@richchachad1785
@richchachad1785 3 года назад
Barikiwa sana watumishi kweli mmeniliza 😭😭
@davidfedrick1933
@davidfedrick1933 3 года назад
Itoshe kusema Mipango ya Mungu haina makosa, na itoshe kusema Hayatt Dr. MAGUFULI was and is dearly loved.
@athanasevarist9635
@athanasevarist9635 3 года назад
Dah basi TU pumziko la milele Mr magufuli
@cosmasisiaka5622
@cosmasisiaka5622 3 года назад
NAWAPENDA SANA WAIMBAJI NYIE.ASANTENI PIA KWA UJUMBE WA KUTIA MOYO WAKATI HUU MGUMU KWETU.
@neemamayunga2389
@neemamayunga2389 3 года назад
Aiseee..msiba wa rais wetu mpambanaji umetuacha watanzajia katika huzuni kubwa Sana..Pia CVC mmetupa faraja siku zote za maombolezo haya
@dr.arthurnkalango3540
@dr.arthurnkalango3540 3 года назад
Nyimbo nzuri sana🙏
@selemanshimo4667
@selemanshimo4667 3 года назад
Tukio la kifo kwetu sisi wanadamu kwakweli huwa halizoeleki, huumiza sana hasa tunapoondokewa na mtu wa karibu na ambaye ndiyo kabisa tulikuwa tunahitaji uwepo wake Kama Rais Magufuli. Itoshe tu kusema Mungu anajua kwanini ameruhusu hili litupate watanzania. Inauma saaana
@LaurenPaullp
@LaurenPaullp 3 года назад
Rewatching listening for the 10th time ,RIP President , thanks you mother of all choirs for awesome song, Be blessed
@marcisac4659
@marcisac4659 2 года назад
Mungu ibariki Tanzania
@japhethbyaruhanga9328
@japhethbyaruhanga9328 3 года назад
Choir Mungu awababiriki sana kwahuduma ya Mungu
@frankjilala4944
@frankjilala4944 3 года назад
Mungu awabarikii watumishi wa Mungu
@leahkalekwa7592
@leahkalekwa7592 3 года назад
Bila wewe Mungu hatuwezi 😭😭😭😭😭🙏🙏🇹🇿
@johnkyalo3605
@johnkyalo3605 3 года назад
Poleni sana watanzania
@levinanaftal6945
@levinanaftal6945 3 года назад
Woiiih Tz yetu 😭😭😭😭Mungu azidi kututangulia
@andrewbaluhya490
@andrewbaluhya490 3 года назад
APUMZIKE MPENDWA WETU ALIYEKUWA RAIS WA JMT,JPM.KAZI AMEIMALIZA,VITA VINGI ALIPIGANA NA KUSHINDA.BIG IP MAGU.
@monicalushola443
@monicalushola443 3 года назад
😭😭😭😭tunaumia jaman hapana
@geogetteamisi9770
@geogetteamisi9770 3 года назад
Mwenyezi mungu ailaze roo yake mahali pema
@sebastianmagulu614
@sebastianmagulu614 3 года назад
Tunalia Rais wetu kaondoka bado tunamhitaji R.I.P JPM
@CHARLESMALUKI-vn7ss
@CHARLESMALUKI-vn7ss Год назад
Ooh so touching message, let him R.I.P. Kindly admin can you add me in your fan page group.
@kakavinnie
@kakavinnie 3 года назад
Keep it up CVC, u never dissapoint. Wimbo mzuri. Mwenyezi MUngu awape Faraja iwatoshao
@busaraclemence9538
@busaraclemence9538 3 года назад
As person had his weaknesses but we will never get any like him as president
@josephezekielmasolwa8283
@josephezekielmasolwa8283 3 года назад
Itoshe kusema Kazi ya Mungu haina makosa
@catyedokigutu7366
@catyedokigutu7366 3 года назад
Kuna ile nyimbo yenu... Inaanza mimi ndio rahis najua siri zote za nchi hii.. Nikisia nalia dah.... 😭
@abednego229
@abednego229 7 месяцев назад
nimerudi hapa leo to dedicate this song to John ikechukwu okafor, popularly known as mr ibu, was a nigerian actor and comedian, mr ibu has appeared in over 200 nollywood films. born 17 october 1961 , died 2 march 2024, rest in peace legend
@doriskinoti6905
@doriskinoti6905 3 года назад
Oh my this so touching may God comfort our brothers and sisters in Tanzania.
@godygody6258
@godygody6258 2 года назад
Inauma Sana aise
@rebeccandeti9519
@rebeccandeti9519 3 года назад
Oh lord this is soo big...yyes we need u to console our hearts...My hero our David of this time...rest in Blossom with the angels yes Mungu alikuona u need to be with him n ..he called u.nenda baba nenda baba nenda...daima ...tutakuezi...
@mayalajohn3167
@mayalajohn3167 3 года назад
Kawimbo kazuri sana watumishi wa Mungu mubarikiwe sana
@dorcusliech6953
@dorcusliech6953 3 года назад
Mungu SAIDIA AFRICA. ......
@Architectzbn
@Architectzbn 3 года назад
cvc always the best
@faithtimothy6396
@faithtimothy6396 3 года назад
,Bila wew Mungu! Tanzania hatuwezi 😭😭😭
@christopherkivale9461
@christopherkivale9461 3 года назад
Mawazo ya Mungu siyo mawazo ya mwanadamu.Mungu awe mfariji wetu sisi watanzania na Africa kW ujumla
@aiyasageo2572
@aiyasageo2572 3 года назад
Very painful.Mungu awape faraja.
@yvonnekareha4212
@yvonnekareha4212 3 года назад
May god strengthen you during this trying moment.yote twayaweza.
@nikekifyoga1027
@nikekifyoga1027 3 года назад
Mungu amlaze pema peponi,nanyi mbarikiwe kwa wimbo wenu,Amina
@saimonemmanuel8831
@saimonemmanuel8831 3 года назад
😭😭😭😭😭ooo may God onekana kwa wakati huu mgumu kwenye Taifaa letuu
@halimakalage3623
@halimakalage3623 3 года назад
Eeh mungu wangu tutie nguvu 🙌
@joycegeorge1408
@joycegeorge1408 3 года назад
Faraja ya kweli yatoka kwa yesu polen😭😭😭😭😭
@elizabethmwikaliwangospoo1167
@elizabethmwikaliwangospoo1167 3 года назад
Such a nice song , may God give you strength was watching the live event and spotted this song,
@yohanapelecca5034
@yohanapelecca5034 3 года назад
Wimbo mzur sana hongera mwalimu
@boazkitela6960
@boazkitela6960 3 года назад
Mungu awape neema watumishi
@rauhiyasaid2038
@rauhiyasaid2038 3 года назад
Sitokusahau daima rais wangu nitakukumbuka milele pumzika kwa amani
@teddysisty320
@teddysisty320 3 года назад
Mbarikiwe watumishi kwa wimbo wa faraja 😭😭
@gideonelias5379
@gideonelias5379 2 года назад
Baada ya mwaka kupita ninelejea kuangalia huu mwimbo😓😓😓😓
@philliphkivuva2074
@philliphkivuva2074 3 года назад
So touching. Mbarikiwe sana.
@nedkatunge5702
@nedkatunge5702 3 года назад
Ombwe la uongozi litatuua angalia kinachoendelea leo hakuna kitu tusubiri mungu wetu atunusuru 2025 tupate rais chaguo lètu huyu aliyepo kafeli mapemaaaaaaaaaaaa
@NestorngasaNestorngasa
@NestorngasaNestorngasa 3 месяца назад
Bonimwaitege mama
@josephchilangi4164
@josephchilangi4164 3 года назад
,😢😢😢😢😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏. God bless you for nice morning song. R. I. P. JPM
@neemajulius1256
@neemajulius1256 3 года назад
Mungu awabariki sana
@martinekija4188
@martinekija4188 3 года назад
Ahsante kwa wimbo mzr
@benjaminkilonzo1331
@benjaminkilonzo1331 3 года назад
God of Abraham awafariji Watanzanzia.
@faithmwende4941
@faithmwende4941 3 года назад
Mungu awape nguvu watanzania
@felixkyalo2243
@felixkyalo2243 3 года назад
Faraja itokayo Kwa Mungu iwe nanyi. Makiweni
@lightmashauri1725
@lightmashauri1725 3 года назад
Mungu tupe faraja yako
@victoriamswima8934
@victoriamswima8934 3 года назад
Tunaomba faraja yako Mungu kwa wakati huu mgumu
Далее
Chang'ombe Choir CVC-MANENO SABA YA YESU
9:32
Просмотров 609 тыс.
Меня знают уже все соседи😅
00:34
AICT Chang'ombe Choir - Kilio (Official Music Video)
6:38
Ufunuo Choir -  Maisha Yangu  (Live Performance )
8:20
AICT Chang'ombe Choir -  Nafsi (Official Music Video)
10:05
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Просмотров 64 млн
A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - KWA MACHO
7:12
Просмотров 949 тыс.
AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MOYO (Official Live Video)
10:08
AIC Chang'ombe - Wimbo mpya : PATAKATIFU
12:52
Просмотров 72 тыс.
AICT CHANG'OMBE CHOIR CVC SIRI YAKO 2020
6:50
Просмотров 923 тыс.
Меня знают уже все соседи😅
00:34