Ladwa wengi ni wabinafsi ombaomba na mamba wengi wao hawajui jinsi ya kutumia vyoo vya kisasa Accra ni stinkingfake habari Kamili Ya ubakaji na mauaji nchi hii ni mbaya Zaidi Barani Afrika pia ina baadhi ya magonjwa mauti watu kuna Ubakaji wa kijinga sana,ubakaji, kuua, kuua, kuharibu hiyo ndiyo yote wakati mtalii anatembea njiani watamtukana kila wakati. Hakuna haki katika nchi hii. Ikiwa umewahi kutaka kutembelea mahali hapa basi uko mahali pabaya. Tanganyika ni nchi masikini yenye watu wengi wasio na usafi hivyo inaleta maana kuwa kuna magonjwa mengi makali huko. Zanzibar daima imekuwa katika habari kwa reaosns mbaya na kwa ukuaji wa terrosirm huko inaweza kusemwa kuwa nchi mbaya zaidi ya afrika.
Kwetu sisi mkude atabaki kama father wa soka kwenye mioyo yetu kama mashabiki ya Simba tunakupendaaaaa JONAS MKUDE your the only one in our world of FOOTBALL
Nchi ni Pretty mbaya Kura ya watu hasira uchi lakini angalau watu kufanya watumwa nzuri yake sawa lakini kuna Waafrika wengi mno ambao wanadhani wao ni ngumu mahali hapa ni messed up wao kula kila mmoja, kuna 12 umri wa miaka sigara heroin na kubaka wanawake wajawazito mahali hapa ni mbaya. Tanzania ina Maarufu Serengeti park West African Crap Box. Kuenea kwa jangwa. Nchi Maskini. Jeuri. Hi-jackings. Umaskini. Sababu ambazo hutaki kuwa hapa. Ina Hifadhi maarufu Ya Serengeti Tanzania ambapo al qaeda ililipua ubalozi WA MAREKANI mwaka 1998.
Unaweza kua mchezaji mzuri lkn kocha akawa Hana mipango na ww badala kuweka benchi ukazidi kupoteza kiwango kukuacha ni heri kwako ili kupata changamoto kwengine upate namba
Nashangaa Sana mkude Bado haujui kujielezea ase Mungu akusaidie na management yako ikufunze namna ya kuongea na jamii, umekuwa wewe saiv inatakiwa huongee kipro
Watangazaji na waandishi mna matatizo Gani,? Mbona Jonas yupo direct n anaeleweka,,,?huyu ni professional player na amejitofautisha sana, na huyo sio okwa,,, very good mkude, wonderful answers upo Vizr sana
Mtangazaji ama mwandishi wa habari ni kama spy hawezi uliza swali akakujibiwa tu ataridhika ndio maana unakutwa swali 1 linaulizwa hata kwa aina 5 tofauti lakn ni swali lile lile 1 hivyo wanafanya kazi yao kama waandishi unapohijiwa na mwandishi unaweza kataa swali kujibu kuficha kitu lkn kwenyew maswali yanayokuja ukajikuta umelijibu bila kutumia nguvu
Siyo wa hovyo, hata wewe kesho uanweza kupata bahati ukahojiwa na waandishi. Siku zote wako trick sana kupata kile mashabiki wanachotaka. Kazi ni kwako kujibu kitaalamu badala ua kuropoka. Kumbuka Feisal walimfuata Unguja akafunguka kila kitu😅😅😅
Aagwe siku ya simba day mfano akisajiliwa na yanga atatoka yanga akaagwe simba sema TANZANIA tunafeli mtu mmeshajua mnamuacha ni kwa nini asicheze mechi ya mwisho ndio iwe siku ya kumuaga.
Nyie waandishi wa habari wengine ni wachonganishi Huyu mkude aende kiwango chake kimeshuka kusema kweli Sisi tunajiuliza sana kwanini mnahoji mambo mengine ambayo hayana mkanganyiko wowote haya mengine yanayo husiana na Siasa yanayosababisha maumivu kwa wananchi Mbona mnaogopa kuhoji ili msaidie ni kwa nini
Daa japokuwa ndo hvy ilamkude atabaki kuwa kumbukiz kubw Kwa kilab kubwa hp tanzania hkn atakayekuj kufunja rekod yake miaka 13 .kwa ss wanna Simba bd tupo p1 Wana morogor wenzak
waandishi wa habari nyie wanafiki sana kashughulikieni ndoa zenu acheni uchonganishi hapo mlipo ukute hata ndani ya familia zenu hamko sawa mnakimbilia yasiyowahusu
Wachambuzi wa kibongo bwana muna penda kurazimisha mwenyewe hasha kujibu mambo yote hanaiya chia taasisi mengine munatakanini mchambuzi wangu bora miraji jeme dari nyiye wengine nishidaa
Sasa Jaman. Mbona mnamlazmisha Filing Zenu mbaya. Ilimladi unafikitu Acheni Upuuzi. Kwani laajab hapo ni lipi.? Kama kuagwa si ataagwa tu. Kwani Wamemtukana. ?
Ila Mkude unaonekana unajutia vitwimbwi uliekuwa ukivifanya maana hukuamini km leo Club imegoma kukupa mkataba mwingine ila ungekuwa na nidhamu usinge wachwa na aliekuwa anakubeba ni Mo na kwa sasa hayupo.