Ila Viongozi Watanzania wanazingua sana, mpaka litokee janga ndo hua wanafikiria kufanya vitu walivyotakiwa kuvifanya kabla. Manyoni ilivyotokea ajali ya basi na treni ndo wakaweka kizuizi, sahv ndo wanawaza kujenga kivuko.....too late. Mpaka litokee janga ndo tunakumbuka kufanya maamuzi😢😢....real!!!😮 Pole kwa familia na ndugu zetu wa Arusha.
Poleni sana wazazi na Wana Arusha kwa hayo yote,lakini pia hongera sana Mbunge mrisho gambo kwa kuwa beneti na wananchi tangu mwanzo mpaka Sasa Bado uko pamoja nao huo ndio uongozi na tunahitaji wabunge kama wewe na si wabunge wanaakaa mjini hawako kwenye majimbo Yao.
Mmmh nimeumia sana, mpaka nikawaza kwa nn idd isingeangukia alhamis na ijumaa huenda wasingekufa watoto wazuri, mzazi umemuandaa mwanao dk chache wapokea habar za huzuni, aaah 😭😭😭😭, Mungu awatie nguvu wazazi jaman uwiiiii
Kwan kulikuwa kuna sababu gan ya msingi ya kufungua shule jumatatu baada ya pasaka wakat Jumatano ni Edd wakafungua shule jumatatu ijayo baada sikuku zote kupita!! Vitu vingine ni ujinga tu
Ifike mda wananchi kwenye vyombo vya usafiri tukion hatari yyte kam mnamwambia dereva kitu hasikii tuanze kutembea na fimbo tuwachape hakiiiii😢😢mtu unawaza hiko kidaraj mtu analazimish kupita na mvua hiz kweli 😢😢😢
Ivi tanesko walizuia kwanini jaman serikali si moja jamani ila huyu dereva mungu atamlani maisha yake yote na hata hiyo tanesko ingejengwa dalaja pia maafa yasingetokea labda
Ninjia ambazo Tanesco wanapita kupitisha nguzo zao watu wakatimia kama njia tu. Hapo serikali ingetafuta barabara si njia ya Tanesco, Serikali ifanye mpango wa barabara zake.
NA HUYO MTU MZIMA MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI, KWANI ALIKUWA ANAJARIBU KUOKOA BAHATI MBAYA NA YEYE KAFARIKI,, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
Huyo tapeli mwizi gambo anajisogeza ili akale rambirambi tena kama zile za lucky vicent mwizi mkubwa huyo pumbavu zake hata haya hana. Jambazi sugu huyo hana lolote tapeli huyo.
Tanescoe,jeuri kawaida yao n wa unguu MTU, Daraja inahusiana,na umeme,,c nyumba, jamaaa, Halafu,maendeo gani ngaramtoni, kisongo,mbauda+kwa moromboo, Sinon watu wanasombwa,na maji,
Wajenge madaraja sio mbaka yauwe ndio viongozi wakumbuke huo ni uzembe madaraja Toka hukoron mbaka Leo mnashindwa kubadrisha msimpe rawama dereva uzembe ni viongozi mnajari mijin tu mnapopita nyie ndio mnatengeneza balabala
Tatizo ni serikali,siyo dereva. Sijui kwa nini binadamu ni katili kiasi hiki anaua wenzake na yeye hataki kufa. Serikali ilitakiwa kujenga daraja au kivuko,