@@Churchofecclesiayesu christo ni nabii wa mungu tu na sio mungu kwani mungu hana mama wla baba hakuzaa wala hakuzaliwa upo wacha kumsingizia yesu uongo nipe andiko la yesu alilosema yeye ni mungu 😂😂😂😂😂
Huyu pastor hana tofauti na wanafunzi wa Yesu, hawakuamini kama. Ni yeye kafufuka mpaka Yesu akawaambia nishikeni viganja vyangu ndo muamini mimi ndiye
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Kila nikiwaza kande tumekula chepe tumepiga na hata kama kafufuka shamba hatumpi😂😂😂sina mbavu mie mwingne hakumbuki kazikwa mwaka gan ila ni kama .....😂😂😂
😂😂😂😂wamuhoji kipindi hikihiki alichopanik ndio majibu yatakua sahihi akitulia atadanganya huyo mzee...Robertinyo umerud baba tupo pamoja mpk upate shamba lako 😅😅
Ni jambo la kufikirisha, lakini masela wana uthibitisho mpaka wa mavazi ni yale yale na pastor anathibitisha, ndugu walioshiriki pia na hata kabla ya kufariki alipataja nyumban kwao.. so wahuni , ndugu , GPS 😂 na pastor watakuwa wanashuhudia uongo mmnh hapana, wazo la kujiridhisha ni muhimu pia… kuna mahali tutakuwa tumepigwa.. 😂,, wacha ije episode 2 tuone 🙌 # New Lazarus in Town 😂😂
Arusha,kaeni mjitafakari, kuna mahali mmemkose Mungu.Someni nyalama za nyakati.Mkiona mmeletewa hata mkuu wa mkoa ili aje awanyooshe,mjue mnalo.Sisi tunamkumbuka sana magufuli,maana kabla ya kutwaliwa zake mbinguni,alituondolea huyo mtu hapa Dar,tunaisha kama peponi.
Kwa hiyo kilichotokea hapo baada ya kuzika akachukuliwa kichawi ili aende kufanya kazi za kichawi! Lakini kwa Neema za MUNGU amemgomea yule mchawi ndio maana mnamuona! MUNGU ametaka muwajue adui zenu kwenye familia! Muhoji kwa upole atawaambia na waliyomchukuwa msukule!
Iko hivi wapendwa:Inapotokea ndugu katika famili amekufa, ikawa mmemuhifadhi mochwari, na pengine amekaa siku zaidi ya siku 2 na kuendelea mwili na viungo vya marehemu yaani ,rangi ya ngozi , sura, na hata urefu nao kidogo huongezeeka.Ndiyo maana siku ya kukabidhiwa mwili wenu kwa ajili ya kuuzika,huwa ni vizuri kuwa makini na huwa tunashauriwa ndugu wa karibu sana wawepo,yaani kunzia mtoto,mama,baba au mke,mme.tupunguze ule u kimbele mbele.Kuweni makini.Lkn ndugu zangu wa Arusha punguzeni siku za kunywa pombe na mikutano ya kisiasa.
Wewe mzee wa ukoo kubali ukatae yesu amefanya kazi Yake,nabado baba yetu kuhani Musa,anajianda kuhubiri neno la mangu mikoa yote Tanzania mzima,wafu watafufuka na wagonjwa wata pona.
Sasa Ninaanza kuamin,i kuna mtu ameishawai kuniambia 70,% ya vifo vingi Dunia sio mapenzi ya Mungu ni Hila za shetani, na 20% ni ujinga na uzembe wa watu wenyewe na 10% ndio mapenzi ya Mungu.. Bila kuwa na Mungu wa kweli ni mwendo wa kupigwa viini macho tu. Sterling hafi, mwamba karudi wabaya wake waombe ardhi ipasuke wamezwe, vinginevyo kitawahusu.
Huyo ni udhaifu wA viongozi wA dini,watu wengi wanazika magogo,n'a migomba ya ndizi,hawan a Imani tena n'a nguvu za MUNGU,n'a macho ya Kiroho,wawe wanaomba,