Тёмный

TAHARUKI ARUSHA: ROBERT ADAIWA KUFUFUKA, AONGEA ALIPOKUWA "HATA AKIFUFUKA HATUMPI ARDHI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 278 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

29 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 738   
@IsmailMjesh
@IsmailMjesh 20 дней назад
Hizi ni zama za mwisho' allah atupe mwisho mwemaa 🤲
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 18 дней назад
Allah hakupi mwisho mwema, Bali YESU KRISTO ndo anaekupa mwisho mwema
@KijuuShaban
@KijuuShaban 17 дней назад
​@@Churchofecclesia❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MoroNyomboki-bb7re
@MoroNyomboki-bb7re 17 дней назад
Endelea shikilia Hivyo hivyo,,huo ni umajinnun
@azizayassin3623
@azizayassin3623 17 дней назад
​@@Churchofecclesiayesu christo ni nabii wa mungu tu na sio mungu kwani mungu hana mama wla baba hakuzaa wala hakuzaliwa upo wacha kumsingizia yesu uongo nipe andiko la yesu alilosema yeye ni mungu 😂😂😂😂😂
@JoyceMbise-zr2xh
@JoyceMbise-zr2xh 17 дней назад
​Yesu ni mwana wa MUNGU kweli kweli,kama huamini tuache na imani yetu@@azizayassin3623
@samwelimoshi7304
@samwelimoshi7304 20 дней назад
Huyu pastor hana tofauti na wanafunzi wa Yesu, hawakuamini kama. Ni yeye kafufuka mpaka Yesu akawaambia nishikeni viganja vyangu ndo muamini mimi ndiye
@IreneNelson-h5c
@IreneNelson-h5c 14 дней назад
Only GOD
@kutailass6671
@kutailass6671 21 день назад
Yaam Robert kayashinda maut halafu ety kesi ya shamba imshinde 😂😂😂😂 Arusha ndiko niliko kulia mie 😊
@FriddaUrasa
@FriddaUrasa 21 день назад
Hakika upo sawa,hata kama walikosea,nikafufuka.Amina.
@user-ub1xk6yz6l
@user-ub1xk6yz6l 20 дней назад
Umeua😂😂😂😂😂
@ayubutv9651
@ayubutv9651 20 дней назад
😂😂😂😂😂
@athumanfuko199
@athumanfuko199 20 дней назад
😂akiwatishia kesho ataondoka nao wote kwenda kuzimu lazima wamwachie shamba
@sharifasaleh4802
@sharifasaleh4802 20 дней назад
Hahaaaa hawaogopi
@AmmyJ-blue
@AmmyJ-blue 20 дней назад
Mwamba hafi hadi apate chake. Welcome back
@JosephEpimack-qs4bi
@JosephEpimack-qs4bi 16 дней назад
😂
@latwibujuma
@latwibujuma 21 день назад
Welcome back mwamba tuendeleze kupambana huna baya mjomba 😂😂😂
@starlily07
@starlily07 21 день назад
😂😂😂
@adellakyando2829
@adellakyando2829 21 день назад
😅😅😅😅
@nancyg8664
@nancyg8664 20 дней назад
🤣🤣
@aikt.
@aikt. 20 дней назад
😂😅
@abuuhafswamunsheedu5790
@abuuhafswamunsheedu5790 20 дней назад
😂😂😂
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q 21 день назад
Karudi master sasa sterling hauwawi, naona wanapaniki Hao kazi wanayo
@frankazalia5985
@frankazalia5985 20 дней назад
Baraaaaaa
@deborampinga8185
@deborampinga8185 21 день назад
hv Arusha ni nchi nyingn et eeeh maana duu matukio kila siku
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 21 день назад
Yaani
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 21 день назад
Mtihani
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 21 день назад
Umeona huko ni kenya tanzania bahati mbaya manake watu wamepinda huko jamani
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 21 день назад
😂😂😂😂
@FatumaMamlo-st8pj
@FatumaMamlo-st8pj 20 дней назад
Robati rombo rechorombo😅😅😅😅🎉🎉🎉nakupa maua ya uhai wale chuma hiko waliokula makande nachepe wakashindilia😅😅😅
@victoravelin575
@victoravelin575 20 дней назад
Kama umesikia tulimzika na nguo izo izo #like hapa
@FredyMolley-zq3em
@FredyMolley-zq3em 18 дней назад
Gai yiani ifukuliwe tu mujue kaburi iko nin
@allahisone6386
@allahisone6386 17 дней назад
​ 😅🏃🤦🏿🏃😅
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 13 дней назад
😂​@@allahisone6386
@jacklinesimon7544
@jacklinesimon7544 20 дней назад
Pastor ulifanya Kazi yako Kwa uweledi mkubwa Sana...hata kama uliona hamna kitu ww haikuhusu coz ungeleta taharuki lakin haipaswi hivyo..congats
@StellaMwasha
@StellaMwasha 20 дней назад
Kwani pasta aliona kuwa hakufa au
@jacklinesimon7544
@jacklinesimon7544 15 дней назад
Ni Siri yake na mola wake coz hataangeona hapaswi kusema je ushahidi anai??? Means uwe na machi ya rohoni Bila hivyo utaona ni yy na maiti ipo
@BrunoNamanga
@BrunoNamanga 21 день назад
HAPA NILIPO NATETEMEKA WANAGOMBANA NA MAREHEMU ALIERUDI..... MAUZAUZA JAMANI😢😢😢😢😢
@awadhally1052
@awadhally1052 21 день назад
Mazinga ubwa ya uchawi hayo
@awadhally1052
@awadhally1052 21 день назад
Ukifa kifo cha ukwel chamu mungu huwez fufuka mpaka siku ya mwishoo
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 20 дней назад
Na huyo marehemu akicheza atauliwa tena 🙌
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 19 дней назад
​@@mariasixmund7964😂😂😂😂muhimu akaze wakimuua arud tena mpk wachoke wnyw
@kawiche4911
@kawiche4911 16 дней назад
​@@awadhally1052 Wamemzika mtu mwingine, hakuna cha uchawi , ni kutokuwa na serikali makini katika kutambuwa waliokufa motuwari
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 21 день назад
Taarifa za arusha hususan za huyu muandishi ni zakiaina yake
@gabrielmlay3815
@gabrielmlay3815 21 день назад
Kabisa😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 21 день назад
Upo saii
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 20 дней назад
Na Kuna yule wa Geita na Mwanza
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 20 дней назад
Ni zakidudu bro😂 chuga ni ya wadudu
@kimwanahamisi8551
@kimwanahamisi8551 20 дней назад
😂😂😂​@@aminmohammed4249
@amanmalima940
@amanmalima940 18 дней назад
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@FredyMolley-zq3em
@FredyMolley-zq3em 16 дней назад
@@amanmalima940 kweli lakin kaburi Kun nini nimekuelew
@drmahwa8166
@drmahwa8166 16 дней назад
Mmepata yesu mwingine huyo kafufuka
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 21 день назад
Mchungaji na yeye hana jicho la rohoni😅😅😅😅😅 ama kweli Arusha ni nchi ingine ndani ya Tanzania.
@SilviaAnthony-uf9fq
@SilviaAnthony-uf9fq 21 день назад
😂😂😂😂😂
@user-rg8fq8fc3k
@user-rg8fq8fc3k 21 день назад
😂😂😂😂😂😂😂
@abedysteven4930
@abedysteven4930 21 день назад
Hahahahhsh😂😂😂😂 hii nchi mnachekexha! Jaman jicho la rohon likoje ko mchungaji nae n hamna k2!
@HappyatHome-bn8wm
@HappyatHome-bn8wm 20 дней назад
hahahahaha
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 20 дней назад
Duuuuu wachungaji wanazika vinyago kumbe
@user-ly9us4db3m
@user-ly9us4db3m 21 день назад
Arusha shikamoo dur noma sana huyu mzee anavyo babaika kuongea mbaka nimecheka et tulimkatazs ndio kuuza shamba jaman
@moudyhamisi2641
@moudyhamisi2641 21 день назад
Tulimzika mtu na makande tulikulaaah yeah 🤲🤲🤲
@christinamongi7951
@christinamongi7951 21 день назад
Kila nikiwaza kande tumekula chepe tumepiga na hata kama kafufuka shamba hatumpi😂😂😂sina mbavu mie mwingne hakumbuki kazikwa mwaka gan ila ni kama .....😂😂😂
@paskalinamassawe5283
@paskalinamassawe5283 20 дней назад
😂😂😂ninecheja ai arusha my country
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 20 дней назад
Nimecheka ni kama comedy 🤣 😂
@johnraymond6602
@johnraymond6602 20 дней назад
😂😂😂😂 tuzaidizane kucheka yanayofurahisha ya ulimwengu huu kande tumekula na chepe kulipiga😂😂😂😂
@WakundambandaKinyambe
@WakundambandaKinyambe 19 дней назад
😂😂😂😂😂
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 18 дней назад
Hahaaaa
@godsonmasseri7622
@godsonmasseri7622 20 дней назад
Welcome back brother tuendeleze mapambano 😅😅 uje utuadisie mambo ya heaven 😂 pakoje😂🙌
@barakajpilly6900
@barakajpilly6900 17 дней назад
laivu aise atupe fununu za majuu😂
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 20 дней назад
Uchawi sio lazima sumbawanga au kigoma Huyo mzee aliehojiwa mwanzo ,,akitulia mmuhoji vizuri
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 20 дней назад
Nakuunga mko..Mzee hayupo sawa
@MasumbukoKilunga-mf7sg
@MasumbukoKilunga-mf7sg 20 дней назад
Umenena vyema yaweza kuwa huyo mzee ni chanzo cha Mambo....
@haikawilson216
@haikawilson216 20 дней назад
Yaan akili yangu ishamuona sio mtu mzuri kabisa
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 19 дней назад
😂😂😂😂wamuhoji kipindi hikihiki alichopanik ndio majibu yatakua sahihi akitulia atadanganya huyo mzee...Robertinyo umerud baba tupo pamoja mpk upate shamba lako 😅😅
@samwelpaul4279
@samwelpaul4279 7 дней назад
Kwa stori hii tunazika migomba Kila kukicha
@LotiMollel-nw1it
@LotiMollel-nw1it 21 день назад
Karibu Tena uraiyani mwamba hakuna kufa 😂😂
@doublejmrutu8529
@doublejmrutu8529 21 день назад
😂😂😂😂
@awadhally1052
@awadhally1052 21 день назад
Mazinga mbwa ya msukule hayoo
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 20 дней назад
😂😂😂😂😂Mzimu anataka shamba lake
@wilondjarama1427
@wilondjarama1427 19 дней назад
😂😂😂
@pendoismail945
@pendoismail945 19 дней назад
​@@doublejmrutu8529kkkokkokooookkkllkokoklookkkkkkklķķķķķķķķķķķkklkkl
@user-rl3yh6ls7b
@user-rl3yh6ls7b 21 день назад
Kuna mubaba ameongea point kwamba kwenye boma wamemzika mtu ambae siyo, me nasubiri part two ya hiii stori mana lazima kaburi lifukuliwe .....
@heavengift779
@heavengift779 21 день назад
Ni jambo la kufikirisha, lakini masela wana uthibitisho mpaka wa mavazi ni yale yale na pastor anathibitisha, ndugu walioshiriki pia na hata kabla ya kufariki alipataja nyumban kwao.. so wahuni , ndugu , GPS 😂 na pastor watakuwa wanashuhudia uongo mmnh hapana, wazo la kujiridhisha ni muhimu pia… kuna mahali tutakuwa tumepigwa.. 😂,, wacha ije episode 2 tuone 🙌 # New Lazarus in Town 😂😂
@malkiarosemuhando3310
@malkiarosemuhando3310 20 дней назад
Yeye kasema hakuwepo kwenye msiba Sasa angejuaje kama ndiye au siye!?
@TumsifuSilaa
@TumsifuSilaa 20 дней назад
Kwan huyo robert ni nan mbona ni maajabu ya dunia
@ZediMichael
@ZediMichael 17 дней назад
Hiyo boma walizika Mtu mwingine
@amanimakoi7651
@amanimakoi7651 20 дней назад
Hii pia inaweza kua ushahidi wa time travel. Huyu mtu katoka from the past to the future lakin alipofika future akajikuta the future him ameshafariki.
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 18 дней назад
Daaa hatariii
@jenipheraron3566
@jenipheraron3566 17 дней назад
😂mambo ya Korea hayo
@amanimakoi7651
@amanimakoi7651 17 дней назад
@@jenipheraron3566 dunia ina Siri kubwa sana na wanaojua siri nyingi za dunia hawajafikia kujua hata theluthi ya mambo yote
@DannyWiston-xo4hx
@DannyWiston-xo4hx 21 день назад
Arusha,vijana mpaka wazee bangi tupu
@JesusJesus-ny1sm
@JesusJesus-ny1sm 18 дней назад
😂😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 21 день назад
Wachawi ni mtihani Mungu kawaimbua
@adamapollo9859
@adamapollo9859 20 дней назад
Hajafa bana labda walizika mtu si wakwao huyo alikuwa anajikuliya sembe tu bado nani kamtowa kabrin kama si unafiki😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 17 дней назад
@@adamapollo9859 🤣🤣🤣
@jayjay4313
@jayjay4313 20 дней назад
Ningekuwa Robert ningewapiga maigizo ya kutisha nikaokota dunia nzima kwa kwenda mbele. Mpaka hapo angejitangaza yeye nabii😂😂😂😂
@user-bx7zk7to8k
@user-bx7zk7to8k 19 дней назад
😅😂😂😂😂😂😂😂
@ptr255
@ptr255 21 день назад
Dunia imeishaa 😢😢
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 19 дней назад
Umeisha wewe
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 21 день назад
Walimfanyia uchawi kusudi wamdhurumu shamba.
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 20 дней назад
Huenda ndo ivo na ndo maaana yule mzee naona kama kachukia sana ..sasa kama dili limebuma ishakula kwake
@user-zs2dc3kq8g
@user-zs2dc3kq8g 15 дней назад
Na yeye akagoma 😂😂😂😂
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 21 день назад
Kwa matukio ya manji na msigwa ukiongezea na laufufuko tutasahau kuhoji jamaa alieokotwa katavi
@josephineokama2200
@josephineokama2200 20 дней назад
kweli aisee
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o 20 дней назад
Uchawi upo ..mngu atulinde waja wake 😢🙏
@bushbabytz
@bushbabytz 21 день назад
ILA HII SAYANSI YA KIAFRIKA SIJUI WANAFANYA FANYAJE HAPO😂
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 21 день назад
😂😂😂
@rose76312
@rose76312 21 день назад
🤣🤣
@evalinemalole6709
@evalinemalole6709 21 день назад
😂😂😂
@FreeGod368
@FreeGod368 21 день назад
😂😂😂😂acha tu
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 21 день назад
Lakin haiondoi maradhi umasikin na ujinga hii ni sayansi isiyo na maendeleo
@winniedotto1459
@winniedotto1459 20 дней назад
Makande tulikula 😂😂😂dah Arusha 🙌
@lucangwiseman
@lucangwiseman 20 дней назад
He is back Legend😂😂 kitawarambaaa😅
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 20 дней назад
Subhana Allah
@vi3ayo1622
@vi3ayo1622 20 дней назад
Nasema hivi kila mtu afe na chake😂😂😂 hamna kufa kizembe uache mali kwa mtu hiyo hamnagaa manzeee😅😅😅
@deodathsilayo3639
@deodathsilayo3639 21 день назад
Hili ni picha la kihindi steling anakupiga hata kwenye ndoto😅😅😅
@romanambelle6356
@romanambelle6356 20 дней назад
😂😂😂😂😂
@LeilaWilfred-zc7gn
@LeilaWilfred-zc7gn 18 дней назад
Hahaaaa
@YusuphFredMelele
@YusuphFredMelele 21 день назад
Mzee Kali rudia shamba lake😊😊
@EwaldAntony
@EwaldAntony 21 день назад
Aleluyaaaaaaaaaa
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 21 день назад
Mmezika mtu ambaye sio, atafutwe familia iliyopoteza ndugu yao waje watambue mwili
@SinemaZaChina
@SinemaZaChina 19 дней назад
chuga ya wenyewe babaangu ila nini wanagu wa chuga karibu muangalie masinema huku wazee
@user-wn8ul7gp2b
@user-wn8ul7gp2b 21 день назад
arusha my country❤
@frankazalia5985
@frankazalia5985 20 дней назад
Duh arushaaa bahna
@marcelinabwakila7049
@marcelinabwakila7049 19 дней назад
Huyo mzee anaesema shamba hatumpi,awe mshtakiwa number moja
@mohamedmagongo9348
@mohamedmagongo9348 17 дней назад
😂😂😂😂😂....halafu inaonyesha atakuwa analijua tukio zima, ndiyo maana anaonekana amechanganyikiwa sana!
@user-gc1ez1yv4k
@user-gc1ez1yv4k 21 день назад
Arusha,kaeni mjitafakari, kuna mahali mmemkose Mungu.Someni nyalama za nyakati.Mkiona mmeletewa hata mkuu wa mkoa ili aje awanyooshe,mjue mnalo.Sisi tunamkumbuka sana magufuli,maana kabla ya kutwaliwa zake mbinguni,alituondolea huyo mtu hapa Dar,tunaisha kama peponi.
@user-do6pw7fz8t
@user-do6pw7fz8t 20 дней назад
Kwa hiyo kilichotokea hapo baada ya kuzika akachukuliwa kichawi ili aende kufanya kazi za kichawi! Lakini kwa Neema za MUNGU amemgomea yule mchawi ndio maana mnamuona! MUNGU ametaka muwajue adui zenu kwenye familia! Muhoji kwa upole atawaambia na waliyomchukuwa msukule!
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i 21 день назад
Mzee mbona anaogopa sana 😂😂😂 anahojiwa huku atetemeka
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 21 день назад
Anajua kinacho endelea
@chidmp
@chidmp 15 дней назад
Kuna mzee apo kaongea fact sana huwenda waliomzika co
@omarmwarizo9678
@omarmwarizo9678 21 день назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nacheko lakino naogopo...eti tutakaa nae lkn shamba hatumpi
@JohanesFaustine-vn9sk
@JohanesFaustine-vn9sk 21 день назад
😂😂😂😂😂
@FatumaBasho
@FatumaBasho 20 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂
@RaulentJulius-bg4ov
@RaulentJulius-bg4ov 20 дней назад
Daaaaaah makubwa sanaa
@abedysteven4930
@abedysteven4930 21 день назад
Mch nae naona kama king'amz kinayumba!! Na yeye haelew k2 hapoo😂😂😂
@sadiqadam7971
@sadiqadam7971 20 дней назад
Arusha msitufanyie hivyo, hebu tuacheni kidogo 😂
@meshackjackson2838
@meshackjackson2838 15 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂
@abedysteven4930
@abedysteven4930 21 день назад
Af huyu jamaa n kama ukoo ulikuw umemchoka mana wanavyoviongea vinashangaza!
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 20 дней назад
Wanataka kumdhulumu mali za Baba yake😢😢
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 21 день назад
Mwee 🙌🙌
@user-do6pw7fz8t
@user-do6pw7fz8t 20 дней назад
Waambie hao akina Milad Ayo wampigie Askofu Gwajima kama mnataka kuthibitisha hiki kitu mtona! Tena wapige simu mkiwa mnasikia mtashangaaaa!!!!
@fanty2651
@fanty2651 20 дней назад
Mzee wa ukoo anajua😀
@godfreyswai4965
@godfreyswai4965 17 дней назад
Inawezekana,kwanini ana kataa siyeye?
@GisellaLukas
@GisellaLukas 20 дней назад
𝕟𝕚 𝕟𝕪𝕒𝕜𝕒𝕥𝕚 𝕫𝕒 𝕞𝕨𝕚𝕤𝕙𝕠
@SmallZambia-xf6dh
@SmallZambia-xf6dh 17 дней назад
Noma sana
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 13 дней назад
Oooh allah hakika wewe ni mjuzi wawa juzi na ndie mwenye uwezo wa kuumba na kufufua hakika sifa na utukufu ni wako mola wangu
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 21 день назад
Me ndio maana napenda kuangalia habari za Tanzania 🇹🇿 lol 😄 😆 kuna maajabu kila sekta
@user-gc1ez1yv4k
@user-gc1ez1yv4k 21 день назад
Iko hivi wapendwa:Inapotokea ndugu katika famili amekufa, ikawa mmemuhifadhi mochwari, na pengine amekaa siku zaidi ya siku 2 na kuendelea mwili na viungo vya marehemu yaani ,rangi ya ngozi , sura, na hata urefu nao kidogo huongezeeka.Ndiyo maana siku ya kukabidhiwa mwili wenu kwa ajili ya kuuzika,huwa ni vizuri kuwa makini na huwa tunashauriwa ndugu wa karibu sana wawepo,yaani kunzia mtoto,mama,baba au mke,mme.tupunguze ule u kimbele mbele.Kuweni makini.Lkn ndugu zangu wa Arusha punguzeni siku za kunywa pombe na mikutano ya kisiasa.
@Bushman000
@Bushman000 20 дней назад
Haya maelezo hayajaeleweka yaweke sawa, mtaalamu
@user-lc5on5qf9r
@user-lc5on5qf9r 20 дней назад
Ni kweli
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 21 день назад
HUYU MZEE NDIO ALIMPOTEZA KISHILIKINA KWA MAELEZO YAKE UYU MZEE ANAYOSEMA SHAMBA ATUMPI MNAWASIWASI NAE SANA😂😂😂
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 21 день назад
Huyo Mwamba aulizwe kama shetani yupo au wachungaji wanatupanga daadek 😅😊
@khambhai360
@khambhai360 21 день назад
😂😂😂
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 21 день назад
@@khambhai360 😅😅😅
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 21 день назад
shamba LA babake
@user-bl1kb5id6c
@user-bl1kb5id6c 20 дней назад
Hi familia bhn inamambo mengi SEMA mpokeeni jombaa bado anataka kula ugali😊😊
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 20 дней назад
Arusha🙌🙌🙌
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 21 день назад
😂😂haya uliechukua shamba lake mwenyew amerudi kama ulimuua uzulum utajua hujui
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 21 день назад
Mwamba huyu hapa,picha linaanza upya lazima apewe shamba lake😄😄😄😄😄
@joycesanga4378
@joycesanga4378 20 дней назад
Kuna haja ya kuaga marehemu kwa kumwangalia kwenye jeneza waache tabia ya kuweka picha wanapoaga mwili
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 20 дней назад
Wachaw shikamoon🙌. Ila hawa manabii wa mchongo wangmpt huyu Mwamba wangpiga ela
@deborampinga8185
@deborampinga8185 21 день назад
sasa jmn akizaa mtt lin ila Arusha jmn😂😂😂😂😂
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 20 дней назад
Duh Arusha haishi matukio!😮
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 13 дней назад
Allahu akbaru baomba tuamini ya kwamba allah anauwezo wa kuumba na kufufua hilo tukubali tukatae huu ndio ukweli hakika allah afanani na yeyote
@ladymjema9595
@ladymjema9595 12 дней назад
Binadamu wawili wawili... Atakuwa walizika mwingine. Mwamba alikuwa mtaani anajitafutia riziki😊
@JulietOnyango-g7z
@JulietOnyango-g7z 6 дней назад
Dunia inaisha jameni yesu anarudi watanzania pooow
@dannysix4475
@dannysix4475 20 дней назад
Duhh
@jacobsafari700
@jacobsafari700 21 день назад
Kumbukumbu imenitoka next time 😅
@rosemkeleja7768
@rosemkeleja7768 19 дней назад
Huyo Mzee ,wa kwanza kuongea ndo mchawi,
@GOODLUCKMNYONE
@GOODLUCKMNYONE 16 дней назад
Tatizo machalii wa chuga wanafanana fanana wamezika mtu ambaye siye bhana usiamini miujiza alifufuka mmoja tu ambaye ndiye aliyemfufua Lazarus
@godfreyswai4965
@godfreyswai4965 17 дней назад
Wewe mzee wa ukoo kubali ukatae yesu amefanya kazi Yake,nabado baba yetu kuhani Musa,anajianda kuhubiri neno la mangu mikoa yote Tanzania mzima,wafu watafufuka na wagonjwa wata pona.
@user-nn5lv6nb6i
@user-nn5lv6nb6i 7 дней назад
Nyie wat wabishi dunian yn ankuf n anarud kupambania shamn lke
@austinmcharo928
@austinmcharo928 20 дней назад
Chuga noma sana...
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 21 день назад
Makonda ana kazi kubwa, Arusha haiiishi vituko....
@innocentvicent5513
@innocentvicent5513 20 дней назад
Mwamba huyu hapaa sas😂😂
@davidshirima9045
@davidshirima9045 18 дней назад
Muhusika mwenyewe kasema "Sio yeye"
@abiudkarume938
@abiudkarume938 21 день назад
Ata Lazaro alifufuka kwaiyo sio ajabu
@marthaaugustinokimilike4228
@marthaaugustinokimilike4228 21 день назад
Hee huyu si anatembeaga na gari ya taka huyu alikufa lini😮
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 20 дней назад
😂😂nyie
@jacquelineeliasmollel5260
@jacquelineeliasmollel5260 20 дней назад
😂😂 Arusha Mweee Nyumbani kumekuchaaaaa
@estherkimario7940
@estherkimario7940 18 дней назад
Hata me nikama namuonaga na gari ya taka wasanii hawa watafuta umaarufu tu hapa
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 18 дней назад
@@estherkimario7940 haha
@user-wy5wv3tf8y
@user-wy5wv3tf8y 21 день назад
Maajabu yaduniya
@Pretty22750
@Pretty22750 20 дней назад
😂😂😂eti ni kweli alizikwa kwan marehemu anajua km alizikwa
@emanuelmoshama3899
@emanuelmoshama3899 20 дней назад
Uyo mzee kwenye koti la madoa doa ana chuki😂😂
@Dismasmmassy
@Dismasmmassy 21 день назад
Arusha iko tz kweli
@ernestchaulema226
@ernestchaulema226 18 дней назад
🔥🔥🔥
@Max9_captain
@Max9_captain 20 дней назад
Mamae hii ndo arusha yangu😂😂😂
@barackmoses7003
@barackmoses7003 20 дней назад
Mmmmh Arusha yangu
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 20 дней назад
Original kabisa 😁
@benardmwinuka6948
@benardmwinuka6948 21 день назад
Duhhhhh
@ifmknowledgepower7333
@ifmknowledgepower7333 21 день назад
Sasa Ninaanza kuamin,i kuna mtu ameishawai kuniambia 70,% ya vifo vingi Dunia sio mapenzi ya Mungu ni Hila za shetani, na 20% ni ujinga na uzembe wa watu wenyewe na 10% ndio mapenzi ya Mungu.. Bila kuwa na Mungu wa kweli ni mwendo wa kupigwa viini macho tu. Sterling hafi, mwamba karudi wabaya wake waombe ardhi ipasuke wamezwe, vinginevyo kitawahusu.
@user-do6pw7fz8t
@user-do6pw7fz8t 20 дней назад
Ndiyo maana yake!! Vingi siyo vifo vya MUNGU hata kidogoooo! Ni uchawiiiiiiii!!!
@user-wg1nz5ms2n
@user-wg1nz5ms2n 20 дней назад
Original kabisa
@user-qf3py6nx5b
@user-qf3py6nx5b 17 дней назад
Duh maajabu
@jescamashaliwa9150
@jescamashaliwa9150 20 дней назад
Mwachieni Hilo Shamba Lake Afanye Anachokitaka,.
@Wanisimbula
@Wanisimbula 20 дней назад
Hahahaha dah eti kande tumekula na chepe tumepiga😂😂😂😂😂
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 17 дней назад
Huyo ni udhaifu wA viongozi wA dini,watu wengi wanazika magogo,n'a migomba ya ndizi,hawan a Imani tena n'a nguvu za MUNGU,n'a macho ya Kiroho,wawe wanaomba,
@JOSEPHMwakibinga
@JOSEPHMwakibinga 18 дней назад
Makonda mungu akubariki baba akuongoze
@innocentboykid2442
@innocentboykid2442 18 дней назад
Kwani hapa anahusikaje
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 21 день назад
Mzee wa bomaaa😂 kaongea kabisaa, kazikwa mtu sieee
@awadhally1052
@awadhally1052 21 день назад
Kwel kabisa
@Bifa_2024
@Bifa_2024 21 день назад
Mzee mwenyewe hakuepo mazishini
@user-zh8uf3wy2z
@user-zh8uf3wy2z 15 дней назад
Dear God...namimi nasubiri
Далее
D3 BMW XM LABEL Король.
31:52
Просмотров 296 тыс.