Vraiment je suis très chaleureux d'avoir encore une nouvelle chanson de 20 Twenty pancenti shabani na imy s nyimboza wewe siyo musani wa kuropokaropa Ila nyimbo zako zinamalengo bro mwanaume ni wenye kujigamba courage mon pote je suis congolais
20% nimashine bado tunamuhenzi Hadi leo anaelemisha jamii na kufundisha jamii sii kama wanao imbaimba matuai adi wanatitia kinyaa by Fosill mtanzania from Nairobi Kenya💪👊
Ninahitaji kwenye interview ule Dada ambae amecheza na 20% kwenye igizo furaha iko wapi aliezaa neema alafu akafariki mke wa twenty ndani igizo furaha iko wapi. Nawakubali mno❤️❤️
Uwezo wako wa fikra na majibu ya haraka .nisawa,na hekima ya uwezo wa nyota.......ila Kuna kitu kimejificha kwako Rudi kivingine utafika katika Malengo uliokusudiwa.katika kutoa kwa watu yalio kusudiwa
Mm i like 20 per kwa majibu yake mazuri hasa kwa waandishi wa habari maana wengi Huwa hawaulizi maswali naona kama wengi wambea na wachonganishi na 20 knows how to deal with them
Duuuuuuh! Yaani nimekukubari! Umejibu majibu vizuuuuri hadi mwanahabari asiejitambua amebaki kinywa wazi. Yaani umejibu kama Yesu alivyokua anawajibu mafalisayo. 20% yaani wewe Baba laooo. No one like you. Nakupendaaaaaaa
Katika hao watu unao ishi nao nam nimo,kiukweli kaka m nakuelewa sana broo,nachoamini kwenye mziki nikwamba,unapotoa nyimbo inabidi utulie kuangalia soko la huo wimbo,na pia kukaa kimya sio ajabu,tatizo hao mashabiki uchwala wanataka uangalie mziki tu bila kufanya kitu kingine jambo ambalo si kweli,m najua upo na unajua unachokofana kaka mungu akubariki
Nimekuelewa saaaaaana 20 percent. Hakika nikweli wale ndi ndugu. Asilimia 90 day anaoshirikiana nao ni ndugu. Yaani ni jamii moja. Hujanielewa, fumba macho.