Тёмный

TOP 10 WACHEKESHAJI MATAJIRI NA MAGARI WANAYO MILIKI TANZANIA LIST RASMI IMETOKA COMEDY INALIPA 

NDIZI MEDIA
Подписаться 287 тыс.
Просмотров 220 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 182   
@tundacappuccino
@tundacappuccino 5 месяцев назад
Mnapendeza sana! Magari haya yanaonyesha jinsi mnavyojituma na kuthamini kazi yenu. Hongereni sana!
@STORYZALEO
@STORYZALEO 5 месяцев назад
Hongereni sana kwa mafanikio yenu! Mnatumia vipaji vyenu kwa ubunifu mkubwa na kweli mmevuna matunda ya kazi yenu.
@Heispax_jay_c1
@Heispax_jay_c1 4 месяца назад
❤❤❤❤❤
@BrayanRobson-m4v
@BrayanRobson-m4v 3 месяца назад
❤🎉
@husnaally-e9z
@husnaally-e9z 5 месяцев назад
Mafanikio yenu yanatia moyo sana. Endeleeni kutumia vipaji vyenu kuboresha maisha yenu na ya wengine. Hongera sana!
@SKENDOMPYA
@SKENDOMPYA 5 месяцев назад
Mafanikio yenu yanatia moyo sana. Endeleeni kutumia vipaji vyenu kuboresha maisha yenu na ya wengine. Hongera sana 🥰🥰🥰🥰🌹
@ChasTz
@ChasTz 5 месяцев назад
Mnafanya kazi ya nzuri sana Magari haya ya kifahari ni alama ya mafanikio yenu. Kila la kheri kwa siku zijazo ❤❤❤
@kichecheBurund
@kichecheBurund 4 месяца назад
Kicheche apo wapi naomba anunuwe gari kubwa kuliko wote ❤
@WakilishaTV1
@WakilishaTV1 5 месяцев назад
Ni jambo la kutia moyo kuona mkiishi maisha ya ndoto kutokana na vipaji vyenu. Endeleeni kupasua anga! 🎉
@CharzJosee
@CharzJosee 4 месяца назад
Mungu tujalie na sis wasoma comment tupate mafanikio😂😂
@AntoniaKavishe
@AntoniaKavishe 4 месяца назад
😂😂😂
@sonymlemwa7051
@sonymlemwa7051 4 месяца назад
🙏🙏🙏
@queenyqadoty
@queenyqadoty 3 месяца назад
😅😅😅😅😅😅
@TaviolahKategile
@TaviolahKategile 3 месяца назад
😂😂😂
@Benti-f3o
@Benti-f3o 2 месяца назад
Inshallah
@CHASTZA
@CHASTZA 5 месяцев назад
Hongera sana kwa kufanikiwa kumiliki magari haya mazuri. Mmetuonyesha kwamba hakuna kinachoshindikana kwa mwenye bidii.
@Walao9Abu_maurice
@Walao9Abu_maurice 2 месяца назад
Unaongea_matope_wewe_vevo_ni_tajiri_sana_kwa_wote🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉clam_1❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ubuyumediatz
@ubuyumediatz 5 месяцев назад
Hakika mnafanya kazi nzuri sana. Magari haya ni ushahidi wa bidii na kujituma kwenu. Hongera sana!
@CharlesMs25Daghaly
@CharlesMs25Daghaly 3 месяца назад
Hongereni Sana kwa kaz znu bila kuwa na aibu lkn ondoen tabia ya zarau na jeur kuwaona watu wanao wa support kma afai kwasabb Meshakuwa na Mafanikio lkn mkakosa kukumbuka Mefika ni kwaajili ya Masupportor wenu kuweni makin ❤❤❤❤ nawapenda kwamana nyie niwashaur wa jamii nje na ndan
@kennyprince4268
@kennyprince4268 4 месяца назад
Clam ndinye wa kwaza😊😊😊
@Devilinintungwawc2vk
@Devilinintungwawc2vk 4 месяца назад
Hongeleni sana kwa kupata utajili kwa kipaji zenu
@NEWDATA24
@NEWDATA24 5 месяцев назад
Hakika mmeonyesha mfano mzuri wa jinsi ya kutumia vipaji kwa manufaa. Hongera sana kwa mafanikio haya!
@SIMULIZIZAGECHA
@SIMULIZIZAGECHA 5 месяцев назад
Mnafanya kazi nzuri sana! Magari haya ni kielelezo cha mafanikio yenu na juhudi zenu.
@timomahenge5396
@timomahenge5396 4 месяца назад
Hapo mmedanganya kwan pili na eliudi nan mwenye gari kali
@MalijitiMjami
@MalijitiMjami 26 дней назад
Haha wameamua tutafanyaje mmmhh vipaji pambeeeee😅😅😅😅😊
@JuniorKongolo-sg1tf
@JuniorKongolo-sg1tf 4 месяца назад
Ongera tanzania
@Degole-mn8er
@Degole-mn8er 4 месяца назад
Nakubali sana 😅😅
@whatmedia5853
@whatmedia5853 5 месяцев назад
Hongereni kwa kufikia malengo yenu! Magari haya yanaonyesha jinsi mnavyothamini na kuwekeza kwenye kazi yenu.
@umemeindustry
@umemeindustry 4 месяца назад
umeteleza sana hapo mkuu fanya urekebishaji
@ramahdetozzy
@ramahdetozzy 4 месяца назад
Haujui kupanga list
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
Panga wewe unae jua 🤣
@SKENDOMPYA
@SKENDOMPYA 4 месяца назад
Kuna watu ni wajuaji khaa 🤣
@Msaniitz
@Msaniitz 4 месяца назад
Mm huyu ndaro nitampata wapi? Mm nampenda sana i love him
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
Heee 😀😀 wewe
@RichardKipole
@RichardKipole 4 месяца назад
Nikupe Namba ake
@RanceNgairo
@RanceNgairo 4 месяца назад
nawakubali sana
@abdoulimafikizolo8657
@abdoulimafikizolo8657 4 месяца назад
That crazy
@LombalaAdolphe
@LombalaAdolphe Месяц назад
Nawa penda sana, ususa clam vevo
@NanckTz
@NanckTz 4 месяца назад
Mr Mwanya Pia bro✊
@lovarbicard4378
@lovarbicard4378 3 месяца назад
❤❤ liké ❤
@noelmusa3502
@noelmusa3502 4 месяца назад
Hamna kitu hapo ist😂😂😂😂😂😂 angalau subaru
@JoelSinyinza-g2i
@JoelSinyinza-g2i 4 месяца назад
Kwaiyoo gali ni utajili dar tanzania bhana mnatumia mb vinaya sana
@Nailaty564
@Nailaty564 4 месяца назад
Mpaka wanaume wanaamini gari ni utajiri mtihan sana kicheche alianza kutambulisha nyumba hajawahi kujigamba na gari
@leviskahonga3985
@leviskahonga3985 4 месяца назад
Kwan we2 unatumia gar gan lakutembelea
@philosopher_nguri
@philosopher_nguri 3 месяца назад
Sjapenda
@BossDullah
@BossDullah 2 месяца назад
Jamaa muongo sana
@mmhmedia8375
@mmhmedia8375 5 месяцев назад
Mnapasua anga kweli kweli! Magari haya ni ushahidi wa kwamba kazi ngumu inalipa.
@CHASTZA
@CHASTZA 5 месяцев назад
Mnafanya kazi nzuri sana kwa kutumia vipaji vyenu. Magari haya yanaonyesha jinsi mnavyojituma na kuthamini kazi yenu. Hongera sana🎉🎉🎉🎉
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
🙌🙌🌹
@Ndokoye
@Ndokoye 7 дней назад
Hahaha watasoma tuuu mbona vipaji vipo tuu
@congratulationmayunga3833
@congratulationmayunga3833 3 месяца назад
Kwahiyo shafii dauda hayumo😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 3 месяца назад
Shafii dauda mchekeshaji 🤣
@Salo-k1q
@Salo-k1q 28 дней назад
Namba 6 anapaswa kuwa namba 1
@wratanzania4052
@wratanzania4052 4 месяца назад
Safi waliosema uchekeshaj sio dili wajionee
@Khalfan-q6q
@Khalfan-q6q 4 месяца назад
Joti yuwap babu unadanganya😊😊😊😊
@shwariahmad9249
@shwariahmad9249 3 месяца назад
Hizi namba naona umeshindwa kuziweka kwa usahihi.. maana haiwezekani namba 4 iwe na mtu mwenye toyota ist alaf mtu anaemiliki harrier kuwa namba nane na 6 inashangaza
@Salo-k1q
@Salo-k1q 28 дней назад
Really namba 6 anapaswa kua namba1
@bakarimusa6297
@bakarimusa6297 22 дня назад
Wanazinguwa
@Magufuli-vb7hb
@Magufuli-vb7hb 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤ love
@nifferoutfit
@nifferoutfit 5 месяцев назад
Hongereni sana
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
😘
@chimpomnyama-fz1sy
@chimpomnyama-fz1sy 3 месяца назад
Eliudsamwel hana gar mkuu apo umezingua 😂😂
@SalmaMnalidi
@SalmaMnalidi 4 месяца назад
Hongereni sana munafanya kazi zenu kwa ustadi mkubwa
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
🙏🙏🙏🙌
@EmeldaMpagama
@EmeldaMpagama 3 месяца назад
Steve umetisha😢😢😢😢
@MashakaLushu
@MashakaLushu 3 месяца назад
Team joti gather here tunakikao baadae😂
@Shabbahpro
@Shabbahpro 2 месяца назад
Kumbe m2 kumilik gar ndo tajir 😂😂😂😂😂
@aiankayombo7289
@aiankayombo7289 4 месяца назад
inamana anaemiliki Swift ana hela kuliko Harrier
@kibonajoro3202
@kibonajoro3202 4 месяца назад
Kama umepanga mafanikio kwa magari hapo sawa ila kwa mafanikio kwa ujumla kwa hao ulio wataja coy ana wazidi wote
@BekaBoss-jl9my
@BekaBoss-jl9my 3 месяца назад
😅😅😅😅😅
@AFISOJUMASUMAILJUMA
@AFISOJUMASUMAILJUMA 4 месяца назад
Wanunuwe magari
@umemeindustry
@umemeindustry 4 месяца назад
namba 1 anastahil dullvani coz thamani ya merced benz ya dull 55M + nani gari ya 2014
@DavidChilongola
@DavidChilongola 3 месяца назад
Kaka ist na harrier 😂😂😂 apo umetupiga kwamba ist ni bora kuliko harrier
@allenthropus7212
@allenthropus7212 2 месяца назад
Benz na frorester🤣🤣uyu jamaa ni jauu
@inackboy5226
@inackboy5226 5 месяцев назад
Vipaji vyenu vinaonekana hata kwa jinsi mnavyoishi. Hongera kwa kumiliki magari haya mazuri!
@MinnahMtoo-cm8dr
@MinnahMtoo-cm8dr 4 месяца назад
😂😂😂 ila we mwandishi ni mchekeshaji pia.. Namba saba anamiliki harrier alafu namba tano anamiliki I. S. T
@leviskahonga3985
@leviskahonga3985 4 месяца назад
Ukiwa huna gari au ujawai milik gari uwez jua ugumu wakumilik gar la kutembelea
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 4 месяца назад
Kabisa yaani!! Wasio na magari utasikia ist nayo ni gari au passo nayo ni gari!!!ujeuri hawajawahi hata kumiliki baiskeli
@TshekoSosty
@TshekoSosty 4 месяца назад
Joti namba ngapi?
@LukasPaskali-cw4fm
@LukasPaskali-cw4fm 4 месяца назад
Ebu Steve awekwe namba moja tusidanganywe
@JamesAmbilikile-x1x
@JamesAmbilikile-x1x 2 месяца назад
Kumbe wanao miliki magari ya ndoto yao ila ukisema matajir hapo ningepinga yupo Joti masanja na mpoki hai ndo the top
@Saidially-s2l
@Saidially-s2l 27 дней назад
Kicheche yupo wap
@PABLOESCOBAR-b2p
@PABLOESCOBAR-b2p 4 месяца назад
Wamejitahidi ila gari ni za kawaida sana
@stantonpkinyamagoha755
@stantonpkinyamagoha755 2 месяца назад
Masanja, Joti na Mpoki unawaachaje hii ni listi haipo sahihi
@AlenMollel-u3j
@AlenMollel-u3j Месяц назад
Asee nyie ni macreator kweli assee
@AsumaniMAtanga
@AsumaniMAtanga 5 месяцев назад
Stvi 🇺🇸🙋.🇹🇿
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
🔥
@chitwangandembo6302
@chitwangandembo6302 4 месяца назад
Which country is this😂kwan clam vevo ni mchekeshaji???
@hmanyinja
@hmanyinja 4 месяца назад
Sasa hii list mnapangaje wakuu mbona mna under estimate thamani za magari swift na harrier na ist ipi bei au mnatumia kigezo gan kupanga
@FRANCELYIMO
@FRANCELYIMO 4 месяца назад
Sio kweli wapo manguli ambao hapa wameachwa
@nzalinextlevel4515
@nzalinextlevel4515 4 месяца назад
nimeona gari mbili benzi na ya tx hata gari ya clevo very simple
@OllyGDrofficial
@OllyGDrofficial Месяц назад
Izimanzi
@ombenimilinga3638
@ombenimilinga3638 4 месяца назад
mtoa post hujui thamani ya magari Anaemilik Toyota ist anamzid anaemilik Toyota Harrier?
@PABLOESCOBAR-b2p
@PABLOESCOBAR-b2p 4 месяца назад
😂😂😂😂
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 4 месяца назад
Ndizi media mmekosea kutu kimoja...wakati mnalitaja jina la gari, mngekuwa mnalionesha gari katika hali uzuri
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
Asante kwa ushauri
@HELMANMWINGIRA-ob4fu
@HELMANMWINGIRA-ob4fu 4 месяца назад
Achaneni uongo mbn kicheche ayupo na magari mazuri kuliko hao wote
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
Gari lake bado halijafika 🙌 likifika tu atakuwepo
@jumaasantana8618
@jumaasantana8618 2 месяца назад
Acha uongo clamo ndiye tajili
@allenthropus7212
@allenthropus7212 2 месяца назад
Mkuu hakuna forester ya mwaka 2009 0 km 🤣🤣apo umetupiga parefu................
@LovelyPiano-mw4zv
@LovelyPiano-mw4zv 3 месяца назад
😅😂😅
@breeztvonline7243
@breeztvonline7243 3 месяца назад
Yani hiyi orodha inanichanganya sielewi unaongelea nini utajiri au magari mana mwenye IST anashika nafasi ya 5 afu mwenye CROWN anashika nafasi ya 7 duuh hiyi list vipi bhn kuweni serious 😂😂😂😂
@umemeindustry
@umemeindustry 4 месяца назад
kwa thaman ya gari ya dullvani ni sawa na gari za txdullah ziwe mbili
@ombenimilinga3638
@ombenimilinga3638 4 месяца назад
mtoa post hayajui magari
@nzalinextlevel4515
@nzalinextlevel4515 4 месяца назад
kweli wanahitahiji pongezi uko nyuma wachekeshaji walikuwa wanazauliwa sana lkn tuttle ya utajili na magari ya kifahali amechemsha mwandaaji hakuna gari ya kifahali hapo hata moja kwa wote kuna gari na usafiri
@alexfondo4685
@alexfondo4685 4 месяца назад
Mbona hayupo joti
@rajabmohammed9224
@rajabmohammed9224 4 месяца назад
Hujui kueka wapinzani
@zulfajuma8394
@zulfajuma8394 4 месяца назад
Mbona hamtuonyeshi nyumba zao
@rommychris4912
@rommychris4912 4 месяца назад
Mweny IST anashik no 5 mweny Harrier yup namb 9 mweny crown yupo namb 7 mwingne yupo namb 4 c elew
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
Unaweza kua na ist mpya namba E na ukawa na harrier namba D 😂
@asherymwande5644
@asherymwande5644 4 месяца назад
Hapo umetaj baadh ya comedians wenye usafiri,ila wenye gar kal kina mpok,jot,masanja au mmetaja wasanii wapya,?
@NelythesonTz
@NelythesonTz 2 месяца назад
🤔🤔🤔🤔
@paulawakajala
@paulawakajala 5 месяцев назад
Mnawatia moyo wachekeshaji chipukizi kwa mafanikio haya. Magari haya ni alama ya bidii na kujituma kwenu.
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 4 месяца назад
Mhuuu mama mawigi wapi
@younglove592
@younglove592 4 месяца назад
Aide me sabscrib
@Francis-gl21
@Francis-gl21 4 месяца назад
Wapi Joti
@Degole-mn8er
@Degole-mn8er 4 месяца назад
Mmmmmmh lakini kichache na mwakatobe
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
Gari zao zinakuja bado hazijafika nchini
@KharidBlauda
@KharidBlauda Месяц назад
Matajili hawana nyumba😢 wanagari tu
@WilliamJimmy-dc2zg
@WilliamJimmy-dc2zg 4 месяца назад
Vijana mnajua😂😂😂
@VICTORKIPROP-jy5kg
@VICTORKIPROP-jy5kg Месяц назад
Swali je, kati ya Steve na Ndaro nani tajiri?
@jimmymbella997
@jimmymbella997 4 месяца назад
Lakin kama kuna watu sojawaona kwa list hii sijaelewa elewa ivi!! 😇
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
Magari Yao bado ayajafika nchini 😂
@malietamaliet
@malietamaliet 4 месяца назад
Kumiliki gari sio kua tajiri mue mnawaelimisha jamii waandishi kuna wanaonunua magri ila awajapatia ata vijana wengine ajira kuna wanaokua na pesa na wanagawana na vijana wengine kama steve coy mzungu n.k
@RedSun-ms2zq
@RedSun-ms2zq 4 месяца назад
Ka leornad hakapo
@ImmaLukas
@ImmaLukas 4 месяца назад
Atar
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 4 месяца назад
😂😂😂 ila nyumba hawana
@NDIZIMEDIA
@NDIZIMEDIA 4 месяца назад
Wanajenga taratibu 🤦
@ombenimilinga3638
@ombenimilinga3638 4 месяца назад
nenda kajambe uko masanja jot na mpok wao ni wahuzunishaji ama nao ni wachekeshaji?
@FOOTBALLTRANSFER24
@FOOTBALLTRANSFER24 5 месяцев назад
Kazi yenu ya ucheshi imezaa matunda mazuri. Endeleeni kung'ara na magari haya ya kifahari!
Далее
I LOVE MY TEACHER | 1 |
18:16
Просмотров 447 тыс.
WASANII HAWA NI NDUGU WA DAMU KABISA UMESHAWAHI KUJUA??
10:15
MAGIC RING | FULL MOVIE |
1:13:45
Просмотров 813 тыс.