Hongereni Sana kwa kaz znu bila kuwa na aibu lkn ondoen tabia ya zarau na jeur kuwaona watu wanao wa support kma afai kwasabb Meshakuwa na Mafanikio lkn mkakosa kukumbuka Mefika ni kwaajili ya Masupportor wenu kuweni makin ❤❤❤❤ nawapenda kwamana nyie niwashaur wa jamii nje na ndan
Hizi namba naona umeshindwa kuziweka kwa usahihi.. maana haiwezekani namba 4 iwe na mtu mwenye toyota ist alaf mtu anaemiliki harrier kuwa namba nane na 6 inashangaza
Yani hiyi orodha inanichanganya sielewi unaongelea nini utajiri au magari mana mwenye IST anashika nafasi ya 5 afu mwenye CROWN anashika nafasi ya 7 duuh hiyi list vipi bhn kuweni serious 😂😂😂😂
kweli wanahitahiji pongezi uko nyuma wachekeshaji walikuwa wanazauliwa sana lkn tuttle ya utajili na magari ya kifahali amechemsha mwandaaji hakuna gari ya kifahali hapo hata moja kwa wote kuna gari na usafiri
Kumiliki gari sio kua tajiri mue mnawaelimisha jamii waandishi kuna wanaonunua magri ila awajapatia ata vijana wengine ajira kuna wanaokua na pesa na wanagawana na vijana wengine kama steve coy mzungu n.k