Pesa ya kuchonganisha Mbowe na Lisu. Mmewagombanisha wakati ugomvi haupo CCM mnataka nini kwa Chadema. Michango haikuonekana alipopigwa Risasi,mlibaki kumkejeli. Msigwa utalipa udhalilishaji huu. Mchungaji uwongo na ufitini ni sawa na kuuwa. Jitafakari Mungu anakuona. Vyeo unafuta kwa kwa uroho wa pesa!!!!
Ni wapuuz wanataka ili waje waseme kua wanamsaidia wakat kipindi kigum hawakumsaidia wakat ilikua ni wajibu na lazma kwa mujibu wa Sheria kwasaba alikua ni mmbunge, ila saiv ndio wanataka kujionesha, Kwasabab wanapigwa maneno makal ya ukwel ya kutufunulia wananchi juu ya kinachoendelea, mm niseme ukwel kwamba siku za mwsho arobain nikimaanisha mungu siku Hadi siku anaumbua watu na siku moja ndio itakua kabisaaa mtapalalaiz Kwasabab ya wananchi tunachoka kwa kinachoendelea
Kaka yangu Lisu usiichukue hiyo pesa, ni mtego kwako, unakubaliana na Yale waliokutendea, kama walikua na nia njema wasingetoa maneno ya kashfa jukwaani
Hii pesa walijuaje anataka pesa hiyo km aliomba au vipi? Tusikurupuke na kingine bei hiyo sio kweli km itatosha kutengeneza hiyo gari kuanzia kunyoosha na kupiga gari rangi services ndogondogo ya gari kupack muda mrefu na kununua interior ya ndani kwani ni ghali sana mpk hiyo gari iwe sawa barabarani si chini ya 80 million
Mh Lisu,kama utapokea pesa hiyo,nitakuwa sina wasiwasi kwamba kuwa upinzani ni sambamba na. Utahira unaombatana na njaa ya tumbo.Na itakuwa mmewarahishia wadau wa siasa,sasa wana nafasi moja tu ya kuchagua ccm mpaka mwisho wa dahari.
kuna unafiki mwingi,Lisu aliumizwa,wanaosema hivyo naona walichangia kwa kupigwa lisasi Lisu ,kwenye matibabu mbona halambee hiyo haifanyika kama ccm wanajua ni mtanzania mwenzetu,au mnamvuta kiakili .
Mh. LISSU ni vema usitengeneze hili gari lenye matundu ya risasi ili ibaki kuwa ukumbusho wa historia na siasa za nchi hii. Pili . Leo hii Mh Lissu tamka tu unahitaji harambee mfano ya uharibifu wa mali na walioumizwa muone. Jamani isifike mahali tukawa na chuki kati yetu sisi ni ndugu na taifa moja. Tushindane kwenye maendeleo na tupendane kwa mustakabadhi wa taifa letu.
Mumununulie jipya mulilipiga risasi wenyewe nyie ccm hata mukijifanya ni wema tunawajua kuwa ni wabaya pote Kwa viongozi wa chadema mpaka Kwa wanainchi wanaowachagua