DAAAH SALUTE SANA KWAKO Kuna, yani jioni hii ya LEO nilikuwa naongea na jamaa mmoja ya hizo mambo ya kujionesha kua una vitu flani, kupiga picha na hela NK, nikamuambia Ali ni tofauti sana,,,,,,,,,,
Nakumbali Ali mume ni ajivunie na kumsifu mkewe kwa sababu mke ni sehemu ya maisha ya mwanaume Na mwanaume pia ni sehemu ya maisha na mwanamke Sio kama sisi wengine hapa hata akiulizwa kama ana mke ajificha mara amtukana
Ivi Alikiba kwa nini usiwi unaimba kaswida una sawuti nzuri ikiwa una imba nyimbo za kuumsifu Allah na mtume wake utakupeleka wwe ujulikane akhera na duniya
Ila King ni King tu yaani sauti yako ni ile ile. Nakupenda je we kaka Mungu awasimamie na hao vijana wako InshaAllah mtaishangaza dunia. Yebabaaaaaa no mbwembwe no Kiki inawezekana!
Kwa muda mreefu nimeligundua hili. Alikiba akiwa anafanya interview na LilOmmy anakua cormfotable saana na ukimuuliza maswali yanayomuhusu yeye anakujibu vizuuuuuuri vizuuuuuuuuuuri hadi raha
😂😂😂😂😂Yebabaaaaah😍😍😍😍kiba ALLAH akupiganie sana 🙇♀️ 🤔🤔majirani kwani mnateseka🙄 🤔🤔🤔mbn mapovu sana 😁😁😁tunajua mmekunywa sabuni kaz kwenu kuyamwaga😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃 Tim kiba forever😙😙😙😙😙
Acha kukufulu mungu we ally kiba. Unasemaje mwenyezi mungu amekuelekeza kwenye kuimba wewe ni mtoto wa kiislamu usihusishe jina la mwenyezi mungu katika makatazo aliye yakataza kujihalishia zambi. M/mungu ametuelekeza njia za kufata Ila sisi binadamu ndio tunayoacha maalisho mema na kufata njia mbaya. Kwa iyo kwenda peponi au kuingia motoni mja anachagua yeye mwenyewe. Imekatazwa kuingiza jina la mwenyezi mungu katika kuhalalisha zambi. Nakusihi ndugu yangu sisi waislamu tujichunge sana na ndimi zetu kwa kulinda maamlisho ya mwenyezi mungu inshaallah.
They are people out there supporting you and they will always do,so what is it really bothering you...keep doing what you doing and not panicking about other people's business...vyakwako vikikushinda,kaa kimya #goodworktellsitself