ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA azungumzia maisha yake baada ya MSAMAHA WA RAIS MAGUFULI
Ibara ya 45 ya katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania alioitumia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John pombe Magufuli siku ya Tarehe 9.Dec.2017 siku ya uhuru alipowasamehe wafungwa zaidi ya elfu tatu ndiyo iliyotufanya Tukasafiri umbali mrefu wa zaidi ya kilometa 560 ili kumfikia Mzee Aloyce Mwalongo.
Mzee huyu ni miongoni mwa wafungwa watano waliohukumiwa kesi ya pamoja ya mauwaji yaliotokea usiku wa kuamkia tarehe 26.8.1974 Mkoani Njombe ambapo baadae walibadilishiwa adhabu na Rais wa kwanza wa Tanzania Hayati Baba waTaifa Mwl Julias Nyerere na kuwasainia adhabu ya kifungo cha Maisha jela,
Hata hivyo Tarehe 9.Dec.2017 Rais Magufuli aliwasamehe na wakaachiwa huru licha ya kuishi gerezani kwa miaka 43, Tazama video hii ujionee Mzee Mwalongo akisimulia maisha ya gerezani na changamoto alizopitia
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
www.youtube.co...
16 сен 2024