Тёмный

ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA azungumzia maisha yake baada ya MSAMAHA WA RAIS MAGUFULI 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 193 тыс.
50% 1

ALIYEHUKUMIWA KUNYONGWA azungumzia maisha yake baada ya MSAMAHA WA RAIS MAGUFULI
Ibara ya 45 ya katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania alioitumia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John pombe Magufuli siku ya Tarehe 9.Dec.2017 siku ya uhuru alipowasamehe wafungwa zaidi ya elfu tatu ndiyo iliyotufanya Tukasafiri umbali mrefu wa zaidi ya kilometa 560 ili kumfikia Mzee Aloyce Mwalongo.
Mzee huyu ni miongoni mwa wafungwa watano waliohukumiwa kesi ya pamoja ya mauwaji yaliotokea usiku wa kuamkia tarehe 26.8.1974 Mkoani Njombe ambapo baadae walibadilishiwa adhabu na Rais wa kwanza wa Tanzania Hayati Baba waTaifa Mwl Julias Nyerere na kuwasainia adhabu ya kifungo cha Maisha jela,
Hata hivyo Tarehe 9.Dec.2017 Rais Magufuli aliwasamehe na wakaachiwa huru licha ya kuishi gerezani kwa miaka 43, Tazama video hii ujionee Mzee Mwalongo akisimulia maisha ya gerezani na changamoto alizopitia
#RAISMAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
www.youtube.co...

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 228   
@globaltv_online
@globaltv_online 4 года назад
JE, una habari ungependa wana You Tube waijue? Tutumie au tupigie WhatsApp No: +255 657 955825, +255 676 229628 au +255 784 888982 - GLOBAL TV ONLINE.
@hemedhongo8687
@hemedhongo8687 4 года назад
Sawa
@heriethjoram3298
@heriethjoram3298 4 года назад
Dunia hiii😭 tujifunze kuishi kwa upendo
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 3 года назад
Posho zinapatikana
@masongomchael3470
@masongomchael3470 3 года назад
Design
@rachelkibaya8537
@rachelkibaya8537 5 лет назад
Acheni Mungu aitwe Mungu,asante Dr.Magufuli,rais wa wanyonge baba yetu,Mungu akulinde sana
@robartngusa2300
@robartngusa2300 4 года назад
Amen
@cleofasladislaus1474
@cleofasladislaus1474 5 лет назад
Mungu alisimama na yeye huyu mzee hakutetewa na mwanadamu bali alitetewa Mungu.
@faudhiamwenga8880
@faudhiamwenga8880 5 лет назад
Pole baba Aki ya MTU Aipotei
@ramadhaniamri3465
@ramadhaniamri3465 2 года назад
Mungu ni mwema Sana Watanzania wenzangu ogopa sana Maisha ambayo mtu unakula kwa muda unalala kwa muda alafu kosa hauja lifanya Mungu Atunusuru sana nayale Maisha,Mungu akulaze Mahal pema peponi Rais wetu Hayti John Pombe Magufuli Mwenyezi Mungu akupe kauli thabiti....Aamiiin
@robertmaginga6132
@robertmaginga6132 5 лет назад
Kwa maneno yako mzee, ikiwa ndivyo endelea kumwamini Mungu, Mungu ni mwema ujapopitia taabu yeye anakukumbuka maana yeye anajua hata hesabu ya nywele zetu, pole sana BWANA ni mwema.
@jacksonmussa7713
@jacksonmussa7713 5 лет назад
Mtangazaji unaweza sana hongera kwako
@steriahdavid3882
@steriahdavid3882 5 лет назад
Pole sana Mzee. Ashukuriwe mungu wetu aliye mtetezi wetu siku zote.barikiwa baba yangu
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 года назад
Wanawake Wa Zamani Bhana Wako Na Uvumilivu Wangekua Wanawake Wasasa Ungemkuta Na Mzee Mwenzio Ndani Mungu Ni Mwema Aliwapa Uwezo Mkubwa Wa Kuvumilia
@khatibabdallah6185
@khatibabdallah6185 5 лет назад
Inahuzunisha sana kwa kweli lkn kwa Mungu utalipwa mzee uonezi ni mwingi mnoo mnoo, tunamshukuru mh rais
@mussamkalawa2101
@mussamkalawa2101 5 лет назад
Pole sana mzee ,,,,, Mtangazaji unamacho mazur sana I like u
@saumushabani3170
@saumushabani3170 3 года назад
Hahaha
@judithsimeon7403
@judithsimeon7403 4 года назад
Hadi chozi limenitoka Pole sana Baba yangu Mh Rais Magufuri ubarikiwe sana, maliio yako yapo kwa Mungu
@thomasnyarusanda2608
@thomasnyarusanda2608 5 лет назад
Pole sana baba, Mungu amekupigania kwa dhuluma hiyo.
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 года назад
Namshukuru Mungu Kwa ajili ya muujiza kama huu, Mungu ambariki mh Rais,, Mungu ambariki huyu baba amani yake irudi,,lkn pia Mtangazaji Mungu akubariki nimeyapenda maongezi yako
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 5 лет назад
Pole asante rais wangu john pombe m. Unapashwa kuwashtaki hivi mahakimu kweli mlimuhukumu huyu baba kunyongwa ? Mbona hata mie asiyehakimu namwelewa . Ya nini kuwa na hakimu ?
@GidionEmamuel
@GidionEmamuel 5 лет назад
Serikal embu watoeni wazee gerezan hamuon hata aibu siku mkinyakuliwa kwa mungu mtaeleza nini embu fanyen muwezavyo muwatoe mungua awabarika
@husnauthman7609
@husnauthman7609 4 года назад
Yaan
@AddshAddsh
@AddshAddsh 5 лет назад
president magufuli mungu akuzidishie milele ,mutetezi wawanyonge,mimi ni mu congomani lakini kuona mambo unayofanya juu ya rahia wako,mungu aendelee kukuzidishia miaka maelufu .
@thegloryofchristforwholewo5112
@thegloryofchristforwholewo5112 3 года назад
Dunia hii anayehukumu kwa haki ni Mungu. Pia maisha yetu yanategemea sana uhusikaji wa Mungu kututetea. Tusiache kumtegemea Mungu na kumuomba pia. Oooh Mungu tushike mkono...
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 5 лет назад
Pole sana mzee kwa mateso uliyo yapata ila hatawale walio kuhukumu kwa uonevu leo hii hawako duniyani wamekufa nawanatakiwa wajib maswali yauonevyo walioufanya huku duniyani
@khadeejaabdullah7083
@khadeejaabdullah7083 5 лет назад
Pole sana baba yetu Hongera sana mamy wew ni mfn kwetu
@georgekapani7174
@georgekapani7174 3 года назад
Pole xana mzee kwayaliyokukuta namwomba mungu akujalie maisha marefu na mema pia mung u akubaliki sana
@mabubakitambi1612
@mabubakitambi1612 5 лет назад
Daaah,,poleee sana mzee wangu,,, yadunia mengi umenigusa sanaaaa
@charlesjacob1273
@charlesjacob1273 3 года назад
Tz nomaaaaa viongz wanafanya kazi kwa ukomoaj
@felixmoses9863
@felixmoses9863 5 лет назад
Pole Baba yangu, Mungu mkubwa
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 5 лет назад
Jamani inauma Sana pole Sana Babangu
@bernadrichard9587
@bernadrichard9587 5 лет назад
Bila shaka najuA sanA tabora naikumbuka
@oswardephraim4217
@oswardephraim4217 3 года назад
Mungu ni mwema sana mzee ameharibiwa ndoto zake zote kisa binadam wenye roho mbaya inauma sana kwa kweli
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 4 года назад
mtangazaji hongera una kipaji good work
@nemymtango4074
@nemymtango4074 5 лет назад
Pole sana baba kwel Mungu wetu ni mkuu anafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya
@carodavies3422
@carodavies3422 4 года назад
A leader must be like you his Excellency john Joseph magufuli,YOU A VERY GOOD EXAMPLE TO MANY AFRICAN LEADERS,A LEADER READY TO FORGIVE&BE A SERVANT TO OTHERS AS CHRIST JESUS TAUGHT,GENUINE KINDNESS,GENEROSITY,UNDERSTANDING,READY TO HEAR COMPLAINTS FRM THE PIPO WHO VOTED FOR YOU,LOVE&TOTAL CARE KWA WANYONGE,HON NAPE NAUYE ITS OVER FORGET ABOUT THE PAST LET WORK TOGETHER TUMUUNGE MKONO,RAISI WETU AMALIZE PALIPO BAKIA HONGERA SANA KWAKUA TAYARI KUTAMBUA UMEKOSEA NA READY KUOMBA MSAHAMA
@paulinasemindu1292
@paulinasemindu1292 4 года назад
😭😭😭dah huyo mama anavyolia kiukwel kaniliza hadi mimi niwamama,wachache wanaovumilia,na kutokuolewa namwanaume mwingine pindi mumewe yupp kwenye,tabu inaonyesha,jinsi gani walivyokuwa,wanapendana hongera,mama
@mathayowilson1525
@mathayowilson1525 3 года назад
ASANTE SANA DR JOHN POMBE MAGUFULI, KWA KUFIKIRI NA KUONA BINADAMU ANA UMHIMU WA KUWA HAI.. ASANTE MTANGAZAJI KWA KAZI NZURI...ROHO MBAYA INA MAVUNO YAKE HAPA DUNIANI KWANZA...
@mussapeter3743
@mussapeter3743 5 лет назад
Mwenyezi Mungu mbariki sana Rais Magufuri kwa kazi anazozifanya ikiwemo kuwaona watu waliofungwa jela bila makosa. Mhe. rais hii inaonesha mpaka sasa wapo watu wengi gerezani wasio kuwa na makosa hivo tunakuomba Mhe. rais uendelee kutembelea magereza ili kuweza kuwasaidia watu wasio kuwa na hatia kama Mzee Mwalongo inasikitisha sana. Mungu akutangulie sana Dr. Magufuri
@elinahdaudi8195
@elinahdaudi8195 5 лет назад
Kama Mungu akisema ndiyo hakuna wa kuzuia,asante sana Rais Magu upo kwa ajili ya wanyonge
@mboyibenard9250
@mboyibenard9250 4 года назад
Daa mtangazaji kahabhi mbona unazidi kuwa mrembo hivyo macho kama mhindi duu jamsni
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 3 года назад
Mungu ni mwema siku zote
@franciscogosbert9603
@franciscogosbert9603 5 лет назад
Hiyo sound track bana inaamsha hisia za kulia banaaa na jinsi anavyosimulia mzee inasikitisha
@manbonge3015
@manbonge3015 5 лет назад
Wee dada umebobea kwa hii tasnia umetisha
@msafirikalinga6938
@msafirikalinga6938 4 года назад
Catherine kahabi, unajua sana, maswal yana hisia sana
@robertmaginga6132
@robertmaginga6132 5 лет назад
Mtangazaji uko vizuri, umeiva kitaaluma, hongera.
@CetribeaBurundibwiza-tz5le
@CetribeaBurundibwiza-tz5le 5 лет назад
What do you mean??
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 5 лет назад
Amepikwa😅😅🙌
@mpoleclassic160
@mpoleclassic160 5 лет назад
Daaah huyo mtangazaji wa kike nimempenda sana jamani
@jackilinram1083
@jackilinram1083 4 года назад
Diamond Platnumz mzalishe
@dullahmsagati9735
@dullahmsagati9735 5 лет назад
Pole sana mzee
@shammahlupon7945
@shammahlupon7945 5 лет назад
Maaskari wengi huwa wanaishia maisha mabaya sana sababu ya kuonea watu kama huyu mzee
@peterjoseph269
@peterjoseph269 4 года назад
Mungu adizi kukutetea .....
@zuhuranadahhinda1366
@zuhuranadahhinda1366 4 года назад
😭😭😭😭😭😭😭😭Allah awape subra watu wote waliokuwa ktk mtihani huu
@neemaabeid6861
@neemaabeid6861 2 года назад
Ameen
@momylaviel
@momylaviel 6 месяцев назад
Dada cathe nakupenda tu
@consesamallya9763
@consesamallya9763 3 года назад
Du jamani sasa wanasheria huyu mzee halipyi hata kidogo toka ujana hadi uzee 😭😭😭😭inauma sana jamani
@samsonsamson1152
@samsonsamson1152 5 лет назад
nakosa lakusema...Bali namtukuza Mungu juu ya hili
@stahimilmassawe8540
@stahimilmassawe8540 5 лет назад
Magufuli ni rais mwenye hofu ya mungu
@gamelahg4613
@gamelahg4613 4 года назад
Stahimil Massawe kweli unase ukweli kabisa
@kamarat36safari52
@kamarat36safari52 4 года назад
Congrats to Global TV but mostly nimempenda huyu host Macho yake nung'unung'u akinitazama 😘👁️
@RomwardWM
@RomwardWM 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😂😂😂😂
@godfreymushi5125
@godfreymushi5125 4 года назад
Ameteseka mzee mungu ni mwema
@abdallahmuttaq7306
@abdallahmuttaq7306 5 лет назад
Nimepata somo kupitia maisha ya hyu mzee aliyoyapitia, niekwamba ktka maisha mtu unakuwa unapitia nyakati tofauti unapokuwa unaishi inakuwa tu ni njia zipi unapitia kufika unapokwenda.Huyu mzee kipindi kirefu cha maishayke kakitumikia akiwa jela na katoka kwa uwezo wake Allah lkni kunamtu mwingine yupo huru lkni kwasababu tu maishayke ni magumu anakata tamaa bila kujua ipo siku atatoka na kufikia mafanikio yke. Nipo uggaibuni maisha yaeutafutaji ni magumusana natafuta maisha ila naamini ipo siku kwa uwezo wa Allah nitatoka na kufikia pale ninapotaka kufika.
@bimsinani5944
@bimsinani5944 3 года назад
Tupo wote inshaallah mungu atasimama na sisi
@abdallahmuttaq7306
@abdallahmuttaq7306 3 года назад
@@bimsinani5944 amin
@alimussa2655
@alimussa2655 5 лет назад
Serekali za kiafrika hazina netwk hazichunguz mambo yapaswavyo watu wengi wamefungwa vifungo bila ya makosa yoyote lakini mungu nd kila kitu na ipo siku yeyote anaemuhukum mtu yeyote bila kosa ipo siku mw mungu atahukumiwa hapa hapa duniani
@sweedihamisikalongo4925
@sweedihamisikalongo4925 3 года назад
inasikitisha sana
@hadijaangura6572
@hadijaangura6572 5 лет назад
pole babangu mungu akupe nguvu kwa wakati mgumu uliokuwa nao
@mamanimama2618
@mamanimama2618 Год назад
Pole
@niggasonfleek4755
@niggasonfleek4755 4 года назад
Huyo Dada anaemhoji Huyu mzee ana sura nzuri
@enterenter1921
@enterenter1921 2 года назад
Alhmndulillah
@user-ok6lv3je4b
@user-ok6lv3je4b 8 месяцев назад
Mungu ndie akimu
@neemaabeid6861
@neemaabeid6861 2 года назад
Pole baba
@rahimaaziz8970
@rahimaaziz8970 3 года назад
Pole sana ,mungu wetu nimwaminif
@shukurumgaya5950
@shukurumgaya5950 5 лет назад
Mtangazaji yuko vizuri
@mwanahawabakari718
@mwanahawabakari718 2 года назад
Jamani huyu dada meandishi ni mzuri Sana mungu apewe sifa
@raphaelgadau2783
@raphaelgadau2783 5 лет назад
Nimemuelewa huyu dada💙😘
@patrickbatenga2645
@patrickbatenga2645 Год назад
Waandishi uwezo mdogo Sana, story nzuri lakini mwandishi mhh.
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 5 лет назад
Pole sana baba😥🙏
@elizabethsanga9184
@elizabethsanga9184 4 года назад
Pole sana
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 года назад
😭😭😭😭😭eliye wadhulum inshaallah nayeye mungu atamdhulum polesana mzeewetu lakini kesho kwamungu watakulipeni dhulma waliyokufanyieni
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 5 лет назад
Maskini pole sana baba Mungu mwema kwakweli
@veronicachikongoye6523
@veronicachikongoye6523 3 года назад
Pole baba yangu,ni mungu tu
@zwainazwaina9808
@zwainazwaina9808 3 года назад
Oh
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 5 лет назад
Hawa ndio waliotuhumiwa kumuua mhindi kwenye nyumba ya Baba yengu. Kipindi hicho Baba yangu kanunua nyumba akampangisha mhindi Njombe mjini. Akaenda katafuta mtaji Zambia akarudi kutoka Zambia nakuona nyumba imechomwa Moto. Miaka ya 70s. Baba yangu Mzee Ufunguo alishatangulia mbele za haki. R.I.P. Ila wazee hawa waliotuhumiwa kumua mhindi kwenye nyumba yetu wapo hai wote
@inosentrogat9624
@inosentrogat9624 4 года назад
Danford Mwabena nikweli au
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 4 года назад
@@inosentrogat9624 ni ukweli Kwa jinsi nilivyoisikia Stori hii Stori nyumba iliyochomwaga Moto na mhindi wakamuua ni yetu wakati huo Yule mhindi alikuwa mpangaji wetu Mimi sijazaliwa. Na maeneo anayozungumzia kwamba ilikuwa jirani na Duka la Bora
@jacquelineadrian1112
@jacquelineadrian1112 4 года назад
Akiungana na yule aliekamatwa na kakaake?ila huyu alikuwa mlinz wa mbali kidogo na hiyo nyumbayenu
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 4 года назад
@@jacquelineadrian1112 nyumba zipo jirani kabisa nyumba ya tatu kutoka alipokuwa anailinda Duka la Bora . Mimi mwenye nimeisikia tuu hii Stori toka zamani Kwa maelezo hayo hii yenyewe.
@jacquelineadrian1112
@jacquelineadrian1112 4 года назад
@@masachihorticultureunitcol711 ni sawa but huyu kaz yake ilimponza
@alvinahavitus8538
@alvinahavitus8538 3 года назад
Pole sana baba,ila we mtangazaji umenimaliza jaman sio kwa uzuri huooo Yani Kama wa bandia jaman
@gracemalatwe5344
@gracemalatwe5344 5 лет назад
Jaman hadi huruma unajua mimi niliwahi kwenda jela bila kosa mungu mwema
@ibrahimbigilwa7150
@ibrahimbigilwa7150 5 лет назад
Polee
@gracemalatwe5344
@gracemalatwe5344 5 лет назад
@@ibrahimbigilwa7150 asante
@japhetsanga3895
@japhetsanga3895 4 года назад
Poleni Sana baba zetu
@lidialameck5590
@lidialameck5590 5 лет назад
Catherine napendaga kisauti na njonjo zako, hongera
@cleverlinga3389
@cleverlinga3389 2 года назад
Daa maisha haya
@Rubuka264
@Rubuka264 5 лет назад
Uyu mwanamke ni mzuri. Nilikuwa nakufuata bila sikukujua dada.
@melkizedeckkiputa165
@melkizedeckkiputa165 4 года назад
Aseeh adi mim nimemuona
@lowasalesirai9504
@lowasalesirai9504 3 года назад
Huyo sister walay n smart girl
@youngteo5341
@youngteo5341 3 года назад
Pole sana mzee wetu
@abdallahrashidi4560
@abdallahrashidi4560 5 лет назад
Mtangazaji upo ok
@halisiaisaya7832
@halisiaisaya7832 5 лет назад
Nimegushwa sana Moyoni Mwangu.
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 5 лет назад
mtoto wa mzee ni kichwa
@nyamweririchard5945
@nyamweririchard5945 5 лет назад
Duu,,inauma sana
@claudemanirambona5985
@claudemanirambona5985 4 года назад
Journaliste nimuzuri sana anamacho mazuri
@mariasimon7545
@mariasimon7545 5 лет назад
mzee mi NAKUSHAURI UOKOKE WEWE NA FAMILIA YAKO ILI ANGALAU UKAFARIJIWE MBINGUNI UTAKAPOIACHA DUNIA HII YA DHIKI. NIMEMUHURUMIA SANA MAMA NILIPOONA CHOZI LAKE. LAKINI MUNGU AMEWAONA HAKUWAACHA KAMWE.
@leonarddamian
@leonarddamian 4 года назад
Natamani huyu mzee angesoma hiyo comment akajiokokea
@msuyaothman9591
@msuyaothman9591 4 года назад
Hawezi kuokoka akiwa hai
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 3 года назад
Ni mzee wa din sn na n babu yangu kabisa
@frankfrank7717
@frankfrank7717 2 года назад
Oo
@stumay-wx9rp
@stumay-wx9rp 3 года назад
Bole san baba angu pole mama angu polen familiy inaumiza ila mungu hamtup mcha wake asant rais wetu mungu akuongoz vyema 😭😭😭
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 3 года назад
Asnt
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 5 лет назад
Mungu mema.wengi walionewa kufugwa kwa ajili ya rushwa
@johnferdnand2048
@johnferdnand2048 4 года назад
Rais magufuli mungu azidi kukuongoza katika uongozi wako uendelee kuwatetea watu wanao onewa
@frankfrank7717
@frankfrank7717 2 года назад
Oka a
@fredrickpeter8051
@fredrickpeter8051 2 года назад
Mtangazaji Pisi Kali aseee
@eliphaziamon8794
@eliphaziamon8794 5 лет назад
Sheria za Tanzania zina macho lakin hazion, nimesikitika sana unamfunga MTU maisha bila ushahidi kisa muhind mwizi wa Mali zetu Africa duu aibu sana
@cumarmahres6041
@cumarmahres6041 4 года назад
Asante sana
@arikasisolution2253
@arikasisolution2253 3 года назад
Catherine
@fidesbenard3270
@fidesbenard3270 5 лет назад
Pole baba..
@johnferdnand2048
@johnferdnand2048 4 года назад
Daa mzee wewe ni zaid ya shujaa Mungu yupo nawe
@mahamudubakari5895
@mahamudubakari5895 3 года назад
Mungu ndio kimbilio lamwanadamu mtangazaji hupo poa sana
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 4 года назад
Wewe dada mbona mzuri wasura ivyo maana ndani siwezi kusifia kwakuwa sijakuona unavyomwangalia mzee kama macho yanazungumza vile kwakuangalia uko
@mmlove9127
@mmlove9127 4 года назад
Big love to mama
@oscarbenjaminkaaya4103
@oscarbenjaminkaaya4103 4 года назад
Kwenye hii case nimewasikiliza wote,wakiwamo masho na pekosi mtalikidonga,lkn kuna jambo hawaliweki wazi:huyo mwanamke ni mtu waliyekuwa wakimfahamu kabla ya case,pia mke wa kwanza wa yohana chengula ambaye anatajwa kwamba alikuwa kwny mahusiano na huyo mhindi kama ilivyoainishwa kwenye mahojiano yaliyowekwa kimaandishi kwenye blogu ya 'muhubiri' mbona hayawekwi kwenye mahojiano ya ana kwa ana,'huyo mwanamke chausiku samwel sanga,yupo na alikuwa wakifahamiana?'
@mariamcrispo8296
@mariamcrispo8296 5 лет назад
Asante Catherine Kahabi nakuelewaga sana
@estheradriel9829
@estheradriel9829 5 лет назад
Serikali imlipe jamani, kwanini Wauze nyumba? MUNGU aendele kukupigania
@eggysulle7988
@eggysulle7988 3 года назад
Nakukbl cathe
@hemedhongo8687
@hemedhongo8687 4 года назад
Mtangazaji mzuriii
@wazirituppa6739
@wazirituppa6739 3 года назад
Wakawaida Jicho na Weupee Ndio Umemsaidiaa 😂😂😂
@user-xf9or5cv1d
@user-xf9or5cv1d 2 года назад
Mashallah huyu dada power will lina mendoza sijui kaolewa
Далее
WAZEE WATANO NA SIMULIZI YA KUSUBIRI KUNYONGWA
16:35
Просмотров 206 тыс.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Просмотров 8 млн