Лучшее на RU-vid
Кино
Авто/Мото
Видеоклипы
Животные
Спорт
Игры
Приколы
Развлечения
Хобби
Наука
Авторизоваться
Зарегистрироваться
EXCLUSIVE: Baba Levo Aelezea Kila Kitu, CHANZO/SABABU Zilizofanya Akafungwa GEREZANI
21:03
HUYU MFUNGWA ALIEKATAA MSAMAHA WA RAIS MAGUFULI ANA TATIZO LA AKILI
4:00
15 РЕЦЕПТОВ для тех, кто любит поспать и не любит готовить! Быстрые ЛЕНИВЫЕ завтраки!
14:49
Кремль🔥 #татьянакуртукова #матушка
00:16
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
🔥 ПРЕМЬЕРА 2024! 🔥 Роман с секретом (2024). 1 серия. Детектив, мелодрама, сериал.
43:53
DAKIKA 22 MAISHA YA BABA LEVO GEREZANI, KUMRUDIA MUNGU, JAJI ALIEMNUSURU, ANACHOFANYA
Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 89 тыс.
50%
1
Видео
Поделиться
Скачать
Добавить в
Опубликовано:
14 окт 2024
Поделиться:
Ссылка:
Скачать:
Готовим ссылку...
Добавить в:
Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии :
209
@magnusbugingo7471
4 года назад
baba levo sifa moja ulio nayo kama kiongonzi Ni ujasir Kwa maana ya kujiamini dah nipenda sana kujiamini kwako keep it up
@kulwamathias1735
4 года назад
Hongera kwa kumjua Mungu na kuchambua bibilia kuhusu Paulo na Petro
@erastosolomon4554
4 года назад
Hahaaaa😂😂😂😂 Baba levo bwana eti nitabeba hadi pasi I like you my brother uko na confidence ya kuongea vizuri
@erickzephania1030
4 года назад
Pole sana kaka, tunajua tatizo hapo ni udiwani..! Mungu akutangulie
@hadija846
4 года назад
Amiin🙏🏼
@hamenyaanthony8502
4 года назад
Pole sanaaaa babalevo tunakupenda sanaa mashabiki wako nabado tukopamoja sana kalibu natupemangoma kama kawa rahaaaa🤩🤩🤩
@aisharamadhan5257
4 года назад
Mwenyezimungu ni mwingi wa rehma hatuna budi kusema alhamdullilah kwa kila hatua
@georgemadinda8514
4 года назад
Wakati mwingine Mungu anaruhusu tupite mapito kama hayo kwaajili ya kutushape na kutunoa ili tumfae yeye. Thanks God.
@thomasteryo6180
4 года назад
Mimi ni mchina ila nawa fatilia sana TZ Gonga like kama unamuona babalevo kalewa
@Cambarada
4 года назад
Thomas Teryo we unazingua 😂😂
@kareembakunda8864
4 года назад
🤣🤣mchinaaaa
@ezapesambili2130
4 года назад
Nakukubal sana baba levo kwanza kabisa T-shirt zako huzitupi Pia ngoma zako
@CHIEZAJunior
4 дня назад
Walio angalia mwaka 2024 gonga like apa
@johnvascogodfrey7070
4 года назад
Rafiki yangu maisha Ni Yesu tu njoo, karibu katika familia ya watakatifu wake kristo Yesu
@michaelkabeta7974
4 года назад
Watu wakienda gerezan wanamjuaga mpka na Mungu
@patrishadickson3365
4 года назад
mzizima updates hahaha
@antoinea.katembo5326
4 года назад
mzizima updates si ndo wanakua matatizoni
@marthalucas2951
4 года назад
Pole Sana mtani
@damianmachilutv1167
4 года назад
Baba levo Pole sana shukuru kwa kila jambo
@ezekielmigera8559
4 года назад
Hongera DOGO Cleiton ; pambana safari bado ndefu;
@puttenyanthony9284
4 года назад
Pole xanaaa diwani wetu
@julianarobert9815
4 года назад
Mungu ni mwema kila wakati🤗
@mwambietv7614
4 года назад
Hakika Baba levo Mungu yupo cku zote na ata milele
@abrahamkilele4365
4 года назад
Heshima kwako baba level for another level
@christinasolomon8156
4 года назад
Oooh!! Haleluya karbu kwa YESU.
@princess-uf5ux
4 года назад
Amen
@simonnembomadola7512
4 года назад
Baba Levo nampenda Rudi kwenye gemu acha siasa
@andiqueantonio3377
Год назад
Leo sio baba levo huyu
@h.rukuba7464
4 года назад
BABA LEVO mimi binafsi ni CCM lakini najua wewe ni mwana Maendeleo kama soko la usiku umewasaidia Sana kina mama zetu hongera mchapakazi ,
@khadeejaabdullah7083
4 года назад
Alhamdulillah kwa kila jambo karbu uraini
@brigitamash2007
4 года назад
pole kitambo sikuskii baba levo kumbe ulikua jela pole
@gwakisamwakimi554
4 года назад
Still ndio neno kuu la baba levo kama unakubaliana na Mimi gonga like apo
@ameniameni617
4 года назад
Pole Sana . Mungu yu mwema
@godblessnchimbi3850
4 года назад
Baba levo we ni waki
@theresiangunda2298
4 года назад
Siyo petro we we baba ni Pouro na sila
@ahmadsadi8841
4 года назад
Keep it up Baba la Baba
@muddysimba887
4 года назад
That the point
@kingwatabata4230
4 года назад
Msechu lipa deniiiiii kwa Baba levooo😂😂😂
@Twende828
4 года назад
😂😂😂😂et kitambi kimekata ringiiiiii daah huy jamaaaaa
@sospider2005
4 года назад
hahahaaa
@mwanahawamakame1178
4 года назад
Yn baba levo etii msechu watabeba mpk pasi kitambi kimekata ringiii😂😂
@amosethantheking8815
4 года назад
"Still" na comment.. Huyu jamaa nikaa naye gheto moja kwa bro wangu pale nyuma Sinza lion.. 😂 😂
@jasonbeezy7191
4 года назад
Uyu nimecheza nae playstation pale Sinza lion
@amosethantheking8815
4 года назад
@@jasonbeezy7191 true, si pale kwa akina mbegu... Kwa felix fashion..play station za Sady..
@jaydon3361
4 года назад
Duh Leo umemkumbuka Mungu
@joelfufulu
4 года назад
Ooooh! Karibu kitaa, misukosuko nikawaida ktk maisha!!
@ukweliunauma4570
4 года назад
Jamaa yuko poa siasa anaweza sasa
@danielyared4880
4 года назад
Levels bby
@budoboy3359
4 года назад
Nomaa
@bakaryhamis3457
4 года назад
Baba la baba
@officialmkerewe
4 года назад
Pole sana wajina ila gerezani imeandikwa kuwa kila mtu atapita katika sehem yenye kimvuli
@aliymahamudu8377
4 года назад
Kalibu tena baba levoo
@julyjulio344
4 года назад
Nakuelewa sana baba la baba
@saidiomali3324
4 года назад
Kweli gerezani ni malekebisho ya tabia umekaaa levo kama jina la mwanao peace in love.
@dianamadege1703
4 года назад
Pole sana baba
@irinemacha2951
4 года назад
Ha ha ha ha ha.. Baba Revo
@kezbjanja4521
4 года назад
Baba levo bhana
@musasimba3689
4 года назад
Ili niache utani inabidi pita msechu afe kama umesikia gonga like
@agaaah6697
4 года назад
Ha ha ha
@amisiamisi3424
4 года назад
Amisiabu
@christinahillary3417
4 года назад
Hongera xana kakangu mungu akubariki inshaall
@paultemu8824
4 года назад
Nakukubali sana arifu
@paulebby1552
4 года назад
Msechu umekopakopa elfu6 hadi milioni 16
@rynedebrownie2828
4 года назад
Amen blessed
@Ashelymhangazo
2 года назад
Ameiona video hii now ,akiwa chawa mkuu wa diamond tujuane😁😁
@bullahrwabatika5504
4 года назад
Nikae kwenye kikao natoa ukenda tu😂😂😂😂😂
@jumadema7646
4 года назад
Bro: usishindane na serikali kwa kutaka sifa, ona Sasa ulivyochakaa ! Pole sana.
@habilimeshack5105
4 года назад
Baba levo amagambo nibhuke bhuke
@Balogetv
4 года назад
Mungu n mkubwa
@opiyowilson3640
4 года назад
Karibu nyumbani.
@James-y3j2v
4 года назад
Hahah eti amevunja rekodi ya kutembelewa gerezani
@husseingwanone7825
4 года назад
Namoyo Safi Kama tisheti Ya Braza meni
@ezrakenyanya7399
4 года назад
Pole kaka ang umefanya meng Alama kimziki IPO na mengne so wakat mgum BT unamwixho endelea mbele
@muddysimba887
4 года назад
Still still still still still still
@emmanuelmayunga1518
4 года назад
Baba levo sio kwa ile ngoma,,(wanyee) da! Huwa nikiisikiliza nashindwa kukudefine ni mtu wa aina gani?!!!!
@magrethjohn8576
4 года назад
I told you......!,kazi kweli kweli
@elitegeneration1613
4 года назад
Noted
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
4 года назад
YOTE MAPITO BABA LEVO SAI MEDIA ZITAKUFATA KARIBU YA ZOTE NA NDIO WAZIDI KUVUMA🇰🇪🇨🇿
@happyfiverickaldo4662
4 года назад
Hili jama lipo good boda + bajaji =wizi umepungua kitaani
@edwardsichilengwe2330
4 года назад
Magufuli= baba lao Baba lao= baba levo Kwahiyo Magufuli= baba levo Sasa tukisema mond kamtoa jamaa jela nani atabisha 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂
@kinotasontravel3883
4 года назад
Msechu jiandae kulipa den la baba leve
@annamadraga2364
4 года назад
Mbona baba levo kama kapiga maji hv cmuelew mwenzenu
@shayopaterini8678
4 года назад
Hahahahahahahaha kweli ni msemaji ww sema tuuu
@nusratnassoro9764
4 года назад
nice
@nassorsalehsalum8852
3 года назад
Nipe namba zako
@hassanijumanne4322
4 года назад
Aliye sikia kitambi kimekata ling
@rosesimwanza6033
4 года назад
Kama unakubar kakosea siyo petro ni Paulo na Sila gonga like twende sawa
@joelmajumbi5871
4 года назад
Ni Petro.ndiyo japo na hao ulowataja walifungwa
@edwardsichilengwe2330
4 года назад
@@joelmajumbi5871 nipe kitabu cha biblia cha petrol kufungwa na herode
@kendrieckinc
4 года назад
@@edwardsichilengwe2330 siyo Petrol🤔😂😂
@adenymwatebela5494
4 года назад
Matendo 12:6-11someni hapo mnaobisha
@mackbarnaba9000
4 года назад
@@adenymwatebela5494 nimesoma ahsante
@pascalelias1958
4 года назад
Mungu mwema
@amberrose4058
4 года назад
Daaah
@beautyibrahim8428
4 года назад
😂😂😂Nina pua kubwa kama unavoniona
@noelmsoma2963
4 года назад
Perfumes 659 haaaahaaaaaa
@chrxpn
4 года назад
Msanii pekee wa kigoma anayeyapenda kgm
@nyotamy3678
4 года назад
Daaa
@alijuma6502
4 года назад
Nakushauli uchaguzi ujao. Ugombe ubunge. Muda ndio huu. Gombea ubunge uwe kalibu nawana nnch zaidi..
@clementkankundiye6896
4 года назад
Baba leval we unastahilo kufungwa ulikula pesa zetu Mungu usimchukilie powa
@mussaissa926
4 года назад
Fact kitu ambacho unachoweza kukimaliza mtaaan kimalza haina haja ya kwenda gerezan
@mwanajumaomahundumla6504
4 года назад
Pole Baba Revo
@kassammwalo5663
4 года назад
Mwanajuma mambo
@nuruskizito9678
4 года назад
Njoooo ccm kumenoga
@h.rukuba7464
4 года назад
Acha ujinga wewe mnadiwani ccm mzuri kama BABA Levo Kigoma zima
@h.rukuba7464
4 года назад
Baba levo sisi watoto wa Kigoma tunakukubali sana najua una nia nzuri Sana Kigoma
@elynego1654
4 года назад
Pol san ndugu...
@meksonyjoseph8909
4 года назад
Hahaha we jamaa noma
@mwajumakitoro8582
4 года назад
Ubadili tabia sasa uwe mwema
@joackimmbanguka6304
4 года назад
Nakushukia Kama radiii,,,21:35🤣🤣🤣🤣
@paulnghaburi4058
4 года назад
Pole sana ila na wewe mambo yako c madogo mademu na wewe kama ni kweli au c kweli Mungu ndo mjuwaji ila kama ni kweli fanya ukili ili Mungu apate kukusamehe
@shukurumgaya5950
4 года назад
Pole
@happyfiverickaldo4662
4 года назад
Msechu lipa deniii
@anjelinakasembe845
4 года назад
Hongera Baba Levi Got Bless be stark
@mustafamontana8575
4 года назад
Mungu yupo
@hussainomar1849
4 года назад
Soko marungu jina lilibaba maana halisi.
@fabianjulius5274
4 года назад
Haha .. Utani ulofika kiwango cha juu .
@johnvascogodfrey7070
4 года назад
Msechu plzzz rudisha hela haraka
@sashawambura
4 года назад
"Still...."
@simonnkane2563
4 года назад
Kumbe magereza inaadabisha maninaa hahaha
@abdallahmzee4335
4 года назад
Inamaana umefurahi sana mwenzako kuwa jera ila kaaa utambue jera haina mwenyewe
@ramadhanzombi2682
4 года назад
Kitambi kimekata ling
@arexmerck2324
4 года назад
gerezani ukicheka sana hautoki ukiria sana hautoki ukifanya kazi sana hautoki 😖😖😖
@jelasnkoma4240
4 года назад
😂😂😂hatari sana bora umrudie Mungu
@Cambarada
4 года назад
😂😂eti anatembelewa na watu 200, 150 wengine wanafukuzwa
@lizzydiy4590
4 года назад
Yaaan baba levo muongoo 😂😂😂
Далее
21:03
EXCLUSIVE: Baba Levo Aelezea Kila Kitu, CHANZO/SABABU Zilizofanya Akafungwa GEREZANI
Просмотров 51 тыс.
4:00
HUYU MFUNGWA ALIEKATAA MSAMAHA WA RAIS MAGUFULI ANA TATIZO LA AKILI
Просмотров 114 тыс.
14:49
15 РЕЦЕПТОВ для тех, кто любит поспать и не любит готовить! Быстрые ЛЕНИВЫЕ завтраки!
Просмотров 220 тыс.
00:16
Кремль🔥 #татьянакуртукова #матушка
Просмотров 156 тыс.
00:34
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
Просмотров 36 млн
43:53
🔥 ПРЕМЬЕРА 2024! 🔥 Роман с секретом (2024). 1 серия. Детектив, мелодрама, сериал.
Просмотров 651 тыс.
26:32
INALIZA: Aliyehukumiwa MAISHA na KUKAA GEREZANI miaka 43, Atoa Siri Nzito toka Gerezani
Просмотров 1 млн
8:33
BABA LEVO AKIHADITHIA MAISHA YA GEREZANI ’’MIMI KINACHONIANDAMA NI KUFA''
Просмотров 172 тыс.
35:56
GHOROFA JIPYA ALILOHAMIA CHINO/ LINA SEBULE MBILI NA VYUMBA SITA/ AWAOMBA MSAMAHA MASHABIKI
Просмотров 57 тыс.
6:58
WAKILI MADELEKA ACHARUKA 'KESI YA AFANDE' "APEWE ADHABU, HATUWEZI KURUHUSU MAHAKAMA ICHEZEWE"
Просмотров 4,4 тыс.
50:00
SIMULIZI: ALIHUKUMIWA KUNYONGWA, MKAPA, JPM WAKAMUOKOA "NIMEKIONA KITANZI, WENZANGU WALINYONGWA"
Просмотров 220 тыс.
23:11
Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 2
Просмотров 227 тыс.
3:36
BABA LEVO AFICHUA LINEX NA MR T TOUCH KUKAMATWA NA POLISI, ADAI ALIWATOA KWA DHAMANA YA ELFU 50
Просмотров 4,6 тыс.
27:26
"NILIFUNGWA MIAKA 30 BILA KOSA, NIKAPATA KISUKARI, RAFIKI ALINIPONZA" | TESTIMONY
Просмотров 9 тыс.
42:01
ASIMULIA ALIVYOKAA JELA MIAKA 9 KISA MAUAJI “NILIMUAZIMA GHETTO RAFIKI YANGU AKAMUUA MPENZI WAKE"
Просмотров 204 тыс.
DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Oktoba 15, 2024 | Mchana
Просмотров 218
14:49
15 РЕЦЕПТОВ для тех, кто любит поспать и не любит готовить! Быстрые ЛЕНИВЫЕ завтраки!
Просмотров 220 тыс.