Тёмный
No video :(

MTANZANIA ALIYEFUNGWA SOUTH AFRICA "MWANAMKE ALIPIGIA KELELE TUNAPOISHI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 577 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

29 июл 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@DrSanai
@DrSanai 5 лет назад
Ambao tumebahatika kuishi nje, tunaelewa uhalisia. Vijana wenzangu tuthamini kwetu, tubaki nyumbani tupambane nyumbani, tupajenge nyumbani, tupapende nyumbani, inawezekana sana kufanikiwa nyumbani....maisha nje ni gharama sana
@fatumazuber7513
@fatumazuber7513 5 лет назад
JUMA SELEMANI SANAI kweli broo
@africanboyamani8640
@africanboyamani8640 5 лет назад
Nakubari
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 5 лет назад
Very true tena nchi za watu ngumu sana
@omarymansuri2406
@omarymansuri2406 5 лет назад
Kweli kabisa Kaka J Me Mwenyewe Nipo Durban now
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 лет назад
True kabisa from USA
@yascomdoe5686
@yascomdoe5686 5 лет назад
sema mshkaji anaju kujieezea kinoma bless kk we fighter kak
@mwanalikhamis9875
@mwanalikhamis9875 4 года назад
basi tusimtanie mungu unavaa herini
@hundamaniamania872
@hundamaniamania872 5 лет назад
Duuuh Wesgate cort no 09 From john foster dahhhh hyo kitambo sana Pamoja mwamba🤙
@albertmichael8675
@albertmichael8675 5 лет назад
Pole sana kaka kila mmoja huwa na historia ya maisha kwaiyo umri wako bdo mdgo pambana nyumbni mambo yatakaa sawa tu kalibu katka kilimo
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 5 лет назад
Millard Ayo Hongera Sana, Keep Inspiring.
@muktartz7314
@muktartz7314 5 лет назад
Leo naomba like ya Millaedayo #milladayo
@apostlejackpraise2116
@apostlejackpraise2116 5 лет назад
Me mkenya ila sipendi watanzania wengine wanavyo mkosowa huyu dogo kwa kizungu anachoma I kiongea, mbona wazungu wakiboronga kiswahili hamuwacheki, acheni unafiki bana... Kaka usijali tunajifunza kutokana na makosa yetu
@veronicamkali6283
@veronicamkali6283 5 лет назад
jack praise uko sahihi
@mwadangalamwanjelile5469
@mwadangalamwanjelile5469 5 лет назад
@Mwajuma Kilobwa m
@khadijasaid5461
@khadijasaid5461 4 года назад
Hata hao wanao kosoa pia awajui 😂😂😂 ni Kweli wa tz tunatupia hiyo sana 😈
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 года назад
Mbon yupo vizr tuu aaa nimaisha tuu mwenyew naboronga English acha tuu
@abrahamjoseph2589
@abrahamjoseph2589 4 года назад
Kweli
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 5 лет назад
Kama umemkubali mpambanaji uyu gusa like acha chuki.
@bopatzbopatz5419
@bopatzbopatz5419 5 лет назад
Ammnueli mnyama
@mudysadiki6146
@mudysadiki6146 5 лет назад
Da pole sana kaka kwa maisha magum ulio pitia mungu bado ataendelea kukulinda ila kua makini sana
@paulothadeo9730
@paulothadeo9730 4 года назад
Nije
@bekabakari9595
@bekabakari9595 4 года назад
Goodluck Temu
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 5 лет назад
Duh stories nzuriiiiiiiiiiiiii. Km na wewe unaikubali hii gonga like.
@Burner_Acc
@Burner_Acc 5 лет назад
Kwa huo muonekano lazima awe mtuhumiwa sehemu yoyote. Hata kwenye daladala mtu akipoteza simu lazima waanze nae
@allymtz4348
@allymtz4348 5 лет назад
Hahahahaa
@kulwajoel2465
@kulwajoel2465 5 лет назад
anasema uongo watanzania wengi walishakuwa waarifu south africa
@elinahdaudi8195
@elinahdaudi8195 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@richardcharles5210
@richardcharles5210 5 лет назад
Hahahahahahah
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 5 лет назад
Umeona eeeeh
@2pacdaud29
@2pacdaud29 5 лет назад
Cool bro unalijua life kaka Godbless yoh ma men
@geophreymwakasyuka3825
@geophreymwakasyuka3825 5 лет назад
Nimewai kuwa huko Durban to jburg, southafrica unatakiwa kuwa fighter kweli, pia unatakiwa kuwa mpiganaji toka day one.
@mntwanawabantuacademy4170
@mntwanawabantuacademy4170 5 лет назад
what about WaMaasai.. wana hereni ni tatizo?,, also, i it a problem , why people dissing him, stp judging a book by a cover, kila mtu atabeba mzigo wako, he is smart kid, i feel him, ni soldier huyu mchini namheshim sana, annikumbushia nililala miaka MITATu homeless, NJE, chini ya mdaraja, nilikuwaga ombaomba, kwa miaka mitatatu, nikachekwa sana, iliniuma sana, KABLA SIJAANZA KUFANIKISHA MALENGO YANGU NA WENGI WALINING'ONGA SANA , jah amenibless,
@apostlejackpraise2116
@apostlejackpraise2116 5 лет назад
True man....
@masawemushi7515
@masawemushi7515 4 года назад
Lv daban
@abduladhimually3542
@abduladhimually3542 5 лет назад
Alyesikia jonas bagi kama mimi agonge like twende zetu😂😆
@babyelephant5098
@babyelephant5098 5 лет назад
abduladhimu ally tulipekwa kituo cha Sentelo ( central ). Ukikutwa Guiliti ( guiltily) hahaha
@bjzee1981
@bjzee1981 5 лет назад
Ndio kinacho watambulisha. Pengine hata anaulizwa ajitee ana baki kusema mi no Tanzania mi No sif.
@fredmsigwa4047
@fredmsigwa4047 5 лет назад
Hahahaaaa!!!!Jonas bag
@yvonnepeter3487
@yvonnepeter3487 5 лет назад
😃😃😃😃😃😃
@zullaicamatola3431
@zullaicamatola3431 5 лет назад
😂😂😂😂
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Subhannallah, mtihani kwakweli, maisha ni safar ndefu mmmmh! Pole sana kaka, ila umeniudhi kuweka matatoo usoni, mtu akikuona tu, atakufikiria ni jambazi kweli.
@ruuh5149
@ruuh5149 3 года назад
Mambo naomba nitaft 0683924441
@emmanuelchizenga1572
@emmanuelchizenga1572 5 лет назад
Tupendane watz na tumepende home kwetu maisha maagum kokote kikubwa ni tupambane tu popote waungana
@meedaafarai9677
@meedaafarai9677 5 лет назад
Pole kaka. Maisha mitihani. Umefika nyumbani. Mshukuru mungu.
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 лет назад
MEEDAA FARAI mitihan kaitafuta mtu anae tafuta haishi kama mjinga hvo huo ni upuuz waish kwa kuiga wahuni
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 5 лет назад
jamaaa tayari anadegrii ya maisha , high confedence 9c
@alimohammedali4925
@alimohammedali4925 5 лет назад
Ben Kiwale Pritchard street & mooi jengo hilo niliwahi kuishi 2002, nijengo linalomilikiwa na jamaa mmoja anaitwa NASA ni mrangirangi, ni kweli jengo hilo kuna waTZ wengi wanaishi na ni City Center.
@albertopereira1056
@albertopereira1056 5 лет назад
Salute Mm nimekaa Deviliers and Quartz street Nakubali
@albertopereira1056
@albertopereira1056 5 лет назад
Nimekaa miaka minane
@stanleymlowe8230
@stanleymlowe8230 5 лет назад
bora mchizi alienda kutafta life wengi wanao toa comment za kumkejeli ni ambao bado wako home tu wanakula kwa baba na hawana ramani za maana . hata mchizi haku succed ni bora ali try. tattoos na hereni sio dili kukazania kuzidisi
@fainnamvungi4364
@fainnamvungi4364 5 лет назад
Wa2 wakiona m2 katoka akafanikiwa wanamfagilia na kutaman lkn hawajui vip kapitia na pia wakiona m2 kajaribu akakosa wanamkejel ...kikubwa kila m2 anatafuta tonge lake bas m2 ujifunze kupitia mwenzio
@godlistenshayo1144
@godlistenshayo1144 5 лет назад
Stanley Mlowe sure mzee me alichonifurahisha ni kwamba amesema zilichukuliwa damu,kucha, na mkojo zikaenda kupimwa lakin hakukutwa labda hata anatumia ngada km tulivozoea watanzania wengi wakienda SA wanakuwa watumiaji wa ngada au wafanya biashara...lakin huyo mwana pamoja na muonekano wake huo watu wanadiss lakin inaonesha hajawah hata kutumia ngada
@narlonabuu4665
@narlonabuu4665 5 лет назад
True nigga hustle hard
@abrahmaniomar9858
@abrahmaniomar9858 5 лет назад
Boss tattoos usoni utampa kazi bongo?
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 5 лет назад
Sure bro
@happyeliya171
@happyeliya171 5 лет назад
Hivi wa bongo huwa hamuwezago kucoment bila kutukana ?sa mnamtukana nn simaisha yake kilabinadam anamaisha yake huwez kumchagulia kha
@zenaotman5734
@zenaotman5734 5 лет назад
this is tanzania
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 5 лет назад
Wengi ni Watoto kiakili, kwa hiyo ni kuwazoea tu, Mtu anatukana hata hajasafiri nje ya Wilaya au Mkoa aushiyo,huo ni undina.
@malalezengo4405
@malalezengo4405 5 лет назад
Maisha Dada sio kila MTU. Ana chagua kunamengine kawaida kukosolewa ndio njia ya kuwekana sawa
@jacquelineadrian1112
@jacquelineadrian1112 4 года назад
@@malalezengo4405 kymtukana mtu ndo kumkosoa
@ismailkatala4792
@ismailkatala4792 5 лет назад
I think before judging his appearance......kuna kitu cha kujifunza kwenye story ya huyu bro na lengo la hii interview ni kutoa lesson kwa Jamii hasa vijana.....But naona wengi naona tunajikita kukosoa mwonekano na grammar......Maneno ya busara unaweza kuyapata hata kwenye mdomo unaonuka.....!
@peteradriano2353
@peteradriano2353 5 лет назад
Ni kweli bro
@jacksonchimomo554
@jacksonchimomo554 5 лет назад
Ismail Katala Achana nao hawana Akili wajinga Sana
@bahatijuma144
@bahatijuma144 5 лет назад
peter adriano MN
@amanimanase5794
@amanimanase5794 4 года назад
Daaah real broo
@johnsonpaul2883
@johnsonpaul2883 5 лет назад
Ungemchikua huyo kijana beni anafahaa kuwa mtangazaji anasauti ya utangazaji na swaga za utangazaji pia anafaa kuwa reporter
@luciangeorge4642
@luciangeorge4642 5 лет назад
kabisa jamaa anasauti ya utangazaji kabisaaaa
@mdachiog5211
@mdachiog5211 5 лет назад
Kabisa anafaa
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Exactly my dear
@yussufmoha
@yussufmoha 3 года назад
Reporter na utangazaji n komoja
@zakaliabuxh7675
@zakaliabuxh7675 5 лет назад
Nakubali hustrel za mshikaji gud bro
@Nacy_katoto
@Nacy_katoto 5 лет назад
Daaaah Cdhan km utakua sio ww Ben wa keko Magereza,,, nakumbuka Pale Wailes secondary school mwisho kukuona home boy ila pambana ndo changamoto za maisha ayo....Daaaah Respect Boyi
@saedrashed2896
@saedrashed2896 5 лет назад
Nacy Avelin katoto .. avelin laurian
@hollymore4904
@hollymore4904 5 лет назад
Kofia ime egeshwa kisela sana Millard... Si unajua bana!!
@raheemamkambha6013
@raheemamkambha6013 5 лет назад
Swaga🤣🤣🤣
@hollymore4904
@hollymore4904 5 лет назад
@@raheemamkambha6013 hahahaa...noma sna mama
@nyamarungujr7834
@nyamarungujr7834 5 лет назад
@@hollymore4904 anamuhoji msela lazima awe kisele ili apate details
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
Pole sana bro tunajifunza kupitia ww kweli ukiwa huna hatia Mungu anakutetea mahali popote
@robertdaud9894
@robertdaud9894 5 лет назад
Npo Pritchard Johannesburg ,the truth is life is hard needs patient passion and persistence .As men we were born to hustle l will fight a fight till I die as a real nigga
@husseinmunga9591
@husseinmunga9591 5 лет назад
kama we ni mkenya 👇🏿
@muharamijuma4148
@muharamijuma4148 5 лет назад
pole hom boe hizo nichangamoto tu za maisha one day yes
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 5 лет назад
Huaga cici Watanzania Nchi ZaNje tunanyanyaswa saana" Nawashangaa Polis wakwetu Tz hawanaga Ishu nawageni wakat wapo wazurula tu Kkoo hapo
@agaaah6697
@agaaah6697 5 лет назад
Kweli kabisa
@myself4128
@myself4128 5 лет назад
Njaaa, tatizo la hawa askari hata elimu juu ya haki za wazawa hawana,wamepitia mafunzo ya kupiga na kuonea raia nakutumia bunduki tuu
@danneismail5442
@danneismail5442 5 лет назад
Mbona mimi mkenya +254 niliingia TZ na pande za moshi nikiwa temporary passport nikashikwa na kuacha kila kitu changu geust na kuridishwa na lungalunga
@danilopato8472
@danilopato8472 5 лет назад
polisi wa tz njaa tupu wapo
@TravelTheWorld0000
@TravelTheWorld0000 5 лет назад
ukiwa mkenya tz utatimuliwa mbio sana
@bekajambazi4484
@bekajambazi4484 4 года назад
Uyooo shooga tena choko mmoja ana hata maajabu kuma 2 anachalazia waun freesh mmoja uyoo namjuwa alishawahi kubanduliwa kisa kamuibia muhun we2 wa maskan kama taslim ya pesa elfu 20 rand akaja Pretoria uku ndipo alipokamatwa na kufanyiwa vibaya sehem za za siri
@Derevamkongwe6864
@Derevamkongwe6864 5 лет назад
Yani hakuna sehemu tamu kama Tanzania mana hata usipokuwa na pesa unanenepa
@subiramussa1428
@subiramussa1428 5 лет назад
Ha ha ha
@edinamangu9637
@edinamangu9637 5 лет назад
we ni bangi 2
@dullyninja6137
@dullyninja6137 5 лет назад
Tembea ujionee kuma wewe
@haythamomary6884
@haythamomary6884 5 лет назад
Tanzania njaa tu kaka haina kuficha
@dominicmtopwa2886
@dominicmtopwa2886 5 лет назад
Exactly
@januaryjoseph4383
@januaryjoseph4383 5 лет назад
I was there by that day I escape though emergence door Mungu ni mkubwa
@judymmuinde9321
@judymmuinde9321 4 года назад
Shukuru mungu
@januaryjoseph4383
@januaryjoseph4383 4 года назад
Amina
@judymmuinde9321
@judymmuinde9321 4 года назад
Safi
@januaryjoseph4383
@januaryjoseph4383 4 года назад
@@judymmuinde9321 0753956720
@januaryjoseph4383
@januaryjoseph4383 4 года назад
+255753956720
@theresiakaruhanga1169
@theresiakaruhanga1169 5 лет назад
kijana huyu yuko honesty sioni kwanini kumtukana. ila watu wengine matunzo ni jadi yao🤔🤔🚞
@loner_wolf
@loner_wolf 5 лет назад
Lindela deportation center . Unanikumbusha mbali lkn stori yko ngumu as if unatengeneza isidingo kichwani
@ruuh5149
@ruuh5149 3 года назад
Nataman kwl kuishi nje kutaft pesa kihalali
@malitomalito
@malitomalito Месяц назад
Huyu muongo mimi niko South afrika
@ashab2537
@ashab2537 5 лет назад
Na vijana wengi wanaoingia south Africa ni wengi mno wachuuzi wa madawa ya kulevya, Na wao kwa wao wana tabia ya kuchomeana
@mnyakitz2007
@mnyakitz2007 5 лет назад
Millard ni fundi wakuuliza maswali cjui kwann wengine wanaletaga ucheshi kwenye interview...
@mpondamedia2416
@mpondamedia2416 4 года назад
U
@allybeka8401
@allybeka8401 5 лет назад
hawa ndo vijan ninaopendaga yaan upambambaji wa maisha napenda san story
@chriskingnampoto3214
@chriskingnampoto3214 5 лет назад
Millard ningeipata hio rozari ingekua fresh sana
@hassanigustavo3856
@hassanigustavo3856 4 года назад
Km hujapita masha Fulani hujakomaa
@universalcliptv4871
@universalcliptv4871 5 лет назад
Watanzania wame fungwa sauzi wapo wengi......ukweli ukweli wengi wana ishi maisha ya ujambazi na jinai.......habari izo zina fichwa kwa familia zao uko tanzania!
@amirsham3352
@amirsham3352 5 лет назад
wewe uyawezi ndyo maana unaogopa kiwanja
@priscaandrew554
@priscaandrew554 5 лет назад
Kweli best,mm nna mfano halisi
@Taifadigital
@Taifadigital 5 лет назад
@@priscaandrew554 unaweza kutupa mawasiliano kwa ajiri ya kufanya mahojiano nao
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 лет назад
m
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 5 лет назад
@@Taifadigital Acha kufanya udalali katika channel ya watu, uwo sio uwandishi mzur!!
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 лет назад
Pole sana bro ..!! Sisi wa toto wakiume tusiogope kutoka nje ya nchi ..mana ata ukiwa apa Tz unaweza kusingiziw kesi na ukafungwa vilevile
@salimuamini7023
@salimuamini7023 5 лет назад
michael samson Hata Mimi Naona ndivo Hivo Ila polee sanaaa Broo
@mosesambrose5709
@mosesambrose5709 5 лет назад
Hyuu jmaa ni school mate wangu jamn dooo jamaa huyu Dar.
@pendosammy5984
@pendosammy5984 5 лет назад
kweli
@Nacy_katoto
@Nacy_katoto 5 лет назад
Oya uyu Sio Ben wa Wailes secondary kwel naic km Ndo uyu iv
@martinaantipas6790
@martinaantipas6790 4 года назад
Ndio Ben mwenyewe uyo inasikitisha sana
@mwanaidisalehe3389
@mwanaidisalehe3389 3 года назад
Mwenyewe namjua sana uyu kaka halikuwa anapita sana keko mabembeani
@thomasmaphior79
@thomasmaphior79 5 лет назад
Don't worry bro mey be you like president Mandela life is not easy suffer hakuna shida isiokuwa na solution be happy brazee
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 5 лет назад
Dah huyu dogo nilikua nae centroo wakat tunaachiwa mm nikajikataa Botswana mpaka xaxa nipo nimekwama hapa sina wazo LA kurudi TZ nafikilia Brazilian ndio akili yangu inawaza huko sirudi nyuma mbele kwa mbele liwalo na liwe
@charlzzesonconsciousness6685
@charlzzesonconsciousness6685 5 лет назад
Nisubirie tusepe wote
@hightechofficial255
@hightechofficial255 5 лет назад
@@charlzzesonconsciousness6685 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumaomary3485
@jumaomary3485 5 лет назад
asiliyake Chuma! Never look back go go
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 5 лет назад
hahaaaaaaa
@asiaseif7229
@asiaseif7229 5 лет назад
@@charlzzesonconsciousness6685 😀😀😀😀😀😀
@Basagamp4
@Basagamp4 5 лет назад
Nina Mifano Miingi ya Dizaini hii ya watu na watu wangu. Ukienda Nchi za Wenzetu na ukipata Chance ya Kufanikiwa ktk utafutaji unafanikiwa kweeli kweeli na ukifeli unapoteza Maziima kabisa A to Z. Ukirudi Bongo inabaki stori kuwa nishahaso saana Mpaka Ng'ambo. Baada ya hapo unagongea Jero kwa Wana. #EeeeMUNGU tujaalie ktk utafutaji
@geophreymwakasyuka3825
@geophreymwakasyuka3825 5 лет назад
Kweli kabisa bigerup.
@Basagamp4
@Basagamp4 5 лет назад
Geophrey Mwakasyuka Vijana tupunguze saana Tamaa
@Basagamp4
@Basagamp4 5 лет назад
KINGCHARZ TV Namba yangu naweza kupa,sasa inategemea wao wahusika watakubali hayo Mahojiano?
@Taifadigital
@Taifadigital 5 лет назад
@@Basagamp4 nipe wala usijal Tutajuwa Namba ya kufanya
@Taifadigital
@Taifadigital 5 лет назад
@@Basagamp4 nipe namba tutajuwa Tunafanyeje
@zainaburamadhani9650
@zainaburamadhani9650 3 года назад
Aaah,nimesoma nae jaman tang msing paka secondary wailes
@aishaabdallah3906
@aishaabdallah3906 4 года назад
Gud.. Mpambanajiiii Tuliosoma Wailesiii ..tujuanee Like muhim
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 5 лет назад
ok kaka karibu nyumbani tuuze machungwa ila kama huna mawe iyo heleni vua
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 5 лет назад
😂😂
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 5 лет назад
Aache tu iyo coz anaweza pata mume
@najma3268
@najma3268 5 лет назад
Wahida Shabaz 😂😂😂hareni aiweke kabatini asubiri akirud South Africa ndo ataenda kuivaa 🏃‍♀️
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 5 лет назад
.
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 5 лет назад
Najma 3 eiwaa maana watu wakiahaingia katika nchi za watu huwa hutaka makuu ila wakija huku ni uozo mm alikuj kaka 1 kitoka south akawa et anataka kunioa ila nilimshangaa sn maan karud na heren tu sikion alf kitu kidog utasikia msemo wao et wsp niga ndo nini 😁😊nikamkimbiza uozo huo wa nini stori zake tu nilikuwa na madem wa kizungu 😃😃
@festonelee8509
@festonelee8509 5 лет назад
Millard Ayo the best in asking questions
@Deejay_muddrah
@Deejay_muddrah 4 года назад
Mirlad ayo big up bro unajua sana
@shabanikingolile7091
@shabanikingolile7091 5 лет назад
pole sana fighter maisha popote ila dua muhimu
@chibudenga8977
@chibudenga8977 5 лет назад
M nimekaa Durban almost3yrs ukiwa smart unapiga mishe zako bila tabu sema mwana anatoa siri za jandoni
@Glorydavid248
@Glorydavid248 5 лет назад
Hizo hazina shida na kama kuna kosa wamelifanya Kama kuruhusu simu basi baada ya video hii wakiiyona wataacha
@chibudenga8977
@chibudenga8977 5 лет назад
@@Glorydavid248 yah
@malitomalito
@malitomalito Месяц назад
Kweli mwanangu
@rnfgpdentertainmentcompany5054
@rnfgpdentertainmentcompany5054 4 года назад
STREET HUSTLERS GOD BLESS EAST AFRIKA 🇰🇪🇹🇿
@zarunaamwanajimba1950
@zarunaamwanajimba1950 3 года назад
Pole mdogo angu hayo ndo maisha, na pia unauvumilivu sana hongera kwa sasa tafuta maisha nyumbani.
@safiamontana4333
@safiamontana4333 5 лет назад
Interview ipo poa ongera saaana Millard ayo but angalia kwenye maendeleo nazungumzia about 🎤🎤 siku izi kuna zile ndogo inakua hungoji kucha ngia n mgeni wetu kitu kama icho big up bro naipenda kazi yako 💪💪
@hamisijmussa6983
@hamisijmussa6983 5 лет назад
South Pale mashoga wengi sana .. Wa TZ tunaoenda kule ndo malijali lazma kiwake mzee
@faridaiddi104
@faridaiddi104 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@hamisijmussa6983
@hamisijmussa6983 3 года назад
@@faridaiddi104 😁😁
@estamelejomah572
@estamelejomah572 5 лет назад
Nashukuru umeludi salama kalibu keko mimi nipo omani
@aminaelisha8183
@aminaelisha8183 5 лет назад
Estamele Jomah vp mwaya
@sifamugwaneza1178
@sifamugwaneza1178 5 лет назад
Duh!! Nani Jonas bug kbs maana imewaweka mwaka mzima dah I see poleni san kaka ake ndio ukubwa huo ila hapo najua mumepata funzo kua nakuwaelimisha vijana wengine, shukran san kwako #MillardAyo me nakukubaligi san
@shabanimbowela6118
@shabanimbowela6118 4 года назад
Kama unamkabali mwana halakati gonga like
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 5 лет назад
Dah..! Ingawa hakufanikiwa kuwa Movie Star.... Angalau amejifunza KIZULU na KIDHUNGU.
@OmanOman-hr6cb
@OmanOman-hr6cb 5 лет назад
😀😀😀
@rashiangereza2044
@rashiangereza2044 5 лет назад
Yah kweli kabsa iko kitu kama hii ipo. wa tz wanachomwa moto na wazulu wanapigwa chupa pub.tena usiombe wazulu wakuone unapika chai na vitumbua wataku shea kanda akokhole.
@samniza1763
@samniza1763 3 года назад
Ni vizuri sana kupata exposure ili utambue mafanikio ni popote, bila kutoka huwezi kuziona opportunities zilizopo nyumbani. Tulio nje ya nchi tunaona opportunities kibao baada ya kuishi nje muda mrefu.
@abbynamungu4783
@abbynamungu4783 4 года назад
Eeeeh, bwana good story hayo ndo maisha kiume never give up
@manjaruujr8255
@manjaruujr8255 5 лет назад
asa nyie mnaosema kuna vitu anaficha si mkaadisie
@fainnamvungi4364
@fainnamvungi4364 5 лет назад
😂😂😂😂
@manjaruujr8255
@manjaruujr8255 5 лет назад
@@fainnamvungi4364 si wabongo tunazinguaga kinoma sa kumbe mnajua muadie nyie sasa vyote msifiche
@fainnamvungi4364
@fainnamvungi4364 5 лет назад
@@manjaruujr8255 we acha 2
@richardyusuphmsongolomakat2049
Wa Tz ni wajuaji sana mamaeee
@manjaruujr8255
@manjaruujr8255 5 лет назад
@@richardyusuphmsongolomakat2049 kinoma ani sijui tunaferigi wapi
@masuseleman978
@masuseleman978 5 лет назад
Ukienda kichwa mkuki lazima udunde. Jipange ukitaka Safari. Sio ushakula bange zako .eti ooh mi nasafiri . Safari tu ..mi nawashauri tu kama unatala Safari jipange hakuna linalo shindikana.
@jacksontulito969
@jacksontulito969 4 года назад
Kweli mkuu, lakini maisha popote tu cha muhimu tumtangulize Mwenyez Mungu
@The255nurse
@The255nurse 5 лет назад
Mbona wanasemaga sero za uko ni nzuri
@shaloboy3861
@shaloboy3861 5 лет назад
Sema kweli kilichokutokea jela hadi kuvishwa kipuli
@zainabukhalifa3967
@zainabukhalifa3967 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂hiyo ni siri
@pamelangowi4487
@pamelangowi4487 5 лет назад
Shalo boy we nawe kuma kwel
@muduboy726
@muduboy726 5 лет назад
Waeleze mzee naona comment zingine za chuki ata airport hawajafika
@godfreymollel6903
@godfreymollel6903 5 лет назад
Wabongo masnitch sana.Msela yuko fresh tu.
@muduboy726
@muduboy726 5 лет назад
@@godfreymollel6903 kabisa bro mi si mbongo but they hate him for no reason
@saudatamiry1966
@saudatamiry1966 5 лет назад
😂😂
@mweusimweupe484
@mweusimweupe484 4 года назад
Kwani alitumwa ndio akome mbwa huyo
@carolmuchiri788
@carolmuchiri788 5 лет назад
Pole sana Kaka Mwanaume nikutembea na kuona mengi hongera,Na maisha yaenderee kama kawaida u will make it usife Moyo!
@mrsochu-hv7bm
@mrsochu-hv7bm 4 года назад
Jamani south Africa kuzur achen tu ma hom Boy wakimbilie Kule mi nimekaa miez miwili Johannesburg ni pazur hatare
@raheemamkambha6013
@raheemamkambha6013 5 лет назад
Baada ya miaka 40 wazee wote bongo watakuwa na tattoo na kutoga masikio🙆‍♂️ Mungu nakukabidhi uzao wangu🙏
@babalois7240
@babalois7240 5 лет назад
Raheema Mkambha hahaaaaaaa
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 5 лет назад
Rehema nitabaki mim ucjali tutajenga familia nzul.
@raheemamkambha6013
@raheemamkambha6013 5 лет назад
@@matthewjohn5108 😆😆😆
@ommycryz7670
@ommycryz7670 5 лет назад
Pole xanaa kalibu tz
@ommyathumani7264
@ommyathumani7264 5 лет назад
Hahahahha
@nurudovino288
@nurudovino288 5 лет назад
Poleni sana ila mungu mwema pia mlikuwa mnakula vizuri sihaba
@mathossecuritycompanyltd6306
@mathossecuritycompanyltd6306 5 лет назад
Nuru Dovino
@tandastan2698
@tandastan2698 3 года назад
Asante
@herysomebrown8471
@herysomebrown8471 4 года назад
Dah mwanangu umenikumbusha mbali kichizi court no 09 dah pagumu pale ila tupambane mzee izooo lezoo mkuluu one day yes yatima atacheka mwanaguu lindela sio poa mzee
@carlsonhunter620
@carlsonhunter620 4 года назад
Pole yako kaka
@dorismamf7404
@dorismamf7404 5 лет назад
Huyu kitale amuweke kwenye maneno yakuambia sawa na itham wawewote magaidi
@juliepotami659
@juliepotami659 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣
@hajaraally3230
@hajaraally3230 5 лет назад
Kweli kabsa
@evelynmon9423
@evelynmon9423 5 лет назад
Tena huyo kijana ana akili katoka jela kakumbuka kurudi nyumbani Mimi Nina ndg yangu amekaa jela miaka 10 huko SA katoka na bado kagoma kurudi anasema mpaka afanikiwe sasa kuna kufanikiwa kweli hapo
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 5 лет назад
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa umenichekesha
@sakinayusuf5072
@sakinayusuf5072 5 лет назад
Dah pole sana kakaangu TMK mwenzangu
@ausiswalehe6273
@ausiswalehe6273 5 лет назад
Kikubwa Mshukuru Mmungu Umerudi Nyumbn salama, Karibu sana TZ karbu Tukomae Kwetu.
@rachelchelango941
@rachelchelango941 4 года назад
Ttrue
@andikimanasebadonavine9490
@andikimanasebadonavine9490 5 лет назад
Jama huu ako na confidence na kulingan vyenye nimemuelewa akisema ni kweli south Africa wanaroho chafu sana kwa wa Africa wenzao wajinga sana nawachikia
@yusraibrahim8218
@yusraibrahim8218 5 лет назад
Eee jaman Raazz wangu pore kwayalio kukuta ktk safali yako😂😂
@rewmfingwa7828
@rewmfingwa7828 5 лет назад
Asante muuupenzi
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 Год назад
Pole mwaya
@user-fx2wq2yx5r
@user-fx2wq2yx5r Месяц назад
Msela mavi kaludi mtaani
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 лет назад
arafu wakaka wa tmk wengi wanapenda kwenda South Africa
@OmanOman-hr6cb
@OmanOman-hr6cb 5 лет назад
True
@dativaherman9235
@dativaherman9235 5 лет назад
Hahahaha umeona eh labda kwakuwa ni karibu na njia ya kusini
@christinachacky7955
@christinachacky7955 5 лет назад
mimaake nirram nawakaka wa kinondoni wengi mashoga
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 лет назад
Christina Chacky tmk kwetu akuna kulemba
@Pedeshee01
@Pedeshee01 5 лет назад
TMK umewin kwetu uswahilini huwezi amini wanaishi mkachaa maskini,Home sweet home napazimia mimi kiwanja nikafuate nini?,kwetu nyumbani maharagwe ni bora kuliko nyama anayapikaga mama,mimi nayapenda sanaa!hapa hapa ndiyo nyumbani,mjomba hassani washa koroboi humu ndani mbu wamezidi.
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 лет назад
mimi nimeishi zaid ya miaka 4 lkn mnajiweka kihunu
@Simangwa
@Simangwa 4 месяца назад
nakubali sn mwamba mnao mtukana mwamba mna feli mbona mnaogopa hata kupanga hata chupa cha 20 hongera ndugu 2 be continual
@zaidukinawa5530
@zaidukinawa5530 4 года назад
Nakubali
@albeleenalberto158
@albeleenalberto158 5 лет назад
Mnakosoa kiingereza yake mbona wazungu wakikosea kiswahili hawachekan
@trdtz3602
@trdtz3602 5 лет назад
Muco samuel Ww hujielewi nn Maneno gani ayo unamwambia Mtu, au iyo bang unatumia ww Achana na iyo mishe Mshamba ww
@dkensmopainvevo3683
@dkensmopainvevo3683 5 лет назад
Wewe umewai enda shule?
@catecliffrd3775
@catecliffrd3775 5 лет назад
9c itakuwa
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 Год назад
Daah
@wag1fam958
@wag1fam958 5 лет назад
Millard nice interview .
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 5 лет назад
Yeah, good decision to back at motherland state, as long as you're in safe condition, stay thinking more on your lífe.
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 5 лет назад
Ebwana milard eee ulishawahi kua askari kitengo nini maa hayo maswali angekua jamaa mtuhumiwa angejipeleka ngome mwenyewe
@bahatikengese3603
@bahatikengese3603 3 года назад
ayo huwa anajuwa kuwa hoji vizuri safi sana yan ww tz ndi mtangazaji bora mm huwa naona
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 4 года назад
Mungu mwemaa mmerudi salama
@alexexperius7314
@alexexperius7314 5 лет назад
Asee kongole kwake kwa ujasiri. "Hakuna jambo Dogo kwa mzazi" nimependa hayo maneno. Fahari yake na matamanio ilikiwa masuala ya Sana'a na uigizaji, kwa mazungumzo haya naamini kabisa wakongwe wanaweza kumpa pahala pa kuanzia maana anaweza mno.
@jaypili7837
@jaypili7837 5 лет назад
mungu ndie muweza bro
@danilopato8472
@danilopato8472 5 лет назад
Bob.pole sana.ila mungu akusaidie utoboe kweny maisha kama ulivyoweza kutoboa sikio mungu.akutie nguvu
@mlugumbogo7675
@mlugumbogo7675 5 лет назад
Chizi ww😹😹😹😹
@danilopato8472
@danilopato8472 5 лет назад
mlugu sasa MTU kama uyo jinsi alvo akipita kwako atakama kuku kaenda kuzurula lazima utahisi kama kaiba tu
@anilotanzania8807
@anilotanzania8807 5 лет назад
Daah bora ungebaki huko... Huku maisha hoiiiiii
@magembetz6298
@magembetz6298 5 лет назад
Watoboaje mskio mtoto wakivme na kvweka hereni kabisa hcho ndicho mnacho kifuata huko sovth
Далее
Будзек и рецепт🐝
00:25
Просмотров 80 тыс.