Mnamo Desemba 9 mwaka huu, Rais John Magufuli alitoa msamaha kwa wafungwa 8, 157. Kati yao baadhi ni watu wenye sifa na majina makubwa huku wengine wakiwa wa kawaida tu amabo walitabulika na jamii zao tu
tafadhal mtangazaji huyu mzee kwa maelezo yake nmemfaham mimejarbu kuwasiliana na mmoja wa mtoto wake ambaye nmesoma nae akakiri kua yeye hamfaham kabsa Baba yake kwani alitoweka yy akiwa na miaka miwil ila kutokana na hiyo simulizi yake nikweli kua kabsa ni Baba ake mzazi hivo naomba kama una maelezo zaid huyo mzee anaelekea mwanza sehemu gan naomba tuwasiliane kupitia hii namba 0764627960 tafadhal ili iweze kua lahis kumpata Kwan ni miaka ming kias
ni hatari kwa kumwaacha mzee mtani bila kuwa na mpangilio wa kumtayarisha kisaikologia kwaajili ya mazingira na maisha ya sasa - Ila ningekubali huyo mzee anavyoongea enzi zake atakuwa mjambazi sugu kweli
Daah kweli wakati yeye anaenda jela mi ndo nazaliwa kwa sasa nina miaka 38 kweli mungu mkubwa watalaam wanasema mtu asipofanya mapenzi kwa muda wa mwaka mmoja tu huathirika kisaikilojia vipi kwa huyu mzee yuko sawa kweli hii weka mbali na mabinti anaweza kurudi tena jela jamani eee
Lakini watangazaji unafuyi vibaya kuonyesha watu kama hau kwa video kwasababu usalama wao utakuwa Mdogo nakumbuka niliona yingine kijana mwaika 19 ivi anaongopwa sana nahuo mzee tuta mgopa nikikutana nae kwasababu anaona iko jasiri sana hata usuni ana
Jets ni mbaya inafundosha uovu zaidi mi nafikiri inakua hivyo kea wanaombambikwa kesi wakafungwa huku wakiwa na ukweli wao moyoni hawajafanya uovu mtu kama huyo akitoka yafuatayo hayafurahishi
Abdiilah Awaf Anaongea kama jambo limetokea jana.Tena huyu babu si mtu wa subira anaonyesha.Magu wengine atajuta kuwatoa .Bila kansela watarudi wengi tu
Mzee nahc hyo redio itakuwa santur zile za kzaman unapachika CD kubwa kama besen kwahyo anataka aiuze apate pesa ya kuanzia maisha. Asa najiuliza hyo redio atanunua nan wkt sabufa kbao mtaana za being chee
Faida Manoni hahahaha alafu atauwa tena. Mimi nina mjomba wangu aliingia gerezani akiwa n.a. miaka 25 akatoka n.a. 65 mwaka 1990. Alikaa kijiji miaka 2, kaamvamia mzee mmoja sawa n.a. yeye na kumuuwa kisa radio ya mkulima, alikamatwa na kufungwa tena hivi sasa ni marehemu.