Тёмный

MTOTO WA BILIONEA MSUYA AFUNGUKA MAZITO, MAMA AANGUA KILIO, MGOGORO MALI 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 352 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 924   
@mamani6411
@mamani6411 4 года назад
Mama Ni Mama Hongera Mtoto wa Erasto👏Wewe Ni Shujaa
@naomiherman1792
@naomiherman1792 5 лет назад
👏👏 Nakupongeza Mh. DC What a Leader is, Encourager, relationship builder, problem solver and leadership involves loving and listening , attendance and accountability. Jamani Mh Muro amekuwa akitatua migogoro katika ofisi yake Arumeru , sijawahi kuona umati usiopungua toka amekuwa DC -Arumeru mpaka sasa, anatatua migogoro ya kutosha kila siku..kweli ni kiongozi wa kuigwa kwa uwajibikaji wa hali ya juu. Hiyo ya family ya Msuya cha mtoto, ila hajawahi kuchoka, anafanya kwa upendo wakati wote. Mungu akubariki sana Mh, una moyo wa pekee sana.
@rmags8654
@rmags8654 4 года назад
Huyo mtoto anavyomtetea mama yake it’s so touching!!
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 7 месяцев назад
Mashangaz tunashid upande wa kaka akiwa na hel
@protasshaban3714
@protasshaban3714 5 лет назад
Sijawahi kuona mama kama huyu. Mkuu wawilaya plz tetea hawa watoto na mungu akubariki
@biggiebonge4231
@biggiebonge4231 5 лет назад
Barikiwa sana umenena kweli!!
@azizarashid3413
@azizarashid3413 5 лет назад
Wez hawa ,nimewachukia
@klaragreen7999
@klaragreen7999 5 лет назад
BIBI ANAONGEA KAMA CHIRIKU..NA M.400 WALISHA KULA.
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 лет назад
Kaka wake wengine siyo, wanakumaliza ili wachukue Mali,,,,,sasa mzazi anakuwa na uchungu anabaini hilo
@veronicamartine6813
@veronicamartine6813 5 лет назад
Protas shaban
@barakaakyoo1905
@barakaakyoo1905 4 года назад
Safi muhishiwa wetu umezungumza maneno yenye busara sana
@elizabeth3d565
@elizabeth3d565 4 года назад
Mtoto yuko sahihi uwezi nipenda mimi ukamchukia mamayangu we mama muogope mungu una upoteza mji wakona kizazi chako kwatamaa zako
@Do-it-yourself_at_home
@Do-it-yourself_at_home 5 месяцев назад
Sasa kama mama kaua kwahyo na mtoto hajaua kwahyo tumpende tuu mama kwasababu tunampenda mwanae?
@noonelike6382
@noonelike6382 5 лет назад
Dah!. Hao watoto wana tia sana huruma. Mheshimiwa muro pambania haki ya hao watoto.
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 5 лет назад
Nilikuwa natimaza tuu leo. Nimeumia saanaa. Kijana kuongea hivo. Yaani nae walimuweka ndani. Ili wachukue vizuri mali.subuhanallah.
@elizabethlukoo4662
@elizabethlukoo4662 5 лет назад
Asha Zaharan Hawa ndugu ni shida Yani km waliombea ndugu yao afe 🙌
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 5 лет назад
Elizabeth Lukoo. kweli kabisa mungu awape subira hawa watoto
@casttraining1575
@casttraining1575 5 лет назад
Asha dunia ni pana mno na hisia hudanganya kifo cha billionear kilikuwa cha utata mno wamachame wanajulikana kwa tabia za kuungana na watoto kuuwa waume zao kwa ajili ya Mali. Na hata merciana Mengi aliwahi kufanya jaribio la kumuua marehem regnald mengi kwa sumu mdada wa kazi ndio alimuokoa. .wenye uchungu na damu yao ndio huumia. ..lakini sheria haiwatambui. ..
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 5 лет назад
😥😥 so sad. Hizi zataka nini?? Mali wapatiwe watoto..hizo ndugu wakishapata jama
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 5 лет назад
Nuurin Kluge .mwenyezi mungu ndie hakim kati yao na hawa watoto
@devotajafary6025
@devotajafary6025 4 года назад
Mama yke huyo billionea anataka Mali za mwanae nahis hana uchungu na kifo cha mwanae bali ana uchungu na mali za mwanae😢😢😢😢😢😢😢
@agnesskiaka950
@agnesskiaka950 5 лет назад
Asante sana kaka yangu Jerry muro Mungu akubariki sana
@lucygodlove8838
@lucygodlove8838 5 лет назад
Safiii Murro.. família nyingi sana huwadhurumu wajane na watoto.
@liyanakarzan182
@liyanakarzan182 4 года назад
😘😘😘😘nimeipenda sana serikali yangu kutenda haki ya kuonewa kwa wajane kisa mali
@evamlay8997
@evamlay8997 5 лет назад
Mungu atawachoma nyiee mnaotesa watoto wa marehem ila mtambue malipo nihapa duniani
@maryumamapunda1989
@maryumamapunda1989 5 лет назад
Kabisa watafute zao dunia hii
@ismailyazidi2141
@ismailyazidi2141 5 лет назад
Eva Mlay nakwambia haya mazazi mengine hapana aisee
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Aliezitafute kaziacha loooh
@klaragreen7999
@klaragreen7999 5 лет назад
NGOJA JPM AINGILIE KATI. WAONE KM WATAAMBULIA..FAMILIA ACHENI NJAA
@lindatogether
@lindatogether 5 лет назад
Mambo ya ajabu sana
@streetboy6987
@streetboy6987 5 лет назад
Naikumbuka ile nyimbo ya TUTATOANA ROHO YALABI
@paschalm9849
@paschalm9849 5 лет назад
Kama unaipenda awamu ya Magufuli gonga like👇🏾❤️
@bebibeshikanyemka9842
@bebibeshikanyemka9842 5 лет назад
Ww ndio tunaekutaka
@issakwisamwakisambwe4080
@issakwisamwakisambwe4080 5 лет назад
Safi sio kila kitu Mahakamani mengine kijamii yanaisha
@azizahmkindi393
@azizahmkindi393 5 лет назад
Watoto wamerehem wanadhalilika kwel mungu anawaona wanao fanya dhulam mali za marehem haki itendek watoto wapewe haki yao
@magejuliani5293
@magejuliani5293 5 лет назад
Nyie ndugu acheni hizo wapewe Mali zao hata wakitapanya zao, kwani baba yao alipokuwepo mlikuwa mnampangia? Acheni Mali ni za watoto haziwahusu
@nsiamassawe3075
@nsiamassawe3075 5 лет назад
Mungu baba tunaomba uwape watoto wako Wa pande zote amani na utulivu. Tunafaham hii ni hila ya shetani ameamua kuitesa familia hii. Tunaoshuhudia hali hii tunatubu Kwa ajili yao Bwana. Ninawaweka wote mikononi mwako Yehova. Ukiwashika wewe Yesu uchungu na mauaji kwao yatakoma. Babu, bibi, wajukuu, mashangazi, wajomba na mama yao. Bwana Yesu gusa na kuwaumbia kitu kipya miyoyoni mwao. Asante Yesu Kwa kumpa Mkuu Wa Wilaya kibali cha kuzungumza nao. Tumeona ulivyojifunua na hekima ikatawala. Mungu wetu tunakushukuru Kwa sababu ya huruma na rehema zako. Amen.
@NeemaGauso
@NeemaGauso 6 месяцев назад
Ameen
@scarionrevelian
@scarionrevelian 5 лет назад
Jerry Mungu akubariki mama mzazi was Elasto jitagakari
@emmanuelmwananzila776
@emmanuelmwananzila776 5 лет назад
Siku zote mtoto amwachi mama
@gloryguren6887
@gloryguren6887 5 лет назад
Kabisaa
@gloryguren6887
@gloryguren6887 5 лет назад
Daima mtoto huwa kwa mama ake, hakuna kama mama
@Bintimrembo-y1v
@Bintimrembo-y1v 3 года назад
Ila hilo limama limekiri kumuua wifi yake na pia mume wake
@johnkyara2016
@johnkyara2016 5 лет назад
Pesa hizi mungu alisema ni vigumu Tajiri kuona ufalume wa mbingu
@nuruemma7258
@nuruemma7258 4 года назад
Mali ni haki ya mke na watoto tu. Babu na bibi waache tamaa.
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 7 месяцев назад
Mungu Awatangulie Awalinde ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai awape utulivu
@evamlay8997
@evamlay8997 5 лет назад
Muro nakuaminia tete haki yahao watoto
@erickkimario6180
@erickkimario6180 5 лет назад
Hyu mtto mpaka amenitoa machozi anavyomtetea mamake
@janethmadulu2746
@janethmadulu2746 5 лет назад
Mama ni mama..na mtoto hawezi kukuelewa kama humpendi mama yake
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 5 лет назад
Ohoo i feel pain..hawa watoto wanaonewa ,,but wako wakubwa wawapatie mali zao , ndugu haziwahusi jamani niwatoto tu..namama yao sijui hata huyo Mama yao atatoka lini jela?? Pia watoto niwakubwa wanauwezo wakuzimili mali wenyewe sababu washakuwa naumli mkubwa wao sio watoto tena.hata wakizitumia mali vibaya nizao.
@superwomanmwenyeheri.1367
@superwomanmwenyeheri.1367 5 лет назад
Lakini kwanini mama take alihusika ktk mauaji? Hats wazaz was Erasto wana uchungu sana na watoto wao 2 waliouwawa!.....khaaa!
@minjashose2159
@minjashose2159 5 лет назад
Erick Kimario hakuna kama mama jaman
@agreykayombo2782
@agreykayombo2782 5 лет назад
KWA wazazi WAKAE kimya WAKATI wamepoteza watoto wawili??? Na huyo mama amekiri kuhusika kwenye muuaji ya wifi yake HALAFU mpumbavu mmoja anasema ujinga KUWA sipendwi eti mama YUKO mahakamani waondoe kesi.Jaribu kuchukua NAFASI ya hao wazazi uone kipindi wanachopitia.SHERIA IFUATE MKONDO WAKE .NA WEWE KELVIN JIONDOE HAPO KUEPUSHA MANENO.UNAPONG'ANG'ANIA INAONYESHA UNA MASLAHI BINAFSI HAPO.
@hussainomar1849
@hussainomar1849 5 лет назад
Laiti ingekuwa Ni sheria ya kiislamu Hilo nadhani lingekuwa limekwisha yaani Mana kitabu Cha mola kimeshagawa mirathi kikamilifu anajulikaana kila mmoja apate ngapi
@bjzee1981
@bjzee1981 5 лет назад
Ingekua taifa la Ki islam
@aboudmsonde886
@aboudmsonde886 5 лет назад
@@bjzee1981 Mali c ya taifa
@eugenyurassa2183
@eugenyurassa2183 5 лет назад
Dini haiwezi kuiondo haki ya wazazi na familia yangu kwa ujumla,siku zote Amani yakweli ipo kwa Mungu wetu.
@nuranzubail8134
@nuranzubail8134 5 лет назад
@@eugenyurassa2183 hata dini haikuwaacha wazazi wana fungu lao
@bjzee1981
@bjzee1981 5 лет назад
@@aboudmsonde886 . Ndiyo lakini ikishafika mahaamani itafuatwa sheria ya serikali tu labda famila wenyewe wawe wa elewa wamalizie mambo yao nyumbani
@savinosalamba9174
@savinosalamba9174 7 месяцев назад
Mungu ingilia kati amen
@magrethsanga942
@magrethsanga942 5 лет назад
We mama soma kutoka 22 Mungu atawaua wote wanao watesa yatima
@janembangile5196
@janembangile5196 5 лет назад
Wezi wakubwa hawa
@janembangile5196
@janembangile5196 5 лет назад
Kuibia yatima na wajane ni dhambi jamani awa vipi?
@furahakonde6259
@furahakonde6259 5 лет назад
Magufuli nakupenda Sana unakarimu wako mungu akunguliye akupe uzee uzuri akulinde magonjwa na maadui wako washindwe kwa jina la yesu
@Grandpamotivator
@Grandpamotivator 5 лет назад
Na zile hela za marehemu walizojigaia million 200 kila mtu wazirudishe. wanga kabisa
@evaomarymasinde262
@evaomarymasinde262 5 лет назад
Wamechukuwa million 400.
@klaragreen7999
@klaragreen7999 5 лет назад
Yaan waombe tu JPM asitamke kitu watazitapika bila kupenda
@thomasraiton7760
@thomasraiton7760 5 лет назад
Hahaha wameonja utamu halafu warudishe? Hapo walitaka waendeleze kumega
@aminamasawe3221
@aminamasawe3221 5 лет назад
Asante Muro kwa point yako muhimu sana ndugu tamaa zimewajaa hao
@khalekichambo2143
@khalekichambo2143 5 лет назад
200 ni haki yao wameachiwa kimaandishi 40% ya pesa benki wapewe wazazi. Wazazi ndio wakawagawia wadogo wa marehemu 20%, 73 million kila mdogo wa kike
@nazirnoor4160
@nazirnoor4160 5 лет назад
Hongereni. Mali si mali. Mali ni........ Tajirika kwa wastani tu, sio ndugu, wazazi, watoto wala mke, wote wanaweza kua wabaya juu ya mali zako.
@hatibuathuman1178
@hatibuathuman1178 5 лет назад
Mkeee yupo wototo wapo Leo eti ndugu acheni tamaaa wenyewe si wapo jaman
@elizabethlukoo4662
@elizabethlukoo4662 5 лет назад
Apo sasa Yani ndugu ni shida
@fatmaabdallah8743
@fatmaabdallah8743 5 лет назад
Huyo mama mtu mzima hana hata haya anataka kuwadhulumu wajukuu zake. Wana tamaa ya mali inawezekana walihusika kumuua mtoto wao Erasto kusudi wapate kurithi mali. Hawana haya! Hovyoooo
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Wanaume kuwen makn has hao ndugu zako ndio wataitesa familia yako
@hamisimterela45
@hamisimterela45 5 лет назад
@@husnauthman7609 wazazi pia wanahaki naujue pia mke anatakiwa apewe thumni yake aondoke maana mali niya watoto
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
@@hamisimterela45 yap cjakataa mzaz pia ana haki ila co ukoo mzma
@magrethkimaro5140
@magrethkimaro5140 5 лет назад
Ubarikiwe mkuu wa wilaya.
@saidasimba9979
@saidasimba9979 5 лет назад
Wazee hawa warafi mali haziwahusu pambaneni na hali zenu
@marthamollelloth7673
@marthamollelloth7673 5 лет назад
Kila penye gumu Mungu hukumbukwa. Asante Mungu kwa huruma zako
@ramadhanihassani256
@ramadhanihassani256 5 лет назад
Haya maisha bhanaa ukiwa tajirii shidaa ukiwa masikini utadharaulika mpaka nandugu sasa daaa weachaa mambo ya ndugu
@eriqemarson2362
@eriqemarson2362 5 лет назад
Noma sana
@georgeakasha764
@georgeakasha764 5 лет назад
Ramadhani Hassani Pamoja na yote kila mtu anapenda utajiri.
@nachatvonline2996
@nachatvonline2996 5 лет назад
MUNGU AKUBARIKI SANA MH. JERRY MURO, WEWE NI KIONGOZI MWONGOZA NJIA ARUMERU NA TANZANIA IMEKUONA
@samwelkobe6455
@samwelkobe6455 5 лет назад
Luv u my mom!! Mtoto wa erasto anauchungu sana na mamake...hao wengine tumieni busara hao watoto wamepoteza baba yao na pia mama yao you magereza na bado mnawapa changamoto kama hizo badala ya kuwaonea huruma jaman....
@SHEIKHMWAIPOPOTV
@SHEIKHMWAIPOPOTV 2 года назад
Watoto wanahaki kumtetea mama yao rakini mama yao ameuwa wifi yake huyo kijana muongo huyo ndio fitna Sana
@brendakimaro3747
@brendakimaro3747 5 лет назад
Mkuu wa wilaya...Murro Mungu azidi kukulinda...nakukubaligi sana ktk kusimamia haki.
@frankmapesa4386
@frankmapesa4386 5 лет назад
Mh. Na serikali kwa ujumla kazi nzuri mmefanya pongezi.. Lakini hakikisheni ulizi wa hawa watt masaa 24 . Kwa maana muharibifu lazima awe tu humo humo kwenye familia.. Na yupo kazini masaa 24
@jenifamuia2286
@jenifamuia2286 5 лет назад
Jerry wewe ulichanguliwa mungu kwa hio kiti.tunakuitaji kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 5 лет назад
familia ya mwanaume ni wanafiki sana
@stevelayda8555
@stevelayda8555 5 лет назад
Heri wapatanishi maana ufalme wa mbinguni ni wao. Ubarikiwe sana mhe DC Jerry Murro.
@willylazarusmwaigwisya4306
@willylazarusmwaigwisya4306 5 лет назад
Hao wazazi wa erasto msiwalaumu tuu waoneeni huruma wameumizwa kupoteza watoto wawili kwa style moja alafu mtuhumiwa ni mtu wa karibu Ni watu wa kuwasamehe
@jameslaiser6276
@jameslaiser6276 5 лет назад
Watu wanachukulia kiurahisi sana tu mambo haya hawajui kuwa Wazazi wana uchungu na Watoto wao 2 waliouawa…!!
@mariamkikula1614
@mariamkikula1614 5 лет назад
Brother Willy kweli kabisa
@janethmadulu2746
@janethmadulu2746 5 лет назад
Wanachokifanya wasipoangalia kitawafananisha na hao wauaji
@paschaziantiru1658
@paschaziantiru1658 5 лет назад
Eventhough kwamba ameuliwa watoto still watoto ndio wanatakiwa warithi kila kitu cha baba yao yn kwenye sheria haisemi ivyo kwamba familia ya mume ndio iamue nan arithi wakati mke halali yupo na watoto pia wapo wao wapambane na maisha yao cha msingi hizo mil 400 watafte Nini cha kufanya kiwaingizie kipato
@aishamawalla1839
@aishamawalla1839 5 лет назад
Asanteee Mkuu wetu hata kwa maombi hayo mungu uyapokee
@thobiaskayange9302
@thobiaskayange9302 5 лет назад
Jerry moro kwa mala ya Kwanzaa kutokana na uzito wa jambo nmeona hekima zako za viwango namwaomba Mwenyezi Mungu akusimamiee napiaa ni fundisho kwetu turio baki duniani mali sio chochote tuombe mwisho mwemaaa
@vince_vinson.2083
@vince_vinson.2083 5 лет назад
Kweli hii ya kwa ya kwanza Jerry Muro ameonesha busara.
@chileshebwilya8967
@chileshebwilya8967 5 лет назад
Hongera sana Mheshimiwa Muro.. Wewe ni kiongozi mwenye busara..
@WivianRich
@WivianRich 5 лет назад
Zile asilimia 40 si wameshapewa tayari mama million 200, baba million 200, na wadogo wa marehehemu million 75 kila mmoja kasaini na mgodi wanao. Sasa wanataka nn tena.?? Jamanii
@fatmaabdallah8743
@fatmaabdallah8743 5 лет назад
Milioni 200 hazimtoshi huyo mama anaonekana ana tamaa sana ndio hawa kina mama wanaotembea na watoto wadogo kwa tamaa zao
@fatmaabdallah8743
@fatmaabdallah8743 5 лет назад
Kama ni binadamu mwenye imani na kumjua mungu kwa misiba aliyopata ya watoto wake asingekuwa hata na hamu ya kutaka mali
@klaragreen7999
@klaragreen7999 5 лет назад
Wanavuta bangi hao
@victorjames3730
@victorjames3730 5 лет назад
Sisi binadamu hatuna jema 200milioni na mgodi wamepewa bado nyie ndugi mnataka nini??
@nuurinkluge7584
@nuurinkluge7584 5 лет назад
That is true..sijui warataka nini..from germany hier twaona twashangaa🤔😥
@hopennko5242
@hopennko5242 5 лет назад
Acheni kabisa mnatafuta laana kwa Mungu.Ni wazi kabisa kwamba tunaishi katika ulimwengu usio na upendo.
@top20africamusics31
@top20africamusics31 5 лет назад
kutoka kuwa msemaji wa Yanga, hadi mkuu wa Wilaya maisha yanaenda race sana 🙌
@jacquelinechalamila2256
@jacquelinechalamila2256 5 лет назад
TOP20 AFRICA MUSICS 😂😂😂😂😂😂
@juliethmtolela4896
@juliethmtolela4896 5 лет назад
Hongera saaaaaana mhe.Jerry Muro
@christinasolomon8156
@christinasolomon8156 5 лет назад
Nyinyi MATAJIRI hilo ni funzo kwenu andikeni WOSIA mapema msisubri mpaka mfe.
@rahabumwakajoka6721
@rahabumwakajoka6721 5 лет назад
Hiyo familia ilipewa chao mama wa msuya milioni 200 na baba wa msuya milioni 250na wadogo zake msuwa wote walipa eti kila mmoja milioni 70 na zilizobaki akapewa mke na watoto zake Lakini bado wanafamilia ya msuya wanataka na zile pia, inasemekana visa haviishi kwa mke na watoto wa marwehemu ni shda tupu.
@damianmakala2913
@damianmakala2913 5 лет назад
Hilo nalo neno
@MrTmanU
@MrTmanU 5 лет назад
Mke ni halali wasimuelewe alileta maafa kwenye familia ya msuya so nae kisheria anastahili kunyongwa
@raphaelungani9024
@raphaelungani9024 5 лет назад
Sio kwa matajiri tu
@kazkaz1943
@kazkaz1943 5 лет назад
Hata maskin tuandike pia vikombe arithi nan na makochi nan huku usweken watu wanauana kisa magodoro
@mako331
@mako331 5 лет назад
Mimi namuonea huyu mtoto huruma ila kuna hawa watoto kuwa brain washed hapa na wajomba zao hapa kuchukia upande wa Baba, kumbuka hawa wazazi wamepoteza watoto wawili kwa vifo vya uchungu sana, Kijana kauwawa tena msichana kauwawa kinyama tusiparamie tu kuwalaumu hawa wazazi tena huyo Mama huyu kijana anayemsema ndio mshukiwa mkuu wa mauaji ya msichana, umakini unahitajika hapa, safi DC kwa kumaliza na maombi
@sadickrajabu1191
@sadickrajabu1191 5 лет назад
Sasa si muwaachie watoto Mali zao
@klaragreen7999
@klaragreen7999 5 лет назад
Aibu sn. Dada alia alianza kupat mali kabla ya kaka. Ss why unalilia hizi..
@yohanastephen
@yohanastephen 5 лет назад
sadick rajabu mali ni za watoto na mama kwani bado wapo
@yohanastephen
@yohanastephen 5 лет назад
mali ni za watoto na mama yao sio ndugu
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 5 лет назад
.
@mkobainnocent2368
@mkobainnocent2368 5 лет назад
Yaaaani wabongo kupenda mteremkoo, watoto wapo mke wa marehemu yupo,sasa nyinyi ndugu wa pembeni vip si watafute vya kwao? Na kwahali hiyo usikute hata huyo mama kachomekewaa kuuwaaa
@mixxxhio9234
@mixxxhio9234 5 лет назад
Nduguuu niwanafki sana haiwezekannn sasa hiviii mtyu kafaa wanajifanya wanapenda watoto neverr
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 5 лет назад
Yani mali za watoto mnataka ma-m-bwaaa nyieeeee!Shame on you....Acheni uroho
@biggiebonge4231
@biggiebonge4231 5 лет назад
Hahahaha kabisa
@mercysamuel9290
@mercysamuel9290 5 лет назад
Ml,miambili,kila,mmoja,wakati,minapambana,kutafuta,laki,tano,hadi,nakonda,kweli,kina,Msuya,shkamooni,tu
@thobiasmushangaki4735
@thobiasmushangaki4735 5 лет назад
Asante kwa mh mkuu Wa wilaya kuumaliza mgogoro huu
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
MWISHO KABISA UMEGONGA NDIPO JERU MUHURO 🙏🙏🙏🇰🇪🇨🇿
@rabimunisi2861
@rabimunisi2861 5 лет назад
Jéri wewe ni mwamba
@valenakomba9218
@valenakomba9218 11 месяцев назад
MTAUWANA BUREEEE.😊😊😊
@johnsamweli6180
@johnsamweli6180 5 лет назад
Hamakweli dunia mapito wote dungu mnatolea mach vitu dha mtu katafuta na mke wake leo mnatowa macho yaone nacho 😲😲😲 kama mnapenda ctafute vya kwenu
@jacklineerasto6920
@jacklineerasto6920 5 лет назад
John laiti ungejua historia vizuri ya hii huu okoo wala usingecomment kitu usichokijua ungenyamaza kimya...
@upendomndeme9478
@upendomndeme9478 5 лет назад
Dah mali hizi, Mungu awatetee hao watoto. Hongera Dc kwa kulisimamia hilo
@johnkyara2016
@johnkyara2016 5 лет назад
Wachagga na wapare huko sio sehemu ya kuoa
@الوردالورد-ز4غ
@الوردالورد-ز4غ 5 лет назад
Mungu mbariki Magufuli kama sio yeye watoto wangedhulumiwa
@benbenedict2720
@benbenedict2720 5 лет назад
Funzo kubwa kwa wazazi, mnapopambana kupata mali mna tabia za kuwapa kipaumbele watoto wa kiume. Watoto wa kike mnawaweka daraja la chini. Wainueni watoto wenu wote kwa usawa kwani hamjui nani atakuja kusimama nanyi wakati wa uzee. Kweli ni mali za watoto wa bilionea lakini inaonekana wazi baba wa bilionea ndio alimfungulia mwanae pekee wa kiume milango ya utajiri huku watoto wa kike waki sacrifice kaka apande juu. Pia inauma sana pale mtu unapoteseka na mwanao kuchuma mali from scratch, ukamkabidhi ukiamini nguvu zake kama kijana, halafu unaona mwanao anauawa kwa risasi baada ya kujiongeza, halafu binti yako anachinjwa, na wanaoshutumiwa kumuua binti yako ndio wanasimamia mali. nadhani mambo yalikwenda sawa hadi pale mke wa bilionea aliposhukiwa kumuua wifi yake.
@chulelubella2819
@chulelubella2819 8 месяцев назад
Kumbuka ni tuhuma sio ukweli
@aisatahaisatah2612
@aisatahaisatah2612 5 лет назад
Mungu akubariki muheshimiwa kwakutetea hao watoto
@bernardmcabbeys9627
@bernardmcabbeys9627 5 лет назад
Bibi anaumia huyu mama yao alimuua mtto wk jamani mtto anauma sna mtu asikwambia tuacheni ushabiki
@agnestemba8079
@agnestemba8079 5 лет назад
Kweli kabisa watu hawajui hata stori imeanzia wapi wanashabikia tu, mi wasingepata hata mia wangepambana na mama yao jela
@reinaldagerodi1525
@reinaldagerodi1525 5 лет назад
Usiyoyajua ni bora kunyamaza ,mtoto anauma ,mm anaumizwa na wanae aliowapoteza
@paschaziantiru1658
@paschaziantiru1658 5 лет назад
@@agnestemba8079 kumbeee eeh omba yasikutokee yakikutokea utaona uyo mama na mwanae hawana kosa hatukatai inauma lkn kumbuka siku zote tajiri anamaadui ila watanzania tushazoea mwanaume akifa ameuliwa na mwanamke so muacheni mtoto arithi Vitu vyake
@brunonsungwe8389
@brunonsungwe8389 5 лет назад
Mweshimiwa Muro uko vizuri sikutegemea kama ungeyatendo yote hayo. Mungu akufikishe mbali kwa kujali wajane
@ramadhanmaulid4088
@ramadhanmaulid4088 5 лет назад
" Rich also crying in front of poor" THE STORY BOOK
@dottoanipher8488
@dottoanipher8488 4 года назад
Nimekuchkia wew.mamAaaa
@mteulenyotamchana2623
@mteulenyotamchana2623 5 лет назад
I love you man of wisdom may God our Father bless you your family and your friends. And that family be touched by the holy spirit to know how to forgive each other. That son I pray God to get space in his heart hes blessed of the Lord and he need God intervention.
@jeniphermassawe3037
@jeniphermassawe3037 5 лет назад
Hawa watoto wanahitaji ulizi wa m/mungu hao ndugu cyo
@klaragreen7999
@klaragreen7999 5 лет назад
Kabisa hasa huyo rich aliye kuwa analia..halooo rich also cry
@ashaslaa3185
@ashaslaa3185 5 лет назад
Hongera sana mheshimiwa watoto wapate haki yao
@hopennko5242
@hopennko5242 5 лет назад
Inakuwaje mtu unagombania mali ambazo hujazichokea, Mtu aliangaika akiwa hai ili watoto wake waishi kwa amani alafu leo wazazi, ndugu mnawanyanyasa watoto walio tafutiwa na baba yao, kwanini baba zenu na nyie wasingekuwa matajiri.Hakika inauma yaani laiti kama marehemu angeweza kufanya kitu asinge wasamehe kabisa Mnang'ang'ania kupewa mali isiyo yako igawanywe,mtu akitaka kukupa kitu si anakupa tu kwani lazima
@julianajoseph2213
@julianajoseph2213 5 лет назад
Du hongera saana Mkuu Wa wilaya
@christophermsekena616
@christophermsekena616 5 лет назад
Watoto wameshakua wapewe mali zao, wazee wazima mnakuwa wezi hiyo laana itawatafuna
@tukuswigaikasu5227
@tukuswigaikasu5227 5 лет назад
Mungu akubariki Jerry Muro umelimaliza jambo hili kwa haki
@angelntandu661
@angelntandu661 5 лет назад
Huenda hata huyo mama hahusiki mungu awasaidie bila hivyo kisasi kitamaliza watu kisa hela
@leahmedard1849
@leahmedard1849 7 месяцев назад
Jerry uko vizuri kwakweli❤
@소송소송
@소송소송 5 лет назад
Greedy grand parents.
@casttraining1575
@casttraining1575 5 лет назад
No am on contrary what if by any chance had involved in killing bilionaire erasto for the fotune..hope the parents have something bitter which cannot be understood by law and emotional feeling..there is something hidden there. . .
@evamlay8997
@evamlay8997 5 лет назад
Bibi waachie wajukuu zako plz bibi
@juliethmwombeki6156
@juliethmwombeki6156 5 лет назад
Mali za watoto Bibi,babu mfie mbaliiii. kwendraaaaaa
@edmundnkarangu134
@edmundnkarangu134 5 лет назад
hongera xana Jerry Muro na mungu akubariki
@bensonhamis3303
@bensonhamis3303 5 лет назад
Haya Ni Mambo ya ndani ya familia ya watu si sawa kuyasuisha kwenye media sio sawa kabisa kuaddress haya Mambo na camera. It's unfair and illogical
@marcobulili4341
@marcobulili4341 5 лет назад
Ila siyo vzur
@shamsagloriageorge8593
@shamsagloriageorge8593 5 лет назад
Tunamuitaji Sana Yesu ktk maisha yetu
@bjzee1981
@bjzee1981 5 лет назад
Yani miaka 10 . Duh
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 5 лет назад
Safi sanaaa Dc wallah nimempenda gafla bini vuuuuu
@mercysamuel9290
@mercysamuel9290 5 лет назад
Hakika,sasa,nimekuelewa,muheshimiwa
@janengowi3011
@janengowi3011 5 лет назад
Huyo nae analilia nini mwachen mama na watoto Mali ni zao
@mercysamuel9290
@mercysamuel9290 5 лет назад
@@janengowi3011 anaekti,tu kulia hana lolote ,Mali za mama nawatoto ,mama,mkwe,kama,huyu,bibi,Mungu,aninusuru
@happymushi4493
@happymushi4493 7 месяцев назад
Nimempenda mtt wa Erasto
@najmarajabu4127
@najmarajabu4127 5 лет назад
Hata mama yang mkubwa alifiwa na mumewe wakataka kuleta upuuz sema upande wa mwanamke walikuwa wakali
@lainocentre7426
@lainocentre7426 5 лет назад
Mimi ninachomwomba dc afuatilie kesi ya huyo mama kuna tatizo hapo!
@najmarajabu4127
@najmarajabu4127 5 лет назад
@@lainocentre7426 kweli kabisa nawanaweza kusema yameisha kumbe wanavinyongo vyao moyon
@severinifulgensi2686
@severinifulgensi2686 5 лет назад
Hao ndugu washawaibia sana hao watoto kimbiza hao
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 5 лет назад
Huwezi kuondoa kesi mahakamani kwasababu wewe sio mwanasheria. Mahakama ndo chombo cha mwisho, hao wazee ma mafia
@stelladomani4429
@stelladomani4429 5 лет назад
Hadi nimesisimka hawa ndugu jamani muogopeni Mungu,,,waacheni watoto Mungu anawaona.puu
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 5 лет назад
Mheshimiwa Jerry Muro ngoma nzito hiyo huiwezi. Usipoangalia na wewe watakumaliza! kwani Sheria ya mirathi inasemaje kuhusu hiyo kesi yao?. Jambo hilo msilichukulie kienyeji .
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 5 лет назад
Catherine Mogensen pande zote mbili zimekubari kufuta kesi ili wamalize kwa Muro Shughuli kwisha ila tu ajiangalie kweli
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 лет назад
Amen Amen. Mwenye Mali ayupo sasa. Ninyi tumieni hekima tu mana akuna ajuae kesho yake. Na akuna alie jiweza chini ya jua. Asante. Mungu awasaidie. Amen.
@klaragreen7999
@klaragreen7999 5 лет назад
THE RICH ALSO CRY..SHEM ON YOU NONSENSE
@sesiliakyando6711
@sesiliakyando6711 4 года назад
Safii malii watafute wawilii saizii wanataka wale wotee
@klkkklkk1369
@klkkklkk1369 5 лет назад
hawa wazazi wana uchungu familia ya mke wa marehemu wameua watoto wAo wawili hilo shida
@rajabumwenesano2038
@rajabumwenesano2038 5 лет назад
Saf sana mkuu wa wilaya mungu hakupe moyo uwo uwo
@zolongOne
@zolongOne 5 лет назад
Pesa sio mchezo
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 5 лет назад
Dunia tunapita Atuishi milele.na Tutaacha kila kitu kilichopa Duniani.Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo.Tufanye Ibada na tutowe Sadaka kujenga kesho yetu Mbele za Mungu.Allah Atufanyie wepesi sote na tuwe na Mwisho mwema InshaAllah.
@ringoaskali7625
@ringoaskali7625 5 лет назад
Huyo mama ni mwizi tu hana mpango kwanini agombanie mali za marehemu dhu sio poa kweli
@mejamashauri6346
@mejamashauri6346 5 лет назад
Wapeni mari zao watoto mtaraniwa namungu
@fauziaabdillahihassan7702
@fauziaabdillahihassan7702 5 лет назад
Chunga kauli yako hata wewe uko na mama
@dicksonmoshi7480
@dicksonmoshi7480 5 лет назад
Katika hili Mheshimiwa jerry Muro umetenda mema sana hakika Mungu akawe baraka kwako
@agnestemba8079
@agnestemba8079 5 лет назад
Umuue mtoto wangu niache kukufuta kwenye ukoo ha ha nawafuta vizuri.
@charlesgwambegu9188
@charlesgwambegu9188 5 лет назад
Una uhakika au ndo kilopolopo
@agnestemba8079
@agnestemba8079 5 лет назад
Jela anafanya nn kama hajaua ha ha ha wamemuweka kuangalia mazingira
@biggiebonge4231
@biggiebonge4231 5 лет назад
Unaporopoka kua muangalifu sana. Una uhakika? Unaweza semea hili/tolea ushahidi hili? Chunga kinywa kwenye mitandao!!
@agnestemba8079
@agnestemba8079 5 лет назад
Sichungi kwa7bu yuko jela anafanya nn anapunga upepo ha ha mtu akiri mwenyewe wewe uje umtetee ha ha ha
@janeyphersuma112
@janeyphersuma112 5 лет назад
Agnes Temba wewe mpuzi sana unazan kila anae kwenda jela kweli kakosa ivi ujui kuna vya kusingiziwa mpumbavu wewe mshenz kabisa
Далее