👏👏 Nakupongeza Mh. DC What a Leader is, Encourager, relationship builder, problem solver and leadership involves loving and listening , attendance and accountability. Jamani Mh Muro amekuwa akitatua migogoro katika ofisi yake Arumeru , sijawahi kuona umati usiopungua toka amekuwa DC -Arumeru mpaka sasa, anatatua migogoro ya kutosha kila siku..kweli ni kiongozi wa kuigwa kwa uwajibikaji wa hali ya juu. Hiyo ya family ya Msuya cha mtoto, ila hajawahi kuchoka, anafanya kwa upendo wakati wote. Mungu akubariki sana Mh, una moyo wa pekee sana.
Asha dunia ni pana mno na hisia hudanganya kifo cha billionear kilikuwa cha utata mno wamachame wanajulikana kwa tabia za kuungana na watoto kuuwa waume zao kwa ajili ya Mali. Na hata merciana Mengi aliwahi kufanya jaribio la kumuua marehem regnald mengi kwa sumu mdada wa kazi ndio alimuokoa. .wenye uchungu na damu yao ndio huumia. ..lakini sheria haiwatambui. ..
Mungu baba tunaomba uwape watoto wako Wa pande zote amani na utulivu. Tunafaham hii ni hila ya shetani ameamua kuitesa familia hii. Tunaoshuhudia hali hii tunatubu Kwa ajili yao Bwana. Ninawaweka wote mikononi mwako Yehova. Ukiwashika wewe Yesu uchungu na mauaji kwao yatakoma. Babu, bibi, wajukuu, mashangazi, wajomba na mama yao. Bwana Yesu gusa na kuwaumbia kitu kipya miyoyoni mwao. Asante Yesu Kwa kumpa Mkuu Wa Wilaya kibali cha kuzungumza nao. Tumeona ulivyojifunua na hekima ikatawala. Mungu wetu tunakushukuru Kwa sababu ya huruma na rehema zako. Amen.
Ohoo i feel pain..hawa watoto wanaonewa ,,but wako wakubwa wawapatie mali zao , ndugu haziwahusi jamani niwatoto tu..namama yao sijui hata huyo Mama yao atatoka lini jela?? Pia watoto niwakubwa wanauwezo wakuzimili mali wenyewe sababu washakuwa naumli mkubwa wao sio watoto tena.hata wakizitumia mali vibaya nizao.
KWA wazazi WAKAE kimya WAKATI wamepoteza watoto wawili??? Na huyo mama amekiri kuhusika kwenye muuaji ya wifi yake HALAFU mpumbavu mmoja anasema ujinga KUWA sipendwi eti mama YUKO mahakamani waondoe kesi.Jaribu kuchukua NAFASI ya hao wazazi uone kipindi wanachopitia.SHERIA IFUATE MKONDO WAKE .NA WEWE KELVIN JIONDOE HAPO KUEPUSHA MANENO.UNAPONG'ANG'ANIA INAONYESHA UNA MASLAHI BINAFSI HAPO.
Laiti ingekuwa Ni sheria ya kiislamu Hilo nadhani lingekuwa limekwisha yaani Mana kitabu Cha mola kimeshagawa mirathi kikamilifu anajulikaana kila mmoja apate ngapi
Huyo mama mtu mzima hana hata haya anataka kuwadhulumu wajukuu zake. Wana tamaa ya mali inawezekana walihusika kumuua mtoto wao Erasto kusudi wapate kurithi mali. Hawana haya! Hovyoooo
Luv u my mom!! Mtoto wa erasto anauchungu sana na mamake...hao wengine tumieni busara hao watoto wamepoteza baba yao na pia mama yao you magereza na bado mnawapa changamoto kama hizo badala ya kuwaonea huruma jaman....
Mh. Na serikali kwa ujumla kazi nzuri mmefanya pongezi.. Lakini hakikisheni ulizi wa hawa watt masaa 24 . Kwa maana muharibifu lazima awe tu humo humo kwenye familia.. Na yupo kazini masaa 24
Hao wazazi wa erasto msiwalaumu tuu waoneeni huruma wameumizwa kupoteza watoto wawili kwa style moja alafu mtuhumiwa ni mtu wa karibu Ni watu wa kuwasamehe
Eventhough kwamba ameuliwa watoto still watoto ndio wanatakiwa warithi kila kitu cha baba yao yn kwenye sheria haisemi ivyo kwamba familia ya mume ndio iamue nan arithi wakati mke halali yupo na watoto pia wapo wao wapambane na maisha yao cha msingi hizo mil 400 watafte Nini cha kufanya kiwaingizie kipato
Jerry moro kwa mala ya Kwanzaa kutokana na uzito wa jambo nmeona hekima zako za viwango namwaomba Mwenyezi Mungu akusimamiee napiaa ni fundisho kwetu turio baki duniani mali sio chochote tuombe mwisho mwemaaa
Zile asilimia 40 si wameshapewa tayari mama million 200, baba million 200, na wadogo wa marehehemu million 75 kila mmoja kasaini na mgodi wanao. Sasa wanataka nn tena.?? Jamanii
Hiyo familia ilipewa chao mama wa msuya milioni 200 na baba wa msuya milioni 250na wadogo zake msuwa wote walipa eti kila mmoja milioni 70 na zilizobaki akapewa mke na watoto zake Lakini bado wanafamilia ya msuya wanataka na zile pia, inasemekana visa haviishi kwa mke na watoto wa marwehemu ni shda tupu.
Mimi namuonea huyu mtoto huruma ila kuna hawa watoto kuwa brain washed hapa na wajomba zao hapa kuchukia upande wa Baba, kumbuka hawa wazazi wamepoteza watoto wawili kwa vifo vya uchungu sana, Kijana kauwawa tena msichana kauwawa kinyama tusiparamie tu kuwalaumu hawa wazazi tena huyo Mama huyu kijana anayemsema ndio mshukiwa mkuu wa mauaji ya msichana, umakini unahitajika hapa, safi DC kwa kumaliza na maombi
Yaaaani wabongo kupenda mteremkoo, watoto wapo mke wa marehemu yupo,sasa nyinyi ndugu wa pembeni vip si watafute vya kwao? Na kwahali hiyo usikute hata huyo mama kachomekewaa kuuwaaa
Funzo kubwa kwa wazazi, mnapopambana kupata mali mna tabia za kuwapa kipaumbele watoto wa kiume. Watoto wa kike mnawaweka daraja la chini. Wainueni watoto wenu wote kwa usawa kwani hamjui nani atakuja kusimama nanyi wakati wa uzee. Kweli ni mali za watoto wa bilionea lakini inaonekana wazi baba wa bilionea ndio alimfungulia mwanae pekee wa kiume milango ya utajiri huku watoto wa kike waki sacrifice kaka apande juu. Pia inauma sana pale mtu unapoteseka na mwanao kuchuma mali from scratch, ukamkabidhi ukiamini nguvu zake kama kijana, halafu unaona mwanao anauawa kwa risasi baada ya kujiongeza, halafu binti yako anachinjwa, na wanaoshutumiwa kumuua binti yako ndio wanasimamia mali. nadhani mambo yalikwenda sawa hadi pale mke wa bilionea aliposhukiwa kumuua wifi yake.
@@agnestemba8079 kumbeee eeh omba yasikutokee yakikutokea utaona uyo mama na mwanae hawana kosa hatukatai inauma lkn kumbuka siku zote tajiri anamaadui ila watanzania tushazoea mwanaume akifa ameuliwa na mwanamke so muacheni mtoto arithi Vitu vyake
I love you man of wisdom may God our Father bless you your family and your friends. And that family be touched by the holy spirit to know how to forgive each other. That son I pray God to get space in his heart hes blessed of the Lord and he need God intervention.
Inakuwaje mtu unagombania mali ambazo hujazichokea, Mtu aliangaika akiwa hai ili watoto wake waishi kwa amani alafu leo wazazi, ndugu mnawanyanyasa watoto walio tafutiwa na baba yao, kwanini baba zenu na nyie wasingekuwa matajiri.Hakika inauma yaani laiti kama marehemu angeweza kufanya kitu asinge wasamehe kabisa Mnang'ang'ania kupewa mali isiyo yako igawanywe,mtu akitaka kukupa kitu si anakupa tu kwani lazima
No am on contrary what if by any chance had involved in killing bilionaire erasto for the fotune..hope the parents have something bitter which cannot be understood by law and emotional feeling..there is something hidden there. . .
Mheshimiwa Jerry Muro ngoma nzito hiyo huiwezi. Usipoangalia na wewe watakumaliza! kwani Sheria ya mirathi inasemaje kuhusu hiyo kesi yao?. Jambo hilo msilichukulie kienyeji .
Amen Amen. Mwenye Mali ayupo sasa. Ninyi tumieni hekima tu mana akuna ajuae kesho yake. Na akuna alie jiweza chini ya jua. Asante. Mungu awasaidie. Amen.
Dunia tunapita Atuishi milele.na Tutaacha kila kitu kilichopa Duniani.Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo.Tufanye Ibada na tutowe Sadaka kujenga kesho yetu Mbele za Mungu.Allah Atufanyie wepesi sote na tuwe na Mwisho mwema InshaAllah.