Wa Islamu ni watu ambao wanajuwa ukweli alakini wanataka kupoteza hao wasiyo jua ukweli katika bibiliya. Pastor ndacha mungu akubariki Kwa kutangazia wa Islamu ukweli
Huyu ndacha amesoma kweli na kama amesoma anaakili vizuri kweli?mungu wa ibrahim baba wa mitume ndio tunaemuabudu hakuna mungu isipokuwa mungu ni mmoja tu alieumba mbingu na ardhi,mm naona anapiga kilele tu hajui chochote akasome quran vizuri
Alhamdulillah ni sis waje wake ndio tunamsifia hivyo na si Mungu anasema hivyo.. Watu hawaelewi dini ya Islam wala kur ani wsnapiga tu makelele ya tafsiri za uongo
Allah ametajwa ktk bibilia original ya ki-ebrania ikiwa inamaanisha Mungu wa Ulimwengu. Hizi za siku hizi zimerekebishwa ZAIDI ya mara 500 kwa maslahi ya kundi Fulani la watu
Mtu anashindwa hata kugoogle tu akaona nini maana ya Allah. Allah ni kiarabu maana yake God ni huyo huyo mmoja. Kuhusu masanamu wapi tunaona masanamu na mapicha misikitini au makanisani? Si tunaona masanamu ya Yesu na Maria makanisani? Yesu alikataza kuabudu masanamu. Ash hadu alaila hailala wa ash hadu anna Muhammad arasulallah. Imani ya waislam katika kor ani kwamba nakiri kwamba hakuna apasae kuabudiwa kwa haki ila mwenyezi Mungu na ninakiri kwamba hakina Muhammad ni mtume wake. Ajabu mtu bado anachanganya kati ya Mungu na mtume wake