Ndacha is Brave, Kinyonga au "chameleon "ndo hubadilika 😅😅 Ndacha I like you , hii Kiswahili umetufunza congratulations 🎉 Mdahalo upo fantastic on both sides 💯
Dugu wakiristo mna macho lkn kuona hamuoni man akilivlkn hamzitumii KATU mnasubiri kuongozwa na ndacha AmBAR analipwa kuichafua dini ya haki na mungu anamuina usiku anajuta kuyapotosha maandiko ya Allah innalillah mungu awasamehe sana na awaongoze yni mungu ataihiriwe na asinzie alale usingizi subhannahallah ...Alhamdulillah for neemal Islam ❤
Poteeni na huyo ndacha wenu ila waislamu mkono Kwa mkono Hadi peponi kwenye uzima wa milele nduguzngu wa kirisito karibuni sana Kwa uislamu ndio dini ya mola wko mlezi japo dakika Moja TU uuangalie pumzi unazo vuta ww anakupa nani ndio uzidishe kibri subhanahallah
Ndacha amekosa haya kabisa 😂😂 Allah akuifadhi Dr Sule. Ndacha siku uta kutana na Dr Abdoul-Majid wa DRC naamini uta kimbiya na kutupa hiyo biblia zako InshaaAllah
Alichanganyikiwa Hadi aangalii watu vizuri kwa kuharibu Quran ila ukweli Ako nao kuslimu anaona aibu ila mbele ya Allah ataenda kujuta atakapo pewa kitabu chake atauliza na jibu like ni motoni tu milele
Kabisa hawalali kwa kuiharibu qurani na yesu mwenyewe asema yy anasikia maneno kutoka kwa mungu inamaana yy sio mungu Wala mwana wa mungu upotovu wanaujenga na kumtukuza sheitani kwenye makanisa Yao na kiti chake chanzi😂😂😂😂😂😂😂😂
Yesu maskini munampa umungu wakati mwenyewe hajasema. Hiyo biblia imeandikwa na mzungu anaitwa Paul baada ya miaka 500 yesu baada ya kufariki. Hata huyo yesu mwenyewe hamjui. Kaandika anyotaka yeye. Hicho kitabu kina contradictions kibao na zipo 70. Mna kazi kweli nyie makafiri
Bhn ww kasome ufunuo 1:1 ndo utajua maneno hayo yesu kaambiwa na nan aseme..ni Yesu anasema kumnukuu Mungu akisema mimi ni Alfa na Omega ata biblia hamsomi.
Wazungu waliouleta Ukristo afrika wanauacha na kuwa mapagani kwa mamilioni kila mwaka na wengine wanaslimu kuwa waislamu. Wakristo wa afrika wanang'ang'ania tu urongo