ningekua na no ya ali kamwe, ningemshauri makombe yetu yote tungeenda nayo yawekwe pale wachezaji wanaposimama na kujitambulisha,,ili wayaone na wapigane tena yabaki,,iwe kama hamasa kwao,,yawape hasira ya kazi
Nyie wenyewe mmefundishwa toa kelele zako hapa vingapi mnafanya ambavyo wengine walishavifanya acha ushamba wewe hakun kipya mtachokifanya sasa wote tunakopi tu yalishatendeka
Uzuri nyuma mwiko lazima muizungumzie simba. Na kwa kufanya hivyo lazima simba iwe kubwa zaidi maana kila ukiingia mtandaoni ni simba tu. Kiufupi kila mtu anaipenda simba😂😂
Wacha upumbavu wako uwo kolo mkubwa we. Manara anamajukumu mengi Jana hujamuona jangwani akihamasisha. Halafu manara anamke Ali kamwe bdo hanamke hajaowa kwahiyo usilinganishe Maisha ya hao watu wawili muhumu wote wanafanya majukum yao Kwa wakati tofauti. Yanga bingwa tena tena