Tunapitia mambo mengi Sana kwenye maisha yetu ambayo yanasumbua "MIOYO" sana.. tunaumia kiasi AMBACHO hatuwezi kufanya mambo mengine zaidi ya kuuguza vidonda vilivyosababishwa na watu,wapenzi wetu, mipango yetu kufeli n.k..
Njia ni moja tu yakuutuliza MOYO wako.. Ni kuuambia MOYO TULIA YESU ANAKUJUA na utatulia...Mungu augange moyo wako unaposikiliza wimbo huu...
Studio :RIDER REC MWANZA
Prod: JUSTINE RIDER
BASS:Amos belvin
SOLO :Nahum Gideon
#anakujua #eliamtishibi #teamEbenezer
4 окт 2024