Usiwalaani bado wapo hai huenda watatubia kwa mola wao.Hata wewe uombe tu kwa mungu hatima njema bado upo hai. Hata mm nachukia hichi kipindi kwani dada zetu wanazalilishwa bila kujielewa alafu ni kama tu mtu akiondoka na mwanamke ni sawa amepata kibali cha kuendeleza zinaa.ILA TUSIWALANI NI KOSA KUBWA KUMLAANI ALIYEHAI.
@@minamina4240 waaaah mimi niko hata siko huko dadangu mimi hua naangalia tu but niko mbali sana niko Saudi Arabia imean Gulf tena natoka kenya but napenda sana kuangalia Mt right
Kizazi hichi hakuna watu , yaan watu nature ilishateketzwa na madawa.... Yaan tupo tu, mtu humjui kiundai..... Unapalamia eti anamuonekano ngoja afike ndan sasa, utakimbia
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu. Isaya 4:1
Mungu ana kazi Kweli kweli. Dalili hizi zote ni za kurudi kwa Yesu, tunapoyaona haya tujiandaeni ndg zangu. Kuna uwezekano wa siku moja kupata mchumba sahihi au mnataka kuchochea wimbi la wanawake kutumika na wapuuzi huku wakiwatelekeza na kuwaachia machungu yasiyosahaurika ktk maisha yao? Mwenye macho na aone pia mwenye masikio na asikie.
jaman mimi naona watangazaji hawako serious wako na talent sana ila hawako kama wamejiandaaa and pia vitu kama the way wanavaa the way wana mapoz fla mtu unazan kama yuko nyumban and concern ya kelele angekuepo dj awe anaziba izo kelel for me naona idea nzur ila hawajawa well composed kwakwel
Zamani kweli walikuwa wanachaguliwa wanawake ila wakuliwa wanachaguliwa wanawake wabichi vigoli asa aya yamekubuu yamedanga mpaka yamechoka😋😋😋 alafu kweli mtt wa kiume una hela zako una biashala zako unashindwa kupata dem mrembo mwenye heshima zake mpaka kujizalilisha halafu hawa wanao endesha kipindi naona kama wanachulia maboya hivi ni mtazamo tu.
Mmh yn kuchagulia ndo ulie kama vile upo bss Mana uko bss kwenyew unapew hela Yan mm nilie et nmechaguliw na boy niwe dem wake hapana kwakwel uwiiiii mungu niepushe na kikombe hiki kibooooo😜😜😜😜
Binafsi nimefanikiwa kukiangalia hiki kipindi mara mbili au tatu lakini ninaona kinachoendelea hapa ni unyanyasaji wa kijinsia "sexual harassment" Mwanamke mwenye akili timamu/anayejielewa hawezi kushiriki.. Ni maoni yangu tu.🙏🙏🙏