Hi! Mr house decoration,kuhusiana na zile nyumba 4,single rooms,ni nzuri,lakini sehemu yakujenga karo la u have liko karibu sana na kisima cha maji hivyo jitahidi uchimbe septic tank mbali ,kwani maji ya kisima yatachanganyika chini kwa chini na maji machafu! Watu wakitumia yatakuwa na infection!