Тёмный

Askofu Gwajima aongea baada ya kutajwa na Paul Makonda 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 259 тыс.
50% 1

Askofu Gwajima wa kanisa la Ufufuo na uzima ameongea na Waandishi wa habari baada ya jina lake kutajwa kwenye orodha ya sakata la dawa za kulevya na mkuu wa mkoa Paul Makonda.

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 181   
@festokalengela4176
@festokalengela4176 7 лет назад
Bishop Josephat gwajima Mungu awe upande wako kikubwa zaidi Nyenyekea chini ya mkono wa Bwana tupo pamoja Baba yangu
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 лет назад
Good job Gwajima Mungu yupo nawe
@josephgomalo41
@josephgomalo41 7 лет назад
Hili jipu.. linalojificha kanisani. Wasiwasi wake ni kupoteza wachanga michango kila jumapili .. Kama hana hatia ya nini makelele? Kama kuitwa polisi ni kosa mshitaki Makonda mahakamani .. Kutaka Makonda abadilishwe kazi maana yake you have something to hide.. ! Makonda sjhikia chini hao mbwa.. hakuna cha Mchungaji wala nani..!
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 лет назад
Lazma uongee upuuz...Mi nadhani unaitaji akili ata mbwa anakuzidi akili wewe!! Gwajima oyee
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 лет назад
Joseph Gomalo u must be an idiot
@josephgomalo41
@josephgomalo41 7 лет назад
Hivi ni watu wangapi wamekusaidia hadi ukaandika huo ung'eng'e aisee?? LMAO..!!! Kuhojiwa na polisi ni suala la kawaida. Mimi sioni shida hapo. Gwajima hayuko juu ya sheria kama mtu ye yote yule. Kama mapadri wanakamatwa wakilawiti watoto ..! Maana yake hao ni binadamu .. na binadamu hufanya makosa au kuvunja sheria..including Gwajima.. You motherfuckers who think only coz Gwajima is a church minister .. and that should guarantee his sainthood.. you are gravely mistaken.. Muuza unga ye yote mwenye akili huwarubuni na kuwatumia au kuwalazimisha (blackmail) watu na kutumia sehemu au njia ambazo vyombo vya dola havitazami au kukagua; kama ziara za wanamichezo na watu wa dini, makanisa, misikiti au majeneza kama maficho ya madawa.. Wewe endela na imani ya kijinga inayokufanya kipofu.. Makonda knows what he is doing..! And you are simply a fucking dickhead ..!
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 лет назад
i didn't say he was above the law ila your being disrespectful with thing that you dont have any knowledge on brother what if it was you ahh there your laughing your ass off like seriously
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 лет назад
Joseph Gomalo keep trying bro the only one being insulted here is you simply youu
@bernardkuloba2993
@bernardkuloba2993 7 лет назад
Safi sana Mchungaji, nimekuelewa sana wewe ni kichwa na kamwe usikubali kuwa mkia. Huyu jamaa ni.................
@nicojonas9375
@nicojonas9375 7 лет назад
movie continue, let wait and seee,naipenda sana tanzania kwa burudani kama hizi maana ni burudani tuuuuuuu
@ahmedalshammari9372
@ahmedalshammari9372 7 лет назад
wee mbona hujiamin
@nicojonas9375
@nicojonas9375 7 лет назад
kivipi?
@ahmedalshammari9372
@ahmedalshammari9372 7 лет назад
sio wee gwajima
@nicojonas9375
@nicojonas9375 7 лет назад
aaaah nimekupata mkuuuu
@maryshirima3049
@maryshirima3049 7 лет назад
Nico Jonas 😂😂😂😂😂😂😂😂.....c kitoto...inachekesha zaid wengne wanapokuw serious kwenye issue km hiz😆
@mwanahella9650
@mwanahella9650 7 лет назад
😆😆😆😆 maumivu yakizidi kamuone daktari🙈🙈🙈
@hassanovajunior3006
@hassanovajunior3006 7 лет назад
Mwanahamisi Hella pwahahahaha
@zakarialimo2733
@zakarialimo2733 7 лет назад
Hahaaaa
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 лет назад
Utaongea yote Gwajima Hata acha kuwanyoosha hadi mtanyooka tuu!!!
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 лет назад
Hahaha
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад
Majeshi majishi/ majeshi ya bwanaaaaa!!!!gwajima kiboko
@halimambwego8287
@halimambwego8287 7 лет назад
We nenda ukweli utaukuta huko huko ww unamjua mungu na unamuabudu hasa mtangulize mungu mbele nenda kasikilize wito
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 7 лет назад
safi,sio kuomba tu na kufanya kazi na kufungua miradi
@elishajoshua4892
@elishajoshua4892 7 лет назад
I love this Man.
@andrewmlamba
@andrewmlamba 7 лет назад
Sasa picha zima nimelipata,wale wa kwanza kina TD na kina Wema nikafara,mtu anayepigwa vita ni huyu askofu Gwajima,kisa na maana alimsupport Lowassa.Kucheza na akili za wabongo kila siku mikutano na waandishi wa habari kumbe muna chuki zenu za kisiasa mwataka kulipiza kisasi
@fatmasingano7852
@fatmasingano7852 7 лет назад
hatari sana
@mzazisubs2369
@mzazisubs2369 7 лет назад
kweli
@ellierolland1809
@ellierolland1809 7 лет назад
manji nae katajwa au yy alimsapot hashim rungwe
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 лет назад
Mullermba Chusa so true
@jacobleonard2129
@jacobleonard2129 7 лет назад
kwahyo wema na wengne na wao walkuwa kwa lowasa achen hzooo..kma umecngziwa c yataisha coz hujakamatwa umeitwa tatzo nn bhana
@amadeusmrope4953
@amadeusmrope4953 7 лет назад
good Ngwajima asikofu
@annaracheldaniel5132
@annaracheldaniel5132 7 лет назад
jamani mm nazunguka kusoma comments tuu, maana kwenye comments ndio kuna uhondo zaidi tiririkeni jamani wenye madukuduku
@mamatuishi-mamatuondoke8822
@mamatuishi-mamatuondoke8822 7 лет назад
mama wawili mbarikiwa /hahahahahhahah- Aiseee hata mimi nimechoka kukoment
@kizimkazi3443
@kizimkazi3443 7 лет назад
kwa jinsi anavyojitahidi kujielezea naanza kupata mashaka sasa
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 лет назад
kizi mkazi anajibu maswali anayoulizwa kwa taarifa yako
@ezekielitengeneza1613
@ezekielitengeneza1613 7 лет назад
ccm Mbele kwa mbele....
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Ezekieli Tengeneza oyeeeeeeeeee
@sambae925
@sambae925 7 лет назад
Ezekieli Tengeneza teinaa.........
@ashleypetertv5894
@ashleypetertv5894 7 лет назад
If at all you are innocent man of God , you don't need to panic...
@daybrelimite7039
@daybrelimite7039 7 лет назад
duh huyu makonda ni gumzo sasa! Makonda ndo Habari ya mjini! Hamna cha njaa tena
@rizikialmas4877
@rizikialmas4877 7 лет назад
Kweli kabisa
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 лет назад
Daybre Limite hahaha i agree
@daybrelimite7039
@daybrelimite7039 7 лет назад
its allmighty :Umeona broo!
@moureenjude3802
@moureenjude3802 7 лет назад
wacha tuisome namba bwana weee😜😂
@davidsamson8292
@davidsamson8292 7 лет назад
kwahiyo hii nchi ukiwa unapesa ww unauza unga sasa mbona wenye mapesa wengi
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 лет назад
jmn me naona hapo anajifagharisha tu mara namilik ndeg mara ktu gan cjui usiingzie sias hapo me nasubir kesho c ndo ijumaa
@nestorymashishanga4810
@nestorymashishanga4810 7 лет назад
hongera sana mkuu Gwajima
@husseinsanda681
@husseinsanda681 7 лет назад
Nestory Mashishanga hongera kwa kuchangia kuharibu vijana
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 лет назад
Hussein Sanda acha chuki
@rajabomary5280
@rajabomary5280 7 лет назад
duh! kama movie ya kihindi vile
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Rajab Omary hahhahahah wacha iendelee
@imagepower3641
@imagepower3641 7 лет назад
gwajima uko sawa,hata usipomjibu huyo jamaa
@furahah9437
@furahah9437 7 лет назад
Acha ngendembwe ww karipot
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 лет назад
Huna Akili
@veilamoshi9302
@veilamoshi9302 2 года назад
Na ndani ya Yesu Kuna utajiri usio pimika na bodo Watazidi kuwa matajiri wa Kiroho na kimwili pia Mia ya Mia hapa baadaye Mbinguni
@henrystanley4077
@henrystanley4077 3 года назад
Hahahahaha..askofu upo vzur Sana na umemuonyesha kwamba wewe ni mkubwa kiakili zaidi yake...sasa meli imepinduka juu chini
@daybrelimite7039
@daybrelimite7039 7 лет назад
Jaman mbn...Mbowe aongei?....
@christinadevic9432
@christinadevic9432 7 лет назад
huyu MTU MTU kweli simwezi wasukuma wamekutana Kwa kweli,ila mungu akutenze baba akili ya maendeleo uliyonayo ni kubwa sana kila hatuwezi kukuelewa,
@boniphacelaurian3847
@boniphacelaurian3847 7 лет назад
Gwajima subir makonda afanye uchunguzi usipaniki
@bianaramadhani5406
@bianaramadhani5406 7 лет назад
tunasubir season. ya ngap vile?
@bashiryahaya3795
@bashiryahaya3795 7 лет назад
gwajima atari sana
@ramadhanurassa2410
@ramadhanurassa2410 7 лет назад
picha linazidi kunoga kudadeki
@tongonoabdala5365
@tongonoabdala5365 7 лет назад
Ramadhan Urassa
@mamarama6360
@mamarama6360 7 лет назад
mapovu yann nenda kaitike wito ukatoe mapovu kwa Siro
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 7 лет назад
tumechoka na madawa ukiitwa hata njian popote nenda na hadi unatajwa kuna wahusika wapo centro wakutaja na sio makonda sasa vita hii si ya Makonda ni watanzania wote pia hata uwe na fedha au umaarufu huwezi kuwa juu ya sheria
@allybububu9757
@allybububu9757 7 лет назад
alafu mbona anajisifia Sana muhaya nini?
@zackysambo5800
@zackysambo5800 7 лет назад
ally bububu Ni msukuma huyo, kama alivyo mheshimiwa Paul Makonda.
@sameeradam4696
@sameeradam4696 7 лет назад
We mzee ucjipe shda ww unaxema hawez kuongoza mkoa kixa kakuita huko Pollice mbn Hjaxema kitaambo km huwz we fny uende mngne yatajulikana hukohuko.....
@christianluvanga2673
@christianluvanga2673 7 лет назад
Siasaa nje njee
@ahmedalshammari9372
@ahmedalshammari9372 7 лет назад
wa tz mnamambo haya pia cc wakenya tuko na letu
@hassanovajunior3006
@hassanovajunior3006 7 лет назад
mbona unababaika wewe unauza tu wacha kelele za chura
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 лет назад
Nyie waislam lazma mmuchukie atazidi kuwanyoosha!!!!
@diplomatic_justice.
@diplomatic_justice. 7 лет назад
Hassanova junior mmh poor youu
@user-rl1vr1fd1r
@user-rl1vr1fd1r 7 лет назад
mwambie makonda aje alite vyeti aache kulialia hapa, arudi atoe vyeti
@consolathashayo7499
@consolathashayo7499 7 лет назад
haija tangazwa mtandaon ona hata ww hujui ndo mana unauliza mxeeeeee ongelea social sio individual upo.......
@jahrean-tc8561
@jahrean-tc8561 7 лет назад
hakuna cha lecture wala nini cha msingi wewe unadhaniwa nenda maneno mengi ya nini sasa ndege sijui nn si zinatuhusu nini
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 года назад
Alafu serikal msicheze na iki kichwa iko kichwa nimoto jmn akiogopi wala halina wasi wasi
@juliusnyonyi9616
@juliusnyonyi9616 7 лет назад
hii match raha sana
@sphrb1063
@sphrb1063 7 лет назад
i love that movie
@kharidyblauda7046
@kharidyblauda7046 7 лет назад
unajitetea nin sasa we vp,,,,!?
@winnifridannko4890
@winnifridannko4890 7 лет назад
Safi sana baba!!!!
@jumamchalaganya8761
@jumamchalaganya8761 7 лет назад
katika taarifa taarifa imesema kuna watu walioitwa kusaidia taarifa, wanaohusika kwa shughuli kufanyika katika maeneo yao, kushiriki kutumia, n.k hivyo hujatajwa upo kundi lipi. nenda kawaone vyombo vya habari kwa ajili ya biashara ndio wanalileta kwa mtazamo ambao inaonekana kama ni kutuhumiwa kuhisika moja kwa moja
@ahmedalminshad1211
@ahmedalminshad1211 7 лет назад
😂😂😂😂 wee nenda umeitwa bahna
@juliusnyonyi9616
@juliusnyonyi9616 7 лет назад
unaonekana unajiamini sana lakini sijui mungu akutangulie
@kakanicodemus3632
@kakanicodemus3632 Год назад
Time is always telling the true
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 лет назад
jmn mbowe bado me napenda kwl kufuatilia hawa mapapa hao akina recho tupa kule
@josephemmanuel9009
@josephemmanuel9009 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂askofuuuuuuuuuuu
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 года назад
Mkuu WA mkowa WA ss ivi ajui kz amekuwa chawa WA wasani ndo maana mondi uwa hamsikilizi
@jacquelineadrian7041
@jacquelineadrian7041 7 лет назад
Sasa nilikuwa na heri kopter nikageuza herikopta ndo nini sasa nan hajui una herikopta
@happybraysoni7373
@happybraysoni7373 7 лет назад
Subiri uchunguzi
@ummusahili6399
@ummusahili6399 7 лет назад
Kwanza ilo lakuuliza?? Waumini wako unaohao apo wengine wanalala na njaa sukuma twende ndio mlo wao tena Mara moja kwanini mipesa ulionayokwanini atamwaka Mara moja mbona hatukuwahi kusikia???kwaiyo nenda zogo lanini?
@kulwajames855
@kulwajames855 7 лет назад
makonda ashafeli, ataftiwe kaz nyngne
@emmanuelaggery6877
@emmanuelaggery6877 7 лет назад
kwa gwajimaaa wanakazi
@hassanrashid9775
@hassanrashid9775 7 лет назад
picha limeanza kama movie ya solomon
@tongonoabdala5365
@tongonoabdala5365 7 лет назад
Hassan Rashid
@wilfredjohn85
@wilfredjohn85 7 лет назад
Ghafla vumbi linazidi wajanja tunavaa miwani. . HAhahaha
@daybrelimite7039
@daybrelimite7039 7 лет назад
Weka mbali na watoto!
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 лет назад
Gwajima unajilinganisha na papa....hivi hujui papa ni mkuu wa nchi na anaongoza dunia....!!!? hahahaaa....
@aishabashiru4850
@aishabashiru4850 7 лет назад
tobaaaa comment zane zimenitia nguvu nilukowa na homa maana mh !
@sebprincemalunde9536
@sebprincemalunde9536 7 лет назад
Gwajima hata simuelewi anachojaribu kukisema. Inaonekana amebaha
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 лет назад
heee ktk dunia hii kuna watakatifu jmn
@chyzoman7264
@chyzoman7264 7 лет назад
wachane mzee
@benjaminpatrick6364
@benjaminpatrick6364 3 года назад
Now umekuwaaa mwanasiasaaaaaa
@veronicalucas580
@veronicalucas580 7 лет назад
hakujui huyooo amuulize jk
@user-xe3fo1bh5s
@user-xe3fo1bh5s 10 месяцев назад
Kwaiyo wewe papa tapeli mkubwa wewe unawatapeli watanzania hata shule yako ni ndogo sana unapenda sifa sana ngwajima
@fatmaalrashdi1577
@fatmaalrashdi1577 7 лет назад
makonda anataka kusaficha uchafu unao.haribu vijana wa tz na hao nyoka kelele tupu
@ummusahili6399
@ummusahili6399 7 лет назад
Sasa kwani kumeombwa ushauri?? Au umepewa taarifa Wende polisi? Zogo la nini? Ndugu zetu wanazidi kuteketea kwamadawa zogo lanini benk ndege umeulizwa?? Wewe nenda bwana wee
@masaudmasaud4084
@masaudmasaud4084 7 лет назад
askofu wewe nenda katangaze dini jela mmezoea kuharibu vijana nyie pesa mnapata wapi pesa nyie mtaropoka sana mwakaa huu
@lugendodaniel5266
@lugendodaniel5266 2 года назад
Fanya kazi ya BWANA
@rosemarybenjamin5866
@rosemarybenjamin5866 7 лет назад
daras wambie waache mnano meng waend policy
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 лет назад
atamnyoosha nani mtu kama ngwajima. anakunyoosha wewe binafsi labda unamtegemea ktk maisha yako. waislam tunamtegemea mmoja tuu aliyenyanyua mbingu saba basina kua na nguzo. khaaaa ya ngwajima huko huko hayatuhusu.
@didaskimario4444
@didaskimario4444 7 лет назад
kudadadeki
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 7 лет назад
bravo
@sajidabakari9809
@sajidabakari9809 7 лет назад
sasa kama mtu ulikuwa biz na hukupata taarifa kwenye media, nn kinafanyika?!? makonda anahitaj uchunguzi gwajima baba, namm nahitaj hizo millions
@ibrahimsimsokwe450
@ibrahimsimsokwe450 7 лет назад
angekuwa babako ndo katajwa ungejickiaj..
@thabitithabiti8789
@thabitithabiti8789 7 лет назад
😆😆😆😆anaongea vitu vingi dah
@masseanadir2904
@masseanadir2904 7 лет назад
gwaji umetisha kinoma hahah
@eliudijastin1597
@eliudijastin1597 7 лет назад
ipokazi @millardayo
@sambae925
@sambae925 7 лет назад
umwambie rahisi amfukuze kazi ww kama nani? hiyo nikazi yake pia na ndio mana kasema anadili na dar tu coz ni ikochini yake dar hata hao poli wapo chini yake
@user-de7nf8pp3w
@user-de7nf8pp3w 7 лет назад
mh hatar
@mzeejuma8237
@mzeejuma8237 7 лет назад
Ok
@consolathashayo7499
@consolathashayo7499 7 лет назад
kama uliweza kulala na mke wa mtu.. je??? utashidwaje kuuza madawa ya kulevya?????? kukuamin ww ni vigumu baba pambana na hali yako........
@goldmansun8983
@goldmansun8983 7 лет назад
baba ako unajua amelala na wake watu wangap??? mbona unamuamini, je mama yako, una uhakika we sio mtoto wa mume wa mtu, mbona bado unamuamini
@joshuakwelimoto6494
@joshuakwelimoto6494 7 лет назад
dingi yako mwenyewe kicheche humkatai kuwa sio dingi yako
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 лет назад
Yaani unaongea kama ulikuwepo vile utapigwa pigo kwa kumsema mtumishi wa mungu ww..afu utabak umesema umelogwa
@Simeonesaph13
@Simeonesaph13 7 лет назад
😂😂😂😂 baba gwajima
@ibrahimharuta7333
@ibrahimharuta7333 7 лет назад
umepanic sasa kesho ww nenda tuu
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 лет назад
David Thomas+acha unafiki na upumbavu. unasema waislam wanamchukia ngwajima? Kwani aliyemuita police ni mwislam? ohooooooo''unayaka eeeee. pool makonda ni sheikh au ustaadh huyo aliyesema ngwajima aende kituo cha polisi.??? jiangalie sana. angeitwa na waislam huyo ngwajima wenu ungesema waislam hawampendi.
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 лет назад
Rahma Shaban ndio mko negative ndio maana kama una macho utaona majina ya negative comments ni kina nani
@fredyjulius6933
@fredyjulius6933 7 лет назад
hatutaki kelele nenda kaitike wito
@stvchannel1639
@stvchannel1639 7 лет назад
gwajima unaongea sanaa naisii kunakitu inside apo kanisani. why you people mnasingizia mambo ya kanisa iyo ni personal issue ww unatumia madawa au utumii baci cyo kureta taarabu apo kanisani. na unaudaktari wwote. makonda kashasema uko japani kunakitu na tutakijua 2. mkono wa mungu ni mkubwa
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 лет назад
kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. eti makonda hawezi kazi hahahahaha
@flova7022
@flova7022 3 года назад
Kama anaweza Yuko wapi leo hahahahahaha
@ramlak_dramafans8807
@ramlak_dramafans8807 7 лет назад
wenendatuu hatutaki maelezoo
@vjabnassir0017
@vjabnassir0017 7 лет назад
ume panic braza😂😂😂😂😂😂😂
@fredrickisaiah4444
@fredrickisaiah4444 7 лет назад
Miislamu ndo inakuja kumponda Gwajima atawanyosha...Pelekeni upuuz wenu mecca
@vjabnassir0017
@vjabnassir0017 7 лет назад
mwengine ka panic😂😂😂😂😂, we mwenyewe wataka mtu akufundishe, ati lecture ya kidini Japan ,na kizungu hicho
@hajihamisi5212
@hajihamisi5212 2 года назад
Ppl
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 лет назад
unaham eeh nawe
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
akuna aja ya kupaka rangi ukuta ww nenda
@jescajonas5247
@jescajonas5247 7 лет назад
hekaheka
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 года назад
Gwajima ni kichwa. Ndo mwana magufur qlimtaka uyu mtu
@kelvin_papaa_ya_warembo8313
@kelvin_papaa_ya_warembo8313 7 лет назад
huyu jamaa ni msanii sijawah ona asee
@mangumbamnyili6033
@mangumbamnyili6033 7 лет назад
Nihatari kitete tupu
@joycemichaellovelove2221
@joycemichaellovelove2221 7 лет назад
mmmmmmh
@godwinmpazi1560
@godwinmpazi1560 5 лет назад
Wewe unaonekana una ngoma wewe.
@madichamasawe6591
@madichamasawe6591 7 лет назад
Makonda uende ukawe konda wa mabasi
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 лет назад
Madicha Masawe unahakili kweli? fikiria vzuri Makonda amekosea nn au unasikiliza majipu hayo
@madichamasawe6591
@madichamasawe6591 7 лет назад
+Charles Magere we ndo ufikirie vzr nadhani Hauna akili
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 лет назад
Madicha Masawe sawa unakili nyingi sana kumuombea mtu anayepambana na unga akawe konda aache vjana wa tz waendelee kuangamia...hongera
@charlesmagere9020
@charlesmagere9020 7 лет назад
Madicha Masawe unafaa kuigwa tuwaache vijana wanaangamia na madawa... unaakili sana...hongera
@JohnNjengaCOCO
@JohnNjengaCOCO 7 лет назад
This guy is reacting like a guilty man would
@christsflowe.r
@christsflowe.r 7 лет назад
Njenga John hujui unachoongea wewe
Далее
MIFUMO YA ULIMWENGU: BISHOP GWAJIMA: 03.05.2020
1:55:16
Gwajima amfuta Bashite
2:38
Просмотров 9 тыс.