I am Muslim and I am proud and happy to hear to you African Christians to be agaist homosexuality. Nawaomba muendelee hivyo hivyo ndugu zetu kupinga huo uchafu. Hizo ni mila za watu wa magharibi na sio dini ya Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu awaongoze ndugu zetu wakristo wote mnaopinga dhambi hii kubwa ndoa za jinsia, mwenyezi Mungu awalipe kwa hilo. Tupo pamoja kwa hilo ndugu zetu
Hakika Papa amekosea kwa kuangukia jaribu la tatu alilolipata YESU KRISTO.Shetani alimwambia Yesu UKINIABUDU TUU NITAKUPA HIVI VYOTE. Tuwe makini wakristo kwa kila tunalofundwishwa ni nyakati za mwisho. Asante sana Baba Askofu.
Asante sana baba mhashaumu baba askofu flavian kassala,kwa homilia nzuri takatifu,imeleta faraja kubwa sana kwenye mioyo ya wakatoliki na hata wasio na wakatoliki.
A man of Peace- Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza baba Askofu.Eneo hilo la kukuita a man of peace limenitoa machozi. Umeongea vzr,,viongozi wetu wanaogopa kusema ukweli,, wengine wanatuambia tuhamie Rwanda tunapotaka ukweli. A man of peace - Kristo Yesu akutunze.
Baba Askofu Kassala,nianze kwa kukushukru kwa homlia nzuri ya kuzaliwa bwana wetu Yesu Kristo. Mahubiri haya ndio ukatoliki tunao utarajia kuuishi,tunapaswa kukupongeza kwa kusimamia ukweli hakika hekima zako ni tunu kwa kanisa letu ambalo tukikosa wazee wetu wenye hekima za mungu na kuusema ukweli, kanisa litatetereka.Tunatambua nyakati hizi wazee wetu ninyi mnao usimamia ukweli mtakutana na vikwazo lakini tutazidi kumuomba Mwenyezi Mungu azidi kuwajalia ushujaa wa kusimamia imani yetu bila kuyumbishwa. tumefarijika sana kusikia sauti yako ya unyeykevu mkuu na sauti hii ni ya Mungu ikisema upotayari ikibidi kuyabariki mawe yanayoweza kutumika kujengea miundo mbinu mingi inayotufaa wanadamu na siyo kubariki uchafu huu unaokinzana na mpango wa Mungu na uumbaji. Wazee wetu Tanzania na Afrika kwa ujumla mkisimama imara katika hili Kanisa letu Katoliki litabakia na heshima kubwa na tegemeo la wengi katika kuleta amani siku zote.
mtoto yesu amezaliwa hivyo basi wakristu tumuombe mtoto yesu,huyu papa kwa kumuogopa mungu ajiuzuru...Mtoto yesu amsimike kiongozi mwenye uchungu na roho zinazoteketea kwa majanga mengi yanayotokea,vita nyingi,mafuliko, na mambo kaza wa kaza, hivyo basi wakristu tupige magoti tumlilie mungu,sala na toba.. 9:39
Papa huyu alaamiwe na tumwombe Mungu amuondoe miongoni mwa wanadamu asije akaimusha hasira yaBwana dhidi yetu. Apingwe kote na wote ndani na nnje ya Kanisa Katoliki. Asante Baba Kassala.
Mungu akubariki Baba Askofu KASSALA. Hakika dunia inayumba sasa maana baadhi viongozi waliowekwa na Mungu mwenywe wanakengeuka? Ee, Mungu tusaidie kushika Imani yetu thabiti ya Ukatoliki. Kweli ni hero kubariki mawe kuliko Ushoga. Maabdiko ya Biblia yaheshimiwe milele. Kwa hili hapana,hapana. Sasa tukimbilie wapi? Tuzidi kuwaombea viongozi wetu Katoliki katika ngazi zoote kabisa. "Tuonamba hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo. Amina".
Pole saaana, Mungu ataendelea kuwafunulia kwa Macho mpaka muamini mlipo sio sahihi....TUNAWAAMBIA Kila siku , upapa utaenda kinyume mbele za Mungu nasiku zinakuja mtaaamini
Ni suala la kuendelea kumuomba Mungu,,,,Imani yetu lazima isimame,,,kanisa ni Bora kuliko papa....Bora tufe ikiwa lazima Imani iwe salamaa.kama ni maslahi yake yeye sio wa kwanza katika kanisa,,,Hana siku nyingi ataondoka,,kanisa litabaki salamaa❤❤❤❤❤
Baba askofu mungu akubaliki na akulindesana.ivi huyu papa anatupeleka wapi wakatoliki mbona hana hofu ya mungu.atwambie hilo andiko kalitoawapi lakubaiki. ndoa ya jinsia moja wewe papa muogope mungu😮
ASANTE BABA ASKOFU KASSALA. MUNGU ALIANDIKE JINA LAKO MARA MBILI ZAIDI KWENYE KITABU CHA UZIMA. MUNGU AKUBARIKI SANAAA BABA KWA KUPAMBANA NA WAJUMBE WA WASHETANI WANAOJARIBU KUUPELEKA KATIKA NJIA ISIYO YA HAKI. ✝✝✝✝✝✝✝
Ahsante sana Baba Askofu. Huyo Papa afanye Vitendo vya Aibu kwa Wazungu Wenzake. Papa ni Msaliti wa Bibilia Mungu mtoe huyo papa au Apate ujauzito Yeye. Baba Askofu Ahsante sana ametuhuzinisha Sisi Wakristo
Kama Papa ni mbaya huyo askofu ulimjuaje acha kuongea bila kusikiliza anachokiongea Papa ndiyo anachokiongea askofu hadi mapandre na masister Hadi waumini
Mungu tuhurumie wakristo kwa waislam tusikubali kwenda kinyume na matakwa ya Mungu maana pale Eden hakuwepo mwanaume na mwanaume nawaza sana hivi Hawa wazungu wanataka nini kwenye hii Dunia kweli mpinga Kristo kajidhirihisha kabisa Tena kwa watumishi wakubwa tunaodhani ni mihimiri ya imani Mungu tuhurumie sana😢
Doctrinal declaration opens possibility of blessing couples in irregular situations With the Declaration “Fiducia supplicans” issued by the Dicastery for the Doctrine of the Faith, approved by Pope Francis, it will be possible to bless same-sex couples but without any type of ritualization or offering the impression of a marriage. The doctrine regarding marriage does not change, and the blessing does not signify approval of the union.
Ujumbe kwa wanaadamu wote! mwenye masikio amesikia, mwenye ufahamu ametambua. "Ujumbe umegusa nyanja zote viongozi wa serikali na viongozi wa kidini hata kwetu tunaoongozwa viongozi wa vyama na wafuasi wa vyama ata sisi tusio na vyama " Dunia yote pokeeni ujumbe huu Amen.
Hakika Baba Askofu Kasala kama ni kipindi nilichopitia wakati mgumu kwangu katika kutafakari kuhusu mwelekeo wa kanisa letu ni huu kwa kauli za Papa huyu! BABA ASKOFU Kasala niko nyuma yako. Nilikuwa nafikiri niko mwenyewe. Katoliki on line niliongea lakini nikawa napingwa kwa mistari ya biblia . Nashukuru wewe na Askofu Thadeus mliongea na kuelekea msimamo wangu❤
Mungu akutangulie wewe pamoja na maaskofu wote. Kwani shetani anajitahidi kupambana na kanisa. Papa ni binadamu bila maombi na ushupavu wenu kanisa linaweza kuyumba.
Maana kanisa nisehemu ambayo inatoka sauti ya mungu na sauti ya MUNGU NI kukataza mabaya na sio kubariki mabaya. sasa padri atakae bariki wapenzi wa jinsia moja atakuwa anatimiza kusudi la nani
Simameni imara kutunza yaliyoya ya kweli mbele zake Yesu Kristu, papa ni binadamu, ni kiongozi lakini yeye siyo Mungu na si lazima kutekeleza atakachosema .
Ndugu zangu msipate taabu sana juu ya papa ukisoma kitabu cha ufunuo wa yohana huyo mtu alisha tabiliwa kuwa atatokea naye atajifanya kama mnyenyekevu yani mcha Mungu ili awadanganye na nimtu mwenye ushawishi usiposaidiwa na Mungu hekima ya utambuzi ningumu kumjua nabado hajaanza kazi yakutumia mijiledi hiyo nicheche tu. watu wa Mungu jitahidini kuyasoma maandiko matakatifu katika biblia ili tusipotee au tusidanganywe, kuwa mnyenyekevu naye
Tatizo siyo papa ,ni roho ya shetan itemdayo kazi ndani yake kazi hapo ni kuipinga hiyo roho vita vyetu si vya mwili na nyama na falme........,.......,........ Kumtukana papa ni kupigana kimwili na akili nzenu kama kanisa ni la Yesu alituachia nguvu mwombeni mwombeni Yesu Roho wake aingie kazini tuliahidwa yeye atayafunua yote ya sirinni kama kanisa ni la papa ndiye kiongozi basi itakuwa ngumu yeye nibinadamu ole wake amtegemeaye binadamu.Yupo Yesu aokoaye kwa nguvu za Roho wake Mtakatifu.
Jamani mda mwingine kabla ya kuongea kitu katika media tuhakikishe kwamba ni cha kweri sis wakatoliki lazma Tujue taarifa sahihi tunazitoa wapi na je kupitia hizo media wana interest gani na kanisa na wanalitakia nini kanisa kanisa haliwezi kuluhusu ushoga sababu ni kinyume na mafundisho ya kanisa katoliki papa anasimamia mafundisho ya kanisa tutumie vizuri social media kwa njia ya kuelimisha na kutangaza neno la Mungu sio kubomoa
Pascal Paul unapaswa kujitafakari na utubu. Vinginevyo lugha yako inaashiria tabia tunayopiga vita humu. Omba msamaha humu na utubu kwa Mungu. Kama wewe ni mkatoliki nakushauri ukaungame. Usidharau hili.Mimi sikufahamu lakini nakuonya utekeleze ushauri wangu huu kabla ya mwaka huu kuisha.
Hata akijiuzulu we kubali tu utakuwakikaangoni, tatizo watu wanaqaqania ndg yng kanisa siyo njia ya kwenda mbinguni fuatilia misingi ya Roman Catholic hao ni hatari we angalia hata Amri za Mungu zimebadilishwa bila hofu na waumini hawana shida na haikuanzia leo, someni Bibilia Wakristo..... Kitabu cha ufunuo kimeshatabiri huu utabiri unatimizwa na Roman Catholic kw sasa na tunakoelekea niko pale nasubiria.
This is rebellion against God. How can a high ranking church leader come publicly to sensitize homosexuality! God will turn against, they have grieved the Holy Spirit. God will fight against them and God will be an enemy to them for allowing this despicable and abominable act. As for you Bishop Kassala, let God continue to protect and preserve you forever.
Yani wajomba zangu wakatoliki Mimi ni muisilamu ila Kwa kauli ya papa amekosea sana Kama kiongozi wa dini akitokea shekhe anabariki ushoga akachimbe kaburi lake mwenyewe
Ila papa ndio mwenye roma yale ndio kasema ila kawachafuwa sana wa roma maana wa roma papa wanamuona kama cjui niseme nn wakat wazungu ni mashetani kama papa ni Freemason watu wanabisha nilishamuona muda hadi mapapa aliopita wrote illuminate
Tusiwahi sana kutukana kwa kuwahi kusikiliza tafsiri mbalimbali , papa hajaruhusu ndoa hizo yeye alikuwa anakazia kuwabariki na kuwaombea kuliko kuwatenga moja kwa moja fuatilia speech za makadinari
Utawala wa warumi ndo uliandika Bibilia na kuanzisha dini ya kikristo duniani. Warabu wakapata baada ya kupigana na wao wakabadiri. Wasabato wao wakaja na mtume wa kwao. Waislam wakasema wao wameletewa na Muhammed ambae alikua hajui kusoma na kuandika. Dunia watu weusi tulipaswa kutokuingika kwenye dini hizo kama WAHINDI na wachina
Huyu papa ni wetu lakin mda mwengine anakuwa mpumbavu mm bunafsi yangu sioni sura ya Kristu ndani yake,wakatoliki wenzangu tuungane na maaskofu wetu kumpinga papa Francis sababu naona hana mapenzi mema na kanisa letu katoliki,yaani inaingia akilini Kwa mtumishi wa MUNGU kubariki mashoga na wasagaji Kwa kweli ashindwe ktk jina la YESU.
Mimi kabilalangu nimsukuma, tamaduniyangu nikitakakuoa binti hubidi kutoa mahali yang'ombe kuanzia 20 hadi 50, kumuoa binti ambae atakujakuniongezea familia pili sifakubwa anakuwahata hajakutana na mwanaume, Leo unaniambia nikafungendoa namwanaume mwenzangu anakujakuongeza nini ktk familia yetu! Huyupapa amekuwa papa wabajarini anaekula hadi mwanadam, PAPA umechemka sisi wakatoliki wa AFRICA tunauelewa mkubwasana, nafkili skuzakozaupapa znahesabika.
Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, na kila mti hutambulikana kwa matendo yake, na kwa matunda yao mtawatambua, kichwa kikiwa kibovu, mawili wote nao unahatia ya kuwa mgonjwa,, na misingi ikiharibika mwenye haki atafanya Nini?, Kila msingi wa nyumba ulio mbovu na uliopinda hupelekea nyumba yote hupinda,, mwenye nyumba huweka sheria watoto wakafuata,, la hawataki kufuata, waharakishe kuihama nyumba hiyo kabla haijawabomokea, vinginevyo ni ngumu kuivunja nyumba mbovu ambayo haukuijenga. Mwenye nyumba huama Mambo ya nyumba yake. Mimi nahama nyumba inayowaka Moto na mwenye kuuwasha Moto ni mwenye nyumba mwenyewe!
Hizi ni juhudi za shetani kwani hata mama bikira maria alishaambia watoto wale watatu wa fatima kuwa shetani ajitahidi kupambana na kanisa hata kufika kwenye kilele cha kanisa. Na sasa kafika. Iliyobaki ni maombi ili Mungu afanye kazi yake kwani bila yeye sisi hatuwezi kabisaa. Ee Mungu lilinde kanisa lako.
haya yalianza tokea kipindi cha papa bendickyo wa 16 alipo jihuzulu kwasababu ya kulazimiswa uchafu maana wakati anajihuzulu alisema uchufu uliopitiliza unalizimiswa kuwa ndoa ushoga kaamua ajihuzulu kulipo kupitisha ushoga lasimi
Mtaifahamu kweli na kweli itawaweka church Roma ni Sawa na kitunguu Ganda la nje halijuli kilicho Ganda la puli vivyo hivyo Joka la zamani ndani ya kanisa
Mbona wako makanisani na wanabarikiwa pamoja kwa pamoja? Au Padri aseme wale mashoga na wasagaji watoke nje ndipo nitoe baraka? Na wauaji je, na wanaowafanyia wanawake kinyume cha maumbile ? Hawa wakija kuungama na kisha wapate baraka padri awafukuze? PAPA hajabariki na hatabariki ndoa ya jinsia moja.Mnapaswa kuelewa ni nani alitafsiri kilatini chake na kutangaza kwenye vyombo vya habari ili uchafu huu uungwe mkono na wengi jambo ambalo ndiyo kazi ya shetani kudanganya na kuharibu wafuasi wa Mungu.Mwambieni Mhashamu kwamba kuna waliomuelewa vipande vipande aonekane kwamba POPE alikosea na kwamba yeye Askofu anampinga.Msimamo wa Akofu Kasalla ndio msimamo wa POPE. Baada ya misa Askofu aliwabariki watu wote akiwaombea amani. Bila shaka miongoni wa aliowabariki ni mashoga na wasagaji na wachawi na wauaji na wafiraji. Baraka hiyo inawageukia wahusika kuwa laana.Kwa hiyo kila mmoja aangalie nafsiyake kwamba anaomba baraka kwa ajili gani? PADRI ANAWEZA KUWAPA SAKRAMENTI YA NDOA WANANDOA MUME SHOGA NA MKE MSAGAJI BILA KUJUA. HIYO MBELE YA MUNGU NI " "HAIJAFUNGWA" na Padri hana kosa lakini OLE wao wanandoa hawa. Lakini Padri hawezi kukosea akafungisha ndoa ya wanaume wawili au wanawake wawili.Hili linawezekana tu kwa wale waliokwisha kumuasi Mungu na kukubali kuwa chini ya himaya ya shetani.
Mnyama anaetajwa katika kitabu cha ufunuo ndo huyo papa na anatumia dini kutawala hvo ili tubaki salama nikusimama katika ukweli wa biblia na dini hyo ya papa biblia inaitamka kama babeli na MUNGU anatoa wito kwa wanadamu wote kutoka babeli maana ni masikani ya mashetani na pepo wabaya
NYIE NI WATUMWA WA DINI YA MASHETAN HIVYO HAMTAKI KUIFUATA MILA ZAO JITOENI, KATOLIKI SIO YA BABA ZENU AMA MAMA ZENU,,MMEIKUTA NA HAMJUI MALENGO YA WAANZILISHI
Mnasali ila hamuelewi kazi ya kanisa, Kanisa kazi yake ni kuwarudisha wadhambi ili waende kwa Mwenyezi Mungu. Kanisa zaidi si kwa watakatibu bali kuwarudisha wenye dhambi wamjue Mungu
Askofu kasala ,baki imara sku zote,na kamwe usiogope mtu yoyote ,wewe endelea kumuogopa mungu na uishi na mungu.utume wako siku zote udumu ktk kuyatenda ya kimungu na kumpendeza mungu tu .Achana na hao wanaotafuta kuyafurahisha malimwengu.siku zote tupo pamoja nawe iwe ni ktk sala na ibada mungu akulinde Amina
Kama papa hawezi kubariki huo upuuzi alikua unauleta kwetu na kwenye vyombo vya habari wa nini ,ameshinikizwa na mtu au?Yeye kama nabii alitakiwa hawakatalie huko huko na kuuchoma moto huo waraka,kabla hata ya sisi kutujuza ,ina maana yeye ni mtu wa kupokea pokea tu kila kitu .Kwani unataka kusema hana akili kichwani za kufikiri kabla ya kufanya kitu ,yawezekana kabisa wewe ndie uliyesombwa na huo upepo