Shoo nikama unatetea maslahi yako binafsi sababu unaremba maneno sana umejaa mashaka sana na uoga ndo maana ujatoa tamko kuhusu bandari badala yake umemumunya maneno.
Pia nimeona hivo, anajikanyaga kanyaga tuu, haendi directly sijapenda! Nimemsikiliza mwanzo mwisho nikashangaa unafika muda wa zawadi che! Kichwa cha habari kinazungumza mengine na yaliyomo ndani ni mengine. Waliitana kupeana zawadi na kuombeana kumbe
siku moja nawewe mwite mama aje afu umfokee kam mkeo ufokefoke tyu bas afu uone km ndo utu uzima ,,,huelw leo wameongea kwa amani akipuuza hekima hiyo unafikir watambembelez
Mikataba yote haikuuza utu wetu wala kuhatarisha hali ya amani ila huu yakipuuzwa mawazo ya wananchi hasa wenye mashaka utatupeleka kubaya iko hatari ya kutugawana Tanganyika Vs Zanzibar na Christian Vs Islam Rais tunakuomba kwa hekima kabisa uache huu mkataba au vipengele vyenye shida vishughulikiwe. Ahsante Rais wangu mzuri
Haki gani nyie mnaleta ukatoliki mnadhani bado tutabaki wajinga kama zamani hata sisi Waislaam ni Watanzania na pia tunahaki na Nchii hii hivyoendeleeni kupinga Uislaam kwa hoja ya Bandari mtuletee balaa kwenye Nchi yetu maana mnadhani bado watu wamelala kutoka kipindi cha nyuma mpk leo hilo sahauni tumeshaamka
Tozo kwenye hosptali zenu ni ghali mnoo mfano mtu kapata ajali hali yake. Ni mbaya mnataka kulipwaa vipimo ndio vifaanyike vinginevo mtu anafia hapo ukweli mpo kibiashara zaiidi utu hakuna kabisaa KCMC na kwingeneko kwenye hosptali zenu mlianza vizuri sana lakini masikini watafia mikononi mwenu kuomba .kumalizia mradi yenu ni kodi za .watanzania lipeni kodi hamna huruma nyiyee
Binafsi mimi nalia na bima za watoto masikini kila siku tunazidi kuumizwa mama Mh @Samia suluhu Hasan kwa heshima kubwa naomba urudishe bima za watoto za taifa za NHIF bila hivyo watoto wa masikin wengi watakufa tafadhali mama embu anza na hili ndio hayo mengine yafate
Serikali haipaswi sikiliza kiongozi yeyote wa dini coz hii itaganya watu. Apa cha msingi faida na hasara za kiuchumi zifanye kazi. Kama bungee limeupitisha basi viongozi wa dini wakae pembeni wasalishe waumini wao
Mtu yeyote hawezi kuongea na kiongozi wa nchi kwa kumwambia ukweli kwa kupingana nae ana kwa ana. Dr Shoo ametumia maneno ya hekima saaana. Nampongeza.
Tz tumeshazoea amani na mambo ya asili yetu mengine kwetu hatujazoea mzee amekata na wewe mama usikubari maana wanachii ndio kila kitu naomba tubaki Tanzania Dubai tuicheni kama Dubai asant Sana Mungu wambiguni akutie nguvu
Mm ni mlutherani ila kwa ili askofu inaelea uhaini apo umeamua kutukopesha bila kujali kama ww unavizazi endelevu apo sijaona hekima ili unatuingiza kwenye tundu la sindano kweli baba askofu apo sijakuunga mkono wala mguuu tujifunze kuongea bila kuogopana Mungu atawachoma moto mnatenda dhambi uku mnajificha kwenye kivuli chake DP word atuwatdaki
Hekima hekima, hekima. Watu wajaliiwa hekima ya kuongea. Kumweleza mtu kitu ambacho unachotaka akuelewe siyo lazima umwekeze kwa ukali. Askofu Shoo amefikisha ujunbe kwa usahihi kabisa. Kamkumbusha Rais ushauri waliompa akiwa na viongozi wa dini zote. Hakuwa na 7bu ya kuyarudia.
Huyu naye ni sawa na yule sheikh mwendawazimu aliyeporoja kuhusu kuuza bandari. Tunajua mna vyanzo vya mapato ambavyo havina connection na rasilimali za taifa. Mnagawana sadaka kisha mnagawa nchi, sio kwa kujipendekeza huko juu ya uwekezaji wa hovyo.
Hongera sana Askofu Shoo Kwa kuunga mkono uwekezaji wa DP world! We support Madame President, we support Dar Port investment by DP world! Kazi iendelee!!
@@geraldleger5793 hahahaha,,,,Kwa shule gani kutuzidi? Hiyo elimu yako ya kukariri ndio unajivunia? Kwa taarifa yako wenzako Sisi vyeti vimejaa kabatini kibao na vingine tunafungia maandazi pimbi wewe
Atahivyo serekal inawapenda sana maaskofu hospital zakwao wafanyakaz wao walipwe na Serekal afu mapato yawagonjwa yakwao jmn serekal ya Nchi hii nisikivu mno nayeny huruma kaah.
Yote sawa tupo pamoja ila hilo la kupinga kuongezwa kwa huduma si sawa huo ni ubinafsi babaetu.watu hawakuwa wengi wakati uliopita watu wanazidi kuzaliana nchi inajengeka zaid.nyie toeni huduma na wengine waacheni waendeleze hudumu msiwabane wananchi wengine au serikali inapotaka kuongeza huduma nchini.hilo si sawa kwa kweli.ubinafsi huo mzee wangu.
Mama Samia Mimi Kilio Changu Siyo Mkataba wa Bandari, Mimi Nalia na Mkataba wa Muungano, wa Tanganyika na Zanzibar Hivi Muungano Huu. Muovu Utaisha Lini ?
Hapa aliyebaki ni Mungu tu tunaamini hataacha turudi utumwani atatuhurumia japo tumemkosea ila Rehema yake ikajidhihirishe maan kweli huwezi changanya dini na siasa isipokuwa kwa Mbini za Kimungu
YAANI MAMA ALIONA RAISI WETU MPENDWA JON JOSEP MAGUFULI ALIKUWA ANAONGEA UJINGA KWELI MAMA FIKIRIA VIZURI USIJE UKAPATWA NALAANA YA MILELE MAANA NAKUMBUKA RAIS MAGUFULI AKIKUWAMBIA UWALINDE MACHINGA ALIPO AGA TUU? UKATUNYASA SASA UNAUSA BANDARI TENA ILI UTUMALIZE MUNGU ANAKUONA WEWE ENDELEA TUU
Kama unataka kukemea kemea sasahivi baba Askofu sio hali ije kua mbaya ndio ukemee hili jambo la mkataba sio siasa tu ila ni kuliokoa taifa letu na kuanguka kiuchumi 😢😢😢
Eleweni bandari hii ina maslahi binafsi na baadhi ya viongozi wa dini hasa wakatoliki ambao wanatumia misaada ya vatikani kwa maslahi ya mapadre na viongozi wachache. Walutheri wametengwa sana kwenye uongozi kwenye nchi hii na wanatawala waislamu na wakatoliki tu.. Tizameni hayo mtayaona .. Urais Lowasa alinyimwa kisa mlutheri , Cleopa nae alinyimwa kisa mlutheri na matokeo yake akapewa mkapa aliyekua hajulikani km Cleopa wakat ndiye aliyekua kipaombele cha rais Mwinyi. Lowasa alijitoa akapewa jpm kisa mkatoliki..yote haya ndiyo yanayotusumbua na huku udini ukishamiri na watu kutuambia udini haupo lkn tunajibagua kupitia huko. Leo bandari imeonyesha wazi na hasa katoliki wakiona nchi hii ni ya kwao na kuwagawa watu kama Roma ilivyofany kwenye kutafuta dola yao.. Mikataba mingi sana ipo lakini huu ndio unapitishwa na kukosolewa lkn mingine mingi inayojulikana haisemwi. Bandari hii inapitisha magendo mengi sana bure jambo linalopelekea umasikini mkubwa lakini leo tunashawishiwa bado tuwatuoe wawekezaji ili tuendelee kuibiwa na kupata usumbufu kwenye bandari yetu
Mama Samia huruma yako ndiyo imekuponza. Magaidi umewatoa Gerezani, ilhali wameua watu wengi sana. Huyo SHOO sio mtu mwema kwenye nchi hii. Ni mnafiki na Tapeli na kibaraka wa Magharibi.
Nimeamin watu wasio babaishwa nakuangalia chichote wanao angalia ukweli ni wakatolic siyo hao qachubgaji wetu wapo kwa maslahi yao na siyo yakisemea waamin na watanzania wao kwakuobgea maneno yasiyo ya adbu! Shauri serikali juu yahili
Nauhakika mziki wa vurugu na vita huviwezi maana utakua mkimbizi katika Taifa lako nawewe ukitaka kujua nenda nchi za mizozo ujionee mwenyewe usiongee kama mjinga
Waislam mnapenda vita sana eti kua makini sana na huo mdomo wako na mawazo yako mabaya Mwenyezi MUNGU asije akakuangamiza mara moja kabla hujawafanyia mabaya wenzako, Akiri zako na mipango yako hata robo haifikii MUNGU
HII NI HEKIMA YA KINADAMU. SIO HEKIMA YA KIMUNGU. HEKIMA YA KIMUNGU HAIPINDISHIPINDISHI MANENO BALI INANYOOSHA MANENO KAMA WATUMISHI MAASKOFU WA ROMA WALIVYONYOOSHA MANENO YAO BILA KUPINDISHAPINDISHA.
Kama muna tupiga bei kubwa Tuwa achetu Mtupige?Askofu kuweni na huruma kwa kondoo wenu Ikiwekwa hapo hospitari unyonyaji utapungua kwa Masikini jamani uwepo ushindani walaji tupate unafuu Askofu wangu Mbona sadaka Tuna toa shida ikowapi? JPM Tuta Mkumbuka sana
Ila mbele za Mungu mmechichora mbona la ulawiti na ushoga linalomtia Mungu hasira hamjakomaa mnakomaa na uchumi au linatimia watapenda pesa kuliko Mungu
Hawa maaskof ndo wenye nchi nasio Zaid Leo waislan tumekua kama wahamiaj na wao ndo wenyench Na Marais kwasasa ni waislam na hawawez pia kuweka usawa juu ya hili
Mkataba ni mbovuu,tunawpaje waarabu bandari je wakijakutujeuka inakuwaje?viongozi wlichotakiwakukifanya nikuwmbia waarabu hivi nyie si mnawezakuendeshabari,ok sawa njooni tuwajiri sisi tutawalipa kulingana nakipatomtakachokuwa mnakusanya kipitia bandari yetu nasikuwaapa mkataba wao ndo wamiliki bandari noooooh.tenahatahivyo wafanunye kazi chini yauangalizi waulinzi wajeshi latanzania,hapondipo tungeelewa lakini etikuwapamkataba hapanaahiiyooo.mgufuli alikuwa anakataa sana mambo kamahayo namaisha yalisongambe le kama kawaida.naametuachia miradi mingi tuu watuwanakimbizana kwaajili yakuiendeleza,je huyoalitoa bandari?
Tanzania haiwezi kukua kiuchumi hata ciku moja rabda tutoke kwenye mikono ya wazungu bado tumetawalia na umoja hatuna maaskofu munaendeshwa na wazungu badilikeni kwa kutafuta maslai ya nchi wazungu ci watu wazuri
Kama askofu (Shoo) haoni ubaya wowote ktk mkataba huo na DPW, basi hawezi kusaidia kuondoa maovu popote yalipo! Na kama lengo lilikuwa ni "kutokumnyima raha mh Rais akiwa mgeni wake rasmi" basi angeepuka kabisa kulizungumzia suala hilo.
Mungu ni mwema kweli nyiny KKT n watu wa mungu tumeamin kuwa nyie KKT n watu wengne kutoa wale maaskofu katoriki wa Jana tuliwashaangaa San Kwa maneno Yao ambayo haya hekma ndani yake tumeamin kuwa nyiny ni watu wa mungu tukafanye Kaz ya mungu na serikali ifanye Kaz yake
Jamaa anaomba msaada kwa rais iliapata msaada wakuendesha taasisi za kanisa ndiyo maana hatakikumwambia ukweli mtawala juu ya mkataba huo badala yake anamung'Unya maneno