Тёмный
No video :(

Babu Seya Afuraia Maisha ya Jera | TBC HABARI 

SIMU. Tv
Подписаться 235 тыс.
Просмотров 527 тыс.
50% 1

Katika hali isiyo kuwa yakawaida Babu Seya afurahia maisha yake ya Jela huku akiendelea na shuguli za muziki gerezani

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 124   
@aishamashaka7935
@aishamashaka7935 8 лет назад
Mungu wetu ni mkuuu pia ni wahurumaa atakuona siku mojaa utatoka tu babu seya
@illomowerner7690
@illomowerner7690 8 дней назад
Hatimaye ndoto yako dada Aisha ilikuja kutimia
@harifumunir6004
@harifumunir6004 9 лет назад
Mungu ndio ajuae, no condition is permanent Babu Seya if is bad today maybe tomorrow is better, don't worry tomorrow is better. God bless you
@abdiissa3627
@abdiissa3627 7 лет назад
Harifu munir .
@erickkisaki9241
@erickkisaki9241 7 лет назад
daa him baraa
@masterngao7289
@masterngao7289 7 лет назад
Mungu akujalie bab seiya
@herodembuya6664
@herodembuya6664 6 лет назад
Kweli Mungu yup kila m2 atakuwa kwa man wake asante raisi magufuli kwakulitoa jembe le2
@mashmashmkeyenge9210
@mashmashmkeyenge9210 7 лет назад
Mm naamini kwa Asilimia mia moja iko siku Nguza na Papii kocha watatoka watakuwa huru na watapiga pesa nyingi..labda tu nimuombe mh Mwakiembe na mkuu wa Nchi Rais Magufuri wawaachia wafungwe hata kifungo cha nje lkn wafanye kazi zao na wawepo uraiani...hawakuua hawa tukumbuke..Mola wasimamie naandika hii kwa uchungu sana baada ya kuhamisha hisia zangu kama mm ndio wao....
@sarahrashidirashid9384
@sarahrashidirashid9384 7 лет назад
mweshimowa magufuli Jamani mtoe Huyu baba pamoja namwanae
@eliasyasaya1723
@eliasyasaya1723 7 лет назад
mungu yupamojananyi tutazidikuwaombeen
@ahmedjack4135
@ahmedjack4135 3 года назад
j
@saimmabula3442
@saimmabula3442 8 лет назад
Huyu mtangazaji anatumia kauli mbaya cjapenda.......God will bless babu seya
@joharijuma8667
@joharijuma8667 7 лет назад
hakika dunia haina haki yani moyo unaniuma sana kuhusu hawa watu wanateketea kama mshumaa ee Mungu uwatetee
@kingdonald3312
@kingdonald3312 7 лет назад
Pole sana BABU SEYA Bado nakuombea mwenyezi Mungu akutetee siku moja ukawe HURU............. ". KING DONALD ".
@geofreygidion7235
@geofreygidion7235 7 лет назад
Daaah inauma sana mtu kumfunga kifungo cha maisha kwa kumsingizia ubakaji lakini hakuna alie juu zaidi ya jua ikiwa Bbu Seya hakufanya tendo hili bac hukumu yake itamludia yeye aliyemhukumu. Tunakuomba mh. Magufuli umsamehe Babu Seya pamoja na familia yake ili wawe huru.
@justinemalima6701
@justinemalima6701 7 лет назад
kweli kabisa
@cypmkutubi3109
@cypmkutubi3109 7 лет назад
Geofrey Gidion una uhakika?
@isaackkamanga3567
@isaackkamanga3567 7 лет назад
Umenena vyema...natabir raisi wangu atafanya hivyo siku za usoni
@joharijuma8667
@joharijuma8667 7 лет назад
Geofrey Gidion Yani huwa nikiwakumbuka najisikia kulia machozi
@noorhatkine3131
@noorhatkine3131 6 лет назад
isack kamanga maneno yako yamepata kisikika leo na muumba wetu ametenda miujizaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@jerrykaswalala7615
@jerrykaswalala7615 8 лет назад
Mungu yupo kama kweli haki haikutendeka duniani basi itatendeka hata mbinguni duniani tunapita a day will come sote tutahesabiwa kulingana n'a matendo yote. Hata kama upo gerezani ila jua kuna watu wengi sana tupo nyuma yako
@jairosjairos1248
@jairosjairos1248 8 лет назад
Magufuli at awatoa
@allanraphael3991
@allanraphael3991 7 лет назад
Jairos Jairos magu boyaa tyu
@jamilskisesa297
@jamilskisesa297 7 лет назад
Pole sana babu Seya...sauti yako bado iko imara,tunakuombea afya njema inshallah
@prudencesempa2300
@prudencesempa2300 7 лет назад
Namuombea msamaha kwa aliyesababisha afungwe maisha,Mungu angehesabu maovu yetu hakuna ambae angesimama.
@lindimkoani9071
@lindimkoani9071 7 лет назад
Atatoka kwa uwezo wa muumba
@rehemamroto5723
@rehemamroto5723 7 лет назад
msichoke kuomba mungu ipo ck itakuwa ya neema kwenu hamtoamin mtaungana na watanzania wote wenye roho za huruma a aaamin
@josephmduwile5763
@josephmduwile5763 7 лет назад
Pole babu seya, ila mshukuru mungu kwasababu ni wakati wake kwa hilo lililokukuta na ipo siku na wakati utapata nafas tena🏃🚄💨💨💨 coming!
@stephaniastansilaus9123
@stephaniastansilaus9123 7 лет назад
Pole bbseya
@kudraabsheh5638
@kudraabsheh5638 8 лет назад
babu sea mungu akupe wepes katika kifungo chako cha maisha
@hamischimgege9404
@hamischimgege9404 7 лет назад
babu seya na wanawe wameonewa ila Mungu atawalipia tu,Mungu atawalipia hapa hapa duniani
@martinsamatajr7972
@martinsamatajr7972 Год назад
rest in peace marin hassan marin
@andrew29468
@andrew29468 7 лет назад
Km kweli Babu seya kasingiziwa mimi namwomba mungu asimsamehe hyooo aliyemfanyia hila mbayaa,na ajue mungu anamwona,mwisho wake utakuwa mbaya,hyu yeye amejitune hatotoka hdi kifo chake, Ila hakika ninakwambieni yule alofanya hayo ataumia zaidi cku zinakuja kwa kuwa ameangamiza familia ya wengine pasipo haki, Ktk ile case sina hakika km aliyekuwa akiwapeleka hao watoto km alifungwa,na km yupo free alifanikiwaje kutoka
@dennisamadiva1035
@dennisamadiva1035 Год назад
Seya wa mikwalo may God through Jesus Christ release you from the gates of hell like He did for Simon and Peter
@calvinlucas8303
@calvinlucas8303 7 лет назад
mungu ndie ajuaye na mungu ndie hakimu WA kweli Baba au babu yangu mwenyezi mungu akulinde na akutangulie
@kiplelv3218
@kiplelv3218 8 лет назад
apia cjui nyimbo zake ila nashangaa wa tz weng wana penda atoke kafanya nn
@yulithakashegu7028
@yulithakashegu7028 7 лет назад
Mshukuru mungu kwa yote IPO siku milango ya gereza itafungulia
@ayubunnko8747
@ayubunnko8747 9 месяцев назад
Hatimaye Mungu alifanya ndugu sijui kama upo hai au vipi lakini maneno yako yametimia ndugu
@greysonmwanjesa4318
@greysonmwanjesa4318 7 лет назад
alafu hata huyu mzee mwandishi wa habari aliyapangilia maswali vizuri sana
@zawadmteleke7554
@zawadmteleke7554 7 лет назад
Pole sana babu seya najua iposiku utakuwahulu,
@ziguatv9190
@ziguatv9190 7 лет назад
Wakati mwingine ni vizuri kujua na upande ulioathirika pia, tunamuonea huruma Seya kwa kifungo na naamini rais wetu ni mtu mwenye hekima sana atafanya linalofaa kwa familia ya Seya.
@zuhurakiondo524
@zuhurakiondo524 7 лет назад
pole sana tumemis vitu vyako
@abbaaskhamees7819
@abbaaskhamees7819 8 лет назад
Hakuna mwenye kufurahia maisha ya sio na uhuru, angefurahia ndege unapo muweka tunduni yaani ndege killa kitu unampa lkn siku utakayo jisahau kufunga mlango anakutoroka
@beatusherman7020
@beatusherman7020 7 лет назад
Abbaas Khamees kwel mtu afurahie maisha ya vile wasituongopeee jamaa mpaka kazeeka inaumaaaa
@beatusherman7020
@beatusherman7020 7 лет назад
Abbaas Khamees kwel mtu afurahie maisha ya vile wasituongopeee jamaa mpaka kazeeka inaumaaaa
@barggobiggo8639
@barggobiggo8639 7 лет назад
Hakika munguu ndyee muwezaa wa yoteee wameasoo kwa miaka mingii J P M recepect my brotherrrrr mung akuongzeeeeeeeeeee
@andreamandela2293
@andreamandela2293 7 лет назад
may God open a way for yuu babu seya
@abcdefghijklmn466
@abcdefghijklmn466 7 лет назад
Lia na mungu wako akusaidie wanakuombea nao wana miungu tofauti na wewe!
@severinemfuse7716
@severinemfuse7716 7 лет назад
,Babusea vumilia hakuna jambo lisilokuwa na mwisho ndiyo mapito ya dunia Mungu yupo pamoja nawe.
@metalcombat4470
@metalcombat4470 7 лет назад
It pains! God is the Greatest! He's The most Gracious, The most Merciful!
@abcdefghijklmn466
@abcdefghijklmn466 7 лет назад
Mungu wake ndie aliyemfikisha hapa!
@dausonmatata4825
@dausonmatata4825 6 лет назад
Mungu yupo tuuu
@assiahancha2068
@assiahancha2068 6 лет назад
pole sana babu Sea ipo siku utatoka tu mwamini mungi
@helenmark7965
@helenmark7965 5 лет назад
Mashallah he was still smilling
@yasserkhalidy7080
@yasserkhalidy7080 6 лет назад
tunamuomba mungu ampe afy njema babu sey
@yasserkhalidy7080
@yasserkhalidy7080 6 лет назад
pole babu seya mugu yopo pamoja nawe iposiku milango yajela itafunguka
@samwelallaon9937
@samwelallaon9937 7 лет назад
mungu akulinde! mkuu!
@anesiusmkon4031
@anesiusmkon4031 7 лет назад
kweli anasikitisha San maan alikua muhim sana kwa jamii kiujmula
@hamadtwaha4382
@hamadtwaha4382 7 лет назад
muishimiwa tunakuomba mtowe babu sea wetu
@khadijanyoni5581
@khadijanyoni5581 6 лет назад
mnakurupuka sana .MTU anafuraha gani wakat tupo ndani
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 5 лет назад
Leo uko huru... Mungu mkubwa na atabaki kuw yy daima
@majaliwamwinje9969
@majaliwamwinje9969 7 лет назад
jela in mahali pawahalifu kwahiyo alipo ndo panamfaa siyo ulaiyani muwe mnaelewa jaman mtaelimika na kuijua sheria link sasaaaa???
@mathewjoseph7050
@mathewjoseph7050 8 лет назад
raiti kama mi ningekuwa rais ningetoa msamaa wa rais wa wafungwa kwa babu sea na wanawe. kosa siyo kosa bar kuludia kosa
@sondanzingulasondasam4029
@sondanzingulasondasam4029 7 лет назад
poleni sana inasikitisha sana
@mtakitibezuka9604
@mtakitibezuka9604 8 лет назад
jamani angekuwa rowasa angemtoa jamani magufuri ona huruma ww ndo raisi
@violetgodbless7933
@violetgodbless7933 7 лет назад
mungu afanye wepes kwenu
@josephhaule6309
@josephhaule6309 7 лет назад
Hakuna mwenye haki aliye achwa ipo siku MUNGU atamkumbuka
@hancembogella
@hancembogella 9 лет назад
Da mungu amsaidieeeee atoke tu jamani
@ngusekelaisongo1068
@ngusekelaisongo1068 6 лет назад
Duuh! Babu sea Mungu akufanyie wepes
@neemaissa4546
@neemaissa4546 6 лет назад
samehe saba mara sabini
@kiplelv3218
@kiplelv3218 8 лет назад
jaman mm hata cjui zaman nilikua nackia babu sea na sasa nimemuona youtb ila cjui kafanya nn mbaka kafungwa
@sarafina6656
@sarafina6656 7 лет назад
Mungu awasaidie watatoka
@halifahk1218
@halifahk1218 7 лет назад
Sara Fina da" sipati picha
@hadijaojuku1540
@hadijaojuku1540 7 лет назад
Kiukweli inaumiza bt Allah yupo atafanya wepesi juu ya hili
@magrethfifi7633
@magrethfifi7633 6 лет назад
pick. pole yake
@Basagamp4
@Basagamp4 9 дней назад
MUNGU mwema kwakweli hatimae leo hii tupo nae Uraiani
@ummimohammed1856
@ummimohammed1856 7 лет назад
Allah ndo anojua ukweli na daima haki inakuja juu tu msigombane.....ikiwa kaonewa siku moja ukweli utajulikana na ikiwa kakosa pia alichofanywa itakua ni haki kwake.....
@rydaartashastar7472
@rydaartashastar7472 8 лет назад
magufuri tunakuomba jaman mtoe jaman
@JeremiahNyunza
@JeremiahNyunza 8 месяцев назад
r.i.p marine hassan marine
@semereinnocentsabumteymtar7132
Jamani tunakuombea utoke gerezani.
@ruditaboti3157
@ruditaboti3157 7 лет назад
By mzee ninapomtazama machozi hunitoka
@fahamyyusuph9661
@fahamyyusuph9661 7 лет назад
babu seya mung yu pamoja na ww
@felistagerrard2375
@felistagerrard2375 7 лет назад
Yaani sijawahi kuona amfala kama nyie,hakuna anaeweza kiufurahia maisha ya jela
@mohamedchande8824
@mohamedchande8824 7 лет назад
Pole babu seya
@omarymwigula5479
@omarymwigula5479 7 лет назад
We malina usiseme sidhani km watakuonana tena binafsi nadhani ungesema watanzania wanakuombea wakuone tena,
@greysonmwanjesa4318
@greysonmwanjesa4318 7 лет назад
uyu chizi anashindwa hata kujua maswali anavyoulizwa.kunamaswali mengine ni yaneema lakini anashindwa kujitambua
@noahjacob9860
@noahjacob9860 8 лет назад
Hata mimi kuna mtoto wangu.
@khadijawendomwachirenje3513
@khadijawendomwachirenje3513 7 лет назад
Allah atawasaifia wote watatoka
@aminafesali5817
@aminafesali5817 7 лет назад
si mnampenda kikwete nyie na yy ndio alimfanyia hivo baba wa watu na watt wake hivi mtu au watu mtaliamin vp watu wa 3ama 4 kubaka watt 10 jaman insikitisha sana
@lucysalvatory835
@lucysalvatory835 7 лет назад
maskin amekonda!Mungu ampe nguvu
@seifmohammedseif1229
@seifmohammedseif1229 7 лет назад
nani ana hakika kasingizwa ? wakati wa leo sheria zilivyo na mwamko upo wa haki sidhan angelikaa hko sana mashaka yapo ya kilichotokea anafaham vzr yeye
@ummimohammed1856
@ummimohammed1856 7 лет назад
Marin Hassan nakusalimia....
@dictashijasimeya6080
@dictashijasimeya6080 7 лет назад
naamini magufuri anamuona
@suhailamohd9267
@suhailamohd9267 9 лет назад
Mungu yu mwema kla cku kwako utatoka ew unaemuombea mabaya nenda na ww kakae kama n pazur
@isibanianews1329
@isibanianews1329 7 лет назад
TBC wanafki sana
@beatricemausha8185
@beatricemausha8185 6 лет назад
ipo siku utatoka tuu
@kiplelv3218
@kiplelv3218 8 лет назад
bac namm na penda atoke japo aimbe hata nyimbo 1nimckie
@top20africamusics31
@top20africamusics31 6 лет назад
Duh jamaa katoka
@jandaboy3273
@jandaboy3273 6 лет назад
katokaaa
@saidwilson6529
@saidwilson6529 7 лет назад
kwani wewe unae hoji lazima useme anatumikia kifungo cha maisha si sema tu unatumikia kifungo....
@iddayeliass6721
@iddayeliass6721 7 лет назад
Viongozi wanaotumia madaraka vibaya mungu atawahukumu Mara 7na aliefanya hayo anajulikana ,atakufa mdomo wazi
@iddayeliass6721
@iddayeliass6721 7 лет назад
Huwezi mfunga binadam mwenzio maisha kisa mwanamke jamani hukum ipo ktk kiama chako
@lawsofsucces5784
@lawsofsucces5784 7 лет назад
Hukumu ta kila mtu itatoka kutokana na matendo yake
@michaelnkobi2201
@michaelnkobi2201 8 лет назад
ipo cku naamini babu seya atakuwa huru.
@reemajeereemajee2105
@reemajeereemajee2105 8 лет назад
Amen
@makoyechazy4095
@makoyechazy4095 7 лет назад
REEMA JEE REEMA JEE
@shabanimajaliwa5258
@shabanimajaliwa5258 7 лет назад
Je Babu Seya tayari amepata Gallatone Guitar.
@goodlucknnko1280
@goodlucknnko1280 7 лет назад
TBC bhana eti babu Seya anafurahia maisha ya Jela,?
@zawadimbembela4924
@zawadimbembela4924 7 лет назад
babu sea angeachiwa2
@simonkulwa1294
@simonkulwa1294 7 лет назад
.
@bugombatv2166
@bugombatv2166 7 лет назад
magufuli mtoe huyu bwana
@floramshumbusi3597
@floramshumbusi3597 8 лет назад
@dhatianafi5063
@dhatianafi5063 7 лет назад
hiyo kiboko
@constantinemathias8955
@constantinemathias8955 7 лет назад
Mm nadhani kosa ni kosa kama diamond alikuwa anaendesha huku anacheza mm nadhani na yeye alitakiwa kupelekwa mahakamani lakini kusema kwamba yeye amekubali kosa ndo mkampa faini kutoa bado mnatuonyesha jinsi gani wengine wanabebwa na wengine wanakandamizwa
@jeanmalilo8855
@jeanmalilo8855 6 лет назад
inama wa tz mlimzingiaga huyu mkongo Mani wetu wajinga nyie
@kudraabsheh5638
@kudraabsheh5638 8 лет назад
babu sea mungu akupe wepes katika kifungo chako cha maisha
@edgarchinguile9240
@edgarchinguile9240 7 лет назад
hivi kosa lake lilikuwa na ukweli?
Далее
Papii Kocha - Waambie (Official Video)
4:01
Просмотров 1,2 млн
Cute kitty gadget 💛💕
00:23
Просмотров 6 млн
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Просмотров 7 млн