ARTST: BANDO FT ONESIX SONG: BAADA YAUCHAGUZI VERC1 wajumbe tulipokaa kamati tulijua fika atapita nani/ Ila hatukufikia tamati shamba kumpatia mpinzani/ kuitafuta haki mbele ya watu/ Nikuutafuta msikiti ambao waumini wanasali wamevaa viatu/ Haya karibu tena tumekupa fimbo ili uchape kazi/ Hali sio NJEMA imekuwa wimbo kwa kila mkazi/ narushwa bado ni shazi/ Hii Nchi ukiona traffic mwembamba ujue nimgeni kwenye kazi/ ENDELE KUENYOY👇👇⬇️⬇️ ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-x84y4brQTGs.html
Nikipewa nafasi ya kumwelezea BANDO nitapata taabu sana maana amezidi kuwa complicated kadri nnavyofuatilia kwa karb ngoma zake, nways... Kitu kikubwa sana Mr MATANDA, Keep on moving fast & surely!
They will never understand your creativity but trust me what you do majority of our artists can never do what u do. Respect homie mo love from 254 keep good music alive 👊👊👊👊👊👊👊👊👊
Ni bora iwe hivi kwa uandish konk wajanja tunaeelewa inatosha mana wakieelewa basata nyimbo tutaikosa mana walipewa viti kimakosa na hata malipo yetu hatutapata cosota🙌🙌🙌 bando mc umetisha
WIMBO MZURI HUWA HAUCHOSHI KUUTAZAMA BANDO FT ONESIX _BAADA YA UCHAGUZI👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-x84y4brQTGs.html MZIKI MZURI🏹🏹 CONTENT NZURI🎯🎯 VIDEO NZURI✈️✈️✈️ TAZAMA KISHA NISAIDIE KUSHARE🙏🙏
Natumia muda mwingi kwenye " Editing , "create & na kuproduce📱🖥 Video za mafunzo(tutorial)za app mbalimbali, Games na Dancing video "Naombeni support yenu kwa ku subscribe channel yangu ya UniqueBaraka💛💖
Hongera sana broo, niwachache sana wanaoweza fanya vitu vikali kama wewee ombilangu dogo corus ujitahid iskike vizur zaid, ila kwa ujumla kitu ni og sanaaaaa
Bando Mc Umetisha,ila hao traffic waache kidogo kazi yao ngumu Sana wanakomaa usiku na Mchana ukipewa wewe utakimbia waache Vijana wachape kazi Kama ni unene hata madokta na manesi wapo wanene wengi tuu😁😁😁👍
BIDHAA ZA VIUNGO NA MIFUPA Tuna bidhaa hii iitwayo ARTHROEXTRA TABLETS Hii -Huongeza uteute (synovial fluid) kwenye maungio ya mifupa -Huondoa naumivu ya maungio kama nyonga,magoti na mgongo n.k -Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya (articulate cartilage) -Huzuia kulika kwa mifupa na maungio -Huondoa tatizo la athritis -Huongeza Glucose amine na Chrondroitin kwenye maungio Pia kuna ZAMINOCAL PLUS CAPSULES Hii -Mchanganyo wa Zinc,Calcium, magnezium na amino acidi(protini) -Huboresha mifupa na meno -Husaidia mfupa uliovunjika kupona haraka -Husaidia sana mfumo wa fahamu -Huwafaa watoto wanaochagua chakula kula vizuri -Huongeza hamu ya kula -Huwafaa sana wamama wajawazito kwani husaidia kupata mtoto na misuli ya ikulu kurejea kwa wepesi baada ya kujifungua. Pia kuna GLUZOJOINT-F -Huzuia maumivu ya viungo -Huzuia kulika kwa maungio -Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya(artculate cartilage). Ushauri zaidi wasiliana nasi pia Whatsup +255712126669 Simu kawaida 0683147077
Sasa chui mmemkabizi zizi #.........🤫🤔♥️♥️♥️ Unaweza fanya ngoma alafu ile ngoma ikawagusa sana watu yaani unaadika kitu halafu kinagusa miiyo yaa watu ndo kilichofanyika humu ndani duuuu .huu mdo mziki tunao taka so kila kitu kusifia tu #bando_mc ............ Mzik mzuri
BANDO FT ONESIX _ BAADA YA UCHAGUZI ⬇️⬇️ ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-x84y4brQTGs.html SIFA MOJA WAPO YA MSANII NI⬇️⬇️♨️♨️ KUELIMISHA &KUKOSOA JAMII🇹🇿🇹🇿 TEGA SIKIO LAKO USIKILIZE WIMBO HUU🙏🙏👇👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-x84y4brQTGs.html
Tunaandika kitabu kidogo walau kije kisomwe tusipokuwepo wala kuweza kuwakumbusha watu juu ya miaka hii sawa! Mbona sisi tunamsoma shaban robart nao watatusoma sisi miaka ijayo