Тёмный

BARABARA YA BUHIGWE - KASULU (KM.35) KUKAMILIKA KWA LAMI, "TUTARUHUSU MAGARI KUPITA" - PROF. MBARAWA 

Wizara ya Ujenzi
Подписаться 4,9 тыс.
Просмотров 2,7 тыс.
50% 1

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amemtaka Meneja
wa Wakala Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Kigoma kuhakikisha
barabara ya Kasulu-Buhigwe- Manyovu yenye urefu wa kilomita 56 Sehemu ya Kasulu hadi Buhigwe KM 35 inakamilika kwa kiwango cha lami ifikapo Oktoba mwaka huu.
Barabara hiyo ambayo ni sehemu ya Barabara ya Kabingo-Kasulu hadi
Manyovu yenye urefu wa Kilomita 260. 6 inatarajiwa kuufungua na
kuunganisha mkoa wa Kigoma na Kagera kwa barabara ya lami na hivyo
kuchochea shughuli za kilimo, biashara na uwezekezaji katika ukanda wa
magharibi mwa Tanzania.

Опубликовано:

 

30 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
Далее
Beautiful sport😍
00:20
Просмотров 309 тыс.
MANYOVU TO KIGOMA TOWN IN MINUTES!
9:43
Просмотров 118 тыс.
BUHIGWE YA SAMIA KUFIKIA JAN. 2023
17:12
Просмотров 287
WILAYA YA BUHIGWE YAPOKEA MSAADA
4:56
Просмотров 790