Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, amelazimika kujibu hoja mbalimbali za baadhi ya Wabunge waliounga mkono hoja iliyotolewa na Mbunge wa Momba Mhe. Condester Sichalwe ambaye aliomba muongozo kuwa Bunge lisitishwe shughuli zake ili liweze kujadili suala la ukatazwaji wa kuuza Mahindi nje ya nchi, ambapo hoja hiyo iliungwa mkono na Wabunge.
Ambapo Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe, alisimama na kulieleza Bunge namna utaratibu unavyotakiwa kufuatwa ili kila mtu anayetaka kununua Mahindi anatakiwa kuufuata.
Stori zaidi tumekuwekea kwenye akaunti yetu ya RU-vid “Clouds Media”.
#KutokaBungeni
#7bisha
#CloudsDigitalUpdates
18 сен 2024