Kati ya mawaziri bora kuwahi kutokea 🥰 Tumemiss mambo kama haya m2 ameboronga apewe malipo yake. namuona hayati dr. John Joseph pombe magufuli ndani yako! APUMZIKE KWA AMANI SIMBA WA AFRICA 😭😭
WEWE RAJABU UNAMFANANISHAJE MH. BASHE NA MWENDA ZAKE!!!? BASHE NI MCHAPA KAZI KWA HAKI, SI FISADI, HAJINUFAISHI BINAFSI TANGU AKIWA MBUNGE WA KAWAIDA ALITOFAUTIANA WAZI WAZI NA WABUNGE WENZAKE WA CCM KAMA UNAKUMBU ILIKUWA KAMA KUNA HOJA
BASHE NI TOFAUTI KABISA NA JPM BASHE NI MZALENDO WA KWELI TANGU AKIWA MBUNGE WA KAWAIDA ALIUPINGA UFISADI NA HAJAWA FISADI!!! UTAKUMBUKA WAKATI ULE WA BUNGE LA UPINZANI IMARA ILIKUWA CCM IKIJUWA KUWA LEO BUNGENI KUNA HOJA INAYOHUSU UFISADI ILIKUWA NA TABIA YA KUWAKALISHA KIKAO WABUNGE WA CCM ILI KUWA WAMOJA KUWAKABILI WABUNGE WA UPINZANI KTK HOJA ILE ILIKUULINDA UFISADI WAO LAKINI MH. BASHE KAMWE HAKUKUBALIANA NAO AKAWA ANAKUWA UPANDE WA UPINZANI HUYO NDIYE BASHE WA TANGU ZAMANI HAJABADILIKA BADO NI MR. CLEAN. NDIYO MAANA MPAKA LEO WANANCHI WANAWAITA WA BUNGE WA CCM NI AKINA NDIYOOOOO( NI WALINZI WA MAFISADI WA CCM USIPOJIPENDEKEZA KWA MAFISADI BASI KWENYE KURA ZA MAONI WATAKUTUPILIA MBALI HATA UKIPATA KURA NYINGI!!! NDIYO MAANA CCM ILIFUTA MGOMBEA BINAFSI ILI KUWAZUIA WASIOWATAKA WAKATI WANA NCHI WANAWATAKA. NDIYO MAANA TUNATAKA KATIBA.HUWEZI KUMFANANISHA MH. BASHE NA JPM, KUMBUKA JPM ALIKUWA NA HARUFU YA UFISADI MFANO MMOJA TU NIKUPE: CAG WETU PRO. MUSA ASADI ALIBAINI UPOTEVU WA TILION 1.5 SIYO BILIONI 1.5 NI TILIONI 1.5 LAKINI HUYO MLIYEMWITA MZALENDO NA. 1 ( JPM) BADALA YA KUMPONGEZA PRO. AKAMTIMUA KAMA MHALIFU NA KINYUME CHA SHERIA!!! WENYE AKILI HAWAJIULIZI ETI KULIKUWA NA NINI WANAJUWA NI UFISADI TU.
Mbunge wa kudumu Nzega mjini. Mheshimiwa Bashe mi chanda chema cha Ndambile Nzega mjini. Sisi wana Nzega tunajivunia sana kijana wetu. Hii inatokana na malezi mema na kuwa na hofu na Mwenyezi Mungu.
Wanazungushia hela Kwenye miradi yao mtu anadaiwa 180,000 na anadai milioni moja na nusu suala dogo beba hela zote unapolipa kata hela yako ya mbolea wakulima wenyewe wanalipia dirishani kwanini wasikate dirishani, wezi hao kazi yenyewe ya shamba ni ngumu
@@jonathanakhabuhaya1693 Mungu akiamua kukupa hata iweje atakupa tuu sina hofu na huyo baba from day one nimemjua nimeona anaweza kuwa raisi hata iweje tunamuhitaji.
Ovyo kabsa ninyi wenyewe ndo mnaozulumu wananchi wa hali ya chini kisha mnawafanya viongoz wa Amcos kama kanyagio. Tunataka kujua kwanini gharama za maisha zimepanda kwa 10%,tunataka jujua kwann soko la korosho limeshuka sana,tunataka kujua kwanini uchumi umedorora baada ya kupanda.Eti mnaacha point za msingi mnaonesha ubabe kwa wanyonge tu.Ujampa ata mda wa jumsikiliza je kama malipo kapeleka benk na benki malipo ndiko yanakochelewa uonev mtupu.