Тёмный

BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 2 

ZamaradiTV
Подписаться 239 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Развлечения

Опубликовано:

 

19 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 230   
@EmmyMo
@EmmyMo 16 дней назад
Uyo hajawah kuwa na passport bana asitudanganye hapa hkn mtoto wake😂😂😂😂😂😂😂😂 Pole kaka mganga kazi unayo😂😂
@nuryatmussa9966
@nuryatmussa9966 9 дней назад
Eti aliletewa passport bila kwenda uhamiaji
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 8 дней назад
nikweli lakini ni zile za kijani mm sijawai kwenda uamiaji​@@nuryatmussa9966
@MwaminiyusuphRwekaza
@MwaminiyusuphRwekaza День назад
Akiii nqchekaa km mazurii at kujieleza mtihaniii😂😂😂😂
@MariaHamis-cl3nu
@MariaHamis-cl3nu 16 дней назад
Nimesikiliza mambo ya passpot nacheka hakimungu😂😂😂
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 16 дней назад
Sheikh apewe crown siyo kila mwanaum ataweza kaa na diva siku2
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
Abdul apewe 👑 👑
@ZulekhaAmar-fy4pm
@ZulekhaAmar-fy4pm 16 дней назад
😂😂
@EmmyMo
@EmmyMo 16 дней назад
Nikweli😂😂😂
@WinWilly4162
@WinWilly4162 13 дней назад
Kabisa
@MwaminiyusuphRwekaza
@MwaminiyusuphRwekaza День назад
Saiv ndo naelewa kumbe kingereza sio akilii😅😅😅😅😅
@diannaphabian7440
@diannaphabian7440 11 дней назад
Hawa watu waliowanaje jaman hata majina yao hawayajui??😂🙆‍♀️
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 17 дней назад
Zamaradi tupe mambo mengi,tunapenda sana mashabiki zako,na full za shoo za gigy
@queentanitah1346
@queentanitah1346 16 дней назад
DIVA as Diva but doesn't have a passport 😂😂😂😂 LOL ohhh my...Tanzanian celebrity
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 15 дней назад
Hajawahi kuwa na passport huyu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣angesema ukweli tu waendelee kujaza majibu ya passport yake ya kwanza
@LeeLian95
@LeeLian95 12 дней назад
🤣🤣umewaza kama Mimi
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
Shida ya huyu diva ni mdomo alafu hajajua nini maan ya mume na ndoa inataka nini
@sherryx.7897
@sherryx.7897 16 дней назад
Ikiwa mume hana uwezo wa kukununulia gari..usimlazimishe...halafu Diva u don't respect ur husband.. talk to him as a husband sio kama takataka..
@lilianpeter1631
@lilianpeter1631 14 дней назад
Sasa ndo nmejua mganga Hana matatizo huyu diva ndo shida hajui kuongea na mumewe
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 5 дней назад
Self respect,self worth and self confidence as a woman is very powerful""treat others the same way you want to be treated""control your temper cause it will cost you badly one day.
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d 16 дней назад
Diva anaongelea maisha ya kina biyonce walioshajipataga anayaleta kwa mganga wetu wa kienyeji
@ZulekhaAmar-fy4pm
@ZulekhaAmar-fy4pm 16 дней назад
😂😂😂
@EmmyMo
@EmmyMo 16 дней назад
😂😂😂😂daaah
@lucymtui8680
@lucymtui8680 14 дней назад
😂 we mshenzii😂😂😂
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 5 дней назад
😂😂😂 kwanini mganga wenu wa kienyeji jamani
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 16 дней назад
Hehehe Abdul ulipatikana kwenye hii ndoa aisee!😂😂 Diva 🙌🏽🙌🏽
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 16 дней назад
Huyu ndiva mshamba na mjinga unaleta majina ya 😂😂😂
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 17 дней назад
Diva mashauzi yote Hana pasport duuuuuu
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 16 дней назад
Yaani. Hata mimi nime mshangaa sana
@salmabamba2751
@salmabamba2751 15 дней назад
😂😂 yaan duh
@bahatihassan5413
@bahatihassan5413 15 дней назад
😂😂😂😂
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 16 дней назад
Kumbe sheikh anamzidi akili diva na ujuzi wake wote wa social media 😂😂😂😂😂 mpaka amepoteza passport na hajajulisha sheria😂😂😂 Pole hata mm nilipoteza yangu this year I don't know when and where 😢🇬🇧🇰🇪🇾🇪
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 15 дней назад
Yaani kumbe yote haya! Sasa anakua diva na hajasafiri! Huyu ni mjinga Sana
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 12 дней назад
​@@BarbaraPatience-qt9cc😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@verbalverbal2019
@verbalverbal2019 16 дней назад
Diva anaweza akakwambia babake ni mhaya, lakini yeye siyo mhaya, yeye ni black america, alienda mahakamani kubadili kabila... (Giselle)😂😂😂😂😂
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 16 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 15 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 14 дней назад
😂😂😂😂😂😅
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 15 дней назад
Siwezi kugawa kitu mume wangu kaniletea hata kama kiwe kibaya kiasi gani huwa nakipenda na kukitunza
@marysaituni4584
@marysaituni4584 11 дней назад
Haya maisha yenu ni kama movie 😂😂😂 part 1/2/3/4/5/6/7/8/9/11... Hivi mwisho ni lini.. huyu mume apewe tuzo ya mume Bora.🇰🇪
@annajoseph9955
@annajoseph9955 16 дней назад
Huyu passport hajawah miliki bhana,,,,,huyu mwenzetu wa humuhumu tu
@EmmyMo
@EmmyMo 16 дней назад
😂😂😂😂
@aminanyembo8471
@aminanyembo8471 10 дней назад
Sio wa humu humu tu,sema wa "Bukoba"😂
@nayarichard5318
@nayarichard5318 16 дней назад
Ila huyu kaka anajitahidi jaman khaaaa!!
@nayarichard5318
@nayarichard5318 16 дней назад
Yaani hapa Abdul kajikanyaga naatakonda sana😂😂😂😂
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 16 дней назад
Kweli atamimi nahisi ivo,jama anapambana sana sikazi ndogo kukuwa karibu na Diva
@LeeLian95
@LeeLian95 12 дней назад
@@nayarichard5318mbona washaachana kitambo show yenyewe marudio hii
@LeeLian95
@LeeLian95 12 дней назад
@@mutamurizajosephine8349washaachana
@NnajMimi
@NnajMimi 16 дней назад
Haki diva hajui kuongea vizuri na mume wake,kasema kupika hajui,harafu kumbe haelewi vitu vingi maana hata pasport tuu mume anafaham kuliko yeye msomi,analazimisha apewe vya thamani wakati bajeti hajui,yaani kumbe anamsema mume nje vibaya wakati yeye ndo tatizo,
@EmmyMo
@EmmyMo 16 дней назад
Exactly 💯
@RandB_Channel
@RandB_Channel 16 дней назад
Hata kama mnesemaga mme ooo shehe lakini hata huyo diva hana tabiaya nzuri yakuwa mke wa mtu . Kumbe unatumbo kumbwa hivi wenye wesha zaha ndo wanakuwaga navimatumbo ww imekuwaje 🤔🤔🤔 huyu diva maisha ya ndao hawutaweza ju tabia yako nimbaya
@marymanoni5536
@marymanoni5536 16 дней назад
Mbona kawaida
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 16 дней назад
Hilo liko wazi
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 16 дней назад
Yani hatari kwa kweye ndo ukivuvuna hiyo huishi na mwanaume kampata huyo mume naye wataka usataa tu
@RandB_Channel
@RandB_Channel 16 дней назад
@@marymanoni5536 apana kwahawa wasani wana maisha yakuigiza nilisema vile kwasababu wende utizame instagram nahapa nibitu 2 tofahuti kule iko na flati stomeki apa iko namama lawo
@gracekenan4665
@gracekenan4665 16 дней назад
Tumbo kama langu mama kachanga ila soon nalitoa
@leokamil6284
@leokamil6284 16 дней назад
Eti how are you 😂 huku hujui hata Wazazi wako wamezaliwa wapi 😅
@WinWilly4162
@WinWilly4162 13 дней назад
Abdul ni mwanaume na Robo 3.. Kuishi na kiumbe kama Diva inabidi utumie akili hekima, busara kubwa sana.
@fettymilly7664
@fettymilly7664 10 дней назад
Mtu uliletewaje passport bila ww mwenyew kufika kule anatuchukuliaje huyu divaaa😂😂😂😂😂
@rehemapeter8621
@rehemapeter8621 16 дней назад
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu😂😂😂and u are a journalist? Heey eh
@3Dshoez
@3Dshoez 12 дней назад
Yan anajifanya mgeni TZ
@monicakimati4619
@monicakimati4619 15 дней назад
Daah nilikua na muwaza yule Roboti wa kizungu sijui hata kwanin nimewaza hivyo😂😂😂😂
@Mwanamkesahihi01
@Mwanamkesahihi01 16 дней назад
Kwa hiyo huyu Director hakujua kua kuonesha kuwa diva hapa pass ni brand Damage?????
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 13 дней назад
😂
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 16 дней назад
Anaomba msamaha huku anacheka yaan hajui jns yakuishi na mume waaa japo sijaolewa bado but diva bana
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 16 дней назад
Si angemwambia diamond amtafutie passport😂
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 16 дней назад
Unavituko Kwel.😂😂😂😂 Sasa km mamako mzigua hatunaga se mkiwa se niuko iringa wazigua tuna mokiwa hatuna semkiwa.
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 16 дней назад
Muongo huyu aitwi diva 😂😂kadi lake la clinic 😂😂😂
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌eti nililetewa nmechekaaa
@fettymilly7664
@fettymilly7664 10 дней назад
😂😂😂😂😂😂 anatuona ss machiziii
@temeketv
@temeketv 11 дней назад
Mwanetu shehe anapitia vitu vingi vigumu na huyu demu, sema anaweza kukaza, kipindi cha ukoloni watu kama shehe ndo walikua wanasafirishwa na cheni shingoni huku wanachekelea kuenda mambele😂 😂
@NnajMimi
@NnajMimi 16 дней назад
Analazimisha apewe vya thamani wakati hajui bajeti,hajui thamani ya shilingi aiseeee atabaki hapoooo
@mariamhussein7620
@mariamhussein7620 9 дней назад
Kwenye ndoa zenu kuna kazi na hamtuambii😂😂😂😂
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 15 дней назад
Yaani nimemsikiza huyu Diva! No way! Hata hana knowledge fupi sana!! Bwana naye mrongo sana! Pwagu na pwaguzi
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 16 дней назад
😂😂😂diva yaan unavitu ww af abdul yuko makin atak ujinga😅😅😅😅mara malinz mara mpare mara muhimbil
@user-ii2dp3es9h
@user-ii2dp3es9h 17 дней назад
Wew diva mulize giving mawigi and nunua wapi akielekezee😂😂😂
@salama1113
@salama1113 16 дней назад
Nilichogunguwa kweli huyu dada maishayake ni feki we hada ditel ya mzazi wako huzijui au ww sio mtz
@Bashitetako
@Bashitetako 12 дней назад
She's so fake anajikana mzima mzima eti naenda canada hata burundi hujafika 😅
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 17 дней назад
Puwagu na pwaguzi 😀😀😀
@ZulekhaAmar-fy4pm
@ZulekhaAmar-fy4pm 16 дней назад
Pipa namfuniko 😂😂😂
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 17 дней назад
Diva umeolewa na mzungu 😅
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 дней назад
Watu mnanaisha jamani. Yaani milioni tatu mnatumia mwezi???? Hamko serious😂😂😂😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 16 дней назад
Hii inanionyesha kwa jinsi gani upeo ni shida katika watu wengi ambao huwezi hata kuamini
@elizabethsamwel8628
@elizabethsamwel8628 15 дней назад
Realty yenu mbaya hainogi
@steveabel5819
@steveabel5819 15 дней назад
Yaan diva ni vituko jmn mwanaume wake kazi anayo😂🙌 anajikuta sana af hana chochote mxieew na hayo mawigi kama katani
@awaynaaaa3490
@awaynaaaa3490 16 дней назад
Yaan ndiy nimeamin kumbe huyu dada uzungu t mwing kichwan hana kitu mana anasem ety tutasem sina passport khaa sasa hajui km tarifa zipo kule nimexhek
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 15 дней назад
😂😂😂khaaaa jingaaa sanaa halijui kitu upuuzi 😂😂😂 mwingi kwenye kitambulisho cha nidaa lilijaza nini sengeee sanaa😂😂
@activestudios.
@activestudios. 14 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah
@3Dshoez
@3Dshoez 12 дней назад
Baada ya hii show ,Abdul shikamoooooooooooooooo ndo maana ana cheat this is too much for him,anatafuta wakumliwaza
@mvfff7224
@mvfff7224 12 дней назад
Nacheka mno duu yaan hapa kwenye passport duuu umetuacha sana,,, pass kuhama ipotee😅,, anajiumauma tu😂😂Shekhe kazi unayo,,,, yaan ihi ni comedy
@LeeLian95
@LeeLian95 12 дней назад
Huyo hajawah kua na passport anazuga tu 😂😂 Shekhe kazi anayo kivipi wakati washaachana hiyo show ya tangu mwaka jana
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 12 дней назад
​@@LeeLian95😂😂😂😂😂
@rosehaule6765
@rosehaule6765 11 дней назад
​@@LeeLian95😂😂ndio hivyo.yasn 😂😂😂diva😂😂😂
@user-rf4yq9yj7u
@user-rf4yq9yj7u 11 дней назад
Kweli ni comedy nimecheka saana Leo 😂😂😂😂😂😂
@josephgatunzi1670
@josephgatunzi1670 17 дней назад
Tukalime jamani 😂❤😂❤😂❤
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 17 дней назад
😂😂😂
@user-us4jy4ju4h
@user-us4jy4ju4h 16 дней назад
Kwakweli tushike jembe😅😂
@beatriceevan3074
@beatriceevan3074 17 дней назад
@zamaradi tuwekeen na ya kajała na mwanae wengine hatukuiona kwa tv plz
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 14 дней назад
Jamani hadi leo huna passport jamani😢
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 дней назад
Canada 🇨🇦 unaenda kufanya nini? Acha zako diva
@annajoseph9955
@annajoseph9955 16 дней назад
Huyu wangu nikimwagia maji ataniua sio kwa mchaga huyu uwiiiii
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
Huyu kaka anamoyo
@floraflora9490
@floraflora9490 16 дней назад
Diva nimejua kweli ww muongo, pp huna na wala hujui maana ya pp,
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 дней назад
Nimecheka hapo uliponunuliwa vitenge😅😅😂😂😂
@sund2553
@sund2553 16 дней назад
Diva 😂fake sana….. mpaka anamchangany mganga
@saraheunice8661
@saraheunice8661 15 дней назад
na huyu mwanamume kwa kueli n mzuri sana
@nyakahodenis1473
@nyakahodenis1473 День назад
Mwanaume unaujanja mwongi😅
@elizabethadabu4670
@elizabethadabu4670 14 дней назад
Nahapo mwanaume kanyweshwa maziwa tu no food afu anaongea utumbo hapo
@3Dshoez
@3Dshoez 12 дней назад
Mental health is real
@MariaThomas-wm9iq
@MariaThomas-wm9iq 10 дней назад
Diva mbona fek mpka majina😅😅😅
@fettymilly7664
@fettymilly7664 10 дней назад
Kuna mdada alicomment kwenye behind the gram ya paula na kajala kwamba bora niangalie reality show hii kuliko ya diva sizipend sofa zake ikabid nije kuziangalia😂😂😂😂😂 ni kwel km sofa yang mm nnae kaa vingunguti😂😂😂
@maidimples8236
@maidimples8236 16 дней назад
Ati mama angu alionizaa sindio Rosemary? Reall! Is it possiple your not sure about ur mama name?
@leokamil6284
@leokamil6284 16 дней назад
Ndio maana kichwa kibovu huyu
@ms_teeonly
@ms_teeonly 15 дней назад
Hakuwahi kuwa na mama yake..alifariki akiwa mdogo hata mwaka hana
@leokamil6284
@leokamil6284 15 дней назад
@@ms_teeonly Ooh pole sana kwake
@Masoud-bi9bq
@Masoud-bi9bq 8 часов назад
miaka yote likua wapi ata passpot atengeneze leo
@user-cr4th9lr6b
@user-cr4th9lr6b 17 дней назад
Na u diva wote Hugo hata passport hakuwa nayo ajabu
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 17 дней назад
Yaani mm nimemshangaa kwa kweli
@mariakiwia
@mariakiwia 16 дней назад
Shikamoo kurogwa!!! 😢
@esuvathmollel2475
@esuvathmollel2475 16 дней назад
Hahaaa😂 Hadi Mimi nimemshinda
@righitkileo
@righitkileo 11 дней назад
Vituko jaman huyu chizi diva ataniua mm.lkn huyu shekhe jmn anaweza je kuwa na huyu ? Ha,ha,ha,ha,😂😂😂😂😂
@Zainab_salat
@Zainab_salat 17 дней назад
Kweli diva acha kichwa gumu mm nilikuwa na passport haja expired tuliambiwa tuna badilisha sababu ya id imetoka
@TabithaAlfred
@TabithaAlfred 10 дней назад
Mmeweza😊😊
@leokamil6284
@leokamil6284 15 дней назад
Hawa wamekutana wote wanapenda sifa kujionyesha
@happynessmuro6474
@happynessmuro6474 14 дней назад
Passport hujui magar hujui hahaha hahha ila jaman tuishinkawaidaaa yan huyo mwanaume anamuenjoy sanaa diva coz anajikuta mjuaji so.mwanaume anakaa nyumanyumaaa,hata kuongea is acting daaa wadada
@swaiseif2989
@swaiseif2989 14 дней назад
Kuna mimi nikipewa laki mbili inaisha mwez mzm nabdo naulizwa imeishaje 😂😂😂😂
@christinenere4696
@christinenere4696 16 дней назад
Siyo lazima bwana alipata passport akiwa mtoto sasa leo anaipata wapi 😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 15 дней назад
😂😂we hutaki kutumwa af unataka akununulie mavitu hahaha
@fatnaabdulhassan7383
@fatnaabdulhassan7383 8 дней назад
Dah etiquette waambie hana passport mweh 😂😂😂😂😂😂
@user-qq2oc4bt3i
@user-qq2oc4bt3i 16 дней назад
Yamekwisha ni upendoo tuuuu
@Babygirl758
@Babygirl758 2 дня назад
diva na kitambi chake 😂
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 дней назад
Aiseee ila diva kwa mashauziii
@elizabethmwakalinga3287
@elizabethmwakalinga3287 13 дней назад
Prague na Pwaguzi, nimecheka sana leo hiyo issue ya passport.
@alhamdullilla5108
@alhamdullilla5108 8 дней назад
Kwei sheikh 😅😅😅😅 ❤❤❤
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c 16 дней назад
Abdul.razak...find.another woman...she's not of your kind..you living different cultures
@nancyg8664
@nancyg8664 15 дней назад
we mshenzi hujui baba ako kazaliwa wapi hv mbona unautoto mwingi duh yan kila kitu fake fake duh never seen before
@hollymore4904
@hollymore4904 5 дней назад
Kumbe muhimbili ni hospital ya muda mrefu!! Hahaha mshamba huyu
@AsiaSiraji-ud9ju
@AsiaSiraji-ud9ju 16 дней назад
Acha uwongo we utaletewaje Passport bila ww kuwepo yaan huyu dada ni muongo
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 16 дней назад
Si uongo ni ushamba nakuto juwa
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 16 дней назад
Shangaa na ww finger print anamuekea nani😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 16 дней назад
Kumbe ni ile kabila ndio maana kingereza kingi 😂😅
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c 16 дней назад
Ok gizel na lile la bowse nalo liko na Nani sasa
@tinaminja5500
@tinaminja5500 16 дней назад
Eeh Mungu wangu nini hiki mbona aibu mpaka ujui wazazi wako ata kama amekufa hapana jaman
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 15 дней назад
Familia ya kipuuzi hii😂😂😂upareni ila Abdul ana moyo wa kuishi na diva muongo muongo 😅😅😅😅😅😂majina mawili mawili ivi mnamuelewa huyuu mpuuzi bab a mtanzania linajibu muhaya😂😂
@3Dshoez
@3Dshoez 12 дней назад
Hata mume hajui majina ya mkewe
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 5 дней назад
😂😂😂😂😂😂
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 15 дней назад
Yaan Diva 😂😂😂😂 ka mtoto😅
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 15 дней назад
Majina magumu kama maisha ya Kenya 😂😂Kwani muhaya sio mtz😂😂
@Babygirl758
@Babygirl758 2 дня назад
is this a bad joke? 😂
@user-oq2wp8oh1f
@user-oq2wp8oh1f 16 дней назад
Diva jaman
@3Dshoez
@3Dshoez 12 дней назад
Tatizo diva inajiona beyonce kumbe hamna kitu akarekebishe MENO mdomoni yapo zig zag
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 15 дней назад
Mme wangu Kila kitu ananunua kwa jina langu
@AmanaHussein
@AmanaHussein 14 дней назад
Mashallah 💞
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 14 дней назад
Ni gisela sema tu anaiandika kingleza
@edithandunguru3405
@edithandunguru3405 14 дней назад
Well said gal, Gisela/Gissele
@happybryce1269
@happybryce1269 12 дней назад
Kochi chafu
Далее
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 3
29:07
Просмотров 19 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 7
28:22
Просмотров 8 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 1
26:44
Просмотров 19 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 6
26:26
Просмотров 9 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 4
36:03
Просмотров 21 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5
24:23
Просмотров 12 тыс.