Тёмный

KIMENUKA ACT WATOA KAULI KWA TAHARUKI ILOSAMBAA MAZRUI KUFUKUZWA ACT 

Tifu Tv
Подписаться 22 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Опубликовано:

 

6 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 62   
@afropanorama4730
@afropanorama4730 6 дней назад
maendeleo ndio muhimu,hizi kelele za kwenye majukwaa zimeanza miaka nenda na hakuna liwalo,wanasiasa nyote waropokaji tu
@NoufelSalim
@NoufelSalim 8 дней назад
Mazurui anapenda kuropokwa, hapimi Cha kuongea ,hutoa tu yaliomo mdomoni.😂
@Jal210
@Jal210 2 дня назад
Mazurui anasema ukweli
@Jal210
@Jal210 2 дня назад
Kasema ukweli maendeleo yanawndelea na yanaonekana msema ukweli mpenzi wa mungu,
@issakhamis9581
@issakhamis9581 8 дней назад
Upo saw kamanda
@issakhamis9581
@issakhamis9581 8 дней назад
Mbon nanabii issa hajaoa mpak leo
@BinshakbuHemed-gb2zi
@BinshakbuHemed-gb2zi 8 дней назад
Wewe. Unaesema. Siorahi. Tambua. Mungu. Hashindwi. Nakitu. Kma. Unamafuta. Kweye. Akiliyako
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 8 дней назад
Zitto kabwe katiba mpyaaaaaaa 😂😂😂 hii ni longo longo ya ki si hasa 😂 nyambafu zetu 👎👎👎
@kassidpandu866
@kassidpandu866 8 дней назад
Hawajakufahamu kabisaa
@salyali7807
@salyali7807 7 дней назад
Mh Jussa ananikosha ... sichoki kumsikiliza .. May Allah amhifadhi .. Allahumma ameen
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 6 дней назад
Hamna kitu hapo
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 5 дней назад
Kwani kusifia kitu ambacho kinaonekana kuna ubaya gani mie ndio mana siasa za kitanzani wala sizitaki ni siasa za kibwege tu
@kassidpandu866
@kassidpandu866 8 дней назад
kwani kuna ubaya gani kusifia Maendeleo na wakati yanaonekana?
@user-pe9nq3wu4p
@user-pe9nq3wu4p 8 дней назад
Hakuna maendele yo yote
@abubakarshamuhuni3894
@abubakarshamuhuni3894 8 дней назад
Maendeleo gani ulioyaona wewe
@salyali7807
@salyali7807 6 дней назад
Maendeleo ya madeni
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 4 дня назад
Maendeleo gani ulioyaona wewe
@mbarakahaji4302
@mbarakahaji4302 8 дней назад
Wewe ndio muflis wa siasa
@user-hj4zt1kw4i
@user-hj4zt1kw4i 8 дней назад
Wataka awe shemeji yako? Taja mahar ya dada yako
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 7 дней назад
Kiukweli mazruui hasomeki 😂😂😂
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 5 дней назад
Huyu jussa hana tofauti na wahubiri dini mana huyu kila kukicha anahubiri anacho kiongea wala hakieleweki
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 8 дней назад
Acha matusi mtu mzima hovyo
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 4 дня назад
Maalim alitukanwa sana mbona haukuumia ww
@alinasor8553
@alinasor8553 5 дней назад
Iyo siasa
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 8 дней назад
Cuf au 😂😂😂😂
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 8 дней назад
Acha dharau masikini wewe
@MAGARITanzania
@MAGARITanzania 8 дней назад
Zanzibar maendeleo yapo wazi hayataki tochi, mtu asiyeona basi hataki tu kuyaona.
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 8 дней назад
Maendeleo ya kuharibika kwa maadili😂
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 8 дней назад
Njaaimezidi bila yashibe hakuna maendeleo
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 7 дней назад
Unajuwa maaana ya maemdeleo au unaona majengo tu???😂😂😂😂😂
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 4 дня назад
Kama yapi
@FamilyVideos-pt1mo
@FamilyVideos-pt1mo 5 дней назад
Hivi bado znz kuna ccm?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 6 дней назад
Mazrui anajitambua kuliko wewe!!
@Ablahisaid
@Ablahisaid 8 дней назад
Mm mwenye nashanga mazuri alipigwa na ccm mpaka kutupwa Leo hii aingie ccm yani negelimuona si mtu kwli ukiangalia jisi walivyokua na mwalimu seif kukilea chama hadi hii atoke
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 6 дней назад
Usishangae kwani hata Juma Othman alipigwa hadi akachakaa lakini baadae alirudia ccm na kupewa ubalozi kwa tamaa yake
@jumA-th7rs
@jumA-th7rs День назад
Nyie hamueleweki mnataka nn. Eleweni Zanzibar hamuipati ngoo kama kupewa ilikua mpewe na karume lakini kashindwa na Hakuna hata nchi moja iliolisema hili.
@jumamuhd620
@jumamuhd620 День назад
Km anatoa babaako haipatikani lkn km mtoaji ni mungu basi mungu anampa amtakae bl y hesabu
@user-ri1yr8ks7y
@user-ri1yr8ks7y 7 дней назад
Hy
@KhamisMwafrika
@KhamisMwafrika 6 дней назад
hatumtaki tena huyobwana kashakupa fupa
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 8 дней назад
Sio Rahisi kuing'oa chama changu .wewe ongea kujifurahisha lakkini ni kitu ambacho hakiwezekani
@user-xv4tl8iv4l
@user-xv4tl8iv4l 5 дней назад
ATOKE HADHARANI MWENYEWE MAZURUI ASEME SIO ASEMEWE. HAJAFA, YUHAI KWA NINI AWALISHE MANENO ? YEYE ALISEMA HADHARANI ATOKE HADHARANI ANAOGOPA NINI
@hamidmussa838
@hamidmussa838 8 дней назад
BARUDHUL WW NN ASIYEKUJUWA
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 8 дней назад
Sw yy nibaradhuli naww nibashawake mjinga ww
@Jal210
@Jal210 2 дня назад
Pimbi ni wewe mjinga huna adabu
@umsalim6515
@umsalim6515 7 дней назад
Acheni bwabwaja, chama kilikuwa na nguvu kilipokuwa cha wazanzibar halisi, CUF, tangu mlipokipeleka bara mkawapa kanisa basi bwabwaja tu. Tizameni shughuli nyingi za makanisa rangi zao zipi ?
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 дней назад
aunajiangaisha bure siyo rahisi kuitoa Ccm Zanzibar tutawstoa mnio kwetu bara mpaka mtakoma madukavyenu mtahama nayo huko kwenu hamtoshi na bara ndiko kwenye biasha jaribuni muone cha moto
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 8 дней назад
Margaret,bila ya nguvu ya vyombo vya dola(polisi na jeshi),hamna ccm
@KibondoPaje222
@KibondoPaje222 7 дней назад
HUO NI UFALA WAKO KAMA HUKO MLIKO KAMA KUZURI MBONA WAMEJAAAA HUKU VICHOGOOOO
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 8 дней назад
Wanafiki wakubwa, watu wmeuwawa nyie mnakimbilia nafasi tatu, Acha Meiny aendelee kuwa Ris wetu
@Jal210
@Jal210 2 дня назад
Muflusi ni wewe mpumbavu
@KhamisMwafrika
@KhamisMwafrika 6 дней назад
amenunuliwa kashapewa pesahuyo
@user-lr6qx9df4z
@user-lr6qx9df4z 5 дней назад
Hayo maneno ya kisiasa tu unakumbuka mzigwa aliongea nini wakati yupo kule na kujiunga CCM hayo ni maneno ya kisiasa tu na huenda pia huyo MH manzruwi pia akahamia CCM pia nae nyie wana siasa mnaaninika basi nyie si wapiga dili tu Tanzania kuna siasa kuna wapiga dili
@user-bi1tz8jp9f
@user-bi1tz8jp9f 8 дней назад
Kumbe jussa wamjua mtume,naona hujaowa mpaka leo
@delasdiego6537
@delasdiego6537 8 дней назад
Anamsubiria dada Yako pumbav
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 8 дней назад
Kuoa mchezo 😂
@user-jh5ne9mw4w
@user-jh5ne9mw4w 8 дней назад
Kwni unapata dhambi ukiwa hujaowa
@user-st9me2jn7o
@user-st9me2jn7o 8 дней назад
Owa ww peke ako
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 8 дней назад
Mpe dadaako atamuowa
@shekhanalyz1683
@shekhanalyz1683 5 дней назад
Siasa hizo zimeshapitwa na wakati kama kiongozi anafanya vizur mpeni maua yake haijalisha chama tawala au upinzani kama mbunge wa upinzani anafanya vizuri mpeni mau kama tawala mpeni maua.
Далее
Спецэффекты в Симс 4
00:36
Просмотров 138 тыс.
Kauli ya Nassor Mazrui kuhusu ACT kuingia SUK
2:47
Просмотров 27 тыс.