Тёмный

BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 1 

ZamaradiTV
Подписаться 239 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Развлечения

Опубликовано:

 

19 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 195   
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d 16 дней назад
Tatizo divà anaumwa kisaikolojia anatakiwa aseme am Diva at work and am Diva at home I suppose to do this and that to my husband as a Diva and to be proud of lkn kulalamika kunfanya ajihisi anaonewa au anashuka kibrand
@steveabel5819
@steveabel5819 17 дней назад
Sura ya diva siielewag😂😂hanaga sura moja😅
@LevinaMiteo
@LevinaMiteo 17 дней назад
😂😂😂 nikajua nimie tuu Bora aendelee na kuvaa miwani
@alsam4881
@alsam4881 16 дней назад
Diva ana sura nzito sana na umri umeshaenda.
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 16 дней назад
😅😅😅😅miwan inambeba😊
@sophynatch7327
@sophynatch7327 16 дней назад
😂😂😂😂
@LevinaMiteo
@LevinaMiteo 16 дней назад
@@alsam4881 ukiisikia kwenye redio sauti jina lake na ukimuoña ni watu wa watatu tofauti
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 17 дней назад
Nawaza tu kwan kwenye ndoa uliingia kwa kutamani au???kweli diva sio mke ni wakupiga na kusepa😂😂
@nsajigwaburton
@nsajigwaburton 12 дней назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@WinWilly4162
@WinWilly4162 14 дней назад
Diva udiva wako utakuangusha sana kwenye ndoa.. Ni kheri ungekua unautumia nje ukiingia ndani unabaki getini
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 12 дней назад
Atakwabwanae anamutishiya brand
@nancyg8664
@nancyg8664 15 дней назад
hapo mwisho sijapenda😢 yan ningekua ni mimi ningempiga huyu mwanamke angerudi nyumbani wigi mkononi
@zenaali8696
@zenaali8696 12 дней назад
Diva kutopika ama kutojua kupika anaona ni sifa 😊
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 5 дней назад
Ni kweli kushikashika maji sana pete zinaharibika au ngozi zetu haziendani na madini fulani
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 17 дней назад
Ungesema2 mganga kaka mbona sisi tunakuelewa kabisa 😊hii sasa ndiyo maisha harisi siyo ile ya gigi🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 15 дней назад
Ni mzuri diva hamjawahi kuonana nae laivu afu msiwe mnakomenti komenti za kuumiza watu
@haskao77
@haskao77 9 дней назад
Na hata hapa kwenye hii video, hana ubaya wowote
@annamussa185
@annamussa185 17 дней назад
Hakuna mke wala mume naona ukatuni tu😂
@happybryce1269
@happybryce1269 12 дней назад
Wanaboa hasa uyu dada
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen 17 дней назад
Mbona kama movie alafu sielewi 😂
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 16 дней назад
😂😂😂abdul razak anajua anachokifanya amna mke hapo😂😂
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc 16 дней назад
Aibuu jmn😢..
@alsam4881
@alsam4881 16 дней назад
Huyo diva anaishi maisha feki sana ya mitandaoni, aende akalipe madeni ya watu anayodaiwa kwanza.
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
Atha serekali yadaiwa kwani yuaanza yeye madanii😏😏😏😏
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 16 дней назад
Wewe ni mvivu dada sasa unataka ulivyokuwa peke yako na ukiwa na mume iwe sawa wewe ni mvivu
@nancyg8664
@nancyg8664 15 дней назад
anataka tu kifo cha mende
@user-qq2oc4bt3i
@user-qq2oc4bt3i 16 дней назад
Ni nzuriii saaaanaaaaa mashallah
@maidimples8236
@maidimples8236 17 дней назад
Good this was’nt bored for sure
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl 12 дней назад
chai aweke mwenyewe hujafunzwa ww
@KSJ6569
@KSJ6569 17 дней назад
😢😢😢Duuh aibu naon mim km mtoto vile
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 15 дней назад
Mwarabu wa kipilipili😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 15 дней назад
Paka maziwa unwasha lakutoa harufu njee 😂😂😂😂kweli mwanammke umepumbaa paka kuchemsha maziwa ujui wapiga nduru😂😂😂
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 17 дней назад
Sasa movies hii ao mnatumalizia Bundle zetu??😅😅
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc 16 дней назад
😂😂😂jaman, yan abdul anaonekana hayuko comfortable na hio gram😂😂😂.. mwanamke anatoa siri zote
@user-ts5bu7os5d
@user-ts5bu7os5d 14 дней назад
Hata akitoa,,,lakini chini Abdul kashakufunua sana,,,Bora angekaa kimya maana wanaume wakiamua kutuumbua mmmh,,,ndoa sio mchezo
@victormkello9575
@victormkello9575 17 дней назад
😂😂😂 ila wabongo. Comments zenu zinafurahisha, kwani wamemikosea nini wapendanao hawa.
@nancyg8664
@nancyg8664 15 дней назад
😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 15 дней назад
😂😂😂 mbona izo features za bibi ni kama anajisema yeye, et sura nzito, shingo pana mgongo na tumbo havieleweki...ni yeye mwenyewe mbona😂
@WinWilly4162
@WinWilly4162 14 дней назад
😂😂
@GiftAbduly
@GiftAbduly 16 дней назад
I'm a diva mpaka nyumban diva n kazin ukirud nyumban shika majukum yako A's a wife sasa kwahiyo life ya vyakula vya hotel unanunua ulitegemea abdul asioe???? Hata mm ningekua mwanaume ningeoa nikakuacha na hiyo akili yako ya I'm divaa diva ya nyoko
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
💯💯
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 15 дней назад
na tena wako wawili mume anatakiwa kupikiwa 😢😢namuonea huruma huyu kaka diva anaonekana mbishi sanaa
@athumanbakari-hy7xb
@athumanbakari-hy7xb 14 дней назад
wewe sio shekh wewe ni mganga uwezi kua shkh huna hadhi na ushekh usiukosee hishima
@zainabmohd6524
@zainabmohd6524 14 дней назад
Una dhani mume Lele mama😅😅😅mwanaume ni zaid ya mtoto,jitahid jitume kabla ujatumwa ndo mwanamke na ujue majukumu yako
@boubabizo246
@boubabizo246 12 дней назад
Camera imemkosea Diva.. she doesn’t look like that.
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 15 дней назад
Ndo hata ham kiss akiingia mpaka amuombe 😂😂oooh baby
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 2 дня назад
Kumbe hii ndiyo Tz ok 👍
@user-ir5ec5jn3w
@user-ir5ec5jn3w 16 дней назад
Sheikh gani mkeo Anavaa Mawigi tena mpaka jikoni Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 17 дней назад
Diva ukimtizama kwa nyuma akitembea nikama mm tu😂😂😂
@faridahalil4456
@faridahalil4456 15 дней назад
Kwani huyu Diva hajui majukumu ya mke, kuonja mkono wako, this is a must. Huo mkate utamfungisha choo. Kwani kuolewa uliona kupaka lipstick na kubadilisha mawigi??
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 17 дней назад
tafuta bwana michunusi imekuzidi sanaa
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d 16 дней назад
And Abdul unatakiwa uweke mfanyakazi wa kupika ili Diva awe anarest na anapokua na wewe usimtume tume hapendi
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 16 дней назад
Eti baba yake kamwambiya aweke miguu juu yameza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nurathyswalehe4208
@nurathyswalehe4208 15 дней назад
Imagine 😂😂😂
@NaomiKasimu
@NaomiKasimu 15 дней назад
Hapo kwenye dener nilivotoa macho khaaaaaaaa😊
@Anna-jl2ie
@Anna-jl2ie 12 дней назад
Sasa mizagamua atakupaje unamnywesha chai😂😮
@bintabou828
@bintabou828 17 дней назад
😂😂😂😂😂 Una haki Ya Kuoa mke mwengine aisee 😂😂😂😂😂😂😂
@hafswahamisi9685
@hafswahamisi9685 17 дней назад
😂😂😂 kwa style hii n Haki yakee
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc 16 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 14 дней назад
Diva umenene sana yaani umeharibika
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c 16 дней назад
Abdul razak...haujaona waswahili wenzako...mpaka.umchukue huyo mzungu
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 12 дней назад
😂😂😂😂
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 16 дней назад
Nice couple mashallha
@marieiradukunda9298
@marieiradukunda9298 17 дней назад
What kind of a wife is this? 🤦🏾‍♀️
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
Brand 😂😂😂
@faridahalil4456
@faridahalil4456 15 дней назад
Kwa yote unavyo jieleza inaonekana hauko SECURED and PARANOID
@user-ls2cm8pw5x
@user-ls2cm8pw5x 14 дней назад
Tulete Na Ya Gigymoney😂😅
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 17 дней назад
matako ya diva ni kama bAmina za morogoro
@patriciaboniface9975
@patriciaboniface9975 17 дней назад
😂😂😂😂😂dah
@annamontana2854
@annamontana2854 17 дней назад
Kwan hii haikuisha??
@Juke995
@Juke995 16 дней назад
Kama shida ni pete basi abdul ana shida ya iron deficiency yan upungufu wa madini ya chuma ndo maana silver inamletea shida na dhahab hataki kuvaa dini imekataa😂😂
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 14 дней назад
na dida hatak kumpikia japo dagaa😅 aengze madini chuma
@MuhamadiAli
@MuhamadiAli 16 дней назад
Huyu diva sauti na sura ni tofauti
@RutyNatalia-uu5uj
@RutyNatalia-uu5uj 14 дней назад
Mume anahaki ya kuoa mke mwingn ndoa ni mahaba diva sijuh anashida na akili
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 12 дней назад
Sijambo lakujiuliza hana urafiki na akili kbs
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
Ndoa yako diva umeamua kuweka mitandaoni pole 🤐
@barikiwa22
@barikiwa22 11 дней назад
Mwanamke mzee hujui kupika unaona sifa 🥱
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 17 дней назад
Tuleteeni episode ya 2 upeai
@AmanaHussein
@AmanaHussein 15 дней назад
Abdul wafanyishwa diet ya lazima😂
@rehemapeter8621
@rehemapeter8621 16 дней назад
Kwamba? Akale kwa mama yake kwako? Et unapenda kuorder seriously?kwenda sokoni Sawa sasa ata kama ni malikia ndo usioshe vyombo? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MariamJuma-nj9fc
@MariamJuma-nj9fc 16 дней назад
Yan vyakukoment haviishi .😂😂😂😂😂😂diva atar
@rehemapeter8621
@rehemapeter8621 15 дней назад
Ni vile naandika nakuchoka huyu kazidi😁
@nancyg8664
@nancyg8664 14 дней назад
@@MariamJuma-nj9fc 🤣🤣🤣
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 9 дней назад
Huyu mwanaume hovyo kweli yani mi uniamshe usingizini nikqkupikie surely usinitanie km kuna kitu sikipendi nikuamshwa usingizi kbs coz hata mimi mtu akiwa amelala cpenda kumuamsha na pia divi im here you're twin pia sipendi kutwa nitu kidogo baada ya hao na wewe fanya mwenyewe km unataka kitu anasema amesoma dini dini haijasema mwanamke ni mtumwa bali ni utulivu wako ni pumbazo lako so ukitaka awe mfanyakazi wako ndio pale mwanamke anafanya kazi kutwa nzima tokea ulivyomuacha asubuhi na jion unamkuta hivyohivyo na kachoka analala km punda
@RandB_Channel
@RandB_Channel 17 дней назад
Zilipendwa hizo jamani
@WinfridaNdege
@WinfridaNdege 10 дней назад
Pamoja na mapungufu yote ya diva hata mm nisingekubali kuamshwa usiku eti kupika chai😮 labda kama mgonjwa huyo mume
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 16 дней назад
Sasa Diva anamsema mwenzake sura nzito sijui hana shape, ye hajioni?😎
@patriciaboniface9975
@patriciaboniface9975 17 дней назад
Diva na mawigi 😂
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj 16 дней назад
Mziki wenu unakera bhnaaa
@righitkileo
@righitkileo 11 дней назад
Ha ha haaaaaa,ha ha ha haaaaaaaaaaa.ntakufa kucheka .eti ile hela ulioiacha nimenunua chjps.uwe unanunua mkate .jmn😂😂😂😂
@ramhuudulla8921
@ramhuudulla8921 17 дней назад
Hakuna mume hakuna mwanamme, Naona UFYOROTO AMKA ABDUL UNATIA AIBU WANAUME WENZAKO MKE HAWEZI KUTOA AIBU ZA MUME HADHARANI KISA DIVA WHO IS DIVA BY THE WAY, DIVA BONGOÒ
@Teddy_jones
@Teddy_jones 15 дней назад
Huyu diva hajuw uyu mwanaume n muislam anaoa wake 4 my sister grow up your too big to this
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 9 дней назад
Ndiomaana mumeo msumbufu sana ana majina mengi hivyo pekee yake😂😂😂😂
@user-sf5lk3qo4s
@user-sf5lk3qo4s 17 дней назад
Da uyu diva
@user-cd5by9vc5i
@user-cd5by9vc5i 15 дней назад
Ndoa gani iyooo jamanii😢
@RAHMASULEIMAN-mh6ul
@RAHMASULEIMAN-mh6ul 16 дней назад
Ndo dini yako ilipokufikisha mungu akuongoze
@nancyg8664
@nancyg8664 15 дней назад
sio mungu ni Mungu "MUNGU "
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c 16 дней назад
Anasura ngapi jamani huyu binti
@JeskaMalebo
@JeskaMalebo 10 дней назад
diva ujui kutofaitisha nguo za kazin na za nyumban asa manyela umo umo mume atakushika wap upo ka unafanya kazi ya kujenga bala bal mwanaume anataka mwanamke yuko romantic kuanzia mavaz mpka maongezi sio nafikilia vibaya lkn abdul anaish na mubaba 😂
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 15 дней назад
Bado kuna ndoa kumbe..!😮
@user-td8bp9kz8d
@user-td8bp9kz8d 16 дней назад
Mbadilishe taratibu ataanza kupika na kufanya kila kitu
@cellydimpoz.
@cellydimpoz. 15 дней назад
In this reality show there is alot of talking than acting...people want to see what u do behind the gram not wat u say
@AsiaSiraji-ud9ju
@AsiaSiraji-ud9ju 17 дней назад
Nitakujuza ila Bado sana
@Juke995
@Juke995 16 дней назад
Hiyo dinner sasa inaitwa romantic ila kama kwa mganga yan giza jaman kwan walikosa hata taa zinazotimia betri au solar 😢diva nawe hebu move on huyu kaka ni hakufai jamani
@nancyg8664
@nancyg8664 15 дней назад
😂 wote hawafai bhn
@floraflora9490
@floraflora9490 16 дней назад
Kwaivo talaka hakuna tena😂
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
Kuachika hawezi wachezeaaaaaaaaa🍍🍍🍍
@Tuu2019
@Tuu2019 17 дней назад
Good quality congratulations... mengine ya ufake tumuachie Diva Nangai
@user-do6tg8ot7x
@user-do6tg8ot7x 12 дней назад
Ila jamani nimecheka kwa nguvu. Eti Diva Nangai😂😂😂😂
@tanzaniawomenyouthempowerm267
@tanzaniawomenyouthempowerm267 17 дней назад
Inabadilika badilika tokana na make up anayopaka
@happybryce1269
@happybryce1269 12 дней назад
Uyu dada jmn😅
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 15 дней назад
Hivi huyu wakati anaolewa alikuwa ana expect nini….?au ndo anajua wazungu wanaishi hivi? Em mtafutieni passport yake ya kwanza akashangae dunia uko
@mutamurizajosephine8349
@mutamurizajosephine8349 12 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 15 дней назад
Yaan umpige kisa hajapika wakat unaweza kupika mke sio mtumwa
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri 15 дней назад
Ko hadi kupika na wigi😅😅
@user-ts5bu7os5d
@user-ts5bu7os5d 14 дней назад
Mnitafute niwauzie yangu haichubuki haikwajuki
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 5 дней назад
Diva"i hope this is only a reality tv show""i hope so but if its real in real life?? mhhhh""That one,second don't you ever ask a man(yr husband) provocative questions like that on your dinner date((((out dinner date)))wooooow.as i said before i hope this is only for TV shows not in real life.
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 13 дней назад
Waislum wa buza ila naowajua mimi mmh
@user-og4wh1xr2c
@user-og4wh1xr2c 16 дней назад
Sasa wedding ring...kwani wewe ni mkristo...ndio wenye kuvaa wedding.ring
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 13 дней назад
Umesikia hapo wamesema walikubaliana au maskio machafu
@user-is9he3pb3b
@user-is9he3pb3b 3 дня назад
Pete.ni.pambo.tuu..kwa.waislamu.ndowa.nikwenye.napsi.ya mtu..kupendana heshima.na kustahamili na kusaidiana
@marieiradukunda9298
@marieiradukunda9298 17 дней назад
Uyu diva avaa aje lkn?🤭
@jocelyneliaminarukundo3633
@jocelyneliaminarukundo3633 17 дней назад
😂😂😂😂😂😂
@jocelyneliaminarukundo3633
@jocelyneliaminarukundo3633 17 дней назад
Nibara
@aishabakari8040
@aishabakari8040 16 дней назад
😂😂😂😂
@sund2553
@sund2553 17 дней назад
Diva😂ndio maana huwa hajiamin hajikubali alivyo
@HusnaMuhammed-yx8nl
@HusnaMuhammed-yx8nl 10 дней назад
Wewe nae unachosha kila siku abduli amekuchoka hujiongezi
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 16 дней назад
Diva wewe sio shangazi ni mamkubwa😅😅😅😅😅
@aishabakari8040
@aishabakari8040 16 дней назад
😂😂😂😂
@Shuu.A
@Shuu.A 16 дней назад
Pacha na dida huyo 😂😂😂
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 16 дней назад
Wapi hapo?
@AmanaHussein
@AmanaHussein 16 дней назад
Kenya mpenzi 😜
@MuhamadiAli
@MuhamadiAli 16 дней назад
English kila wakati. Wakati kiswahili ndio lugha ya taifa
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 16 дней назад
Hatimae sura 199 leo nimeona sura ya 200😂
@user-ts5bu7os5d
@user-ts5bu7os5d 14 дней назад
Make up 😅😅😅😅
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x 15 дней назад
Sasa shee saa tisa ucku unataka upkiwe ugali😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 14 дней назад
😆anatoka kazin Njaa inamuuma, kufika nyumban chai mkate kwann asitake ugali saa 3AM
@user-st1zs1ng2x
@user-st1zs1ng2x 14 дней назад
@@nancyg8664 😂😂😂
@saidissa8899
@saidissa8899 7 дней назад
Mtu na
@sistersade9039
@sistersade9039 9 дней назад
Ndoa gani hii 😮vituko tu. Sasa diva hujakuwa ukisikiliza wenye ndoa? Mbona mambo ya ajabu. Ata wazungu hawa behave namna hii.
@user-vs8ht4uy8p
@user-vs8ht4uy8p 15 дней назад
Rihanna 😂😂😂😂
@user-iy3fx7cl1j
@user-iy3fx7cl1j 16 дней назад
Media nyingi za kibongo habar zao kijinga, mara utaskia wema sepetu kajamba, mara diva kaachana na Nani. Mara diamond kazimia, tafteni habar za maana acheni kutumalizia bando na kutafuta Kiki, na kutafuta pesa za youtube
@khalidkassm1054
@khalidkassm1054 17 дней назад
Mbn sielew
@nailaomar4810
@nailaomar4810 17 дней назад
Me too😅
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 17 дней назад
Havieleweki😂😂
@modestajamada3496
@modestajamada3496 17 дней назад
​@@nailaomar4810ila 😊😊😊😅😅😅😅😅😅
Далее
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 2
33:33
Просмотров 20 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 7
28:22
Просмотров 8 тыс.
WE COOKED A SHRIMP KEBAB  #recipe #barbecue #food
00:21
Просмотров 336 тыс.
Gặp 2 thánh troll | CHANG DORY | ometv
00:42
Просмотров 22 млн
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 3
29:07
Просмотров 19 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5
24:23
Просмотров 12 тыс.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 4
36:03
Просмотров 21 тыс.