Tatizo divà anaumwa kisaikolojia anatakiwa aseme am Diva at work and am Diva at home I suppose to do this and that to my husband as a Diva and to be proud of lkn kulalamika kunfanya ajihisi anaonewa au anashuka kibrand
I'm a diva mpaka nyumban diva n kazin ukirud nyumban shika majukum yako A's a wife sasa kwahiyo life ya vyakula vya hotel unanunua ulitegemea abdul asioe???? Hata mm ningekua mwanaume ningeoa nikakuacha na hiyo akili yako ya I'm divaa diva ya nyoko
Kwani huyu Diva hajui majukumu ya mke, kuonja mkono wako, this is a must. Huo mkate utamfungisha choo. Kwani kuolewa uliona kupaka lipstick na kubadilisha mawigi??
Kama shida ni pete basi abdul ana shida ya iron deficiency yan upungufu wa madini ya chuma ndo maana silver inamletea shida na dhahab hataki kuvaa dini imekataa😂😂
Huyu mwanaume hovyo kweli yani mi uniamshe usingizini nikqkupikie surely usinitanie km kuna kitu sikipendi nikuamshwa usingizi kbs coz hata mimi mtu akiwa amelala cpenda kumuamsha na pia divi im here you're twin pia sipendi kutwa nitu kidogo baada ya hao na wewe fanya mwenyewe km unataka kitu anasema amesoma dini dini haijasema mwanamke ni mtumwa bali ni utulivu wako ni pumbazo lako so ukitaka awe mfanyakazi wako ndio pale mwanamke anafanya kazi kutwa nzima tokea ulivyomuacha asubuhi na jion unamkuta hivyohivyo na kachoka analala km punda
Hakuna mume hakuna mwanamme, Naona UFYOROTO AMKA ABDUL UNATIA AIBU WANAUME WENZAKO MKE HAWEZI KUTOA AIBU ZA MUME HADHARANI KISA DIVA WHO IS DIVA BY THE WAY, DIVA BONGOÒ
diva ujui kutofaitisha nguo za kazin na za nyumban asa manyela umo umo mume atakushika wap upo ka unafanya kazi ya kujenga bala bal mwanaume anataka mwanamke yuko romantic kuanzia mavaz mpka maongezi sio nafikilia vibaya lkn abdul anaish na mubaba 😂
Hiyo dinner sasa inaitwa romantic ila kama kwa mganga yan giza jaman kwan walikosa hata taa zinazotimia betri au solar 😢diva nawe hebu move on huyu kaka ni hakufai jamani
Diva"i hope this is only a reality tv show""i hope so but if its real in real life?? mhhhh""That one,second don't you ever ask a man(yr husband) provocative questions like that on your dinner date((((out dinner date)))wooooow.as i said before i hope this is only for TV shows not in real life.
Media nyingi za kibongo habar zao kijinga, mara utaskia wema sepetu kajamba, mara diva kaachana na Nani. Mara diamond kazimia, tafteni habar za maana acheni kutumalizia bando na kutafuta Kiki, na kutafuta pesa za youtube