Best Naso kaka yangu, mimi niko mozambique, lakini ninapendaga sana music wako, hila ninakuomba kama utanikubaly, ufanye tena video Clip ya music wa MAMO WA DA. ninakuomba sana. mimi makonde hila niko maputo.
Acha uwongo best et Tanzania na nchi nzima baada ubadilike uende na upepo wanaofanya wenzio we endelea kuimba kizamani utaishia huko huko shamba badilika kaka mkongwe😭😭