Alieirudia mara kumi Kama Mimi naomba tujuane kwa like, huyu jamaa ni msanii, tangu narudi kijijini mpaka usitoe hamna tusi hata moja, best naso me najiuliza mpaka Leo, hivi huna damu yakisambaa kweli coz nilikusikiaga kwenye ngoma yakisambaa ukiwa na smart boy na mosi, kuanzia mombo hadi lushoto wanakukubali Sana brother, fanya kitu kwa ajili yao.
Niliupenda sana wimbo 'nipe nafasi' miaka ya 2012. Ulikuwa wimbo wako tu pekee mtandaoni. Baadae ukaweka narejea kijijini. Asante kwa kuongeza nyimbo . Nakuenzi sana Toka Meru, Kenya.
Msanii wangu pendwa nakukubali Sana kaka mkubwa, Ni vile tu hizi mbwa zinakuzidi mkwanja na nyota Ila kiuwezo uko VIZURI SANA, . Kama unaungana na Mimi nipe likes zangu apa
Best naso mziki mzur sana hujawahi kukosea naso tangu nikufuhamu njimbo zako zimekuwa zakuelimisha nakutengeneza jamii ALLAH akujaliee kwenye kazi zako Kaka 🙏🙏
Mungu awabariki sn mana siku zote nguvu yangu ni nyinyi sasa chakufanya kuonyesha uzarendo naomba kila mmoja anisaidie kupost wimbo huu Instagram na anitag jina @bestnasotz🙏
Natamani uwe wimbo wa funga mwaka maana umenigusa sana na huu ndo utakuwa wimbo wa ushuhuda wangu ndani ya maisha yangu god bless you my brother best nassor
Hakika katika wasanii wang TZ ninaowapenda best nasso namba moja anafata alikiba then barnaba...na wengine wenye kujua kuimba nyimbo zenye ujumbe congratulation#Best Naso
Kiukwel alicho xema bext naxxo kipo xawa hata nami nilixha wahi kuwa nae nikamwambia axtoe mana mm nipo nitalea lakin kwa kuwa anapenda club na xtaree akaic ndo mwixho badae akaenda kwa dada ake akatoa..alivuja damu nyingi lakin cjaweza kumpa mxahada kwa kuwa hakuwa muelewa.. Kam umeelewa kitu hii like zangu kwa wing bext naxxo weare the bex🔥🔥
Kaka unajua sasa ata sjui Nini inasababisha Usikue nasafas zajuu kabisa Ila tunafurahi Sana unatufikishia ujumbe mzur wa mashair yako kaka unajua Sana 🔥🔥🔥
Woyakaka jita fute Tena nataka ufanye mziki nikikusikiliza nisijuwe ww unajuwa Sana Ila Sasa fmelod yako yakiza Mani mziki ume badilika siku izi Kaka respect nyingi Sana kwako
NYIMBO KALI, HONGERA SANA BROTHER. HAPO KWENYE KUZIKA MWENYEWE NDIO UMETUPIGA CHANGA LA MACHO MZEE. PIA JITAHIDI HIYO STUDIO WABORESHE SYSTEM ZAO ZA SAUTI, WANAKURUDISHA NYUMA SANA WKT UNAJITAHIDI, MFANO HII TRACK INATAKIWA IPAE SANA.
Kiukweli huwa nashangaa Sana,, ngoma Kali na tamu zenye message za kuelimisha hazitrend wala Kuwa na views wengi,daah,,,sijui tunakwama wapi jamani. Ni lini tutawaonyesha hawa wasanii kwa vitendo kuwa ni wakali na wanaweza.?????