Тёмный

Biashara za mtaji mdogo zenye uhakika wa faida .  

Kelvin Kibenje
Подписаться 13 тыс.
Просмотров 92 тыс.
50% 1

Hizi ni Biashara 5 ambazo zina uhakika wa wateja wakati wote. Kama ulikua unatafuata wazo la biashara ya kufanya basi unaweza kuanza na biashara hizi. Tatu ni biashara ambazo mimi nimezifanya mwenyewe na mbili kati ya hizo jamaa zangu wa karibu wanafanya mpaka leo na ni biashara tulifanya mara baada ya chuo.

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 180   
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 месяца назад
Wengi mmeulizia chimbo la chupi za kike ambazo unaweza kuanza na mtaji wa laki moja. Kiufupi ukiwa na mtaji wa laki moja ukafanya biashara ya chupi inakutoa kabisa sababu ina mzunguko maeneo mengi. Number ya chimbo ni 0763356395 au 0743356395 hawa watakuuzia kwa bei nzuri ya jumla na hata kama uko mkoani utatumiwa kwa uaminifu. Nawajua na kuwaamini hivyo utakua salama na pesa zako
@tedijemsi4589
@tedijemsi4589 3 месяца назад
Me nategemea kuanza mwez wa tisa mwishon pls msaada kaka chimbo la nguo
@benjaminkamo4953
@benjaminkamo4953 2 месяца назад
Kaka msaada Namba yako
@phillipojohn9547
@phillipojohn9547 Месяц назад
Kaka Kelvin naomba chimbo la hereni
@abdulseko6376
@abdulseko6376 Месяц назад
Fact
@anjelinapaul
@anjelinapaul Месяц назад
kaka naweza pataje chimbo la heren chup zakike boksa zakiume na mashati yakiume
@upendolairumbe889
@upendolairumbe889 Год назад
Powerfull message
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Thanks much
@SharifuSalimu
@SharifuSalimu 3 месяца назад
Ahsante kwa somo zur endelelea kuchimbua lingine
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Месяц назад
@@SharifuSalimu Asante sana
@RachealChiyaze-rh8se
@RachealChiyaze-rh8se Год назад
Biashara ya nguo za ndani hainaga asala,
@rusaboy6593
@rusaboy6593 6 месяцев назад
habali nahitaji mawasiliano yako unisaidie mawazo kuhusu biashala ya nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 4 месяца назад
​@@rusaboy6593 Waliooomba kujifunza hii Biashara. .... UCHAMBUZI BIASHARA YA NGUO ZA NDANI. . Hii ni biashara nzuri kwako sababu kadhaa, kwanza inagusa watu wengi zaidi kuliko biashara za nguo aina nyingine kama vile Jeans,Tshirt,magauni au suit zenye watu wake na hobbies zao lakini sio kwa nguo za ndani ambazo hao wote hapo ndani wamevaa kati ya boxer,braa, chupi,vest n.k . . Zaidi ya 90% ya watu wote duniani wanavaa nguo za ndani kuanzia mtoto mchanga na maisha yake yote. . Pia nguo za ndani HAZINA Msimu kwamba usubiri sikukuu au wanafunzi wakifungua,muda wote zinanunulika, hivyo utauza muda wote. . Hii ni biashara ambayo inahitaji kiasi kidogo cha mtaji na kianzio hicho kinakupa faida zaidi na zaidi. . Hii ni biashara Ambayo ukiwa na mtaji wa kuanzia laki mbili tu unaweza kupata mzigo mkubwa. . Nguo za china ndio bidhaa nzuri zaidi kwa mfanyabiashara kupatia pesa kuliko zinazotoka sehemu nyingine yoyote duniani hasa kwa Tanzania. . Ila kama una wateja wako unaweza uza za popote ila kama unaanza nashauri anzia za China. . Sababu kubwa ni kwamba zinauzwa bei rahisi . Kwa mfano biashara ya chupi ili ukue kimtaji kwa haraka zaidi basi uza za china na sio za sehemu ingine . China ndio utapata chupi zile zinauzwa 1000,1500,2000/- kwa pic 1 . Na hizi bei ndio ambazo watu wengi zaidi ya 80% au 90% wanaweza kuzimudu. . Kwa hio kwa % hizo umeishaona namna soko ambavyo ni pana. Kama utaamua kuchanganya na bidhaa nje ya china basi weka kidogo na nguvu kubwa iwe china ,fanya hivo ili kuchukua wateja wengi zaidi . . Fanya hii biashara upige pesa. . Kama una Uwezo agiza Moja kwa moja China alafu uzia wafanyabiashara na Wajasiriamali kwa jumla. (kama hujui kuagiza china hakikisha hukosi darasa la mwezi wa tano nitafundisha na kukupa Agent& suppliers wa china) . Kama mtaji bado mdogo nenda kariakoo mtaa wa mchikichi na gogo, Mchikichi na sikukuu huko kuna machimbo bei rahisi. Mmoja wapo ni huyu 0743356395 au 0763356395 walikua kariakoo mtaa wa mchikichi na sikukuu kwa sasa stoo zao ziko makumbusho plaza. Huyu atakupa chupi za 1000 ambazo utauza 2000 na kuendelea au za 1500 ambazo utauza Tsh 2500 mpaka 500 sema Anauza jumla kuanzia pc 100 kwaio mtaji wa laki unatosha . Hii biashara si lazima uwe na frem, unaweza kuzungusha majumbani, kuuza online, kuwa na kibanda kidogo, Kuuza chuoni nk, Duka au kuuza gulioni.
@jimmydikwe6620
@jimmydikwe6620 Год назад
Hyo ya vyombo nimeielewa mkuu, naanzia wapi?
@JoniaIssaya
@JoniaIssaya 2 месяца назад
Sio kwamba umetupa somo2 baali umeweza kutushauri pia asamte sana broo na Mungu akubariki,,
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Месяц назад
@@JoniaIssaya Amina. Asante sana
@BobMathias-p8c
@BobMathias-p8c 6 месяцев назад
jahh! bless you tunazidi kupata maarifa
@HappynesSamuel
@HappynesSamuel Месяц назад
Mi natamani hiyo biashara ya nguo za ndani na urembo
@josephaugustino646
@josephaugustino646 6 дней назад
Kaka nmekukubali sana mm niliwahi fanya biashara yamitumba inalipa sana niliacha ila unenikumbusha ntairudia
@GetrudaNgulo
@GetrudaNgulo 3 месяца назад
Tafadhali naomba chimbo la nguo za watoto za mtumba grade A
@sarahkissu3821
@sarahkissu3821 Год назад
Be blessed 🙌
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Thanks much
@MakiBanda-tc9pw
@MakiBanda-tc9pw 11 месяцев назад
Be blessed
@upendomtui2385
@upendomtui2385 Год назад
Somo nzuri sana kaka Mungu akubariki
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Asante sana Rafiki yangu
@awabuawami3625
@awabuawami3625 5 месяцев назад
Kak God bless you niko na vifaa vya simu hapa
@RoseManyanda
@RoseManyanda 19 дней назад
Asante Sana nilikuwa nawaza biashara ya kufanya, mawazo yangu nilikuwa nifungue duka la vipodozi daah Asante
@LennySilas-jo3oj
@LennySilas-jo3oj Год назад
Ni kwel biashara hiyo watu wanaichukulia poa ila inalipa nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
True best
@teresiaelikanalugata4025
@teresiaelikanalugata4025 Месяц назад
Nina laki mbili nahtaji hizo nguo za ndani mchanganyiko
@advelatandika6313
@advelatandika6313 Месяц назад
Biashara ya vyombo nimeielewa zaidi, naomba chimbo kaka na mtaji naweza kuanza na sh.ngapi
@SalumSaid-e1j
@SalumSaid-e1j 3 месяца назад
Asante kwa ushaur
@jumaatubu
@jumaatubu 11 месяцев назад
Thanks
@PendoLuwumba
@PendoLuwumba Месяц назад
Nagitaji msada kaka mm nataka nifanye biashara Zanzibar ila bado sjajuw biashar gani itatoka kwa harakaa
@AshuraIsaack
@AshuraIsaack 9 месяцев назад
Biashara ya nguo za ndani
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 месяцев назад
Ni nzuri sana
@MageAyo
@MageAyo Месяц назад
Mimi naomba unielekeze kuhusu biashara ya urembo
@ZainabuMkula-zn5np
@ZainabuMkula-zn5np 6 месяцев назад
Biashara ya urembo ni ndoto yangu kubwa ila sijui nianze kwa mtaji wa sh ngapi??
@esterfunyenga3185
@esterfunyenga3185 Год назад
Asante sana
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Asante pia
@abbygeorge8394
@abbygeorge8394 Год назад
👂👂be blessed
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 Год назад
Thanks much
@williamnyankongo9655
@williamnyankongo9655 2 месяца назад
Blessed
@GetrudaNgulo
@GetrudaNgulo 3 месяца назад
Msaada chimbo la nguo za watoto mtumba grade A
@OptionsLimited-l4s
@OptionsLimited-l4s Месяц назад
NAwezaje kuwa na studio kama yakwako
@NeemaJitambi-hj9iv
@NeemaJitambi-hj9iv 11 месяцев назад
asante kaka kwa ushaur mzur
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 месяцев назад
Asante pia
@MmMo-i2g
@MmMo-i2g Месяц назад
Asante
@VijeyMathayo-u5c
@VijeyMathayo-u5c Месяц назад
Naweza pata no yako
@halemasuliman-js8ug
@halemasuliman-js8ug 20 дней назад
Asante sana kaka
@AredFered
@AredFered 9 месяцев назад
Asante
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 месяцев назад
🙏🙏🤝
@CherissaWilliam
@CherissaWilliam 26 дней назад
Namb yako plz
@AloyceKikoti
@AloyceKikoti Месяц назад
Asante kwamafundisho
@bekakasambala7108
@bekakasambala7108 2 месяца назад
Bro nilkuw nahitaji kujua naanzaje biashara ya accessories ya simu. Na vifaa vyake kwa ujumla
@emanuelsam1543
@emanuelsam1543 2 месяца назад
Hata Mimi nahitaji chimbo
@RajabuJuma-fy8nr
@RajabuJuma-fy8nr 8 месяцев назад
Ya nguo za ndani na mtumba, nitakucheki unipe connection ya nguo nzuri nijiongezee kipato
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 8 месяцев назад
Nitafte mm tuongee dia naziuzaa
@FurahaVenosa
@FurahaVenosa 5 месяцев назад
​@@DoriceRemson-by5rrhey uko pande gani
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 5 месяцев назад
@@FurahaVenosanko dar dear nashinda kariakoo msimbazi
@MbeguUingereza
@MbeguUingereza 3 месяца назад
No please rafik
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 Год назад
Paul makonda sauti na muonekano
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Aisee
@ZainabuMlyatangu
@ZainabuMlyatangu 7 месяцев назад
Mudogoake Huyo
@DavidDeus-r8u
@DavidDeus-r8u 2 месяца назад
Thanks brother
@Benidoto
@Benidoto Месяц назад
🎉🎉
@CarolineSayia-tq5zm
@CarolineSayia-tq5zm 6 месяцев назад
Asante sana mwalimu niko kenya ninaweza pataje nguo za mitumba nzuri
@robertoyoussouf7679
@robertoyoussouf7679 6 месяцев назад
Asante kwa somo la siku, Vipi mwanaume ana fanya pia biashara ya urembo cosmetics ?
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 6 месяцев назад
Inawezekana na wengi wanafanya
@neemamarko176
@neemamarko176 Год назад
mtumba ni biashara ambayo nimefanya ila mtumba unaweza anza na mtaji wa 20000 tu ukawa unapoint nguo nzuri unapeleka chuo na mtu mmoja mmoja unazunguka minadani unanunua nguo mpaka mia 500 lakini hiyo nguo unauza mpaka 5000/10000 Kuna mmoja huyo kila mnada anauza nguo 200/300 watu wanajaa hiyo utauziwa mpaka 10000 ronya zipo na nzuri zipo ni kuwahi tu kama kesho jumamosi Biafra yupo...
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Kabisaaa
@mwanakombomohamed7526
@mwanakombomohamed7526 Год назад
Sawa
@Willyb254
@Willyb254 Год назад
Nimependa
@Totorutha
@Totorutha Год назад
Nitumie no Yako bro
@KafindoMtuka
@KafindoMtuka Год назад
Nitumie namba yako ndugu tufanye viashara
@PasyaMwakyoma
@PasyaMwakyoma Год назад
Asante
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Asante pia
@elishamwakihaba942
@elishamwakihaba942 10 месяцев назад
🙏
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 месяцев назад
Asante sana
@carolinetoto8706
@carolinetoto8706 3 месяца назад
Asantee asantee
@piuskalilile9850
@piuskalilile9850 6 месяцев назад
Chimbo la nguo za ndani msaada
@jacobchanda4475
@jacobchanda4475 Год назад
..We up Fam 🫡
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Thanks much
@GreysonTz
@GreysonTz 5 месяцев назад
Asante kwa ushauri wako mzuri mungu skubariki
@tonnyblasty4606
@tonnyblasty4606 Год назад
Natamani kati ya nguo za ndani au vifaa vya simu ila bado sijaelewa pakuanzia
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Unataka kuuzia eneo gani?
@ismailmohamed-sc1hg
@ismailmohamed-sc1hg Год назад
Nipo bunda mara nataka nianze biashara yakuuza nguo za mitumba lakini sijui nianzie wap na faida yake nitaipataje maan ndo nataka kuanza
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
@@ismailmohamed-sc1hg pitia account yangu ya Instagram nimeichambua vizuri Biashara ya mtumba, fauda, wapi pa kupata mzigo na masoko. Bonyeza hii link kuingia kwenye page Www.instagram.com/kelvinkibenje
@KulvertPius-b8y
@KulvertPius-b8y 8 месяцев назад
Biashar ya kuuza airphone nitaifany kak inshallah
@VijeyMathayo-u5c
@VijeyMathayo-u5c Месяц назад
Xamahan naomba no yako
@HappyBirdwingButterfly-wh5do
@HappyBirdwingButterfly-wh5do 7 месяцев назад
Makadirio ya mtaj wa biashara ya nguo zandan au urembo!??
@desmondrabsonmwaipula1239
@desmondrabsonmwaipula1239 7 месяцев назад
50,000
@RoncyMroki
@RoncyMroki 3 месяца назад
Asante sanaa
@MasanjaCharles-e6h
@MasanjaCharles-e6h 28 дней назад
Naweza kupata msaada zaidi kuhusu biashara
@elishazakalia-wj3my
@elishazakalia-wj3my Год назад
🔥🔥🔥
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 Год назад
👏👏👏
@merykyungai2551
@merykyungai2551 7 месяцев назад
Biashara ya nguo za mtumba nafaida kwanzia 50000
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 7 месяцев назад
Ndiooo
@cheluhussen-vo4rd
@cheluhussen-vo4rd Год назад
Thanks
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Thanks too
@cheluhussen-vo4rd
@cheluhussen-vo4rd Год назад
Yani natamani kufanya biashara ilasijui nianzie wap Leo nimeingua uku ndo nikakutana na wewe. Kaka angu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Asante sana. Karibu sana
@RehemaElias-y7h
@RehemaElias-y7h 7 месяцев назад
Kaka mm nina 40000 nawaza nifanye kazi ya nguo za ndani ,niko msoma sasa sijui wanauza wapi jumla kwa aliye msoma omba msahada
@shamuni1983
@shamuni1983 6 месяцев назад
Zipo Dar Kariakoo, Ukihitaji Tunakutumia kwa gari
@HappyBarn-kv6yj
@HappyBarn-kv6yj 5 месяцев назад
Na mimi nahitaji niko kariakoo​@@shamuni1983
@KafindoMtuka
@KafindoMtuka Год назад
Natamani kuuza mitumba nina laki mbili ila sijuwi pakuanzia
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Pa kuanzia ni kwenda kuchukua mzigo kama tayari umesoma soko na unajua nini utauza
@KafindoMtuka
@KafindoMtuka Год назад
Kuzunguuka nao mtaani ni vizuri au hadi nipange frame?
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 8 месяцев назад
Nitafte tuongee vizur kipenz
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 8 месяцев назад
Nitafte tuongee vzur ntakurahisishia
@luluanania-cb1bw
@luluanania-cb1bw 6 месяцев назад
​@@DoriceRemson-by5rr❤
@FatumaBakari-i4j
@FatumaBakari-i4j 8 месяцев назад
Kaka naomba namba ili unielekeze
@DausonnyJuma
@DausonnyJuma 5 месяцев назад
Asante kwa ushauri wako
@DaudyNdossa-vh8vg
@DaudyNdossa-vh8vg 6 месяцев назад
🙏🙏🙏mungu akupe maisha marefu
@LeoniaJovinary
@LeoniaJovinary 10 месяцев назад
Xamahanii kaka mm natakaa nifanye biashara mtajii lakii mbilii na nusu je nifanye biasharaa gganii maana mpakaa sahv sielewii
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 10 месяцев назад
Kwenye hizo tano hakuna uliyoipenda
@DinaMaria-r8b
@DinaMaria-r8b 6 месяцев назад
Nami pia
@IssaISSA25-ky9wy
@IssaISSA25-ky9wy 2 месяца назад
kweli kabisa
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr Год назад
natamani niifanye kazini kwangu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Nifuate insta nikupatie
@VeronicaPendo-d8g
@VeronicaPendo-d8g Месяц назад
Mwalim naitaj kufahamu biashara ya yebo
@AdolfJordan-rz8sm
@AdolfJordan-rz8sm 8 месяцев назад
Nimekuelewa kaka
@hawardmhema9784
@hawardmhema9784 6 месяцев назад
❤❤❤
@PasyaMwakyoma
@PasyaMwakyoma Год назад
Hiyo ya nguo za ndani sasa sielew naanzia wap
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Anza kwa kuchukua mzigo na kutafuta wateja. Mtandaoni, msofisini, kwenye magulio
@AredFered
@AredFered 9 месяцев назад
Nataman sana kua mfanyabiashara lakn mambo yangu bado hayajakaa sawa
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 9 месяцев назад
Jipange tu uanze
@AredFered
@AredFered 9 месяцев назад
@@kelvinkibenje sawa kaka lakn nawaza sana make
@Izkonka7
@Izkonka7 7 месяцев назад
Kaza ww, unawaza nini sasa😂​@@AredFered
@TusekileMwaswapu
@TusekileMwaswapu 5 месяцев назад
Biashala ya nguo za ndani lnataka mtaji wa shingapi
@DahuuAbdi
@DahuuAbdi 4 месяца назад
Kaka Nina m 1 na sijui biashara Gani nifanye msaada
@vickymdee
@vickymdee 4 месяца назад
Nikopeshe mimi hyo ela boss
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr Год назад
pia naomba connection ya vifaa vya simu
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Ingia Instagram page yangu
@DavidYusuph-hd9xw
@DavidYusuph-hd9xw 8 месяцев назад
Mtu umempa ushauli anataka na connection
@kiliancloud2437
@kiliancloud2437 Год назад
Broo nataka kufungua duka la vifaa vya simu vo mtaji wake
@littlebrother4
@littlebrother4 10 месяцев назад
milion 200
@sarahkissu3821
@sarahkissu3821 Год назад
Vyombo nmewah kuifanya shida ipo kweny machimbo sahv yamekua too hard kuyapata
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Nenda kwenye kiwanda cha cello au jambo. Pia kama una uzoefu saasa anza kuagiza China
@manyekiongoz
@manyekiongoz Год назад
Blessed
@kelvinkenedykyaluoko5379
@kelvinkenedykyaluoko5379 Год назад
Thanks much
@AviraPaul
@AviraPaul Год назад
Connection basi kaka
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Ya nini?
@salvatoryjulius-xl6lr
@salvatoryjulius-xl6lr Год назад
kaka naomba connection ya chupi!
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
Cheki insta yangu
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 8 месяцев назад
Kwa mwenye uhitaji wa nguo za mtumba tuwasiliane bei rahisi tutazungumza tusogezane
@ElizabethMusigwa
@ElizabethMusigwa 7 месяцев назад
Uko wap kwaniii
@FebroniaTamila
@FebroniaTamila 7 месяцев назад
Unapatikana wapi
@HappyKaji
@HappyKaji 7 месяцев назад
Unapatikan wap
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 7 месяцев назад
Niko Dar dear
@DoriceRemson-by5rr
@DoriceRemson-by5rr 7 месяцев назад
Karibuni saaana
@JanethAlex-sg3zu
@JanethAlex-sg3zu 11 месяцев назад
Samahan kaka vo biashala. Yamanukato. Imekaje. Nahii
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 11 месяцев назад
Ni moja ya Biashara mzuri. Hapo nimeitaja kwenye urembo
@JenipherNzali
@JenipherNzali Месяц назад
Biashare yanguo zandani hii naona nanimewah kuuza shida sikufanikiwa flem ila inafaida
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Месяц назад
@@JenipherNzali unaweza kuanza Bila ya kuwa na frem
@liz_underwearstore_mwanza
@liz_underwearstore_mwanza Год назад
🙏🏾
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje Год назад
🙏🙏
Далее
Episode 2 : Je,Ufanye biashara gani?
11:29
Просмотров 86 тыс.
AINA ZA BIASHARA ZINAZO MFAA MWANAMKE - JOEL NANAUKA
8:58
У КОТЯТ ОТКРЫЛИСЬ ГЛАЗКИ#cat
00:26
Лучше одной, чем с такими
00:54
Просмотров 851 тыс.
Провал со стеклянным хлебом…
00:41
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Просмотров 61 тыс.
BIASHARA 10 ,MTAJI CHINI YA LAKI MBILI
8:19
Просмотров 35 тыс.
У КОТЯТ ОТКРЫЛИСЬ ГЛАЗКИ#cat
00:26