Тёмный

Episode 2 : Je,Ufanye biashara gani? 

Joel Nanauka
Подписаться 290 тыс.
Просмотров 87 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 121   
@jescadeogratias5292
@jescadeogratias5292 3 года назад
Libarikiwe tumbo lililo kuzaa Joel. Your the best one
@annamilanga6087
@annamilanga6087 3 месяца назад
Ameen nimejifunza kitu kikubwa mno leoo be blessed Joel
@NaomyDaudi
@NaomyDaudi Месяц назад
Asante sana kaka 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@yahayahamadi6338
@yahayahamadi6338 3 месяца назад
Nimekuelewa kaka nawaza sana chakufanya katika maisha sasa nimeshakijua
@ramadhanrashidali7056
@ramadhanrashidali7056 4 года назад
God bless you 🔥🔥🔥🔥
@Haleem_07
@Haleem_07 4 года назад
Mr. Joel nanauka apewe uongoz sehemu yoyote ile bas lazima uoene mabadiliko..
@dorisndossi4734
@dorisndossi4734 4 года назад
Sio passion yake mwenzio kashasema
@jamesibrahim8849
@jamesibrahim8849 4 года назад
Somo hili sio jipya kwangu, lakini kila ninaposikiliza Habari za ujuzi/skills kuna kitu kipya kina kinaibuka kwenye ufahamu wangu. Shukrani saana mwalimu.
@fatmahemed2189
@fatmahemed2189 Год назад
Masha Allha mipia nawaza nn chakufanya kiniingizie kipato kama mama wanyumbani
@jumaalexis6020
@jumaalexis6020 3 года назад
Dhaaah nimekuelewa kinoma
@beatricmmpantaleo3420
@beatricmmpantaleo3420 4 года назад
Yaan ww Kaka Joel unaniinspire xn 🙏 unatufanya tuamke tuliopo ucngizini❤️
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 4 года назад
Yes ur my twin idea!!!🇹🇿
@MariamSamiji-f7s
@MariamSamiji-f7s Месяц назад
Habari kaka Joel Mimi nina ujuzi wa computer yaan stationary kwa ujumla ila sijui nifanyie biashara gani maana sina mtaji wa kuanzisha stationary Ninaomba ushauri wako kaka.
@GladyKimaro-df7gi
@GladyKimaro-df7gi 21 день назад
Hlw unataka kwel kuwa na stationary
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 4 года назад
Kaka Joel wewe ni my Best motivator speaker na huwa nawaambia watu....Seriously
@rebeccatimoth9734
@rebeccatimoth9734 3 года назад
Kaka joel naomba ushauri na milioni tano nifanye biashara gani ambayo nikianza ina anza kuni ingizia hela
@aishaaisha6127
@aishaaisha6127 2 года назад
@@rebeccatimoth9734 nikopeshe
@fatimaalbraiki2341
@fatimaalbraiki2341 4 года назад
Waoo katik zote hii ndoiko poa sanaa kiupande wangu m.mng aliyeumba mbingu na ardhi akubariki
@abellabakalemwa5729
@abellabakalemwa5729 3 года назад
Your that inspiring person i know! Stay blessed
@BalumileMataba
@BalumileMataba Месяц назад
KUZALIWA kwako ni Neema aisey 🎉
@Lizzyktd
@Lizzyktd 8 месяцев назад
Ahsante sana kakaangu
@ruqayahaloraimi4007
@ruqayahaloraimi4007 3 года назад
Hello Mr. Joel natumia hujambo. Mimi nilikuwa nataka Ushauri wako nimejaribu Mara nyingi kufanya biashara tofauti lakini sikufanikiwa na Sasa Nina biashara ambayo nataka kuianza ndio Nataka kujaribu.
@husnamasham5078
@husnamasham5078 4 года назад
Ahsant kwa elimu mzuri
@healinghomeprayercentre
@healinghomeprayercentre 4 года назад
Thank you sir
@ErickaElia-o1z
@ErickaElia-o1z Месяц назад
Kaka bakupataje nimetaman kuongea na ww zaidi
@LemyIddy
@LemyIddy 4 месяца назад
Kutengeneza sim
@paulmanyanza1330
@paulmanyanza1330 4 года назад
Nabarikiwa sana na maneno yako
@aash4145
@aash4145 Год назад
Nashukuru elim yangu ni ndogo sana lakin mashaalah nimejaaliwa ujuz wakuweza, kubadilisha maisha yangu, nanikawa tajir mkubwa
@queenhuu2852
@queenhuu2852 2 года назад
Ahsant Baba nimechereewa kukufaham lkn hapa nilipokupata muda huu naamini nitafanikiwa Toka nianzee kukufatiliia akili yng imefunguka na Sasa najipanga kuanzishaa biashaara Kuna siku ntakupa majibu
@Francsimba64
@Francsimba64 4 года назад
kaka asante sana kwa mafundisho yako
@rithalaizer4665
@rithalaizer4665 3 года назад
God bless you kaka nanauka👍
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 3 года назад
Best of the Best may you live longer Mr Joel Arthur Nanauka you've changed me a Lot 🙏🙏
@ashuradaud9668
@ashuradaud9668 Год назад
Kaka Joel, Mimi bwana Nina uwezo kushawishi mtu kwa leongo la kuboresha bidhaa nilianayo au biashara flan na mtu akavutiwa au kukubali hata Kama hajatarajia?? Je Mimi kutokana na hiki nilicho nacho Naweza nikafanya kaz au nianzishe kitu gani Cha namna hii???
@academiazsoft
@academiazsoft Год назад
Natamani nikuelewe nahis kuna kitu hapa
@jasminandrew3244
@jasminandrew3244 Год назад
Kak mim ninafanya biashara ya kupika vitafunwa vizur sana pia huwa ni msusi, pia naweza kupamba vitanda lakin kak bado sjafanikiwa nifanye nin sas?
@SeifJuma-f3l
@SeifJuma-f3l 5 месяцев назад
Nice 🎉
@princessleonard6415
@princessleonard6415 3 года назад
Kaka Joel natamani sana kufanikiwa lakin sijui nianzie wapi. Natamaaaaaan sana jaman
@mosesgandi8414
@mosesgandi8414 3 года назад
True
@lulufaruk6208
@lulufaruk6208 Год назад
MyLifeCoach
@mpeliakhim3770
@mpeliakhim3770 3 года назад
Maneno matam sna
@DannaGarcia-b5n
@DannaGarcia-b5n 10 дней назад
Sehemu niliopo inanipa wakat mgumu sana Kuanza biashara kaka joel
@JosephSamson-i8m
@JosephSamson-i8m 28 дней назад
mimi nimwanafunzi wa form five hila napenda kusikiliza ushauri wako napenda sana kaka
@salumamran2108
@salumamran2108 2 года назад
Kweli ujuzi niuhimu
@alimambabazi3666
@alimambabazi3666 4 года назад
Thank you so much for this information 😄
@chrispojosep4738
@chrispojosep4738 4 года назад
Me napenda sana kilimo vip uwo nao niujuzi
@RosyKaemdin
@RosyKaemdin 6 месяцев назад
Ni unapenda kilimo lakin je una ujuz na kilimo?
@barakagonzalve4147
@barakagonzalve4147 4 года назад
your amazing bro keep inspiring
@elesiatabia2230
@elesiatabia2230 Месяц назад
Naomba nikupigie inbox naomba namba ya mawasliano naomba
@missdee9501
@missdee9501 2 года назад
Thank you so much🙏🏾
@SaraphinaAbbas
@SaraphinaAbbas 43 минуты назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@johnsonkiwia6577
@johnsonkiwia6577 4 года назад
Kusema rahisi sana..hebu toa mifano kutoka kwenye biashara ulizo wahi anzisha
@lairumbelaizer4429
@lairumbelaizer4429 3 года назад
Kwani kuna biashara kubwa zaidi ya hiyo anayofanya kutufundisha . Biashara siyo lazima uuze vitu .
@RosyKaemdin
@RosyKaemdin 6 месяцев назад
Anaujuz wa kuongea na watu wakamsikiliza na wakamuelewa tayar hapo ana ujuz na anaingiza pesa.. acha ujuaj na jifunze. lione kwanza
@hussenmzaganya1081
@hussenmzaganya1081 5 месяцев назад
hiyo kuongea ni ujuzi, kama unaona rahisi ongea na wewe tucoment hapa
@bechatvlive
@bechatvlive Год назад
Mi ni operator wa motor grader na sijaajiriwa na campuni au mtu binafsi sasa swali nafanyaje kutengeneza pesa?
@tristanjolly8756
@tristanjolly8756 Год назад
baba kweli unaongea ukweli lkn na jambo nataka nikuombe siku moja ufundishe upande mwngne kuna ili janga la vijana kujingiza kuangalia vdeo chafu na kuwafanya waowenyewe kupelekea kukosa raha na familia zao kulingana na madhara waliyoyapa kwenye uangaliaji wa vdeo chafu na leo hii awajui jinsi ya kuacha nayo na wengne wamezama kwenye suala la punyeto embu baba kwa ili embu lifikirie kwa upande mwngne
@JamesFares-b8g
@JamesFares-b8g 7 месяцев назад
kaka mm nimkulima wa kilimo Cha biashara naomba ushaulizaid niweze kunufaika nacho zaidi san ushaulii wako nimeupenda San hongera
@FaustiniMjuni
@FaustiniMjuni 4 месяца назад
ni mepata elimu juu ya ujuzi
@onesmomustafa135
@onesmomustafa135 2 года назад
Asante sana uko sawa.sana nanauka
@mussajuma7755
@mussajuma7755 3 года назад
Kaka mm ninafanya biashara yakuuza vifaa vya simu na bado najiuliza biashara yangu ni ndogo sehemu niliopo wateja wenyewe wa msimu najiuliza niongeze kitu gani
@nihlamoscary6569
@nihlamoscary6569 4 года назад
Kaka joel kiukweli ninateseka na hiki kitu, napenda kufanya biashara ya kusambaza bidhaa kuchukua huku na kupeleka kule lakin ni bidhaaa gan sijui ipi na itakuwa endelevu hapo ndo tatizo lilipo je nifanyeje?
@Tulizogibson-g4f
@Tulizogibson-g4f 4 месяца назад
Mimi Nina eneo kubwa la Hela 19 na nyumba pamoja na mabanda ya kuku na ya Ng'ombe nauza
@MariamNkunda
@MariamNkunda 16 дней назад
Mungu akubalik Joel
@salimkhamisi6490
@salimkhamisi6490 2 года назад
Nashkuru joel nmekuuliza swali hapo lakin naona nshapta jibu shukran bishara nzuri yenye kuendelea ni ile iyambatane na ujuzi wako
@UPENDOSABORE
@UPENDOSABORE 4 месяца назад
Mimi napenda Sana ufugaji na kilimo lakini sehemu ya kufugia sasa changamoto
@jimmyally5974
@jimmyally5974 Год назад
Am so happy kusikia swala linaloitwa biashara lakin leo nimepata kitu kutokana ww brother Joel Give us medicine
@RivadoBabliery
@RivadoBabliery 11 месяцев назад
Nimependa
@abrahammeatui3897
@abrahammeatui3897 4 года назад
Dah mafundisho mazuri sana bro
@bryannassary3255
@bryannassary3255 4 года назад
Bro naomba namba yako kunavi2 nataka mwongozo wako yangu ni 0746283695
@MencyJoachim
@MencyJoachim 4 месяца назад
Kaka joel Mungu akubarik sana kwan.unaona mbali katika future,mimi ni mwanafunzi wa chuo natamani sana kufanya biashara nikiwa nasoma naomba ushauri wako nifanye biashara gani itakayonisaidia
@MathiasMathias-cg4nf
@MathiasMathias-cg4nf 3 месяца назад
Eeee
@sharonezekiel7234
@sharonezekiel7234 3 месяца назад
Ww una ujuzi gn
@ibrahimjabir6023
@ibrahimjabir6023 2 года назад
Na je kama huna ujuzi ila unamtu wako yeye anaujuzi ila hana mtaji haiwezekani kufanya jambo kwa pamoja?
@anatoleniyokwizigira3717
@anatoleniyokwizigira3717 4 года назад
kabx,,,, ila tatizo unaweza ukawa na hizo skills ila mtaji ukakuta hauna,, je,, mtu anaweza akafanyaje????
@jescadeogratias5292
@jescadeogratias5292 3 года назад
Ila Tz Mzima inatakiwa ijue KUWA Kuna mtu Kama wewe na nje ya mipaka ya Tz. Una upeo was ajabu sana wewe
@raytonhungu1793
@raytonhungu1793 11 месяцев назад
I have impressed with your motivation mr Joel I see you reach so far 🙌
@falesiboniphace2194
@falesiboniphace2194 2 года назад
Tatizo namba unayoitoa msg ukituma haijibiwi cm inatumika mno,tunapaje kitabu
@BobMathias-p8c
@BobMathias-p8c 6 месяцев назад
kaka hakuna somo baya kwako very thank you
@fatmahmed5647
@fatmahmed5647 Год назад
Mi napenda san kufanya biashala iwe duka au mgahawa napenda san
@ghazalmsophe5322
@ghazalmsophe5322 11 месяцев назад
Biashara ni ujuzi "find ur skills" bado najitafuta
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 3 месяца назад
Bwana wewe fundi gari ni car mechanic engineer
@kelvinbernard7980
@kelvinbernard7980 2 года назад
Àsante mwalimu nabalikiwa saña na mafundisho yako
@stellamwali1848
@stellamwali1848 Год назад
Na Wayne awazasoma tufanye gani kaka
@ismailabdallah1932
@ismailabdallah1932 4 года назад
brow umenikosha sana mwaka utakapo kuja mtwara naomba nikuone
@michaelkatigula5793
@michaelkatigula5793 3 года назад
Nakupata Sana mwalim na ninaomba kupata namba yako ya WhatsApp
@mwajabumhita5814
@mwajabumhita5814 Год назад
Kaka niko na laki moja ila sijui nifanye biashara gani
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
🔨
@emanuelmasawe2673
@emanuelmasawe2673 2 года назад
Nimtu mwenye mawazo mapana na mungu akubariki
@BetlamKaroli
@BetlamKaroli 11 месяцев назад
Stay blessed forever
@luckamnyalu-un4qm
@luckamnyalu-un4qm Год назад
napataje namb yako jmn unanibarik
@shukuru9792
@shukuru9792 Год назад
Balikiwa
@rachelmruma3767
@rachelmruma3767 3 месяца назад
Great
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Год назад
Kaka mimi nimekuelewa saan
@jameslidonde9211
@jameslidonde9211 3 года назад
Unatujenga sana vijana wa kiafrika
@RodaEmmy
@RodaEmmy 3 месяца назад
Naomba ushauli
@ChausikuWerema
@ChausikuWerema 7 месяцев назад
Be blessed
@nshimirimanadjamilla7270
@nshimirimanadjamilla7270 3 года назад
Shukran sana
@patriciasylvester897
@patriciasylvester897 Год назад
Point noted.
@aash4145
@aash4145 Год назад
Shukran kwa kutupatia maarifa aa,, 🌹🌹🌹
@bibishejuma2272
@bibishejuma2272 Год назад
Miminauzaviuato
@agnesspeter7042
@agnesspeter7042 Год назад
Nakupata vp kak nanauka
@wilbertmlyuka5723
@wilbertmlyuka5723 2 года назад
Kiukweli upo vizuri
@christinamushi2273
@christinamushi2273 3 года назад
Daimaa napendaa kuwa Kama wew
@m-tatu1050
@m-tatu1050 2 года назад
you are the best broo
@onesmomustafa135
@onesmomustafa135 2 года назад
Asante ndugu
@jeniferorotho9928
@jeniferorotho9928 Год назад
🙏sana
@mtindimagogera2525
@mtindimagogera2525 4 года назад
Shukulan kak Kwa som lalk zuri san
@idrissadadekinomaaaalikaji8172
@idrissadadekinomaaaalikaji8172 4 года назад
Joel √√
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 года назад
Ahsante sana bro
@afyayangutv6015
@afyayangutv6015 4 года назад
Bro uko vizuri ila nitatatixo LA kupenda kila biashara ninayoiona
@josephcharles6315
@josephcharles6315 Год назад
Anza bange inalipa sana
@sleyshabani3644
@sleyshabani3644 4 года назад
Nakusoma bro
@Pathro_Cavosia
@Pathro_Cavosia 4 года назад
Asante Kaka
@nshimirimanadjamilla7270
@nshimirimanadjamilla7270 3 года назад
👍
@alexbushishi8342
@alexbushishi8342 4 года назад
Good
@rehemakawamda629
@rehemakawamda629 3 года назад
Kaka joel nakukubali sana mungu akubaliki sana
@magigemwita3053
@magigemwita3053 2 года назад
Joel Mungu akutie nguvu unatuamsha tulio lala unatia nguvu tuliokata tamaa 🙏🙏🙏
Далее
AINA ZA BIASHARA ZINAZO MFAA MWANAMKE - JOEL NANAUKA
8:58
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Просмотров 84 тыс.
ОВР Шоу:  Семейные понты  @ovrshow_tnt
07:21
Maamuzi manne (4) muhimu sana kwenye maisha yako.
7:05
NAMNA YA KUPATA WAZO ZURI LA BIASHARA - JOEL NANAUKA
11:05
VITU VINAVYOUA UWEZO WAKO/JOEL NANAUKA
7:08
Просмотров 9 тыс.
BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI
12:39
Просмотров 61 тыс.
SET YOUR SELF A PART - JOEL NANAUKA
1:36:31
Просмотров 27 тыс.
Ufanye nini watu wa kupende zaidi?
9:09
Просмотров 132 тыс.