Тёмный

Jinsi Ya Kubadilisha Maisha Yako Ndani Ya Mwaka Mmoja - Joel Arthur Nanauka 

Joel Nanauka
Подписаться 280 тыс.
Просмотров 559 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

17 янв 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 575   
@Simbasc-mw4zk
@Simbasc-mw4zk 3 месяца назад
Tunaoangalia hii video mwaka 2024 gonga like hapaaaaaa
@bina2557
@bina2557 2 месяца назад
Niko hapa
@kennytwinzi821
@kennytwinzi821 5 лет назад
Ahsante saana kaka Nanauka... Anaeangalia video hii 2019 ,,gonga like tuendezetu!
@feedomcharles4722
@feedomcharles4722 4 года назад
Ubarikiwe sana nimejua mambo ambayo nikuwa siyajui
@masanjajunior3097
@masanjajunior3097 4 года назад
Imeisha hiyo💯
@menzachangawa2218
@menzachangawa2218 4 года назад
I love this motivational teaching,keep it up
@danieljouhn6792
@danieljouhn6792 3 года назад
P
@bivactanzania9642
@bivactanzania9642 3 года назад
Naomba kitabu hiki
@saidnomano3667
@saidnomano3667 5 лет назад
Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
@mafanikioimanida3626
@mafanikioimanida3626 4 года назад
da mimi nalakitisa lakini na amini paka niwe namiliyoni 500
@edwardkavishe3139
@edwardkavishe3139 2 года назад
Jamani akuna utajiri sio kuwa na msjariti kafanya kaz asate Sana Kaka
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu nikushirikishe kwenye fursa na kipato endelev
@mactongathe179
@mactongathe179 9 месяцев назад
Vp ukoapii
@mayombotz
@mayombotz 3 года назад
Anaeangalia video hii 2021 ,,gonga like tuendezetu!
@user-xp8ro5qs8i
@user-xp8ro5qs8i Год назад
Hiki kichwa ni hazina yetu vijana taifa, Bara la Afrika na Ulimwenguni kote. Mungu akutunze kaka Joel
@shabansalum6014
@shabansalum6014 3 года назад
Hongera sana professor Joel Nanauka... Kila kheri juu yako.... Mambo mazuri sana... Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
@meleajohnkisaka7969
@meleajohnkisaka7969 3 года назад
Kaka asante ,nimefanikiwa kutimiza malengo yangu kwa asilimia kubwa sana kwa kufuata kanuni zako
@shukurobson1201
@shukurobson1201 3 года назад
Daaah kwel yn
@kabotezeey8474
@kabotezeey8474 6 месяцев назад
Hii ni miaka 5 iliyopita leo 2024 na bado ni madini sana
@beatricemwambene9486
@beatricemwambene9486 6 лет назад
Nimependa sana mafundisho yako, natamani ningepata nafasi ya kukuona kwa mafundisho ya ziada
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu nikupe fursa 100%
@eliaspaul5289
@eliaspaul5289 4 года назад
Hapo ndo utajua elimu ya kuambiwa ni bora kuliko ya kufundindishwa gonga like
@laurentlyati5452
@laurentlyati5452 29 дней назад
@azzomapesa7879
@azzomapesa7879 5 лет назад
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
@Creative_Feny
@Creative_Feny 4 года назад
Hongera sana
@stivejayngoga1403
@stivejayngoga1403 3 года назад
Inawezekana hata hiyo kuajiriwa tayari ushafeli
@HappyFamily-qz9up
@HappyFamily-qz9up 4 месяца назад
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
@emmanuelkimaro4171
@emmanuelkimaro4171 6 лет назад
Hizi elimu zingekuwa zinatolewa kila mahali watu wengi tungekuwa mbali sana.Mungu akubariki.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Emmanuel Kimaro nashukuru sana ,pamoja
@emmanuelmlengevaf5092
@emmanuelmlengevaf5092 4 года назад
ANDIKA NAMBA ZAKO ILI TUKUTAFUTE NAUKA NAMBA ZANGU NI IZO 0684663534,0676928180 NITAFUTE KAKA
@khamiskesi9472
@khamiskesi9472 4 года назад
Teacher joeil na mm nataka vitabu vyako kiac gain nanita vipataje mm nipo zanzibari
@khamiskesi9472
@khamiskesi9472 4 года назад
Naomba nambayako teacher joeil. Zangu mm izo 0677466564
@abdulqudra8758
@abdulqudra8758 4 года назад
@@joelnanauka thanks bro nakupenda san kupitiya mafunzo yako one day i,gonna see u
@sayyidtawaqal1754
@sayyidtawaqal1754 5 лет назад
Bwana nanauka kwakweli mungu amekupa neema nakuombea ulinzi baraka na ujuzi zaidi
@felixbakari4845
@felixbakari4845 5 лет назад
Daaaa kaka I'm speechless nimeanza kufuatilia video zako najiona nilikwama sehemu najiona kubadilika sana
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu ubadilishe maisha yako kupitia fursa nitakayokushirikisha ujipatie kipato cha ziada
@paulinyoisrael6079
@paulinyoisrael6079 5 лет назад
Good boy Nanauka we ni habari ya Shule maishani
@jeremiebahane6679
@jeremiebahane6679 Год назад
J'aime ça vraiment moi c'est jeremie je viens du Congo je vous écoute à 90%
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 года назад
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️ Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
@obadiayusuph7096
@obadiayusuph7096 3 года назад
Acha x ziwe na wengi watavunja walichopanda
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 года назад
Na ex zao watapata wanaachokitafuta
@theeyechannel8601
@theeyechannel8601 4 года назад
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
@lilianelines8419
@lilianelines8419 2 года назад
Nimejifunza jabo asante
@flowinfelix8289
@flowinfelix8289 Год назад
Ppp p
@lugiko
@lugiko 6 лет назад
Your my role model mr Joel, nimefanya mambo mengi sana kupitia speech zako
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
ELSON LUGIKO Ahsante sana,nafurahi kusikia hivyo
@hafifayusuph8588
@hafifayusuph8588 5 лет назад
Hongera sana kaka Nanauka uko vizuri sana kichwani Mungu akutimizie malengo yako inshaallah
@neemalino4220
@neemalino4220 5 лет назад
Kweli najifunza mengi
@juliussenkene6527
@juliussenkene6527 4 года назад
Natamani kufika mbali ,lakin Kila nikipangilia yanavurugika nitakufatilia paka nifanikiwe
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 5 лет назад
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
@jamesjohn8891
@jamesjohn8891 5 лет назад
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.
@AredFered
@AredFered 7 месяцев назад
Asante sana proffes nanauka yan we ngoja niinuke mpaka watu washangae .... Anaengalia video hii 2023 agonge like
@MarcoMchele-e7b
@MarcoMchele-e7b 19 дней назад
Usijikweze Sasa na wewe
@shukranjs4307
@shukranjs4307 5 лет назад
Aisee yani mungu akubariki sana kaka, joel ,kiukwel nimekua nikipanga malengo lakini nimekua mwepesi kugairisha mambo,natamani sana kubadilika
@robertgwelela6581
@robertgwelela6581 6 лет назад
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
@salummohdnyiga9760
@salummohdnyiga9760 6 лет назад
Hahahahahahaaaa duh
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 6 лет назад
Haaaaaaahaaaaaaa....
@elizajamas1796
@elizajamas1796 6 лет назад
what an inspiring speech thx soo much
@mlunguonlinetv2067
@mlunguonlinetv2067 6 лет назад
HAHAHAHAHA NIMEKUELEWA SANA
@fatmarashidi8353
@fatmarashidi8353 6 лет назад
Robert Gwelela hahaha hahaha
@rkyaruzi
@rkyaruzi 6 лет назад
Barikiwa sana Joel! Tumesoma wote lakini nakuheshimu sana sana kama mtaalamu !Mungu azidi kukuinua
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Nashukuru sana tuko pamoja tuendelee kujifunza pamoja
@annarubeni764
@annarubeni764 4 года назад
Kaka uko vizur sana
@brianjohnson3851
@brianjohnson3851 7 месяцев назад
Gorgeous
@MarryJustine-hi7vy
@MarryJustine-hi7vy 3 месяца назад
Umenifundisha jambo jipya ubarikiwe
@lizalaw8663
@lizalaw8663 5 лет назад
Bro....kazi nzuri....naomba nijue.napataje vitabu vyako niko mbeya
@nichorousmpala5366
@nichorousmpala5366 4 месяца назад
Nenda soko kuu mwanjelwa chumba namba 165 utapata kila aina vitabu vyake
@professamuddy5407
@professamuddy5407 4 года назад
Daah kaka Joel uko vzuri. Uelewa wako uko juu, nashauri ugombee ubunge, maana comment zote inaonyesha wamekuelewa na wamependa somo lako.
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 года назад
Ubunge so dili
@lyagandaHosea
@lyagandaHosea Год назад
Hogera. Kaka. Joel
@goon9384
@goon9384 6 лет назад
you are great bro....much respect and blessed
@danielmlanda5597
@danielmlanda5597 5 лет назад
Namuona SAM SASALI ANATAMANI KUMMEZA HUYO JAMAA ILA ANASHINDWA.........😂😂😂😂😂😂
@JusterTumsime-gn2nk
@JusterTumsime-gn2nk 10 месяцев назад
Mungu akutunze kwaajili ya uzao wangu na Taifa zima Umekua baraka sana kaka sijutii kukufahamu🙏🙏
@ayshaal6957
@ayshaal6957 6 лет назад
Asante kaka nami ntaanza kuandika malengo yangu
@furahabaraka2705
@furahabaraka2705 4 года назад
Nakuelewa sana bro umenibadilisha sana kwa kupitia masomo yako mungu akubariki sana
@ullyamos4205
@ullyamos4205 6 лет назад
Pastor be Blessed vijana wako tunakuelewa.
@alimsi532
@alimsi532 5 лет назад
safi sana brother nanauka ww ni kocha wangu wa maisha na mm ni milde fild wako tupo pamoja brother
@misskwileka1956
@misskwileka1956 6 лет назад
daaah.... am blessed wallah, asante kaka nanauka
@pix_1lyrics777
@pix_1lyrics777 3 года назад
Aiseeh naona kama nilichelewa kuja huku,,, big up bro , umenibadilisha pakubwa Sana 🤝🤝
@nyamoyenyamoye6077
@nyamoyenyamoye6077 6 лет назад
Ndo asili ya kila mtu kukasirika mtu fulani anapofanikiwa, nashukuru kaka Kwa somo hili mm nimefarijika sana
@chrystiankagasheckjr.5287
@chrystiankagasheckjr.5287 5 лет назад
bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa @see yuo at the top
@harrietmmoji8404
@harrietmmoji8404 4 года назад
You are my role model bro, Mungu akujalie afya na maarifa mengi.
@didachidy1325
@didachidy1325 3 года назад
Wallai broo huogei pumba bigup kwenye hili somo nimepata vitu vingii... 👌👌👍👍
@humblemantresor7890
@humblemantresor7890 4 месяца назад
Asante kwa usimulizi njema
@evershayo2617
@evershayo2617 2 года назад
Asante sana brother kwakwel umenisaidia sana maan nmekatishwa tamaa sana lait ningepata haya mafundisho mapema ningekuwa mbal sana Mungu akubariki
@bantuempress1744
@bantuempress1744 6 лет назад
Much respect for you, you have inspired and you're the best mentor. Love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Njo nikushirikishe kwenye fursa itakayokupa pesaa
@mwakifunatheprominent7394
@mwakifunatheprominent7394 6 лет назад
Dah yani hii video ni Shule Toshaaa, Shukrani sana kaka.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 лет назад
Mwakifuna The Prominent pamoja,help to share
@emmanuelchristian8777
@emmanuelchristian8777 5 лет назад
Kuam
@briankapotwe6287
@briankapotwe6287 2 года назад
Ahsantey sana Boss kwa somo hili zuri
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Njo nikushirikishe fursa itakayokupa pesa
@gracekiangio2441
@gracekiangio2441 Год назад
Asante Dr wamaendeleo duniani
@marthamhapa8171
@marthamhapa8171 5 лет назад
Joel ua so unique kwakweli elim yako ni kubwa mno
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
@magangacosmas9852
@magangacosmas9852 6 лет назад
Kwa mara ya kwanza ni leo kusikiliza video zako, nmejikuta naangalia na kusikiliza nyingi zaidi. Keep it up brother
@ndechacharles7521
@ndechacharles7521 5 лет назад
MAGANGA Cosmas we kweli No umeongea aisee
@moseskayan3705
@moseskayan3705 5 лет назад
Bro asante sana umezaliwa kwaajili ya kazi unayoifanya
@dennisluselele9244
@dennisluselele9244 5 лет назад
Maelezo yako vizuri sana. Hongera!
@aminanurudini9233
@aminanurudini9233 3 года назад
It's Nov 2020 na bado nachek this video
@gerardndikumana8160
@gerardndikumana8160 5 лет назад
Kaka Joel! Mawaidha yako mazuri kbs zidi kutowa ilimu ili uwilimishe watu ambao kile tusiye juwa muhimu sana
@sharifamtilly1014
@sharifamtilly1014 3 года назад
Kiukweli kaka umeongea kitu Cha msingi Sana .Natamani Elimu hii iwafikie walimu wa watoto wetu nadhani itaokoa watoto wetu na taifa kwa ujumla
@priscahussein6790
@priscahussein6790 3 года назад
Baada ya kuckiliza mwanzo mwisho bilashaka kunakitu nmekpata 🙏balkiwa Sana Kaka
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 Год назад
Hongera kwako na Alie kuzaa una nifunza vitu vingi sana.
@khadijakisingo7920
@khadijakisingo7920 2 года назад
Nanauka unanibadili Sana kimawazo na kimtazamo nimekuwa wa tofauti sana
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 года назад
My Brother JOEL You're the Best of Best keep Motivating us,Happy New year 2020.
@tobiasjohn3901
@tobiasjohn3901 3 года назад
Be blessed brother joel
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 года назад
Nanauka Mungu akubariki. Wish to be my coach
@michaelmulokozi1512
@michaelmulokozi1512 4 года назад
You are an epitome of mentors, keep it up brother..!! Thanks for your enlightenments.🙏
@ChandaVision
@ChandaVision 5 лет назад
kweli kabisa Joel kuna boss wangu aliniambia kitu kinanisumbua mpaka leo
@soudjuma7904
@soudjuma7904 5 лет назад
uo mpangalio wa malengo ni mzuri sana, ubarikiwe sana Enuaka
@janejoseph9009
@janejoseph9009 5 лет назад
kiukweli upo vizuri na umenifundisha sana
@lemonumentvivantkajole4008
@lemonumentvivantkajole4008 2 года назад
Mdamchache nimetumia hapa lakini nimejifunza mengi. Asante
@cvanocharles6001
@cvanocharles6001 6 лет назад
Mungu akubariki sana kaka Nanauka
@ambakisyemwaijuki6997
@ambakisyemwaijuki6997 5 лет назад
Cvano Charles nyege nyegezi
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 лет назад
Nakuelewa sana Mwalimu wangu J Nanauka unamadini ya uhakika
@abuuharuna4278
@abuuharuna4278 6 лет назад
safi sana mwalimu nimekuelewa sana nimejifunza sana naamini page yako ni muhim sana endelea kupiga kazi tuko pamoja
@user-dj8ik2he5y
@user-dj8ik2he5y 2 месяца назад
Asante Kwa elimu nzuri je wewe umefanikiwa zaidi joel
@vituskabula4770
@vituskabula4770 2 года назад
Thanks sir God bless you 🙏
@thb9561
@thb9561 3 года назад
Dah..brow upo makin sana nimeipenda hii mada..ipo activitie..!!
@user-sk8hw5bx1v
@user-sk8hw5bx1v 3 месяца назад
Be blessed kaka,umenitoa kwenye comfort zone
@theprovitionofnature9188
@theprovitionofnature9188 4 года назад
Jamaa maneno yake anasoma sana Vitabu et Jaman Mungu Akubariki Nanauka
@remmykawogo9035
@remmykawogo9035 5 лет назад
Gud inspiration .,we need to change we youth
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 3 месяца назад
Asante xana kw hii video najihisi kujengeka kila ninapo kusikiza
@tumainijastus326
@tumainijastus326 9 месяцев назад
You're the best bro Keep going on
@professamuddy5407
@professamuddy5407 4 года назад
Tukipata viongozi wenye upeo na Uelewa kama wako nchi itapiga hatua kubwa Sanaa!!
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
@fidespancras7337
@fidespancras7337 3 года назад
Kaka kazi nzur napataje kitabu cha kupanga malengo
@salummakuhani1679
@salummakuhani1679 4 года назад
i like so much brother uko vizuri unatupa mafunzo mazuri
@athumanishechambo9500
@athumanishechambo9500 Год назад
Kaka uko vizuri nimekukubali
@rashidonami2660
@rashidonami2660 4 года назад
asante sana kwakudusaidia god bress you
@albinoentreprises2176
@albinoentreprises2176 5 лет назад
Nakuelewa Mr. Nauka unafanya kazi nzuri sana lakini mafundisho yako yamekosa kitu kimoja. Fundisha Pia kuhusu Willing Power kwa kuwa hapa duniani hakuna jambo lolote linafanyika bila sababu. wafundishe watu hasa vijana kutengeneza sabau ya kutafuta mafanikio ( kwa nini watafute mafanikio kifalsafa na kisaikolojia). Tu pamoja.
@damiankimaro8919
@damiankimaro8919 2 года назад
See you at the top next year you will be my mentor
@ibrahimalpheo7404
@ibrahimalpheo7404 5 лет назад
Shukrani bro... Ila hicho kitabu knapatkana wap
@sulleysonsulley4160
@sulleysonsulley4160 6 лет назад
Joel umetisha sana yaani unanipa msisi mko sana.na unanipa maarifa
@kingrojo667
@kingrojo667 6 лет назад
Kila unapo ongea ukimaliza inakuja wow maongez yako mazur bro asante na mungu akubarik Mr nauka
@user-fb5do6tp1o
@user-fb5do6tp1o 10 месяцев назад
Mimi ni mshindi katika jina la yesu ninaweza yote
@mfalmegideon3987
@mfalmegideon3987 6 лет назад
Ahsante Sana Mentor J Nanauka
@bahathkonga9011
@bahathkonga9011 6 лет назад
Kabla ya yote na appreciate sana speech zako hongera kwa hizi speech..... samahan kuna kipande fulan cha ubongo hasa kwenye ugenius kulingana na mtu uliyemnukuu jina lake (gardina)....sijaelewa izo sehem za ubongo (maana nlishafundishwa kuna sehem tatu yaan mbele , Kati na nyuma). Nauliza hivi maana huwa napenda sana hata nikiwa namweleza mtu huwa napenda kurejerea.....sasa naogopa nisije nkarejelea speech yako mwishowe nkakosa majib...
@adrianabillia6225
@adrianabillia6225 5 лет назад
bahath konga ipo iv mkuu katika izo sehemu za ubongo kuna pande za kulia na kushoto za ubongo so izo ndizo ambazo zinashughulika na uelewa wa mtu,,,,ambazo inacombine zote ubongo wa kat nyuma na mbele
@rosezegu4756
@rosezegu4756 4 года назад
Upo vizuri Mr. Joel, uwe na afya njema.
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu nikushirikishe katika fursa upate kipato cha ziada
@albinimichael1342
@albinimichael1342 5 лет назад
kweli tunaoangalia tunafaidi hata kama umetuchana ukweliii .kweli tumerelax sana
@abdulhassan5529
@abdulhassan5529 Год назад
Barikiwa Sana brother... Unaongea uhalisia
@elijatanin3754
@elijatanin3754 3 года назад
Hongera Sana Bro Nanauka kwa mafundisho
@ShabaniHamdani-xi6df
@ShabaniHamdani-xi6df 10 месяцев назад
Asante sana kaka nakufuatilia sana.
@globalctvonline1562
@globalctvonline1562 6 лет назад
Asante kwakunifungua nimependa sana
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 года назад
Asante sana my best mentor
@dieudonnesengiyumva584
@dieudonnesengiyumva584 4 года назад
Dahh jamaaa yuko vizuriiii sanaaaa God bless
@sosymavoice4390
@sosymavoice4390 2 года назад
Brother nanauka,, kiukweli umenifanya kuwa jasiri katika kutimiza malengo yangu mungu akujalie
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu nikushirikishe katika fursa itakayokupa kipato cha ziada
@henrymushi8340
@henrymushi8340 4 года назад
Nice bro....be blessed
@nahimanaprince5818
@nahimanaprince5818 2 месяца назад
Asante brother mm from Rwanda
@jumachanewstrends6899
@jumachanewstrends6899 5 лет назад
nakupta vizur sana brother una mafundisho mazur sana
@lezachesc9822
@lezachesc9822 2 года назад
Very nice impressional speech@Nanauka
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 Год назад
Karibu nikushirikishe fursa ya kipato endelev
@AlexSadick-oy1rs
@AlexSadick-oy1rs 4 месяца назад
👍👍nauona utajiri mkubwa juu yako bro @@@nanauka
Далее
Mambo 5  Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa
21:53
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Просмотров 177 тыс.
Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi
22:28
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
EPUKA  HAYA KWENYE  ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA
10:44
Просмотров 52 тыс.