Wew ndiye utakaye badili maisha yangu kama ntakufatilia, keep it up broo. You are my role model from now. Una IQ kubwa sanaa ya kuhusu kupambana na maisha, kumfanya mtu atoke chini alipo awe juu zaid. Kama unakubali huyu ana IQ ya hatare gonga like please
Hongera sana professor Joel Nanauka... Kila kheri juu yako.... Mambo mazuri sana... Swali: "Nini ushauri wako kuhusu kuondoa umasikini, kwa sababu asilimia kubwa ya watu inahisi kuwa haiwezi kubadilika hata kama itapewa maarifa ya kutosha?
umenikumbusha kipindi nipo kidato cha NNE nilikuwa naambiwa sitafauru kwa sababu ya hati yangu mbaya ila hauwezi amini Mimi ndio mwanafuzi wa kwanza kupata ajira serikarini katika lile darasa
Hahahaha kuajiriwa sio kufaulu ajira ni kitu kingine wapo ambao walifeli kabisa darasa au alikuwa na 4 chafu lkn kaajiriw ila wa 2 au digree yupo tu home
Video km Hz zina viewers wachache but video za Diamond na nyngine nyng km x videos zina VEIWERS wengi, hapo ndo nimegundua kuwa cc wenyewe ndo tunatengeneza MAISHA ya mazuri na mabovu🤔✔️ Daah!!!🤣 Blessed kk ndauka!!!!!🤝
Brother Nanauka! Thank you so much 👏 nmegongana na video yako hapa then nika stuck,na cjutii and I didn't wast my time to listen to you. You got my attention it is so sweet to listen to you,Kabisa! Thanks a lot to make me rethink myself natoka wapi naenda wapi. From from Rwanda and welcome to the country of thousand hills.
Hilo la walimu ni kweli mno. Yaani wapewe elimu namna ya kumjenga mwanafunzi na kumpa moyo na si kudhalilisha mbele za wanafunzi wenzake au kumbeza. Mi darasa langu wengi waliachia shule njiani kutokana na mambo km haya. Mtu anakwambia siji shule mi ni mjinga. Na hakuna mtu mjinga jamani. May God bless you.
Hongera Mr Joel Nanauka, nimeipenda sana elimu hii. Kama hautojali naomba uni-add kwenye group lako ili niendelee kujifunza. Nina tamani kuwa na elimu hii ili niwasaidie wengine.
Asante sana mr Nananauka.kweli nimekuelewa sana.Wkt niko shule ya msingi kuna dada alikuwa mnene kuliko wote shuleni.lkn lilipotokea shidano la mbio na mshindi anapewa maziwa ya cowbell sisi wembamba tulikuwa na asilimia mia kushinda na kupata maziwa.lkn hauwezi amini dada bonge alitushinda na kupata maziwa.thank you so much.
bro nanauka umenifanya najutia nafasi nyingi nilizowahi kuzipata sasa sitakia kujutia tena naamini kupitia mafundisho haya naweza kutumia vizuri fulsa ntakazo zipata kwanzia ivi sasa @see yuo at the top
Nakuelewa Mr. Nauka unafanya kazi nzuri sana lakini mafundisho yako yamekosa kitu kimoja. Fundisha Pia kuhusu Willing Power kwa kuwa hapa duniani hakuna jambo lolote linafanyika bila sababu. wafundishe watu hasa vijana kutengeneza sabau ya kutafuta mafanikio ( kwa nini watafute mafanikio kifalsafa na kisaikolojia). Tu pamoja.
Kabla ya yote na appreciate sana speech zako hongera kwa hizi speech..... samahan kuna kipande fulan cha ubongo hasa kwenye ugenius kulingana na mtu uliyemnukuu jina lake (gardina)....sijaelewa izo sehem za ubongo (maana nlishafundishwa kuna sehem tatu yaan mbele , Kati na nyuma). Nauliza hivi maana huwa napenda sana hata nikiwa namweleza mtu huwa napenda kurejerea.....sasa naogopa nisije nkarejelea speech yako mwishowe nkakosa majib...
bahath konga ipo iv mkuu katika izo sehemu za ubongo kuna pande za kulia na kushoto za ubongo so izo ndizo ambazo zinashughulika na uelewa wa mtu,,,,ambazo inacombine zote ubongo wa kat nyuma na mbele