Тёмный
No video :(

BILLNASS AFICHUA NANDY ALIVYOKUBALI KUWA MCHEPUKO WAKATI AKIWA NA MPENZI MWINGINE "NILIMCHAGUA YEYE" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 256 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 188   
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 2 года назад
Mi niwapongeze sana , kwakweli huu ni upendo wa hali ya juu, Na mungu awabariki Na kuwatangulia kwenye ndoa yenu , naamin mtadumu milele Na mtajenga familia ilobora zaidi kwenu nyinyi na kwa jamii kwa ujumla
@sazanahussen6715
@sazanahussen6715 2 года назад
Kila mtu anapangiwa mtu wake hongeraaa sana bill na mandy❤️❤️❤️❤️🥰
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 2 года назад
Kabisaaa
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 2 года назад
Nandy she looks soo beautiful 😍❤️💕💕💕👍🏿🔥🔥❤️💕👍🏿
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 Год назад
True
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 2 года назад
Hata pia Billnass umevumilia kumpata Nandi hongera
@georgehaule158
@georgehaule158 2 года назад
Congrats Bilnas and Nandy you guys you love each other
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
Haha kajua kung'ang'ania uyu dada😂😂😂
@daimondelfina5689
@daimondelfina5689 2 года назад
Kwakweli,afu anasema kabisa eti akapigiwa akaambiwa it's over duh!!
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 2 года назад
Nili juwa ni nandy kapenda sana ila sio issue , tuna watakia mema 🙏
@bahatijuma1626
@bahatijuma1626 2 года назад
Allah awabariki lnshaallah
@naimahhussein8430
@naimahhussein8430 2 года назад
Nawapendaaaa nawapenda nawapendaaa tena ......jaah awabless na kuwaepusha na vijini kisiran
@hellenpaul2149
@hellenpaul2149 2 года назад
Nawapenda sanaaa
@rymax7790
@rymax7790 2 года назад
Very genius bill nass💪🤞
@nightwishisthegreatestband6355
@nightwishisthegreatestband6355 2 года назад
Bora ungekaa kimya kuhusu hilo. Sio kila kitu ni cha kutuambia. Unamshusha hadhi nandy.
@phinaswai4718
@phinaswai4718 2 года назад
Hadhi gani anamshusha?? Hakuna jipya chini ya Jua
@pamanyango8917
@pamanyango8917 2 года назад
Kweli kabisa hakuna kitu jipya
@goldengirltanzania.458
@goldengirltanzania.458 2 года назад
Mwanamke hashuki hadhi ata siku moja ni mwanaume mwenyewe ndio anajushusha akiongelea vibaya kuhusu wanawake anajionyesha mwenyewe kwenye jamii jinsi anavyowaangalia wanawake kwasababu hata yeye ametoka kwa Mwanamke.Kama Mwanamke anajitegemea hakuna cha ziada unachoweza kumpa ni ameamua tuu kukuchagua amna cha hadhi hapa.
@mwanaidsalehe1109
@mwanaidsalehe1109 2 года назад
Hakuna binadamu aliyemkamilifu anamshusha hadhi gani yote yaliyotokea imebidi yatokee huo ni mpango wa Mungu.
@AliAli-rx6wu
@AliAli-rx6wu 2 года назад
@@goldengirltanzania.458 weeeh weeeh weeeh futa kauli yako mweeh! Mwanamke akikazwa na kufirwa sawa sawa! Basi no mtumwa tuuu! Weee vipi? Unajifanya hujui? Mbona unatombwa gari??? Tena junanyonyeshwa mbooo nyau wewe!!!
@adbellar338
@adbellar338 2 года назад
A women's tears can never be another women's happiness.
@dianamdaku9802
@dianamdaku9802 2 года назад
True
@puritysiror
@puritysiror 2 года назад
Unakosea sio lazima unayempenda akupende
@misschagga8042
@misschagga8042 2 года назад
Kuna huu usemi unasema kufa kufaana.ukiuelewa basi jibu ndio hilo.
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 года назад
One mistake one goal
@rebecaerick7887
@rebecaerick7887 2 года назад
Kwani amemuiba?
@irenemtema4302
@irenemtema4302 2 года назад
Napenda hii couple jmn Mungu azid kueasimamia katika familia mtakayoanIsha
@Hosspert
@Hosspert 2 года назад
Hongera yenu bhnaa..🙌🏽
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 2 года назад
Ata mimi nawapenda na nawaombeyaa jamani jamani
@kibeyomuhongo8451
@kibeyomuhongo8451 9 месяцев назад
Napenda sana kusikiliza story zinazumuhusu dadaangu Nand
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 2 года назад
Hongereni sana 😘
@estersilvester423
@estersilvester423 2 года назад
jamani sura nandy imejaa hadi kabadilika ila atarudi sawa
@madamboss348
@madamboss348 2 года назад
Mimba ndio inafanya
@jfineisaac6219
@jfineisaac6219 2 года назад
MUNGU nisaidie nisitumie nguvu kuielezea ndoa 🙏🏾
@missmwemba6094
@missmwemba6094 2 года назад
Harusi bci mambo mengi kweli paka mnaboo haya heri nawaombea muoane mkadumu s vimambo kibao alafu mwisho muachane nyote MA artist sioni ndoa hapa mume ywakaa ameboeka
@johnngongi4810
@johnngongi4810 2 года назад
Umetoaaa mchango 😂😂
@maikokaseke6146
@maikokaseke6146 2 года назад
Acha wivu Taft mume uolew uon km itaboa🥴
@ngwanasongowelero7153
@ngwanasongowelero7153 2 года назад
Mmmh kweli mumetoka bari
@yusrasalum
@yusrasalum 2 года назад
Nandy na billsnas hongerani sana mwijaku anapiga maswali 😀😀nawapenda husda zipite mbali
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 2 года назад
Nice one
@barakakephasi4741
@barakakephasi4741 2 года назад
Mm nachukia mwijaku hayuko professional anauliza maswali ovyo tu jamani swala la uandishi wa habari serikal iweke msimamo anawezaje kumuambia mtu msanii kwa kucomand toa sauti basi hii ni ya wapi @millard Ayo
@princekarani7836
@princekarani7836 2 года назад
Tatizo anauliza kimbea mbea
@vinnahjasson5546
@vinnahjasson5546 2 года назад
@@princekarani7836 kama alivokua mmbea
@mayqueen6798
@mayqueen6798 2 года назад
Mwijaku is a disappointment to the manhood
@ngwasikilulu2590
@ngwasikilulu2590 2 года назад
Background music inafanya tusisikie vizuri jamani, miwe mnapunguza kidogo
@dariuskasitu5594
@dariuskasitu5594 2 года назад
Kama umesikia sumbawanga piga kelele
@bronzehke
@bronzehke 2 года назад
Hekima ya Hali ya juu sana..salute you guys
@maryaika9645
@maryaika9645 2 года назад
we must respect the undefined Presence in the creation…
@Nikita_8017
@Nikita_8017 2 года назад
Nancy looks very beautiful
@ladymoretaboraprincess6190
@ladymoretaboraprincess6190 2 года назад
Nandy superiority WOMEN
@heriaskyakimwa9372
@heriaskyakimwa9372 2 года назад
Nawapongeza sana kwakuvumiliana mpaka hapo mumefikia
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 2 года назад
Kwahiyo ni kama nandy aliiba mwanaume wa mtu?? Maana kilichosababisha bilnass akagombana na mdada (ex wake) ni huyo nandy. Mmmhhhh😵😵😵💔
@neema.samuelneemasamuel2525
@neema.samuelneemasamuel2525 2 года назад
Siyo kweli
@barakaalecnathaniel3716
@barakaalecnathaniel3716 2 года назад
Sio kweli!!Mwanaume huwa haibwi..
@daimondelfina5689
@daimondelfina5689 2 года назад
Kampokonya mwenzake
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 2 года назад
Wewe nandy umemuiba mwanaume wa watu, yatakutokea puani Mfyuuuuuueee
@anethgodwin3224
@anethgodwin3224 2 года назад
hajamuiba sababu hakua ameoa
@barakaalecnathaniel3716
@barakaalecnathaniel3716 2 года назад
Yani girlfriend tu ndio iwe kesi..Tena ukiona mtu kaweza kuondoka maanake hakukuwa na cha ajabu hapo kati ya hao wawili so Nandy hana kosa lolote..Billnas aliamua kutokana na kupima situation iliyokuwepo
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 2 года назад
steve akheee anatetemek kiuongo hapo😅😅😅😅😅
@liliangood388
@liliangood388 2 года назад
Hongera sana ndany
@MagrethEvarist
@MagrethEvarist 3 месяца назад
Bilnas sio umnyanyase mwenzako Lisa kukubali kuwachepuko
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 2 года назад
Axa Kama alikubari kuwa mchepuko wako kipindi una mtu mwingine Basi tambuwa kuwa bado anaweza kuwa na mchepuko mwingine pia akiwa naww, pia usisahau yule mzee wa mabolingo alivyo fanya ndivyo hivyo hivyo itakuwa na nikama szon inaendelea Kaka 😅😅😅 afu utakuja kutusimlia Tena
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 2 года назад
Haha
@bwanabrainex433
@bwanabrainex433 2 года назад
Mungu atakuwa pamoja nao
@estherkimario7940
@estherkimario7940 2 года назад
Haswaa
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
Apa naona kabsaa mbele majanga akishazaliwa mtt
@calveenykevoo5399
@calveenykevoo5399 2 года назад
Duuh kwan bill nenga umempa nin uyu dada na me ntumie kwa mtu wang
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 2 года назад
Haha ili akugande au
@mamunaves7717
@mamunaves7717 2 года назад
😂😂😂sa apo ncheke kwanza
@yasnaghump5763
@yasnaghump5763 2 года назад
Anampelekea Moto wa kiukwel
@rezegerezege691
@rezegerezege691 2 года назад
😂😂😂😂
@AliAli-rx6wu
@AliAli-rx6wu 2 года назад
Tigo tuuu ndo mambo yooote! Tena akiharisha unakula pia!
@azizamtoi3468
@azizamtoi3468 2 года назад
Huyu mwanaume kichwa kimetulia
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 2 года назад
Muda yuko vizuri
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 Год назад
Iyee
@godwinaloyce7342
@godwinaloyce7342 2 года назад
Hongeren sana
@salmaedwin9845
@salmaedwin9845 2 года назад
Hongereni
@elredanthony1245
@elredanthony1245 7 дней назад
Ni nomaaaaa😅
@rehemahigilo943
@rehemahigilo943 2 года назад
Nawapenda mungu awalinde
@fredymasawe2862
@fredymasawe2862 2 года назад
Hongera bro karibu wf yang
@poshiah
@poshiah 2 года назад
Heheee billnass nakupenda sana na pia Nandy my African princess hehee nifanye na mm mke wa pili jmni 🤣
@sashoright8213
@sashoright8213 2 года назад
Nmexhekaa😂😂😂
@poshiah
@poshiah 2 года назад
@@sashoright8213 🤣😅
@suejohn9135
@suejohn9135 2 года назад
Huyo mwijaku😂😂🙌jmn
@kasianatarusis7438
@kasianatarusis7438 2 года назад
Ongeleni sana
@matembo2145
@matembo2145 2 года назад
Waliandikiwa kuwa p 1
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 года назад
Rizki yake
@ericahenock1867
@ericahenock1867 2 года назад
Pongezi Kwenu Mwenyezi Mungu awatangulie
@davidmbwilo4954
@davidmbwilo4954 2 года назад
Ericah hili jina namtafuta huyu sijui alipotelea wap or ni wew
@aminaomary5656
@aminaomary5656 2 года назад
Nawapend sana
@immaboy8153
@immaboy8153 2 года назад
Ila hili lijamaa linapendwa dah😂😂😂kmmae
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 2 года назад
Hadi wivu 😀😀😀
@princekarani7836
@princekarani7836 2 года назад
😂😂😂😂😂
@aminanuru2022
@aminanuru2022 2 года назад
hahah na pesa iwepo.ikikosekana yanapungua
@Hamidkaran
@Hamidkaran 2 года назад
@@princekarani7836 🤣🤣🤣 you
@zimbwerajabu1894
@zimbwerajabu1894 2 года назад
Saw nengaaa
@marianbakeske6830
@marianbakeske6830 2 года назад
Have realized today kuna nandy na Nadia mukami
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 года назад
Huyu anaechagua kamati ni nani yaani mpk akachaguliwa Mwijaku Si angechaguliwa mrisho tu🤣🤣
@tumpeernest9690
@tumpeernest9690 2 года назад
Mbeya oyeee
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 2 года назад
Badala ya nandy kumsaidia bilnass adumishe mahusiano yake yeye anamuiba Mfyuuuuuueee umenikwaza
@barakaalecnathaniel3716
@barakaalecnathaniel3716 2 года назад
Hahahaha..ukiona hivyo ujue mwanaume hakuwa kafika hapo..
@emmanuelngomale889
@emmanuelngomale889 2 года назад
Mungu aibariki ndoa yenu
@danielgozibert-ve3kw
@danielgozibert-ve3kw Год назад
Nawatakia maisha marefu
@shaneshane4175
@shaneshane4175 2 года назад
Bas kudakia muacheni mtu ajibu anachoulizwa🤣🤣
@tousihhhh6765
@tousihhhh6765 2 года назад
huyo chizi mwijaku anafanya nn huyo chizi
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 года назад
Chizi ni wewe unaemfuatilia Chizi!!!
@risperladee5718
@risperladee5718 2 года назад
Basi ni vile tu Gigi Money alikua anasema huyu bilnas hakupenda nandy bila pesa ya nandy bilnas atachomoka.
@azizakikopa3160
@azizakikopa3160 2 года назад
I tydhdjdeih
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 года назад
Triomphe de l'amour❤😍😘
@lucyjohn7904
@lucyjohn7904 2 года назад
vraiment
@urumakafwijya3388
@urumakafwijya3388 2 года назад
Umenifuraisha sana
@agnesshonga7570
@agnesshonga7570 2 года назад
Jamani billinas mbona kama hayupo
@agnesshonga7570
@agnesshonga7570 2 года назад
Au macho yangu
@johariathumani1761
@johariathumani1761 2 года назад
Hayupo kbsaaaaaq😂😂😂
@azarajsalum2117
@azarajsalum2117 2 года назад
Apana billnas anaaibu sana
@daimondelfina5689
@daimondelfina5689 2 года назад
Usanii mwingi
@LizzyMadangi-zq2dc
@LizzyMadangi-zq2dc 5 месяцев назад
Me wakwanza jaman
@ritahenry9756
@ritahenry9756 Год назад
Kwalugha fupi jamaa ali cheat, interesting and ridiculous.
@estherkajiru5830
@estherkajiru5830 2 года назад
Mimi more
@niselascarion9489
@niselascarion9489 2 года назад
Inshort mwanaume ajatulia
@Am-vo5cu
@Am-vo5cu 2 года назад
Ndoa takatifu ni ile watu wanafunga harusi wakiwa weupe Kama pamba
@czechzyamwaga1088
@czechzyamwaga1088 2 года назад
Acha wivu, wamesha tubu kwa mungu ndiyo maana wamepata kibal cha kufunga ndoa
@mwajumamilanzi9440
@mwajumamilanzi9440 2 года назад
Kwaiyo ulitaka waitoe ili Sisi tuwaone weupe hapana mungu anajua kila kitu na amewaseh pia
@neemanyimbi2355
@neemanyimbi2355 2 года назад
Wewe ulivyofunga yako ulikuwa mweupe hakuna binadamu asie na dhambi Acha uboya wewe wivu tu nyie Ndo mnatakiwa mrogwe watu Wenye wivu
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
😂😂😂😂Kwanza nichek na watu watakatifu hawapo you tube wajua hilo
@neemazee1864
@neemazee1864 2 года назад
Mmmmmmh
@serafinamalecela4728
@serafinamalecela4728 2 года назад
❤️❤️❤️❤️
@miriamalute1540
@miriamalute1540 2 года назад
Nimejifunza kuto kukata tamaaa
@AliAli-rx6wu
@AliAli-rx6wu 2 года назад
Daah Miriam unitafute nikupe uchawi!
@ruqayyahmohammed3188
@ruqayyahmohammed3188 2 года назад
@@AliAli-rx6wu 😅😅
@anethkaale2158
@anethkaale2158 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 года назад
@@AliAli-rx6wu hehehe
@silvanusjames8984
@silvanusjames8984 2 года назад
Billnas nakumbali
@vibetz9991
@vibetz9991 2 года назад
Msituchoshe
@neemaalex6404
@neemaalex6404 2 года назад
DADA NANDY NAOMBA UR DIALS
@fatmaramadhan762
@fatmaramadhan762 2 года назад
Huyu muha mwijaku jaman 🤣🤣
@tumpeernest9690
@tumpeernest9690 2 года назад
Geah kua mtulivu basii
@felistamashinga123
@felistamashinga123 2 года назад
mimba ileeeee
@bentez911
@bentez911 Год назад
😳😆😆😆😆😆
@camilahazal7119
@camilahazal7119 2 года назад
Billnass karate Ugali wa Foustina
@muzikiprofile
@muzikiprofile 2 года назад
Wangapi waliskia hii 👇👇 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-KgvKJ0gI_Js.html
@ewaldambrose6136
@ewaldambrose6136 2 года назад
Kumbe hizo fiesta ni kufanya uhuni
@reubenkissinga5802
@reubenkissinga5802 2 года назад
Sio fiesta hata kwenye nyumba za ibada uhuni unafanyika tuu!!!
@moneymaker4168
@moneymaker4168 2 года назад
😂😂😂
@sueherman6980
@sueherman6980 2 года назад
😂😂😂😂
@pendonjoka9534
@pendonjoka9534 2 года назад
😂
@atanaskafwimb8955
@atanaskafwimb8955 2 года назад
MUNGU awayunze siku zote
@agnessisack7147
@agnessisack7147 2 года назад
❤❤❤❤❤❤😂
@johnnytravo
@johnnytravo 2 года назад
Mwanamke amebeba dhamana ya uhai wetu kabla hatujaja rasmi Duniani 🙏 ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iYjijfV-YRw.html
@ewaldambrose6136
@ewaldambrose6136 2 года назад
Too much acting..sioni future hapo
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 года назад
Acha ujinga
@marionpaul1402
@marionpaul1402 2 года назад
Shindwa pepo
@dorisjessy5960
@dorisjessy5960 2 года назад
Mwapenda kutakia wengine mabaya
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 года назад
@@dorisjessy5960 yaaani uchawi tu.
@elenlazaro3192
@elenlazaro3192 2 года назад
Pole😜😜
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
😑😑
@sakinanaftali7929
@sakinanaftali7929 2 года назад
WIMBO WA MAJIRA YOTE.. KARIBU KUTAZAMA. #TUNAMWAMINI ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-ZhY-T8wk4Do.html
@drmussa1220
@drmussa1220 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-QN5ACFcSBIE.html DAWA YA KUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM, HUTIBU NA MAJIPU SUGU#*
@kissesmariesydney1523
@kissesmariesydney1523 2 года назад
Nawapenda sanaaa
@veronicageriad5675
@veronicageriad5675 Год назад
Hafuslyanandt 🤔
@sarahlimbu9305
@sarahlimbu9305 Год назад
Tutafute hela tuoelewe na agemate wetu😂
@drmussa1220
@drmussa1220 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-QN5ACFcSBIE.html DAWA YA KUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM, HUTIBU NA MAJIPU SUGU#*
Далее
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 1,2 млн
Sevinch Ismoilova - Xayollarim 18-Avgust 19:00 Premera
00:19
NANDY ALIVYOINGIA KWA MATASHTITI KWENYE KIBAO KATA
4:47
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 1,2 млн