Mungu kokote jina langu au majina ya wanafamilia yalipofungiwa au yalipotamkwa kwa ubaya...pakavunjike na kuteketea kwa jina kuu la Yesu Kristo. Madhabahu za giza hazina nafasi na hatma ya maisha yetu. Amen !
😢Mungu popote nilipofungwa Mimi na ndugu zangu,natamka kwa jina la yesu tumefunguliwa,kama Kuna vyakula vya masgano tulikula,tunajitoa humo kwa damu ya yesu.amina
Mungu Baba kupitia shuhuda hiz naomba unifungue vifungo vyovyote nilvyowah kufungwa ktk ulimwengu wa roho na mwili kwa Nguvu ya Damu ya Yesu Kristo Mkomboz wang Ameen
Dah, moyi wa mwanadamu ni kichaka unaficha mengi. Asante sana Mchg Dr Kimaro, hakika unatuimarisha na kutufundisha, Kijitonyama kuna dhahabu ya ajabu, msiache ianguke jalalani, ubarikiwe baba, tunakupenda na tunakuombea kila tupatapo wasaa wa kupiga magoti kwa Bwana.
Eeee Mungu niwakati wangu sasa . Naomba ukanifungue katika kila kifungo nilichofungwa nisichokijua . Bahraini nchi kavu ziwani kwenye miti na milima na kila sehemu yoyote. Nakataa kwa Jina la Yesu ..
Ndio maana Mimi siku za sikukuu haka siendi popote haya kama Sina cha kupoka ugali wangu dagaa mchele tembele langu maji yangu ya baridi aka nina amani