Тёмный

Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo 

Hamasika Tv
Подписаться 39 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 53   
@MatesoLukas
@MatesoLukas День назад
Ahsante mungu kwa hekima hii uaminifu ni msingi mzuri kimaisha
@Anifanusura
@Anifanusura 3 дня назад
Asante Mungu kijana kweli umesimama katika nafasi Mungu akubariki sana.
@IgnassSwa-gd9iy
@IgnassSwa-gd9iy Месяц назад
Erick shigongo baba angu nakuomba no yako...naomba Sana baba angu usipuuze
@omaryisingo5697
@omaryisingo5697 Месяц назад
❤❤❤❤❤😅
@judicalosika7642
@judicalosika7642 11 дней назад
🇮🇱Eric, hakika, mtu asipige AKILI YAKO. Nashukuru sana kwa ujumbe huu. Mimi huwa nawaeleza jamaa zangu kuwa, "...ongeza madini makini kichwani...."
@EmmanuelShilunga-m5c
@EmmanuelShilunga-m5c 21 день назад
Mungu ni mwema
@user-rw4qn6zh6n
@user-rw4qn6zh6n Месяц назад
Very correct yaani ukiwa mwaminifu bas wew ni tajr tyr
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 Месяц назад
Hongera sana, Mh. E. Shigongo
@GeovanChale
@GeovanChale 3 дня назад
Uko sahihi brother
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Месяц назад
Eric Shingongo. One of the the best Author ever known
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 Месяц назад
Ujumbe umenibariki😢😢 naanza leo kutokuwa na matumizi yasiyo na lazima
@hamasikatv
@hamasikatv 28 дней назад
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@kashikiphillipo1259
@kashikiphillipo1259 2 дня назад
Ujumbe mzuri
@LUCASLUPIMO
@LUCASLUPIMO 26 дней назад
Mweshimiwa shigogo nime kuerewa sana ntafanyia kazii
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Месяц назад
Moja kati ya kitu wazazi wa kiafrika wanacho sahau kabisaa ni kutozingatia vipawa na talent za watoto wao. tunapoteza watu wakubwa wengi sana kwa kutokutambua nini ni bora na mtoto anaweza kufanya. kipaji ni kitu mtu anachoweza kufanya bila ugumu(kwa urahisi) . kuna watoto wengi hawawezi hata kuongea, ila kuna watoto wanaweza kusimama hata mbele ya kanisa au msikiti mzima na kuongea bila woga wala kusita sita. huo ni mfano wa kimoja tu kati ya vingi wazazi na walezi wasivyo viona. Kuna mtoto anakimbia kila sehemu akitumwa hata iwe karibu kiasi gani ataenda anakimbia na atarudi ana kimbia hata liwe jua kali la saa saba. lakini hakuna anae zingatia hayo. kila mtu ana focus na Sayansi tuuu, kumbe kuna utajiri mkubwa ambao kila mtu Mungu amempa kupitia kipaji. KIPAJI NI ZAWDI KUU NA YA THAMANI MNO AMBAYO MTU HUPEWA NA MUNGU . KIPAJI
@EmmyDanielKweka-xl1gr
@EmmyDanielKweka-xl1gr 6 дней назад
kaka shigongo umenikuta najitafuta kabla sijazama kukata tamaa nasikia kuuhishwa .
@patrickkatana8823
@patrickkatana8823 11 дней назад
I really love this always 🎉
@JosephDaudi-x7k
@JosephDaudi-x7k 5 дней назад
Very interesting.
@user-uy1df5so8c
@user-uy1df5so8c 23 дня назад
Mafunzo mazuri kabisa haya🎉
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 Месяц назад
Yaani nisoma magareti yako Kila siku, uko good sana
@godfreymasondaabel1904
@godfreymasondaabel1904 14 дней назад
Hongera sanaa Mheshimiwa
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 Месяц назад
Yaani huwa unibariki sana❤❤❤God bless you
@MwanzalimaLeonard
@MwanzalimaLeonard Месяц назад
Ni mwanga mzur wenye kutoa hamasa!
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 Месяц назад
Ahsante Eric Be blessed
@LENGE-v5r
@LENGE-v5r 18 дней назад
Ahsante sana Eric
@THADEOCHUNDU-eu3ez
@THADEOCHUNDU-eu3ez 9 дней назад
Unasoma degree una jina kubwa na pesa, utafeli kweli.
@user-kl5ji9ue2q
@user-kl5ji9ue2q Месяц назад
Mungu ni mkuu Sana 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-dq4qi2pn2s
@user-dq4qi2pn2s 11 дней назад
Well done my brother
@user-oc2zp6cg3z
@user-oc2zp6cg3z Месяц назад
Great advise Wiseman👊
@johngibson3089
@johngibson3089 21 день назад
Asante Eric Shigongo
@mariamsabuni608
@mariamsabuni608 19 дней назад
Ni kweli kabisa Mungu atusaidie
@Thisislilian
@Thisislilian Месяц назад
This is so powerful
@EmmyDanielKweka-xl1gr
@EmmyDanielKweka-xl1gr 6 дней назад
Naanza kutengeneza majani ya chai baada ya kuumizwa na mengi.pls pls pls
@Magdalena-tz7uk
@Magdalena-tz7uk Месяц назад
Shukran 🙏 kwamafunzo mazuri
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 Месяц назад
Asante sana🫶🙏
@neemaemanuel7715
@neemaemanuel7715 Месяц назад
Fact sana ,ahsante
@GabrielLaizer
@GabrielLaizer 14 дней назад
❤ AMEEEN MWALIMU
@SamwelSenwa
@SamwelSenwa 23 дня назад
Mafunzo mazurii
@rodamakalwe57
@rodamakalwe57 Месяц назад
Nataman sana nipate hata namba yako
@masomekitwala3758
@masomekitwala3758 22 дня назад
Amen
@MUSAMSAFIRI-th3gi
@MUSAMSAFIRI-th3gi 21 день назад
Asante sana🙏
@Alicemsafiri
@Alicemsafiri 6 дней назад
Asante Sana
@user-kw6bv9qp4e
@user-kw6bv9qp4e Месяц назад
❤❤❤❤❤
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w Месяц назад
Asante sana
@GraceMakungu-vh9xd
@GraceMakungu-vh9xd 7 дней назад
🎉
@masomekitwala3758
@masomekitwala3758 22 дня назад
Tulikutana Lamadi,( sereñgeti) tuliongea mengi,plz nisaidie no yako
@user-hv6qw2zw2y
@user-hv6qw2zw2y Месяц назад
Asante sana kiongozi
@user-wn2su2fj9d
@user-wn2su2fj9d Месяц назад
Kongole
@YohanaMwaibeseisaya
@YohanaMwaibeseisaya 13 дней назад
Yes!
@MagombaLasford
@MagombaLasford 5 дней назад
Fuct
@FELISTERPETER-jf9jv
@FELISTERPETER-jf9jv 11 дней назад
Mimi mwanangu ana kipaji cha usanii wa mziki yaani akitoka shule ananitungia wimbo hapo hapo unaonihusu. Na unakuta kwenye begi lake kuna daftari limejaa nyimbo. Kila akirudi nachukua daftari naficha na pia akirudi tena unakuta ana kingine kimejaa nyimbo
@hamasikatv
@hamasikatv 6 дней назад
Asante kwa maoni yako Tuendelee kujifunza
@RynoFiree
@RynoFiree Месяц назад
Inspired speech Mungu akubariki Sana kaka Shigongo
Далее
#kikakim
00:31
Просмотров 10 млн
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Просмотров 117 тыс.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
#kikakim
00:31
Просмотров 10 млн