Тёмный

BINTI ANA MIAKA 26 ANAMILIKI GARI 2 ZA UTALII, ANAENDESHA WATALII "NIMEPEWA MILIONI 6,NINA KAMPUNI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 199 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

7 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 409   
@paulajoho2223
@paulajoho2223 Год назад
Hongera sana! Mwenyezi Mungu aibariki kazi ya mikono yako. Ubarikiwe utokapo na ubarikiwe utakapoingia....Leo kesho, na hata milele... ameen
@jescaemanuel9702
@jescaemanuel9702 Год назад
Hongera dada Agatha Bernard, nimependa interview yako inanitia moyo mno, kama kuna kazi naomba nimesomea wildlife ndio nimemaliza Nov 2022
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Год назад
Uwa nafrahi Sanaa nikiona wadada wezangu Unaendesha vyombo vyamoto #ongera Sanaa ❣️❣️❣️
@schosay_
@schosay_ Год назад
Hongera sana Agatha kwa mafanikio yako. Lakini wewe pia ni mzuri na above all una sauti nzuriiii saaaanaaa
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 Год назад
Ana sauti ya utangazaji
@ruthkuley991
@ruthkuley991 Год назад
Hongera Sana binti kwa kudhubutu hatimae umeweza songa mbele usiache kumchq Mungu maana ni chanzo cha maarifa
@simonuriyo7968
@simonuriyo7968 10 месяцев назад
Dada Ubarikiwe Sana, really Inspire story Simon Uriyo Capetown SA
@rosemarynjare3588
@rosemarynjare3588 Год назад
Hongera sana my dear tour guide mwenzangu japo Mimi nilikimbiaga funny kitambo🥰🥰🥰
@joycebruno312
@joycebruno312 Год назад
Well done my sister you are truly a strong woman may almighty bless you and your work much appreciated from mombasa Kenya l salute you hongera
@agathabernard7338
@agathabernard7338 Год назад
Amen dear. Asante Sana. May God grant all your wishes. Keep going & welcome to Tanzania via Afro lioness
@kishymbatanzania9213
@kishymbatanzania9213 Год назад
​@@agathabernard7338 Congratulation Sis Keep Moving naonaga mnavyopamba kuna yule dada wa moshi (Hossian Shao Kama Sijakosea) nais kama mnafanyaga wote kaz Shao i have seen wonderful stuff Mungu Akawape kibali mkazid kumuabisha shetan Mbarikiwe sana 😊
@gabrielherman4752
@gabrielherman4752 Год назад
Nimekupenda Bure.. you're really a lioness 💪💪💪
@masaibabalai9095
@masaibabalai9095 Год назад
Hongera sana Agatha wetu wa ilboru jamani❤,dokta mndeme must be proud of his daughter
@estherbakari9534
@estherbakari9534 Год назад
Congratulations
@bensonkimaro2775
@bensonkimaro2775 Год назад
Hongera sana mwanamke jaairi na shupavu Mungu akutunze.
@Casualgamer766
@Casualgamer766 Год назад
Seriously tuacheni uongo kuna sponsor mahali😂😂😂😂
@malickkasuga4805
@malickkasuga4805 Год назад
Hii sawa
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 Год назад
🤝
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Год назад
Hongera sana binti, kazi ya upota ni ngumu, unabeba mzigo mzito huku unapanda mlima...niliwahi fanya hiyo kazi mlima Meru, sio kazi ya kitoto. Mungu azidi kukuinua.
@evamerycostantin2458
@evamerycostantin2458 Год назад
Mungu akupinganie mwanamke wa shoka
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 Год назад
Napenda wadada kama uyu wanao jituma. Big up dada 👏.
@demicratia4071
@demicratia4071 Год назад
Mwanamke Aweza kama mtoto kakaa Tumboni miezi 9 na akamtoa weweeee dont joke with a Woman RESPECT OK
@anamarykaduma5639
@anamarykaduma5639 Год назад
Hongera sana dada mdogo,uko vizuri,tunasaidiane tusiwe waregemezi.naomba kuwasiliana na wewe kushare mawili matatu.
@maigajohn5828
@maigajohn5828 Год назад
Hongera sana umepambana sana umefanya kazi nyingi mbalimbali hatua kwa hatua uko saw big up sana👍👍👍👍
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Год назад
Wow congratulations super women ,ila arusha ukiacha uslay queen kuchagua kazi pesa ipo sana sehemu za wageni izi ukosi
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Wengi wao ni malaya uwa wanajiuza kwa Wazungu
@evancemariki6769
@evancemariki6769 Год назад
Hizi story bhana ukizisikilaza kama huyu kufikiria mbaliii woiiii nipe mbege shirima
@priscakiganza3140
@priscakiganza3140 Год назад
So inspiring
@Deonfnyoni
@Deonfnyoni Год назад
Hongera sana mdogo wangu Mungu akubariki sana
@elishaamos2439
@elishaamos2439 Год назад
Congratulations 👏👏
@josefinamwakidebe6800
@josefinamwakidebe6800 Год назад
Nampenda sana AGATHA THE LIONES.....NAMPENDA MNO
@renati.mkauki4271
@renati.mkauki4271 Год назад
Agatha, nimejifunza kuwa juhudi siku zote zinamafanikio maishani, Mungu aendelee kukupa haja ya Moyo wako
@agathabernard7338
@agathabernard7338 Год назад
Amen Renati. Kuna wakati utapitia mengi na magumu ila trust the process that God is taking you through. Usiache kuomba 💕
@tinajoe5487
@tinajoe5487 Год назад
@@agathabernard7338 Nakupongeza sanaa Nikuombe utushike mkono hata sisi wanawake wa vijijini jamani
@annkim2690
@annkim2690 Год назад
We Mungu akuwezeshe
@tumainisumari2045
@tumainisumari2045 Год назад
Congrats Agatha, awesome 👌
@pamelakaaya2311
@pamelakaaya2311 Год назад
Duh nmekupenda bure ulipo na umri wako keep it up Agatha
@ymusic1299
@ymusic1299 Год назад
Hongera sanaa dada endelea kuwa na moyo huo huo wa kuwasapot wanawake wenzako
@bashiteentertainment3298
@bashiteentertainment3298 Год назад
Hongerah sana saa simba wa kike Mungu akufanyie wepesi zaidi na zaidi kazi yako tamu sana
@hawaevamahenda5025
@hawaevamahenda5025 Год назад
She's a real lioness I do appreciate her.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Big up Agatha. Unajitahidi
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Год назад
MashaAllah.. Congrats beautiful 😍 💓 💖
@lynalyna3968
@lynalyna3968 Год назад
Am proud of you dear,Mungu azidi kukusimamia
@lillylilly9481
@lillylilly9481 Год назад
Ukisikia hamasa ndo hii sasa. Hongera Agatha
@winniejeremiah645
@winniejeremiah645 Год назад
hongera sana Agatha wewe ni shujaa naendelea kuamini kuwa wanawake wa Arusha nimashujaa na upambanaji wao hauna tofauti na simba jike km ulivyosema ❤❤😇
@evasempita1144
@evasempita1144 Год назад
Woo.hongera.sana.dada.mungu.akubariki.amina
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
👏👏😍😍💪Mwenyezi Mungu akulinde
@kolethamarko5898
@kolethamarko5898 Год назад
Hongera sana mawenzi casfeta gilr jamn mungu akuinue zaid agatha
@agathaladislaus8991
@agathaladislaus8991 Год назад
Kaz nzur,Wa Jina Wang Agatha hakika umeniambukiza ujasiri huu mkubwa wa kuthubutu kufanya vtu bla kuogopa,my dear ila Ktk Kristo Yesu mwokozi wetu.
@neemalefasi4885
@neemalefasi4885 Год назад
Naomba no dada angu
@rosemshana1558
@rosemshana1558 Год назад
Hongera samba jike binti wa kipare. Piga kazi mama,
@dungayusufu1954
@dungayusufu1954 Год назад
hongera sana dada mpambanaji
@doricjulius7174
@doricjulius7174 Год назад
Hongera mpenz Mungu akufikishe mbali zaidi
@justinamunuo8006
@justinamunuo8006 Год назад
Hongera sana Agatha
@neemaloy889
@neemaloy889 Год назад
Be blessed always mydear Agatha
@jafarikideghesho6509
@jafarikideghesho6509 Год назад
GREAT AGATHA! WEWE NI SIMBA JIKE HASWA
@haroldemmanuel6259
@haroldemmanuel6259 Год назад
Wow. Hongera sana sana sana Agatha
@alisterlexter1115
@alisterlexter1115 Год назад
My schoolmate Agatha 👏👏congrats sis
@agathabernard7338
@agathabernard7338 Год назад
Thanks dear
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 Год назад
Jomoni MashaAllh nimekupenda bure ddangu .
@divinemushi1417
@divinemushi1417 Год назад
Congratulation superwoman 💪💪
@divinemushi1417
@divinemushi1417 Год назад
So what? Mbna ingekua mwanaume usingehoji? Kipi ambacho hawez mwanamke kufanya? Tatizo mnaamini kila mwanamke aliefanikiwa amehongwa na ndo mtabaki sana nyuma 😏
@agathabernard7338
@agathabernard7338 Год назад
@@samuelemmanuel3400 Sam kaka. Nafahamu binadamu tumeumbwa kuongea, jambo moja Tu Natamani ujue. Sio kila mwanaume Ana uwezo wa kumsupport mwanamke na si kila mwanamke anasubiriwa kuwa supported na mwanaume. Hata ukijua chanzo cha mapato na pesa zangu kaka hazitasaidia, angalau ungekua unanijua kwa undani ungekua na haki ya kusema. Tujifunze kuheshimu na kuthamini jitihada za kila mmoja. Na Kama haipendezi, ni bora kukaa kimya. Busara ni bora kuliko ujinga na siku zote wenye kupenda mafanikio ya wenzao ndio Huwa wanafanikiwa. Omba, then jifunze kutoa na ufanye kazi kwa malengo 😊. Nakutakia maisha mema kaka
@agathabernard7338
@agathabernard7338 Год назад
Thanks love 💕
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@divinemushi1417 kwa wanawake wa Kitanzania ni almost wote ni kuonga au wanafanya umalaya wanadanga, wewe Unajua bei ya hayo magari na huyo alikuwa ni mbeba mzigo na dereva , na inaonekana wewe ni mgeni hujakaa Arusha na Moshi na hujui biashara ya utalii kuna wanawake wenngi wanadanga huko mbugani 😅😅😅😅 eti superwoman 😅😅😅😊
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@samuelemmanuel3400 mkuu ni kutumia common sense tu Labda hayo magari alikunya makimba kutoka kwenye matako yake makubwa na kuyafinyanga kama mwanasesere , ila wanawake ni watu wa kudanga na kuna wanaume wapumbavu uwa wanaoga tu akikatikiwa kiuno na akipewa kuma na mkundu basi anapagawa, na wanapata favour sana wanawake wa Kitanzania hata makazini na siku mna Rais mwanamke huku ndio wao wana sauti
@fatumaramadhan1165
@fatumaramadhan1165 Год назад
Ongera Sana sister nimekukubali Sana samahan sister naomba Kama ukiskia mahali kuna kazi naomba unisaidie sister mm ni chef na Nina uzoef wa miaka 6
@alawifarahani4788
@alawifarahani4788 Год назад
No yko
@ashaidd2813
@ashaidd2813 Год назад
Hongera,sana
@ebbyescor7614
@ebbyescor7614 Год назад
God is great
@benntarimo9900
@benntarimo9900 Год назад
Hongera dear...u deserve it😍😍😍
@siwemamakoye5859
@siwemamakoye5859 Год назад
Hongera sana♥️
@magrethpeter9087
@magrethpeter9087 Год назад
Hongera sana hakika penye nia pana njia. Big up sana mrembo .Sasa unapatikanaje
@issangyabertha5741
@issangyabertha5741 Год назад
Waooo!ongera Agatha ad nimetamani kukuona live
@siamnyone8403
@siamnyone8403 Год назад
Acha tamaaa🤣🤣🤣
@octavian54
@octavian54 Год назад
Umalaya tu🤣
@samludo5435
@samludo5435 Год назад
Mdada yuko natural ad raha an mzurii hatari
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Год назад
Mpaka umenishawishii natamani mnoo ila ndio vile tenaa! Hongeraaa
@agathabernard7338
@agathabernard7338 Год назад
Usikate tamaa na wala usijihis huwezi. Anza upya kwa malengo🎁
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Uanze upya kwa malengo ila udange kwa kiakili tu kwa wazungu huko maporini wako wengi madada huko chuga wamefanikiwa kwa kuuza mwili wao kwa Wazungu
@devothamgaya9421
@devothamgaya9421 Год назад
@@kabwelasutiviraka4765 Mhhhhhhhhhhh!
@yussufuramadhanimbaji6028
@yussufuramadhanimbaji6028 Год назад
Hongera sana dada endelea kumwamini mungu atakuongezea
@agathabernard7338
@agathabernard7338 Год назад
Amen kaka 🙏🏾
@rosemarymnzeru7590
@rosemarymnzeru7590 Год назад
Wooh Agatha congratulations kpnz
@johventuretours9397
@johventuretours9397 Год назад
Hongera sana keep fighting
@prosperkullaya6721
@prosperkullaya6721 Год назад
I hope mama amemsikia..
@fraycokahise7932
@fraycokahise7932 Год назад
But hongera
@MerinaMihayo
@MerinaMihayo 5 месяцев назад
Hongera my dada
@everlynkilimba3963
@everlynkilimba3963 Год назад
Well wishes famale guide 🇹🇿
@domitilamsumary7407
@domitilamsumary7407 Год назад
Duh proud of you Agatha ❤
@DesderyTv
@DesderyTv Год назад
Wow wanawake wanachakujifunza kwa huyu dada. Actully nimekuwa nikimfatilia Insta ila sikuwai kujua kama ni mtanzania
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty Год назад
Jina lake insta ?
@allahisone6386
@allahisone6386 Год назад
@@allthingdranabeauty hhhh
@leticiampeka1488
@leticiampeka1488 Год назад
Hongera saana
@schosay_
@schosay_ Год назад
You are intelligent Agatha
@husseinramadhan3302
@husseinramadhan3302 Год назад
Hongera dad
@mariamichael6936
@mariamichael6936 Год назад
Nakupenda ccy Agatha
@hillaryremen2487
@hillaryremen2487 Год назад
So Many Congratulations Agatha 👏
@agapititairo6926
@agapititairo6926 Год назад
Congratulation sister
@leonardkajuna1213
@leonardkajuna1213 Год назад
Wonderful girl
@halimamndeme6908
@halimamndeme6908 Год назад
Hongera sana mndeme mwenzangu
@denismugisha2
@denismugisha2 Год назад
Hongera sana mdada upo vizuri sana
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Год назад
Moja ya swali nisilolipenda Kwa watangazaji WA AYO NI ,HILI , UMEPATA KAMA SH. NGAPI HIVI , NA WAANDISHI WENGI WAMELIIGA , ITS TOOO UNPROFESSINAL QUESTION PLS TAFUTENI MASWALI YA KIBUNIFU LAKINI SIYO HILO
@juliusmagheke1379
@juliusmagheke1379 Год назад
Usiombe upendane na huyu Dada halafu we mwanaume kilaza😀😀😀🔥🔥
@happychristopher1067
@happychristopher1067 Год назад
Ahahaaaa
@juliusmagheke1379
@juliusmagheke1379 Год назад
@@happychristopher1067 hatariii
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Год назад
Your lioness my dear tunaweza
@catherinemathayobajuta8893
@catherinemathayobajuta8893 Год назад
Unatutia moyo wanawake wenzanko tunakushukuru mungu akubariki
@echosoundchannel677
@echosoundchannel677 Год назад
Woow!!hongera sana
@levinalyimo6240
@levinalyimo6240 Год назад
Mjukuu. Wangu. Ongera. Sana. Mimi. Mume. Wangu. Anaitwa. Bernard arudika. Mndeme. Naisi. Tu. Familia. Moja. Mungu. Akuongpze. Katika maisha. Yako
@wisperfect5320
@wisperfect5320 Год назад
Sema dada uyo siyo binti
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Kuna umalaya sana huko kwenye Utalii Arusha Moshi wengi wanauza kuma na mkundu kwa Wazungu Kwa hiyo wengi mafanikio yao ni ya kuuza miili yao
@luluwillium1364
@luluwillium1364 Год назад
Agatha congratulations dear
@tanzaniasociallightfoundat9053
Uko vizuri
@Tinatana30
@Tinatana30 Год назад
Jamn Hongera zake nimesoma nae kindoroko
@PriscaNaftal-u2q
@PriscaNaftal-u2q 10 месяцев назад
Aaah, one day moi dream will come true
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Год назад
Wenzako wanadanga wapo wengi Dar kazi madera bila chupi kutwa nzima...Hongera my pisi ya chuga
@upendotarimo2965
@upendotarimo2965 Год назад
😂😂😂😂
@jescajulius8023
@jescajulius8023 Год назад
Acha wadange kwan kuna shida,mafanikio yana sir kubwa mno
@ikupaisaac2635
@ikupaisaac2635 Год назад
Kwan hao wazungu wanawaacha salama😄
@teddygaare3018
@teddygaare3018 Год назад
Congratulation dada jasiri....mungu akupambanie
@eft255
@eft255 Год назад
Interesting
@scollantandu6278
@scollantandu6278 Год назад
Ubarikiwe mwanamke
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 Год назад
Hongera saan 🎉
@Emanuel_Shehiza01
@Emanuel_Shehiza01 Год назад
Great dada
@tabithalusenga1183
@tabithalusenga1183 Год назад
Hongera saaana mdogo wangu nakuombea Dua Kwa Mwenyez Mungu akupe maisha marefu na ufanikiweee saaana
@godfreybitakama9845
@godfreybitakama9845 Год назад
Hongera pia kwa rangi yako ya asili
@JerryMasele
@JerryMasele Год назад
Congratulation sis, you are a superwoman
@tendwajohn7785
@tendwajohn7785 Год назад
Upo vzr sana dada yangu.
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Год назад
Safi,siyo hao wanawake wenu wadangaj alafu utasikiaa mm natafuta sana,mm ni mwanamke wa shoka sjui malkia wa nguvu Huyu kwangu ndiyo malkin wa nguvu sasa
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Wanauza kuma na mkundu kwa watalii huko Arusha na Moshi ukitembelea maeneo hayo ndio utajua
@agathabernard7338
@agathabernard7338 Год назад
Asante kipenzi. Barikiwa Kenneth.
@priscajohn6090
@priscajohn6090 Год назад
Hongera sn!
Далее
Million jamoasi - O'zbekcha UFC
17:55
Просмотров 198 тыс.
Out Of Focus Live | 05 October 2024
38:51
Просмотров 65 тыс.